Zanzibar wastafu wote wanaenda hijja Tena kipato chao tofauti na kinakuwa kidogo kuliko bara,Mwenyezi Mungu atuongoze sisi watu wa bara tupate kubadirika
Hakuna kitu kibaya km ubinafsi. Watu wanajitolea ili wenye kumudu kwenda kuhiji kwa fedha ya wafadhili waende.Lkn huku kwetu bara kuna watu LAANATULLAH WALLAH wanakwenda kuolea.
Zanzibar ndio chimbuko la Uislam katika East Africa according to Islam Waislam wote ni sawa ukiwa mweusi ukiwa mchina ukiwa muarabu ukiwa muafrica wote ni sawa sawa¿thanks
آمين يا رب
Zanzibar wastafu wote wanaenda hijja Tena kipato chao tofauti na kinakuwa kidogo kuliko bara,Mwenyezi Mungu atuongoze sisi watu wa bara tupate kubadirika
Amin ukhty
Ss jahiili mungu amlani au amuongoze?
Duu Allah atufanyie wepesi nyoyo zetu
Amiinnn
Allah akupe afya shehe w2
Swadakta sheikh
Anae lets ujinga Allah amuhidi inshaAllah
Iman
As, alaikum, garma ni miloni kumina sit laki 5
Tena amlaani kama iblis alivyo laaniwa.. Aaamiiinnn 🤲
Kwan gharama za hijjah ni kiasi gn in shaa Allah ni Ndoto yangu siku moja Allaah anijaalie niwe mmoja katika waalikwa wa Ibadah ya hajj
Asalam alaykum warahmatullah wabarakat. Kiasi cha milioni 14 na 16
@@zainarashid1024 shukran 🥰
Hakuna kitu kibaya km ubinafsi. Watu wanajitolea ili wenye kumudu kwenda kuhiji kwa fedha ya wafadhili waende.Lkn huku kwetu bara kuna watu LAANATULLAH WALLAH wanakwenda kuolea.
Swadaqta
Wape maneno yao maana hawajui
Walounusuru uislam zanzibar waliuliwa kama wanyama
Kila Cku nauliza Kwan garama zinafika bei gan? Nataman na mim cku moja niwe hajat
milioni 15
Zanzibar ndio chimbuko la Uislam katika East Africa according to Islam Waislam wote ni sawa ukiwa mweusi ukiwa mchina ukiwa muarabu ukiwa muafrica wote ni sawa sawa¿thanks