Waziri Magufuli achukua fomu kuomba Kuteuliwa Kugombea Urais kupitia CCM
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024
- Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alisaini kitabu kabla ya kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM mkoani Dodoma. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (Nec) ya Idara ya Oganizesheni, Dk. Mohamed Seif Khatibu ndiye aliyemkabidhi fomu Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli.
Safari ya chama cha mapinduzi ya kupata mgombea wa urais katika uchaguzi mkuu ujao imeendelea kushika kasi baada ya makada sita wa chama hicho kuchukua fomu hii leo tarehe 04.06.2015 na kufanya jumla ya makada 11 wa chama hicho kujitokeza ndani ya siku mbili tangu zoezi hilo lifunguliwe rasmi june tatu mwaka huu.
Miongoni mwa waliojitokeza kuchukua fomu hii leo ni pamoja na waziri mkuu mstaafu awamu ya tisa Mhe Edward Lowassa mbunge wa jimbo la Monduli ambaye amejinadi kuwa hana mpango wa kushindwa na amechoka na siasa za matusi na tuhuma na kudai kuwa hiyo sio demokrasia kwa viongozi wenye nia ya kweli ya kulikomboa taifa.
Mwingine ni aliyewahi kuwa waziri mkuu wa awamu ya nane Fredrick Sumaye ambaye amebainisha kuwa endapo atapata ridhaa ya chama hicho ya kuwania urais na kushinda atahakikisha anatokomeza kabisa tatizo sugu la rushwa kwa kuunda vyombo maalum ikiwemo mahakama ya wala rushwa huku akitumia rasilimali za asili zilizoko nchini kuinua uchumi wa watanzania.
Kada mwingine aliyejitokeza ni John Pombe Magufuli ambaye hivi sasa ni waziri wa ujenzi lakini pia amewahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini na ndani ya CCM kwa ufanisi wa hali ya juu ambaye yeye ametamba kipaumbele chake cha kwanza ni kutekeleza kwa vitendo ilani ya chama cha mapinduzi.
Makada wengine waliojitokeza ni makamu wa rais Dk Mohamed Gharib Bilal, balozi Ali Karume na mwanafunzi wa chuo kikuu cha Mzumbe Morogoro Amos Siyatenzi huku makada wengine zaidi wakitarajiwa kujitokeza katika muda ambao chama hicho kimeweka kuanzia june 3 mpaka jully 2.
imetimia miaka mitano tangu magufuli atangazae nia 05-june-2015 gonga like kama umekuja kuangalia hapa
Kweli njia za Mungu kwa mwanadam hazitabiriki ofisini hapo walimchukulia poa Kuna muda walikuwa hawana time nae nao wandishi walimzarau Sana mpaka wakaangua kicheko mwacheni Mungu aitwe Mungu 🙏🙏🙏
Yaani mpaka bahadhi ya waandishi walicheka kwa jinsi ulivyoenda peke yako bila kujua kuwa ulikuwa na Mungu, sijui kwasasa waliocheka wanajionaje kama choo, kweli Imani ni hakika ya mambo yatarajiwayo na ni bayana ya mambo yasiyoonekana
Ulienda na Mungu na bila ubishi Mungu akakupitisha pasipo makundi kweli ulifaa kuwa Raisi wa Tz naomba Mwenyezi Mungu aendelee kukupa pumnzi na nguvu Amen.
MWANA UMEONA EHEEEE DAH! MAGUFURI WE ACHA 2 YANI KWANZA INAONYESHA AKUTEGEMEA KABISA ATA WALIOKUWA NAE HAPO AWAONYESHI USONI ILA WALIKUA WAKIMCHEKA MOYONI KAMA MSINDIKIZAJI 2
my presidentttttttyy....... so proud of him, live long your excellence MAGUFULI.
Hahahaaaaaaaaaa kweli aiseeeee
Magu wetu tutakukumbuka daima
Hakika ni kwa msaada wa mungu tunayashinda ya dunia
This day was a blessing to Tanzania
Dr. Magufuli was a faithful, strong and most confidential leader early. Rest in peace our Tz's Dad...!!!
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty
Kweli apangalo mungu binadamu awezi kupangua Mungu alikuandaaa Wew uwe mkombozi wa nchi yetu ya Tanzania Mungu akupe afya njema mh Rais
R I P magufuli wangu nimelia nimelia San nilikupenda mno baba umeumaliza mwendo😪😭😭😭
Mungu atabaki kuwa Mungu yaani nikiangalia hapa napata maswali mengi sana ambayo majibu yake ni Mungu ndio anayejua mwanzo na mwisho wa maisha yetu wanadam
Siku ya kubipu nakukataliako ilianzia hapa. mniombee kwa mwenyezi Mungu hajaisahau mpaka leo
utaona hawampi attention mtu wa watu..yaani haraka haraka aende..akawa anaaga jmni muniombee kwa Mweneyzi Mungu ila watu wako haya afu muitikio usiona mshiko mwishowe akaingia kwa gari kwa kuharakishwa kisha watu wakawa wanachecheka sasa sijui leo hii wanasemaje? kweli Mungu ndokabeba siri ya mtu...sie tunaangalia kwa macho tuu bila kujua. Tuhurumie Mungu wetu
Pumzika kwa amani baba ❤️
Yani nikiangalia hii crip imani yangu kwa Mungu inaongezeka 😢
Wote marehemu jamani,!,,ni khatibu na magufuli,,,MUNGU awarehemu!"amen.
Khatibu nae amefariki,mungu awarehemu
Wa mwisho atakuwa wa kwanza na wa kwanza atakuwa wa mwisho,mr present alikuwa wa mwisho kuchukuwa form lakin amekuwa wa kwanza,, Atimae mungu amemwinua mnyonge kutoka mavumbini,yeye aliangalia moyo wa magufuli tokea mwanzo nikulitaja jina la yesu,, mungu akutunze
Kifo cha Magufuli kiliacha kovu kwenye moyo wangu. Nilimpenda kupitiliza.
Safari yenye Mungu mwanadamu huwezi kuibadili Hongera sana JPM mwanamapinduzi halisi
Jembe langu sikufanya makosa kwa kura yangu
History was secretly in the making on this very day and moment
Sijui niseme nini, lkn nadhani huyu ni Rais na tangu mwanzo alikuwa naimani kuwa Mungu ndio muweza wayote na ndio maana muujiza ukatokea na kamati kuu ikamteuwa kuwa mgombea urais kwa tiketi ya ccm. Mungu ampe maisha mrefu yenye hekma busara utii na uadilifu ili ameze kutuongoza watanzania bila kujali itikadi zetu
mzee wamakinia asante kwa uongozi uliotukuka.... 😍
Mungu akupe maisha marefu
Duh leo wote hampo khaa mzee wetu magufuli na mzee wetu khatibu
Walipanga michongo ila hawakuamini macho yao hakika mungu yupo!
Jamani huyu dereva wake tangu alipokuwa Waziri yupo wapi? Muheshimiwa usimtupe umetoka nae mbali.
Daah udongo unameza sana. Leo hii hawa wawili wote hatunao. Mpumzike kwa amani wazee wetu
Nakupenda sana rais wangu mwenyezi mungu akupe umri mrefu na hekima teleee
Nampenda,huyu baba yan mungu ashindwi chochote
kiongozi anaonekana tu kwa kutembea kwake,vaa yake,ongea yake, unajua kuwa huyu ndiye mteule wa mungu.
SAFARI ILIANZIA HAPA..
Mipango ya Mungu ya ajabu sana
Who is like MAGUFULI!
Ni jembeeee
HONESTLY NO ONE, WE MUST GIVE CREDIT WHERE IT IS,
Magufuli a napita tu... Hakuna mtu anaweza kukingana na HEKIMA zako... 99% winner again
No one like him
Kuna wasenge mwisho walimcheka sanaaa
Na mungu alisikia akakupa nafasi hiyo ili utuokoe baba piga kazi
Hakika inauma hakika hakuna mfano. Eh moyo wangu tulia usilie kwani ndivyo dunia ilivyo
Mzee hakutaka wapambe nao wanaimba wimbo mmoja maendeleo safi sana.
My president I proud of u
JPM is very humble! Tujifunze kwake
Never give up
Miongoni mwa watu nimeshindwa kabisa kuwasahu huyu nae yupo😭. watz ni waoga kuhoji juu ya kifo cha huyu mkuu ila Mungu hana mipaka atafanya na Kuna kizaz kipo kitakachosimama kufichua Siri zote✊
Kwakweli
mshua peni iligoma ikataka ya chamaaaaaa ongeraaaa
Daima Mungu mbele Tanzania tutafikia malengo
Form .. Safari
Mungu wangu hatujui mbele kuna nn tusaidie
god bless our country's
Pombe Magufuli Joseph (Dr.)
mungu alituandalia jembe
Hv alikuwa peke yake mungu akupe ujasili kuiongoza nchi hii
magufuli anajiamini sana ivi nan aliedhani agepita kwenye kula za maoni mungu ana maksud yak
Very humble
Wewe ndie Rais wangu miaka yote akika amtegemeae Mungu angushwi baraka ziwe kwako Rais wng Jonh Pombe Makufuri
RIP MY HERO💥😭
Mungu ni mwema
2024 who still watching
huyu mh ndiye anafaa
Hatimaye amefaa. Uliona vema.
Ulitabiri vyema
Kaka hongera ulitabili vema God bless u
👏👏👏
Mwisho alivyoondoka kasindikizwa na vicheko vya kejeli na hao waliocheka ndo wanaomlamba miguu asaiv kwa kumuimbia mapambio ya kumsifu..Bora mi nliempigia kura baada ya Bwana yule kuja kutuvurugia ukawa
Daah nmekumbuka mbali saana
Ni mara chache sana kumpata Rais mwadilifu,mcha Mungu,mtetezi wa wanyonge na mchapa kazi kama JPM.Katuachia kitu cha kujifunza watanzania,kuwa urais siyo fimbo ya kuumizia wananchi.Tutake tusitake wengi tutamkumbuka daima,ila wezi na wafujaji wa mali za uma watamchukia daima.
god bless our country
Ndiyo bg na nchi uliipata na umewanyoosha mpaka wamekuwa wadogo Kama piliton Mara ya Kwanza c walikuona simple
RIP MR Magufuli
ccm naipenda
Mwenye kuitazama tena 2024😢
Dah kwakweli Dunia kweli haimtaki mtu ila sie ndo tunaitaka Dunia, wote wawli now ni marehemu mh Moh'd Seifu khatibu pamoja na Dr John Magufuli Mungu awasamehe makosa yao wapumzike kwa Amani waliko
Kweli alipangalo mola mja hawez pangua Dah!!
Wanafurahi au wanamcheka
Huyu jamaa alikuwa muoga sana maana hata kiti alikuwa anakikataa ah aha pia pen nayo alikataa khatari
Mwenye uweza ni mungu pekee .atusaidie .ONA ribya ,misiri, kongo,naijeria, somalia ,burundi nk .wenye pesa watapaa .msikini sijui?olewao wenye mimba na wanyonyeshao .siasa tuachie wana siasa .
final he did it
Yusuf Hussein Yeees he did it
✌ yeees he did it 😀
Lalala Magu umelala
Tanzania tuna kuliliyaaaaa
Ebu funguwa machoooooooo
Utuone babaaaaaa
Song by Peter Msechu
Naona Upo na wazehe kidogo hapo
Mpka nimeona huruma aisee ...peke yake Nadhan kuna la kujifunza hapa
inaumiza
Kumbe mr.pombe yupo kama mr.lugola ni mwendo wa kutembea na katba ya ccm
Anajiamini
Kinoma
Kilakitu kinamwanzo wa safariyake na mwishowake jaman
Dah! Dunia tunapita,,,,wote ni marehemu
Jamani Mungu huyu ..
Mzee tutakukumbuka milele
Kumbe tulianzia hapa
Dah Leo hatupo nae tena
kama nasikia vicheko vya kejeli hapo mwishoni,, kweli usilolijua ni kama usiku wa giza
umeonaee yaani jmni watu mmmh kweli Mungu tuu Ajuae kesho ya mtu..Mungu Alitulia na Akamuinua mtumishi wake..sasa sijui hao waliochecka kwa kejeli walisemaje baada ya huyu mtu kuwa President..au?
Ni mwaka ambao, kamwe,sitosahau.
Kwel rais magufuri aliamumin sana muumba
Alikuwa mnyenyekevu tangu hapo
ddd
Chuma kikichukua fomu
Baadhi ya watu walikua wakimcheka at ni nani ?? Ni pombe magufuli kwekwekwe.
Hakuna anaeijua kesho yake
Jamani baba yetu rudi basi tumekumisss
Baba John maguful rest in peace
Mzee baba tuko nyuma yako tunakuombea
dume la kisukuma we ndo rais tz
Natamani na ningeweza itokee hivi kuwa HAKUTAKUWA na mgombea mwingine wa nafasi ya Uraisi atakayechukuwa fomu ya kugombea 2020 hadi 2025 isipokuwa JPM mwenyewe kwani ANATOSHA. Tumlipe nini kwa haya aliyotufanyia WATANZANIA ???? Malipo ni haya, wana CCM tusimpinge. Aachwe asimame mwenyewe.
Rais anaonekanaga tuu
Mimi nimeona ni Kitabu cha wageni (au watia Nia ya Urais) kwa hiyo hakuna ubaya
kwa sasa wajisikiaje baada ya kuona kashinda na hakwenda kama mgeni ??
mbona huja delete comment yako??
Sonjohn W. Joram hahaaaaaa
ivi huyu jamaa aliyekuwa anamcheka Magu hapo pembeni yupo kweli kwenye uongozi mpaka sasa
Natamani nimjue nikamuulize alipata nini.
sidhani
Huyu jamaaa aliweka kitu hawez kasaulika
Inaonekana walimchekaa kwaa zarauuuu sanàaa
tumechoka kuisoma namba mzee tusamehe si makosa yetu kukuchagua
Kassimu Lugajo Acha umbea Man, we ulichagua mafuriko ya Ukawa ndo laana zinakutesa mpka 2020. Na ikifika uchaguzi wa 2020 ukakosea tena utapagawa na utakuwa chizi.
Kassimu Lugajo
Acha uongo, fanya kazi mwanaume kulialia ni dhambi.
ila uzuri wa bahati kama ni namba tunaisoma wote
Vema sn
😭😭😭😭
Ulale salama shujaa wetu ndoto umeitimiza alama umeacha
Makubwa
Wakati wa kuchukua fomu za kugombea urais Magufuli alimpongeza rais Kikwete kwa kutekeleza ilani uavuchaguzi kwa umakini Mkubwa, lakini leo anamkosoa, ccm kuna unafiki ulioshiba.