Mara nyingi hizi nyumba nzuri zinakuaga na matatizo, Unaweza kuinunua afu usiifrahie, Mara unakuta kuna mizimu aidha mapepo au maagano magumu, Maana mpaka mtu kujenga nyumba nzuri hivo na kahamia hajakaa muda anaondoka gafla! Inatisha, Ila kwa uzuri, That's the best house! Any way! Siwezi jua kwa hio!
Wewe mshirikina ndio maana unafikiria vyenginevyo. Lile liliopo kwenye akili yako ndio dhana ma vitendo vyako. Wacha kuharibu biashara za watu kwa fikra mbovu za kwako. Nenda kajenge yako pirini. Majini popote wapo na wanaishi wanapopenda kama viumbe wengine hiwezi kuwaepuka na hapo ulipo wapo.
Fanyeni kazi vijana na hawa wenye husda watabaki kutisha wenzao wao hawawezi kujenga hata kibanda cha udongo. Wataishia kulala seating roon wasubirì watu waingoe kulala chumbani ndio wao watandike ukumbini kwenye sofa walale. Msiwe negative kwenye maendeleo ya wengine
JENGA NA WW UZE JENGA TUONE YAKO HAPO ULIPO MAISHA YAKO KWA SHEMEJI YAKO DADA AKO AKITWANGWA TALAKA NA WEWE HUNA PA KULALA, UME JILEGEZATU HAPO JENGA UZA ???
Ukiwa mshirikina ndio mawazo yako ndio hayo tu kuharibia wenzio. Watu wanatafuta rizki zao kwa mikono yao wewe unaanza kuwaharibiwi watu kama nyie hamtatoboa maishani mwenu maana akili zenu zipo kwenye ushirikina na kuharibia waliokutangulieni kwa maendeleo.
Mara nyingi hizi nyumba nzuri zinakuaga na matatizo, Unaweza kuinunua afu usiifrahie, Mara unakuta kuna mizimu aidha mapepo au maagano magumu, Maana mpaka mtu kujenga nyumba nzuri hivo na kahamia hajakaa muda anaondoka gafla! Inatisha, Ila kwa uzuri, That's the best house! Any way! Siwezi jua kwa hio!
Hapo mawazo yako ndipo ya ripo ishia na ufaham wako
Wewe mshirikina ndio maana unafikiria vyenginevyo. Lile liliopo kwenye akili yako ndio dhana ma vitendo vyako. Wacha kuharibu biashara za watu kwa fikra mbovu za kwako. Nenda kajenge yako pirini. Majini popote wapo na wanaishi wanapopenda kama viumbe wengine hiwezi kuwaepuka na hapo ulipo wapo.
Hiyo bei na nyumba havifanani Kuta kuwa najambo halipo sawa hapo angalieni msije pigwa
acha kuharibu biashara za watu masikini mbwa mkubwa wewe
Mawazo ya kimaskini hayo hebu futa huo ujumbe wako ukiweza umetia aibu
Really nice!
Umetisha
@@harunakaishozi Boss
Nyumba nzuri but over the top decoration. A house should be a home, not an object of art!
Dah nyumba mzuri
Nakupataje number zako email yako haiko active.
Boss bado ipo
Dalali upo vizuri
Nashukulu sana kwa sapoty yako🙏🏻
Nyumba nzuri sana kasoro yake vyumba vidogo sana
Fanyeni kazi vijana na hawa wenye husda watabaki kutisha wenzao wao hawawezi kujenga hata kibanda cha udongo. Wataishia kulala seating roon wasubirì watu waingoe kulala chumbani ndio wao watandike ukumbini kwenye sofa walale. Msiwe negative kwenye maendeleo ya wengine
Ishallah ,Asante 🙏🏻🙏🏻 boss #Mwanaisha Abubakar
Nyumba nzuri sana
Asante boss
Bado ipo?
Nyumba nzuri. Ila, Rooms zingine hazina makabati.
Sawa boo
Nyumba mashaalla
Asante boss
Mashallah 🔥❤️
Asante boss
Wageni kutoka Marekani wanaweza kununua nyumba?
Ndio una nunua kwa kufata vigezo na masharty wengi nimesha wauzia
Shida mapepo ndio shida kubwa heri nijenge yangu kuliko ningie kwa bala maana maagano shida
Kwani ww mapepo urisha tolewa
Naamnini ukiumwa na Hilo nikweli kwamba nyumba kuna kitu imejificha
Bado ipo nyumba hii?
Aiaeeee hii yenyewe kabisa ❤❤❤
Ndio boss sema tayar nimesha uza tayar boss
Dah mzur
Sana boss
Alafu bei rahis sn
nyumba fupi Sana, halafu tiles ndiyo Tena zile za low quality, kiwanja kidogo no sehemu hata ya garden ndogo tu thamani hiyo 150 Haifananii hata
Eti benk kuu
Benk ku boss siwajuwa mavi twaya penda nirazima yahifaziwe pazuri ndomana ya benk kuu
Mtaa mzuri sanaa
Sawa boss asante
Mbona bei rahis ivyo. Alafu ninkigamboni
Kwa dolla shillingi gapi tafathali
Piga esabu hapo una pata kiasi gan
Kuzuri bado opo
Hapana boss nimesha iyuza tayar
Parking ndio shida hapo
Gari 3 unapak bro hapo hakuna tatzo parkn
Nmeikubal raman hiyo naweza pata
Mtaa mtamu sana
Je bado ipo?
Nimesha uza tayar
Nitumie namba yako dalal
@@azzaalmaamry5817 0787966296
0713966296
Je ishauzwa au bado ili nimtume mtu wangu aje kuiona live
Imesha uzwa tayar boss
Je munauza kwa mtu hasie mtanzania mm ni mkenya
Ndio vigezo na masharty huzingatiwa
Hizi jenga uza
JENGA NA WW UZE JENGA TUONE YAKO HAPO ULIPO MAISHA YAKO KWA SHEMEJI YAKO DADA AKO AKITWANGWA TALAKA NA WEWE HUNA PA KULALA, UME JILEGEZATU HAPO JENGA UZA ???
Majirani nao wakovizuri
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huko nasikia kuna majambazi , rafiki yangu keshashambuliwa mara 3 mbali na huo ulinzi ulioutaja
Acha ujinga ndugu waeza nambia wap pasipo kuwa na uharifu hapa tz
Kuharibu Biashara za watu tu 😮😮😮
Vyumba vdgo vdgo sna
Kwani wewe unapolala unaenea chumba kizima? Sio vidogo hivyo vipi poa mbona
Mnafiki huyo hana jipya
Ukiwa mshirikina ndio mawazo yako ndio hayo tu kuharibia wenzio. Watu wanatafuta rizki zao kwa mikono yao wewe unaanza kuwaharibiwi watu kama nyie hamtatoboa maishani mwenu maana akili zenu zipo kwenye ushirikina na kuharibia waliokutangulieni kwa maendeleo.
Mungu akubarki boss
Nanyumba nizuri jamani
Bado ipo?
Hapana