NJIA RAHISI YA KUTATHIMINI UBORA WA ASALI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ก.พ. 2018
  • Asali ni chakula, dawa na zao la biashara kwa binadamu. Kwa kuzingatia umuhimu huu asali inatakiwa kuwa na ubora na usalama unaokidhi matakwa ya walaji.
    Njia rahisi ya kupima ubora wa asali ni kutumia kigezo cha maji kwenye asali na kujua asali iliyochemshwa. Asali bora na isiyochemshwa ina kiwango cha maji kisichozidi asilimia 20. Asali iliyo na kiwango kikubwa cha maji ina uwezekano mkubwa wa kuchacha na kuwa pombe.
    Ungana na mtaalamu wetu kuweza kujua namna unaweza kutambua ubora wa asali kirahisi na kuepuka kutapeliwa.

ความคิดเห็น • 79

  • @queenpiscator6117
    @queenpiscator6117 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera dogo haya ndo ma tangazo ya muhimu kijamii sio ma dada wanaolipia kwa ajili ya kuta ngaza vipodozi vya rangi za waarabu na wachina na kuonekana uso km wacheza sala kasi hongera mpz wewe ni mfano mzuri

  • @LydiaRweyemamu
    @LydiaRweyemamu 20 วันที่ผ่านมา

    Barikiwa dada kwa somo zur

  • @kadoaugust6497
    @kadoaugust6497 16 วันที่ผ่านมา

    Asante kwa somo lizuri

  • @kingsolomon0
    @kingsolomon0 3 ปีที่แล้ว

    Asanti sana Theresia . This is very educational and informative program on testing the quality of honey . Hogera . love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @bernardmakungu290
    @bernardmakungu290 2 ปีที่แล้ว

    asali darasa hili zuri sana. Hongereni TSF na wale wanaotuuzia asali safi kama Yakilila wauzaji wa asali mbichi Geita.

  • @edwardedward8187
    @edwardedward8187 5 ปีที่แล้ว +1

    Asanteni TFS

  • @israelmunuo7938
    @israelmunuo7938 15 วันที่ผ่านมา

    Asante sana

  • @DenisSanga-bj5ud
    @DenisSanga-bj5ud หลายเดือนก่อน

    Ahsante na hongera Santa dada

  • @HusseinKoja-ww7gi
    @HusseinKoja-ww7gi หลายเดือนก่อน

    Mungu alishasema watatoa asali matumboni mwao zenye rangi tofauti

  • @avax5717
    @avax5717 5 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa elimu

  • @user-wo1gf7uh4k
    @user-wo1gf7uh4k หลายเดือนก่อน

    Theresia hongera sana

  • @richardkizigha8329
    @richardkizigha8329 2 ปีที่แล้ว

    Somo zuri asante

  • @alexandrinadomaino9868
    @alexandrinadomaino9868 3 ปีที่แล้ว

    Asante sana my dear

  • @zenjigreen5491
    @zenjigreen5491 2 ปีที่แล้ว

    Somo hili ni muhimu sana kwangu.nimekua niliogopa kununua asali kwa kutumia ipi bora.
    Shukran

  • @maggymgaya2504
    @maggymgaya2504 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante dada 🙏🙏🙏

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl หลายเดือนก่อน

    Shukran

  • @musaabuebker1750
    @musaabuebker1750 5 ปีที่แล้ว

    Asante kwa darasa dada mzuri.Apo sitauziwa tena asali feki

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 3 หลายเดือนก่อน

    Asante sana mana lilikuwa linatuchanganya hilo la kujuwa asali feki na orijino

  • @rosenyato8729
    @rosenyato8729 2 ปีที่แล้ว

    Biashara yangu kubwa ni asali. Dada uko sahihi kabisa. Hongera sana. Niko Dar. Uzeni asali hutajuta

    • @berthabusunzu1970
      @berthabusunzu1970 10 หลายเดือนก่อน

      Hongera sana. Masoko yakoje. Ninauza ila masoko

  • @edwardedward8187
    @edwardedward8187 5 ปีที่แล้ว +1

    Somo nimelipenda na nimenufaika na maelezo kwenye video hii

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 3 หลายเดือนก่อน

    Namba zenu

  • @dausonkamaka8165
    @dausonkamaka8165 6 ปีที่แล้ว

    Nakuelewa ccta

  • @NellyMadeni-yv6fd
    @NellyMadeni-yv6fd 10 หลายเดือนก่อน

    Yamchanga ni nzuri na nyepesi na rshisi

  • @noelamtesigwa6819
    @noelamtesigwa6819 2 ปีที่แล้ว

    Yaan saiv watanikoma😂😂wamezoea kunipigaa

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u 11 หลายเดือนก่อน

    Theresia asante je asali inatibu ukimwi nauliza nilibiwe

  • @frankyesaya7768
    @frankyesaya7768 5 ปีที่แล้ว +1

    Hongereni sana

  • @anniepaul3200
    @anniepaul3200 4 ปีที่แล้ว +2

    Da teddy kwa mtu ambae haishi tz anataka kusafirisha asali nje ya nchi taratibu gani afuate?

  • @eliasmasunzu4063
    @eliasmasunzu4063 ปีที่แล้ว +1

    Vifungashio vinapatikanaje kwa bei rahisi

  • @leilajenifer6740
    @leilajenifer6740 ปีที่แล้ว +1

    Namba ya simu

  • @zephnyarufunjo12
    @zephnyarufunjo12 5 ปีที่แล้ว +1

    Asante ofisi za wakala wa huduma za misitu kwa mwanza ziko wapi

  • @maryammaram2612
    @maryammaram2612 5 ปีที่แล้ว +4

    Hiyo asali ya pili mulishaichanganya mana ni mchuzi si asalii mmmh

  • @kuziririzaisabatosiitegeko7088
    @kuziririzaisabatosiitegeko7088 ปีที่แล้ว

    Nashukuru kwa elimu ila kwa sababu nakupenda nikweli ni mwamba urekebishe myself zako hizo zimekuharibiya muonekano.kubali zabo za asili dada mbona muri tu

  • @bonifacemorro282
    @bonifacemorro282 4 ปีที่แล้ว +1

    Excellent mtaalamu ameeleza vizuri sana na imeeleweka. Tupatieni contact yenu

  • @leonardflavour7533
    @leonardflavour7533 4 ปีที่แล้ว +1

    Je nakama imepikwa inakuwajeee

  • @jackfimbo4486
    @jackfimbo4486 5 ปีที่แล้ว

    sasa na wenye viparata au vatamburisho vya ujasiliamali wanasajilije ?

  • @rosenyato8729
    @rosenyato8729 2 ปีที่แล้ว +1

    Hicho kifaa cha kupimia ubora wa asali nakipataje?

  • @salumbabu1602
    @salumbabu1602 9 วันที่ผ่านมา

    Napataje iyo honey refractometer?

  • @user-wo1gf7uh4k
    @user-wo1gf7uh4k หลายเดือนก่อน

    Tafadhali namba za simu,unapatikana wapi?

  • @lulucharles7252
    @lulucharles7252 หลายเดือนก่อน

    Safi

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 3 หลายเดือนก่อน

    Tumefundishwa leo izo nijia na ya kibiliti

  • @florencejohn6427
    @florencejohn6427 29 วันที่ผ่านมา

    Huyu dada hajui kiswahili. Hana uwezo wa kuwasilisha mambo. Mtu kumwelewa ni kazi ngumu sana.

    • @debbymwaka4048
      @debbymwaka4048 28 วันที่ผ่านมา

      Acha ujinga Sasa hio nilugha gani anaongea labda ww Ndo hujui kiswahili Ila Sisi tuna muelewa saana

  • @jumasaid8777
    @jumasaid8777 4 ปีที่แล้ว

    Utatambuaje kama haina sumu?

  • @alexandrinadomaino9868
    @alexandrinadomaino9868 3 ปีที่แล้ว

    Icho kidude bei gani

  • @mwanaidimuhamed6540
    @mwanaidimuhamed6540 3 ปีที่แล้ว +1

    Mi nahitaji asali ya Lt 20 napata wapi na sh ngapi?

    • @elvisnzovu8282
      @elvisnzovu8282 3 ปีที่แล้ว

      Wewe uko wapi? Contract me elvisnzovu98@gmail.com

  • @jumasaid8777
    @jumasaid8777 4 ปีที่แล้ว +1

    Kama huna kampuni

  • @malickmpemba9885
    @malickmpemba9885 ปีที่แล้ว +1

    Nitapata wapi vifungashio Bora vya asali?

  • @dorrislukinja2703
    @dorrislukinja2703 ปีที่แล้ว

    Asali ikichachuka unalewa Kama pombe ukiywa

  • @mohamedthoya7436
    @mohamedthoya7436 6 ปีที่แล้ว

    Kuganda kwa asali ni tabia.....mhhh...rudi maabara dada..

  • @davydany9648
    @davydany9648 4 ปีที่แล้ว

    Naomba kujua jinsi ya kupata hicho kipimo cha kupimia asali

  • @salimabdallah7409
    @salimabdallah7409 4 ปีที่แล้ว +2

    Je njia moja ikikubal zngine zkagoma?

  • @user-rd5dr1tb3h
    @user-rd5dr1tb3h 3 ปีที่แล้ว

    how can buy ?

    • @crazygaston8066
      @crazygaston8066 2 ปีที่แล้ว

      Am also selling honeybees .. we can talk

  • @alexandrinadomaino9868
    @alexandrinadomaino9868 3 ปีที่แล้ว

    Naanza proces kesho

    • @user-qg1iy5ov3u
      @user-qg1iy5ov3u 11 หลายเดือนก่อน

      Jenawezaje kufunga nyuki na je asali wa nyuki wadogo ipo kweli

  • @peterkabogo6468
    @peterkabogo6468 ปีที่แล้ว

    Dada mvavi yakulinia tutapata wp

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib 3 หลายเดือนก่อน

    Ya mchanga ndo hatujafundishwa

  • @mpoyokapictures1405
    @mpoyokapictures1405 6 ปีที่แล้ว

    hamja taja mawasiano yenu wala amjaelekeza mnapo patikana

    • @deogratiusmartine7210
      @deogratiusmartine7210 5 ปีที่แล้ว

      Vp kuhusu wakulima wadogo wadogo kwny utaritibu ukonje hasa wanaozalisha na kuuza

    • @deogratiusmartine7210
      @deogratiusmartine7210 5 ปีที่แล้ว

      Utaratibu wa usajili

    • @edwardedward8187
      @edwardedward8187 5 ปีที่แล้ว

      Ingia kwa mtandao ugoogle wakala wa mazao ya misitu Tanzania(TFS)

  • @frowinimwinuka9736
    @frowinimwinuka9736 4 ปีที่แล้ว

    Vifungashio nitapata wapi

    • @elvisnzovu8282
      @elvisnzovu8282 3 ปีที่แล้ว

      Hakika ni swali zuri sana. Tunaomba tujibiwe dada yangu

    • @prophilsamwel4709
      @prophilsamwel4709 2 ปีที่แล้ว

      Kariakoo vipo

  • @marcosabore1527
    @marcosabore1527 ปีที่แล้ว

    Nikwa namna gani unaweza pata vivungashio ya asali

    • @malickmpemba9885
      @malickmpemba9885 ปีที่แล้ว

      Ndg, ulifanikiwa kupata vifungashio vya asali?

  • @gwiterrichard7352
    @gwiterrichard7352 4 ปีที่แล้ว

    vifungashio navipata wapi msaada tafadhal kwa yeyote anaeweza kunisaidia

  • @omaruliza3039
    @omaruliza3039 3 ปีที่แล้ว

    Naomba mawasiliano yenu.
    e-mail yangu ni ommyuliza98@gmail.com