NJIA RAHISI YA KUTATHIMINI UBORA WA ASALI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.พ. 2018
- Asali ni chakula, dawa na zao la biashara kwa binadamu. Kwa kuzingatia umuhimu huu asali inatakiwa kuwa na ubora na usalama unaokidhi matakwa ya walaji.
Njia rahisi ya kupima ubora wa asali ni kutumia kigezo cha maji kwenye asali na kujua asali iliyochemshwa. Asali bora na isiyochemshwa ina kiwango cha maji kisichozidi asilimia 20. Asali iliyo na kiwango kikubwa cha maji ina uwezekano mkubwa wa kuchacha na kuwa pombe.
Ungana na mtaalamu wetu kuweza kujua namna unaweza kutambua ubora wa asali kirahisi na kuepuka kutapeliwa.
Hongera dogo haya ndo ma tangazo ya muhimu kijamii sio ma dada wanaolipia kwa ajili ya kuta ngaza vipodozi vya rangi za waarabu na wachina na kuonekana uso km wacheza sala kasi hongera mpz wewe ni mfano mzuri
Barikiwa dada kwa somo zur
Asante kwa somo lizuri
Asanti sana Theresia . This is very educational and informative program on testing the quality of honey . Hogera . love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
asali darasa hili zuri sana. Hongereni TSF na wale wanaotuuzia asali safi kama Yakilila wauzaji wa asali mbichi Geita.
Asanteni TFS
Asante sana
Ahsante na hongera Santa dada
Mungu alishasema watatoa asali matumboni mwao zenye rangi tofauti
Asante kwa elimu
Theresia hongera sana
Somo zuri asante
Asante sana my dear
Somo hili ni muhimu sana kwangu.nimekua niliogopa kununua asali kwa kutumia ipi bora.
Shukran
Asante dada 🙏🙏🙏
Shukran
Asante kwa darasa dada mzuri.Apo sitauziwa tena asali feki
Asante sana mana lilikuwa linatuchanganya hilo la kujuwa asali feki na orijino
Biashara yangu kubwa ni asali. Dada uko sahihi kabisa. Hongera sana. Niko Dar. Uzeni asali hutajuta
Hongera sana. Masoko yakoje. Ninauza ila masoko
Somo nimelipenda na nimenufaika na maelezo kwenye video hii
Namba zenu
Nakuelewa ccta
Yamchanga ni nzuri na nyepesi na rshisi
Yaan saiv watanikoma😂😂wamezoea kunipigaa
Theresia asante je asali inatibu ukimwi nauliza nilibiwe
Hongereni sana
Da teddy kwa mtu ambae haishi tz anataka kusafirisha asali nje ya nchi taratibu gani afuate?
Vifungashio vinapatikanaje kwa bei rahisi
Namba ya simu
Asante ofisi za wakala wa huduma za misitu kwa mwanza ziko wapi
Hiyo asali ya pili mulishaichanganya mana ni mchuzi si asalii mmmh
Nashukuru kwa elimu ila kwa sababu nakupenda nikweli ni mwamba urekebishe myself zako hizo zimekuharibiya muonekano.kubali zabo za asili dada mbona muri tu
Excellent mtaalamu ameeleza vizuri sana na imeeleweka. Tupatieni contact yenu
Asante kwa somo zuri
Je nakama imepikwa inakuwajeee
sasa na wenye viparata au vatamburisho vya ujasiliamali wanasajilije ?
Hicho kifaa cha kupimia ubora wa asali nakipataje?
Napataje iyo honey refractometer?
Tafadhali namba za simu,unapatikana wapi?
Safi
Tumefundishwa leo izo nijia na ya kibiliti
Huyu dada hajui kiswahili. Hana uwezo wa kuwasilisha mambo. Mtu kumwelewa ni kazi ngumu sana.
Acha ujinga Sasa hio nilugha gani anaongea labda ww Ndo hujui kiswahili Ila Sisi tuna muelewa saana
Utatambuaje kama haina sumu?
Icho kidude bei gani
Mi nahitaji asali ya Lt 20 napata wapi na sh ngapi?
Wewe uko wapi? Contract me elvisnzovu98@gmail.com
Kama huna kampuni
Nitapata wapi vifungashio Bora vya asali?
Madukani
Asali ikichachuka unalewa Kama pombe ukiywa
Kuganda kwa asali ni tabia.....mhhh...rudi maabara dada..
Ni kweli huwa ni tabia
Asali inatabia kiongozi
Naomba kujua jinsi ya kupata hicho kipimo cha kupimia asali
Je njia moja ikikubal zngine zkagoma?
Ndiyo si salí safi hiyo.
how can buy ?
Am also selling honeybees .. we can talk
Naanza proces kesho
Jenawezaje kufunga nyuki na je asali wa nyuki wadogo ipo kweli
Dada mvavi yakulinia tutapata wp
Ya mchanga ndo hatujafundishwa
Ipo pia
hamja taja mawasiano yenu wala amjaelekeza mnapo patikana
Vp kuhusu wakulima wadogo wadogo kwny utaritibu ukonje hasa wanaozalisha na kuuza
Utaratibu wa usajili
Ingia kwa mtandao ugoogle wakala wa mazao ya misitu Tanzania(TFS)
Vifungashio nitapata wapi
Hakika ni swali zuri sana. Tunaomba tujibiwe dada yangu
Kariakoo vipo
Nikwa namna gani unaweza pata vivungashio ya asali
Ndg, ulifanikiwa kupata vifungashio vya asali?
vifungashio navipata wapi msaada tafadhal kwa yeyote anaeweza kunisaidia
vinapatikana kariakoo
Kariakoo kwa Dar
Naomba mawasiliano yenu.
e-mail yangu ni ommyuliza98@gmail.com