ONA RAIS MAGUFULI AKIONDOKA NA GARI YAKE BINAFSI BAADA YA KUCHUKUA FOMU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 มิ.ย. 2020
  • ONA RAIS MAGUFULI AKIONDOKA NA GARI YAKE BINAFSI BAADA YA KUCHUKUA FOMU
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

ความคิดเห็น • 209

  • @hermetipasianimaswe8857
    @hermetipasianimaswe8857 4 ปีที่แล้ว +15

    Safi sana Rais wetu.tunakupenda, Mwenyezi Mungu azidi kukulinda na akupe afya njema.Amina.

  • @ismailahmed5133
    @ismailahmed5133 4 ปีที่แล้ว +16

    Duh,,,iloo garii laiti kama wananchii wangejua Kama JPM yumo ndani bhaac vibe lingeanzaa maanaa watu TUNAMPENDA SANAAA HUYU JAMAA,,,,UNCLE MAGU,,,JUU,,😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍 NO ONE LIKE YOU,

  • @salimhussein839
    @salimhussein839 4 ปีที่แล้ว +8

    Hio fomu ya miaka 5 au 20 maana 5 mimi naona kidogo sana kwa hili jembe . Huyu sio RAIS huyu ni KIONGOZI maana maraisi wamepita wengi TZ ila kiongozi ndio kapatikana sasa . You are the best MAGU and the most we love you sana

  • @hamoudsalum9628
    @hamoudsalum9628 4 ปีที่แล้ว +40

    Wa Tanzania tumshukuru Mungu kwa kutupatia rais magufuli
    Nchi yetu anaipeleka pazuri zaid
    Sifa zake zinazidi kupaa nje ya nchi
    Tumuombee mungu ampatie afya

    • @TheOne-fi6cs
      @TheOne-fi6cs 4 ปีที่แล้ว +2

      Amina

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 4 ปีที่แล้ว

      kwa kweli Mungu wa mbinguni apewe sifa sana..Ashukuriwe kuliko maelezo yetu jmni. Eh Mungu tunakuomba sana Mungu wetu Ushukuriwe..Tunakuomba sana Uchukuwe shukurani zetu Watanzania. walikuomba kwa kilio sana kuhusu nchi yetu kupata mtu ataekuwa na moyo na nchi yetu kama vile ni mwanae..Mungu Hukusita ukasikia kilio cha waja wako na sio vile sie watanzania ni watu wema sana lahasha ni kwa sababu umejaa huruma an upendo mwingi mno. ni kwavile wewe Mungu ni mwema na mzuri. Asante sana Mungu wetu. Utukuzwe milele na milele

    • @amosmwambene9926
      @amosmwambene9926 4 ปีที่แล้ว +1

      Haswa Mr

    • @jamalmalik4186
      @jamalmalik4186 4 ปีที่แล้ว

      After

    • @gomatzchannelgoma4803
      @gomatzchannelgoma4803 4 ปีที่แล้ว

      Acheni zenu

  • @godfreyjames6792
    @godfreyjames6792 4 ปีที่แล้ว +39

    Dhania hana ulinzi afu ujichanganye ndo utaelewa maharagwe ni mboga 🤣

  • @willamkimazya3384
    @willamkimazya3384 4 ปีที่แล้ว +19

    Aliyeona Trafic anashangaa twende sawa

    • @jumaburhan4691
      @jumaburhan4691 4 ปีที่แล้ว +2

      Wana maelekezo hao ndio maana mkata umeme mmoja alishuka akawa anaongoza magar

  • @alanami2846
    @alanami2846 4 ปีที่แล้ว +17

    Mimi ni mzanibar tz ni nchi yetu moja nnachosema uyu mzee atawale milele tz, kwanini na huku zenji hatupati mbaba mwema kama huyu, huyu zaidi ya raisi.

    • @jayjay4313
      @jayjay4313 4 ปีที่แล้ว

      Ungesema mimi Mtanzania wa Zanzibari. Tusijigawe saaaana. Pamoja tu.

    • @alanami2846
      @alanami2846 4 ปีที่แล้ว +1

      @@jayjay4313 sawa ndugu nimekuelewa kama ninavyo muelewa raisi magufuli,, sikia iyo sasa mimi ni mtanzania

    • @gracesakila4395
      @gracesakila4395 4 ปีที่แล้ว

      Kwani huyu si anatawala mpaka huko 'huyo mnayemwita raisi huko kwenu ni sawa na mkuu wa mkoa tu

    • @sankofaman4112
      @sankofaman4112 4 ปีที่แล้ว

      Anakuja Hussein Ali Hassan mwinyi baada ya magufuli, kwa mtazamo wangu. Legacy ya nyerere. Sijui kama mutamchagua rais wa zanzibar mwaka huu? Much love from Kenya.

    • @jayjay4313
      @jayjay4313 4 ปีที่แล้ว

      @@alanami2846 Hapo sasa kiume zaidi. Si unakumbuka Mzee wetu mwinyi, mpaka leo kama mpya tu. Watanzania bara na visiwani maraisi wetu wapo pamoja hata kama hatuoni. Ila round ya pili natumaini JPM atafanya mambonmpaka visiwani. Muda ulikuwa mfupi sana na mambo nimengi. Msife moyo watanzania wa Zenji. Pamoja sana na bendera yetu sore nimoja tu ya pili ya chama.

  • @OmanOman-hr6cb
    @OmanOman-hr6cb 4 ปีที่แล้ว +16

    Hako kanyimbo 💪👌

  • @dianaanyova4026
    @dianaanyova4026 4 ปีที่แล้ว +4

    Rais wa Tanzania,njoo huhu kwetu Kenya,,,,, Nakupenda bure.Kiongozi wa wanyonge...

  • @gracejohn886
    @gracejohn886 4 ปีที่แล้ว +10

    Ungetawala miaka 40 ingependeza naona km miaka inaenda haraka 😭😭😭😭

    • @gomatzchannelgoma4803
      @gomatzchannelgoma4803 4 ปีที่แล้ว

      Wewe pimbi kweli hiyo katiba ya miaka 40 umeitunga wewe na mumeo?

  • @kabaranamaganga6646
    @kabaranamaganga6646 4 ปีที่แล้ว +4

    Tunashukuru Mwenyez Mungu kutupatia Rais Makini Mh JPM hakika yeye ni mfano wa kuigwa na kujivunia

  • @mdzainb3722
    @mdzainb3722 4 ปีที่แล้ว +7

    Mungu amjaalie afya

  • @temekembezi5869
    @temekembezi5869 4 ปีที่แล้ว +11

    Wee tena asaivi ndo analindwa balaaa .wee ona kama yuko peke ake

  • @susanlazaro8323
    @susanlazaro8323 4 ปีที่แล้ว +4

    Nampenda Rais Wangu Joseph John Pombe Magufuli 👑 👑 👑

  • @eliswed7812
    @eliswed7812 4 ปีที่แล้ว +3

    God bless our president we are proud of u Father

  • @abushaddad989
    @abushaddad989 4 ปีที่แล้ว +4

    Umetuondolea aibu nchi safiii Kama pamba

  • @brianjulius781
    @brianjulius781 4 ปีที่แล้ว +5

    Mungu akupigania

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown1101 4 ปีที่แล้ว +3

    Safi Sana JPM baba.. uliebadilisha mchanga kuwa dhahabu..., Ni mwendo wa kibabe T 694 DKX full tinted hadi raha...ikulu inawenyewe waliopewa na MUNGU mbele kweupeee kazi uliyoifanya imeonekana baba, hakuna nyumbu yoyote wakukwamisha maendeleo ya bongo hata Kama mashetani yamelipoti kuzimu (Ulaya) alieupande wetu Ni mkubwa MUNGU yuko pamoja nasi, Tuko nyuma yako baba

  • @mirajimam9684
    @mirajimam9684 4 ปีที่แล้ว +3

    Haki nimeshindwa kuelewa kabisa msafara wake+na hiyo folen,,,, viva magufuli Mungu akupe nguvu zaid

  • @rosemarymaduma2365
    @rosemarymaduma2365 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante Baba Mungu kwa kiongozi huyu....aendelee tenaa

  • @robertkagudu9937
    @robertkagudu9937 4 ปีที่แล้ว +4

    Safi sana Mzee wetu mungu akubariki sana

  • @lidyamathayo8343
    @lidyamathayo8343 4 ปีที่แล้ว +5

    Gusa unate,huo ni Moto haulambwi kwa ulimi

  • @aminaabdallah5556
    @aminaabdallah5556 4 ปีที่แล้ว +8

    Hongera magufuli

  • @sincerejoy8209
    @sincerejoy8209 4 ปีที่แล้ว +3

    NAJA NA KUPIGA KURA TZ HAIJALISHI HATA KAMA MM NI WA 254🇰🇪 na sitaki mwaswali eti oh kura unampa nani hiyo ni siri but bora KWANGU YEYE ANGALI ANATAWALA. +966

  • @damasgodfrey3167
    @damasgodfrey3167 4 ปีที่แล้ว +4

    Dah magu nimekuelewa htr

  • @ziadasadiki8196
    @ziadasadiki8196 4 ปีที่แล้ว

    MUNGU MBARIKI Mwee Rais wetu kipenzi Utulindie Mpendwa wetu Mzalendo wa kweli wa NCHI yetu TANZANIA 👏🙏❤

  • @fatmashafi6355
    @fatmashafi6355 4 ปีที่แล้ว +3

    Kwa uwezo wa mungu inshaallah utapata tena🙋‍♂️

    • @shabankumalija1929
      @shabankumalija1929 4 ปีที่แล้ว

      Mwenyezi mungu yuko pamoja nawe hivyo bado anahitaji kukutuma kazi zingine. Ni wewe tu uliyetimiza umri wa kuweza kuyafikia mambo anayoyataka mola wako.

  • @tanzanian8847
    @tanzanian8847 4 ปีที่แล้ว

    Ukweli nikwamba watu tunampenda JPM. Lakini litakua swala la kusikitisha kama tutaishia tu kumsifia bila kwenda kumpigia kura hiyo October. Niombe watu twende tukampigie kura huyu rais wetu jamani, tusiongee tu. Yaani apate kura mpaka dunia isimame.

  • @Megabrother987
    @Megabrother987 4 ปีที่แล้ว +3

    Respect JPM

  • @evaristmrope
    @evaristmrope 4 ปีที่แล้ว

    Nimejikuta natabasamu tu hongera sana mheshimiwa Rais wewe ni wakipekee sana pongezi kwako

  • @athumaniomari2833
    @athumaniomari2833 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana mwenyezi MUNGU mkuu

  • @abdallahhamza9689
    @abdallahhamza9689 4 ปีที่แล้ว

    Dereva kwenye zebra anaosha tu tz kila Dereva bado hazingatii sheria

  • @magrethmvungi2516
    @magrethmvungi2516 4 ปีที่แล้ว +1

    Rais msaidie itolewe ndan ya mto wami ni mwananch wako hiyo atashukur sana

  • @victormhagama8004
    @victormhagama8004 4 ปีที่แล้ว

    Mungu akutangulie Mheshimiwa Rais kwa kweli tunaenda kuandika historia tena

  • @tanzaniakwanza9564
    @tanzaniakwanza9564 4 ปีที่แล้ว

    Dah! Kwa mara ya kwanza naona rais wa nchi anasubiri foleni, ninacho mkubali JPM hanaga mbwembwe huyu baba, Mungu ampe afya na maisha marefu kwa kweli wapinzani wamekaa kaaa 😃😃👏👏🇹🇿🇹🇿🖐🖑👍

  • @Nelly93tz
    @Nelly93tz 4 ปีที่แล้ว

    Nakupenda sana j.p.m

  • @habarimwendokasi2358
    @habarimwendokasi2358 4 ปีที่แล้ว

    Najiuliza hapo walipotanua kulia halafu trafic akawasimamisha sijui ingekuwaje

  • @douglaskabete882
    @douglaskabete882 3 ปีที่แล้ว

    Tumeliona Hilo Gari jamani.Watanzania acheni kujionyesha

  • @khamissalum9285
    @khamissalum9285 4 ปีที่แล้ว +1

    Makufuli mm nakupenda ila tunaomba uchaguzi uwe wahuru tu tugommbezanzibar yetu tumechokakutwaliwa

  • @henryndosi1114
    @henryndosi1114 4 ปีที่แล้ว +1

    MAGUFULI BABA LAO kwa maendeleo ya Watanzania 🇹🇿

    • @gomatzchannelgoma4803
      @gomatzchannelgoma4803 4 ปีที่แล้ว

      Acha ujinga maendeleo yapi?wakati kuna watu wanalala na njaa

  • @aviwaomar439
    @aviwaomar439 4 ปีที่แล้ว

    Duh huyu jamaaa nomaaaaaaa duh cjui nani atakaweza kufuata nyayo zakeee kuangalia maslahi kwanzaaaaaa ubinafs badae🤔🤔🤔🤔😔

  • @martinhinda5233
    @martinhinda5233 4 ปีที่แล้ว +1

    Mzee hakuhitaji hata msafara na ving'ora

  • @JoooJoo-sh9xy
    @JoooJoo-sh9xy 4 ปีที่แล้ว +7

    Wakuu wapo nyuma hapo

  • @anithasanga6285
    @anithasanga6285 4 ปีที่แล้ว +1

    Yupo peke yake mungu mjalie magu

  • @sanchezmmary8986
    @sanchezmmary8986 4 ปีที่แล้ว +3

    We jidanganye halindwi now yani pengine ata hizo haice za abiria ukute ni maafisa wa usalama wapo huko kama abiria na hiyo bodaboda unayoiona pengine sio bodaboda ni usalama serekali sio ya mchezo mchezo!

    • @mumyhendry2919
      @mumyhendry2919 4 ปีที่แล้ว +1

      🤣🤣🤣🤣my friend utajua hujui

    • @luqmanalmas2166
      @luqmanalmas2166 4 ปีที่แล้ว +1

      Yaan hapo kwanzia ofisi za chama mpaka anapofikia kote wamejaa kama sisiminzi mzee wako tayar kwa lolote full equipped...,... Huyo traffic sijui daladala hizo vijiwe vya kahawa vyote kila kona
      Maana ameenda kwa ajilibya chama tu ndo maana msafara hajachukua ila ndo wamejipanga kwa aina nyingine

    • @mathiasmsese6128
      @mathiasmsese6128 4 ปีที่แล้ว

      problem yetu waganga wa kienyeji wengi yaani kila mtu anajua kitu

  • @clementmwaitebele7687
    @clementmwaitebele7687 4 ปีที่แล้ว

    Hapana hii sio sawa kabisa . .Huyu bado ni Rais wa Jamhuri ya Tz..sio hiari kumlinda ni Lazima alindwe kwa wakati wote Jamani

  • @barakachacha6434
    @barakachacha6434 4 ปีที่แล้ว +2

    Sem hii Dodoma inabadilik aiseee💥

  • @veronicashema4600
    @veronicashema4600 4 ปีที่แล้ว +1

    Yani natama ikewezekana tukuogezee miaka 10 tena baba

  • @dintazdintaz7311
    @dintazdintaz7311 4 ปีที่แล้ว +4

    Ndo maana inabd tufanye kaz tununue magar na sio vyombo vya usafiri

  • @aishasmoni5881
    @aishasmoni5881 4 ปีที่แล้ว +2

    Masha Allah

  • @theresiamuzenga3625
    @theresiamuzenga3625 4 ปีที่แล้ว +3

    Viva baba ......JPM😍

  • @amosmwambene9926
    @amosmwambene9926 4 ปีที่แล้ว

    Mungu amulinde maana katumwa na mwenyezi Mungu

  • @sharifunyengedi6322
    @sharifunyengedi6322 4 ปีที่แล้ว

    Watanzania hakuna zawadi au fadhila tunayoweza kukulipA Zaidi Ya Kukuongezea Muda Tu Wa Kukaa Madarakani. Mungu atusaidie tulifanikishe hili

  • @mosesmussa3669
    @mosesmussa3669 4 ปีที่แล้ว +3

    Viva Magufuli

  • @weshibmabula9430
    @weshibmabula9430 4 ปีที่แล้ว

    Nimeipenda sana hiyo raisi mungu azidi kuuinda 🙏

  • @christapapollo5737
    @christapapollo5737 4 ปีที่แล้ว

    Mh,watanzania tunamkosea Mungu nimesoma komenti karibia nyingi nikagundua hatusomi maneno ya Mungu na Mungu aturehemu,siku moja kila mmoja aliyekoment hapa bila hofu ya Mungu atanikumbuka.

  • @jumakillo3280
    @jumakillo3280 4 ปีที่แล้ว

    Nimeipenda sana hii viva Tanzania viva mh,magufuri

  • @mwilemwasenga7066
    @mwilemwasenga7066 4 ปีที่แล้ว +1

    NANI KAREKODI HII CLIP?

    • @newmediatv4000
      @newmediatv4000 4 ปีที่แล้ว

      Kurugenzi ya mawasiliano ikulu kuna gari lipo kwa nyuma

  • @masterdaudi1377
    @masterdaudi1377 4 ปีที่แล้ว

    Naskia wapinzani wamejipanga kumshusha wataweza kweli

  • @matildamkombachepa4320
    @matildamkombachepa4320 4 ปีที่แล้ว +1

    Wimbo huu bomba kuliko zote mana unacheza kiukakamavu, yaani hai hai kama askari vile

  • @beatricenicholausiwasa7601
    @beatricenicholausiwasa7601 4 ปีที่แล้ว +2

    Wimbo mzuri

  • @annastaziajohn9930
    @annastaziajohn9930 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu mbariki huyu mtu

  • @TheOne-fi6cs
    @TheOne-fi6cs 4 ปีที่แล้ว +4

    Jembeeeeeee

  • @fatumahamis9206
    @fatumahamis9206 4 ปีที่แล้ว

    Magufuli nakupenda mpaka sana wewe unamtegemea mungu mpka raha

  • @jumamohamed8583
    @jumamohamed8583 4 ปีที่แล้ว

    Magufuli Umejua Kutufurahisha Wa Tz Wengi Tu Chapa Kazi Sisi Tuko Pamoja Na Ww Bega Kwa Bega Tanzania Ya Sasa Imesonga Mbele

  • @alesnema9596
    @alesnema9596 4 ปีที่แล้ว +1

    Haaa hawajui Kama Ni raisi anapita

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 4 ปีที่แล้ว +2

    Magufuli Oyeeeeeeeee💪💪

    • @halimangaroka8351
      @halimangaroka8351 4 ปีที่แล้ว

      Tatizo moja tu kwa uyu baba kuwa MSUKUMA tu angekua MZARAMO ingekua poa sana

  • @shangwejastas3372
    @shangwejastas3372 4 ปีที่แล้ว

    Mungu akutunze rais wetu

  • @pendomwenda6190
    @pendomwenda6190 4 ปีที่แล้ว

    Ni kweli rais wetu umefanya mambo mengi mazuri ila awa was chini yako sio wema kabisa

  • @rehemaissa358
    @rehemaissa358 4 ปีที่แล้ว

    Unaweza kuta usalama wa taifa wengine ndio hao kwenye bike na wengine wako kwenye hizo daladala haahha

  • @salhakyande3905
    @salhakyande3905 4 ปีที่แล้ว +1

    Hongera

  • @sideboy3164
    @sideboy3164 4 ปีที่แล้ว

    Mungu mbariki Magufuli .

  • @wangwemseti7592
    @wangwemseti7592 4 ปีที่แล้ว

    Magufuli unadhamila ya dhati ya kuipeleka nchi mbele tatizo wanao kukwamisha ni wateule wako sio wote badhi yao wameshindwa kuwalinda Wana nchi ili kila mtanzania apate kunufaika na rasilimali za nchi wamegeuka kuwadhulumu na kuwabambika kesi za uhujumu uchumi hasa kwa wale walioko maeneo yanapochimbwa madini ya dhahabu police wametufanya miladi

  • @ibrahimrukundo3064
    @ibrahimrukundo3064 4 ปีที่แล้ว +4

    ✋️😊😊😊👏👏👍

  • @monicaemmanuel8459
    @monicaemmanuel8459 4 ปีที่แล้ว

    Saaaafi wala hkn noma ... Gud saba

  • @khadijahseif420
    @khadijahseif420 4 ปีที่แล้ว

    Hongera sana rais wangu tunakupenda

  • @edwingwesso6818
    @edwingwesso6818 4 ปีที่แล้ว +4

    Kwahyo saiv halindwi kama zaman?

    • @wazirikachume9030
      @wazirikachume9030 4 ปีที่แล้ว +2

      Ww auna mpizani,tz tunakuombea kwa mungu kila lisaa

    • @sharifumkambala5655
      @sharifumkambala5655 4 ปีที่แล้ว

      em kajaribu kumvamia tuprove kama halindwi

    • @ayubuakim783
      @ayubuakim783 4 ปีที่แล้ว

      Ulinzi ni Kama kawaida huyo ni rais mpaka either akabizi kwa mwingine ndo ulinzi unapungua ,hapo alikuwa anakwenda kuchukua fomu ndo mana hakutaka shobo Sana amepiga mishe ya kimyakimya

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba2981 4 ปีที่แล้ว

    Najua mhula huu atachukuwa bila kipingamizi, ila mhula huubukiisha 2025 tukamchulie sisi bado tunamwihitaji Sana Sana san

  • @espoirmbilizi5113
    @espoirmbilizi5113 4 ปีที่แล้ว

    Thanks president magufuli likini drive wako anatebeza garivibaya

  • @ashajuma438
    @ashajuma438 4 ปีที่แล้ว

    Kila la khery baba Magu

  • @philipomathew300
    @philipomathew300 4 ปีที่แล้ว +3

    WW NI JEMBE C TUNAKUOMBEA HERI KWA MUNGU UTUONGOZE TENA MUNGU AKUPE AFYA.

  • @robertbenard7153
    @robertbenard7153 4 ปีที่แล้ว

    Hahahahah raha sana,utadhani yupo yeye na dreva tu,jichanganye sasa ndo utajua kwann bata hata akila kokoto lazima aharishe,Mungu akujalie uzima president wangu,itabidi tuandamane utawale miaka 30,hatuhitaji mwingine,wewe tu unatosha baba!viva magufuli,wewe subiri kuapishwa tuuuuu

  • @alphamigoli6967
    @alphamigoli6967 4 ปีที่แล้ว +4

    Weee!!! Kwangua hiyo gari ndio uone yupo pekee yake au na walinzi wake!!!!

  • @mpigujimpiguji6942
    @mpigujimpiguji6942 4 ปีที่แล้ว

    Najivunia kuwa TZ na my prezdaJPM

  • @mathewbundu235
    @mathewbundu235 4 ปีที่แล้ว

    Longlive my presida

  • @magrethmvungi2516
    @magrethmvungi2516 4 ปีที่แล้ว

    Magu rais wa wanyonge, rais mwenyewe huruma, muonee huruma yule mama gari yake iliotumbukia wami hii nch niya kwako MPE msaada baba.

  • @pastoryjoseph7540
    @pastoryjoseph7540 4 ปีที่แล้ว

    Huyundie Rais wapekee mchamungu hayupomwingine Labuda kudanganyanatu

  • @athanaswilliam6940
    @athanaswilliam6940 4 ปีที่แล้ว +1

    Rais

  • @frankmbawala3115
    @frankmbawala3115 4 ปีที่แล้ว

    Hayupo umo sio kawaida still przda

  • @zozohmeed5546
    @zozohmeed5546 4 ปีที่แล้ว +1

    Hai mama hai mama

  • @zakariaandrew6976
    @zakariaandrew6976 4 ปีที่แล้ว

    Ulinzi upo nyie hamja muona mtu akimbia hpo mbelee anatngulia. Ahsanteeeeee baba JPM

  • @brightonkimetelo6862
    @brightonkimetelo6862 4 ปีที่แล้ว

    Najua CIA awako mbali ilo aliwezekani😅😁😁😁😁CIA Sha Wana apo😁😃

  • @athanaswilliam6940
    @athanaswilliam6940 4 ปีที่แล้ว

    Nadhani wengine hatuna elimi ya katiba... Inamaana kwa Sasa sio raid?

    • @habibmohamed4766
      @habibmohamed4766 4 ปีที่แล้ว

      Bado ni raisi wa nchi,yeye na mawaziri wake madaraka yako mpaka siku wanachaguliwa mawaziri wengine na raisi mwingine.

  • @allysimba4212
    @allysimba4212 4 ปีที่แล้ว

    Safi

  • @kongajoe310
    @kongajoe310 4 ปีที่แล้ว

    Magufuli juu

  • @togethers1997
    @togethers1997 4 ปีที่แล้ว

    Sisi kama machinga wote nchi nzima tupo nawewe mpk kieleweke tumeteswa sana weww ndo mkombozi wetu jamen labda nikuimbiye kawimbo haka wataweza kweli aawapi kushindana nawewe? Aawapi atawakiunganaa matsikutukan tunawanyosha mapem

  • @thebantuboi5524
    @thebantuboi5524 4 ปีที่แล้ว

    Mbona akukaa kwenye foleni

  • @bihujahamza2101
    @bihujahamza2101 4 ปีที่แล้ว

    Magufuli ndo mwamba usiotikisika, leo ameenda na gari moja tu kuchukua fomu, amenikumbusha 2015 alienda peke yake kwa miguu kwenda kuchukua fomu ya urais.Huyu ndiye Magufuli mchapa kazi.

  • @yvonnemashuda3004
    @yvonnemashuda3004 4 ปีที่แล้ว +1

    Hiki chumaaa bwanaaa

  • @gracesakila4395
    @gracesakila4395 4 ปีที่แล้ว

    Mwingine athubutu ukisogelea hiyo fomu cha moto akione