ONA RAIS MAGUFULI AKIONDOKA NA GARI YAKE BINAFSI BAADA YA KUCHUKUA FOMU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 มิ.ย. 2020
- ONA RAIS MAGUFULI AKIONDOKA NA GARI YAKE BINAFSI BAADA YA KUCHUKUA FOMU
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Safi sana Rais wetu.tunakupenda, Mwenyezi Mungu azidi kukulinda na akupe afya njema.Amina.
Duh,,,iloo garii laiti kama wananchii wangejua Kama JPM yumo ndani bhaac vibe lingeanzaa maanaa watu TUNAMPENDA SANAAA HUYU JAMAA,,,,UNCLE MAGU,,,JUU,,😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍 NO ONE LIKE YOU,
Mpende Mungu wako wewe
@@gomatzchannelgoma4803 kwani nimeandikaje
Hio fomu ya miaka 5 au 20 maana 5 mimi naona kidogo sana kwa hili jembe . Huyu sio RAIS huyu ni KIONGOZI maana maraisi wamepita wengi TZ ila kiongozi ndio kapatikana sasa . You are the best MAGU and the most we love you sana
Wa Tanzania tumshukuru Mungu kwa kutupatia rais magufuli
Nchi yetu anaipeleka pazuri zaid
Sifa zake zinazidi kupaa nje ya nchi
Tumuombee mungu ampatie afya
Amina
kwa kweli Mungu wa mbinguni apewe sifa sana..Ashukuriwe kuliko maelezo yetu jmni. Eh Mungu tunakuomba sana Mungu wetu Ushukuriwe..Tunakuomba sana Uchukuwe shukurani zetu Watanzania. walikuomba kwa kilio sana kuhusu nchi yetu kupata mtu ataekuwa na moyo na nchi yetu kama vile ni mwanae..Mungu Hukusita ukasikia kilio cha waja wako na sio vile sie watanzania ni watu wema sana lahasha ni kwa sababu umejaa huruma an upendo mwingi mno. ni kwavile wewe Mungu ni mwema na mzuri. Asante sana Mungu wetu. Utukuzwe milele na milele
Haswa Mr
After
Acheni zenu
Dhania hana ulinzi afu ujichanganye ndo utaelewa maharagwe ni mboga 🤣
Godfrey James 😅😅
@@advocatekarama4917 hahaaa
😉😂😂😂😂😂😂
😃😃😃😃
@Godfrey James 🤣🤣🤣🤣🤣
Aliyeona Trafic anashangaa twende sawa
Wana maelekezo hao ndio maana mkata umeme mmoja alishuka akawa anaongoza magar
Mimi ni mzanibar tz ni nchi yetu moja nnachosema uyu mzee atawale milele tz, kwanini na huku zenji hatupati mbaba mwema kama huyu, huyu zaidi ya raisi.
Ungesema mimi Mtanzania wa Zanzibari. Tusijigawe saaaana. Pamoja tu.
@@jayjay4313 sawa ndugu nimekuelewa kama ninavyo muelewa raisi magufuli,, sikia iyo sasa mimi ni mtanzania
Kwani huyu si anatawala mpaka huko 'huyo mnayemwita raisi huko kwenu ni sawa na mkuu wa mkoa tu
Anakuja Hussein Ali Hassan mwinyi baada ya magufuli, kwa mtazamo wangu. Legacy ya nyerere. Sijui kama mutamchagua rais wa zanzibar mwaka huu? Much love from Kenya.
@@alanami2846 Hapo sasa kiume zaidi. Si unakumbuka Mzee wetu mwinyi, mpaka leo kama mpya tu. Watanzania bara na visiwani maraisi wetu wapo pamoja hata kama hatuoni. Ila round ya pili natumaini JPM atafanya mambonmpaka visiwani. Muda ulikuwa mfupi sana na mambo nimengi. Msife moyo watanzania wa Zenji. Pamoja sana na bendera yetu sore nimoja tu ya pili ya chama.
Hako kanyimbo 💪👌
Rais wa Tanzania,njoo huhu kwetu Kenya,,,,, Nakupenda bure.Kiongozi wa wanyonge...
Ungetawala miaka 40 ingependeza naona km miaka inaenda haraka 😭😭😭😭
Wewe pimbi kweli hiyo katiba ya miaka 40 umeitunga wewe na mumeo?
Tunashukuru Mwenyez Mungu kutupatia Rais Makini Mh JPM hakika yeye ni mfano wa kuigwa na kujivunia
Mungu amjaalie afya
Wee tena asaivi ndo analindwa balaaa .wee ona kama yuko peke ake
Nampenda Rais Wangu Joseph John Pombe Magufuli 👑 👑 👑
God bless our president we are proud of u Father
Umetuondolea aibu nchi safiii Kama pamba
Mungu akupigania
Safi Sana JPM baba.. uliebadilisha mchanga kuwa dhahabu..., Ni mwendo wa kibabe T 694 DKX full tinted hadi raha...ikulu inawenyewe waliopewa na MUNGU mbele kweupeee kazi uliyoifanya imeonekana baba, hakuna nyumbu yoyote wakukwamisha maendeleo ya bongo hata Kama mashetani yamelipoti kuzimu (Ulaya) alieupande wetu Ni mkubwa MUNGU yuko pamoja nasi, Tuko nyuma yako baba
Haki nimeshindwa kuelewa kabisa msafara wake+na hiyo folen,,,, viva magufuli Mungu akupe nguvu zaid
Asante Baba Mungu kwa kiongozi huyu....aendelee tenaa
Safi sana Mzee wetu mungu akubariki sana
Gusa unate,huo ni Moto haulambwi kwa ulimi
Hongera magufuli
NAJA NA KUPIGA KURA TZ HAIJALISHI HATA KAMA MM NI WA 254🇰🇪 na sitaki mwaswali eti oh kura unampa nani hiyo ni siri but bora KWANGU YEYE ANGALI ANATAWALA. +966
Hakuna siri ni Magu tuuu
Karibu jirani
Dah magu nimekuelewa htr
MUNGU MBARIKI Mwee Rais wetu kipenzi Utulindie Mpendwa wetu Mzalendo wa kweli wa NCHI yetu TANZANIA 👏🙏❤
Kwa uwezo wa mungu inshaallah utapata tena🙋♂️
Mwenyezi mungu yuko pamoja nawe hivyo bado anahitaji kukutuma kazi zingine. Ni wewe tu uliyetimiza umri wa kuweza kuyafikia mambo anayoyataka mola wako.
Ukweli nikwamba watu tunampenda JPM. Lakini litakua swala la kusikitisha kama tutaishia tu kumsifia bila kwenda kumpigia kura hiyo October. Niombe watu twende tukampigie kura huyu rais wetu jamani, tusiongee tu. Yaani apate kura mpaka dunia isimame.
Respect JPM
Nimejikuta natabasamu tu hongera sana mheshimiwa Rais wewe ni wakipekee sana pongezi kwako
Asante sana mwenyezi MUNGU mkuu
Dereva kwenye zebra anaosha tu tz kila Dereva bado hazingatii sheria
Rais msaidie itolewe ndan ya mto wami ni mwananch wako hiyo atashukur sana
Mungu akutangulie Mheshimiwa Rais kwa kweli tunaenda kuandika historia tena
Dah! Kwa mara ya kwanza naona rais wa nchi anasubiri foleni, ninacho mkubali JPM hanaga mbwembwe huyu baba, Mungu ampe afya na maisha marefu kwa kweli wapinzani wamekaa kaaa 😃😃👏👏🇹🇿🇹🇿🖐🖑👍
Nakupenda sana j.p.m
Najiuliza hapo walipotanua kulia halafu trafic akawasimamisha sijui ingekuwaje
Tumeliona Hilo Gari jamani.Watanzania acheni kujionyesha
Makufuli mm nakupenda ila tunaomba uchaguzi uwe wahuru tu tugommbezanzibar yetu tumechokakutwaliwa
MAGUFULI BABA LAO kwa maendeleo ya Watanzania 🇹🇿
Acha ujinga maendeleo yapi?wakati kuna watu wanalala na njaa
Duh huyu jamaaa nomaaaaaaa duh cjui nani atakaweza kufuata nyayo zakeee kuangalia maslahi kwanzaaaaaa ubinafs badae🤔🤔🤔🤔😔
Mzee hakuhitaji hata msafara na ving'ora
Wakuu wapo nyuma hapo
Yupo peke yake mungu mjalie magu
We jidanganye halindwi now yani pengine ata hizo haice za abiria ukute ni maafisa wa usalama wapo huko kama abiria na hiyo bodaboda unayoiona pengine sio bodaboda ni usalama serekali sio ya mchezo mchezo!
🤣🤣🤣🤣my friend utajua hujui
Yaan hapo kwanzia ofisi za chama mpaka anapofikia kote wamejaa kama sisiminzi mzee wako tayar kwa lolote full equipped...,... Huyo traffic sijui daladala hizo vijiwe vya kahawa vyote kila kona
Maana ameenda kwa ajilibya chama tu ndo maana msafara hajachukua ila ndo wamejipanga kwa aina nyingine
problem yetu waganga wa kienyeji wengi yaani kila mtu anajua kitu
Hapana hii sio sawa kabisa . .Huyu bado ni Rais wa Jamhuri ya Tz..sio hiari kumlinda ni Lazima alindwe kwa wakati wote Jamani
Sem hii Dodoma inabadilik aiseee💥
Yani natama ikewezekana tukuogezee miaka 10 tena baba
Ndo maana inabd tufanye kaz tununue magar na sio vyombo vya usafiri
🙌🙌😂🤣😂
Hahahahahhahaaaaaa
Masha Allah
Viva baba ......JPM😍
Mungu amulinde maana katumwa na mwenyezi Mungu
Watanzania hakuna zawadi au fadhila tunayoweza kukulipA Zaidi Ya Kukuongezea Muda Tu Wa Kukaa Madarakani. Mungu atusaidie tulifanikishe hili
Viva Magufuli
Nimeipenda sana hiyo raisi mungu azidi kuuinda 🙏
Mh,watanzania tunamkosea Mungu nimesoma komenti karibia nyingi nikagundua hatusomi maneno ya Mungu na Mungu aturehemu,siku moja kila mmoja aliyekoment hapa bila hofu ya Mungu atanikumbuka.
Nimeipenda sana hii viva Tanzania viva mh,magufuri
NANI KAREKODI HII CLIP?
Kurugenzi ya mawasiliano ikulu kuna gari lipo kwa nyuma
Naskia wapinzani wamejipanga kumshusha wataweza kweli
Wimbo huu bomba kuliko zote mana unacheza kiukakamavu, yaani hai hai kama askari vile
Amini yani imetulia
Wimbo mzuri
Mungu mbariki huyu mtu
Jembeeeeeee
Magufuli nakupenda mpaka sana wewe unamtegemea mungu mpka raha
Magufuli Umejua Kutufurahisha Wa Tz Wengi Tu Chapa Kazi Sisi Tuko Pamoja Na Ww Bega Kwa Bega Tanzania Ya Sasa Imesonga Mbele
Haaa hawajui Kama Ni raisi anapita
Magufuli Oyeeeeeeeee💪💪
Tatizo moja tu kwa uyu baba kuwa MSUKUMA tu angekua MZARAMO ingekua poa sana
Mungu akutunze rais wetu
Ni kweli rais wetu umefanya mambo mengi mazuri ila awa was chini yako sio wema kabisa
Unaweza kuta usalama wa taifa wengine ndio hao kwenye bike na wengine wako kwenye hizo daladala haahha
Hongera
Mungu mbariki Magufuli .
Magufuli unadhamila ya dhati ya kuipeleka nchi mbele tatizo wanao kukwamisha ni wateule wako sio wote badhi yao wameshindwa kuwalinda Wana nchi ili kila mtanzania apate kunufaika na rasilimali za nchi wamegeuka kuwadhulumu na kuwabambika kesi za uhujumu uchumi hasa kwa wale walioko maeneo yanapochimbwa madini ya dhahabu police wametufanya miladi
✋️😊😊😊👏👏👍
Saaaafi wala hkn noma ... Gud saba
Hongera sana rais wangu tunakupenda
Kwahyo saiv halindwi kama zaman?
Ww auna mpizani,tz tunakuombea kwa mungu kila lisaa
em kajaribu kumvamia tuprove kama halindwi
Ulinzi ni Kama kawaida huyo ni rais mpaka either akabizi kwa mwingine ndo ulinzi unapungua ,hapo alikuwa anakwenda kuchukua fomu ndo mana hakutaka shobo Sana amepiga mishe ya kimyakimya
Najua mhula huu atachukuwa bila kipingamizi, ila mhula huubukiisha 2025 tukamchulie sisi bado tunamwihitaji Sana Sana san
Thanks president magufuli likini drive wako anatebeza garivibaya
Kila la khery baba Magu
WW NI JEMBE C TUNAKUOMBEA HERI KWA MUNGU UTUONGOZE TENA MUNGU AKUPE AFYA.
Hahahahah raha sana,utadhani yupo yeye na dreva tu,jichanganye sasa ndo utajua kwann bata hata akila kokoto lazima aharishe,Mungu akujalie uzima president wangu,itabidi tuandamane utawale miaka 30,hatuhitaji mwingine,wewe tu unatosha baba!viva magufuli,wewe subiri kuapishwa tuuuuu
Weee!!! Kwangua hiyo gari ndio uone yupo pekee yake au na walinzi wake!!!!
Najivunia kuwa TZ na my prezdaJPM
Longlive my presida
Magu rais wa wanyonge, rais mwenyewe huruma, muonee huruma yule mama gari yake iliotumbukia wami hii nch niya kwako MPE msaada baba.
Huyundie Rais wapekee mchamungu hayupomwingine Labuda kudanganyanatu
Rais
Hayupo umo sio kawaida still przda
Hai mama hai mama
Ulinzi upo nyie hamja muona mtu akimbia hpo mbelee anatngulia. Ahsanteeeeee baba JPM
Najua CIA awako mbali ilo aliwezekani😅😁😁😁😁CIA Sha Wana apo😁😃
Nadhani wengine hatuna elimi ya katiba... Inamaana kwa Sasa sio raid?
Bado ni raisi wa nchi,yeye na mawaziri wake madaraka yako mpaka siku wanachaguliwa mawaziri wengine na raisi mwingine.
Safi
Magufuli juu
Sisi kama machinga wote nchi nzima tupo nawewe mpk kieleweke tumeteswa sana weww ndo mkombozi wetu jamen labda nikuimbiye kawimbo haka wataweza kweli aawapi kushindana nawewe? Aawapi atawakiunganaa matsikutukan tunawanyosha mapem
Kweli ndg yangu
Huyu rais amefanya makubwa
Mbona akukaa kwenye foleni
Magufuli ndo mwamba usiotikisika, leo ameenda na gari moja tu kuchukua fomu, amenikumbusha 2015 alienda peke yake kwa miguu kwenda kuchukua fomu ya urais.Huyu ndiye Magufuli mchapa kazi.
Muongo wew..!!
Hiki chumaaa bwanaaa
Mwingine athubutu ukisogelea hiyo fomu cha moto akione