hapo ndo utakumbuka kauli ya ukikosea kuoa umekosea maisha bro umepatia kuoa,mke wa kuishi nae utamjua ktk focus yake ktk maisha sio entertainment tu muda wote,lazima awe anakupa mawazo namna ya kuongeza kipato na sio kutumia tu.big up
What the name of that banana very short easy to cut ? I am Montagnard indigenous we planted many banana varieties but we didn’t have this kinh of banana.
hapo ndo utakumbuka kauli ya ukikosea kuoa umekosea maisha bro umepatia kuoa,mke wa kuishi nae utamjua ktk focus yake ktk maisha sio entertainment tu muda wote,lazima awe anakupa mawazo namna ya kuongeza kipato na sio kutumia tu.big up
Great job. A learning experience for the water melon farming.
safi sana, na hongereni kwa kutupatia bidhaa hizi muhimu kwa jamii
Kazi nzur sana kareen
Safi sana nimeipenda
Nice
Safi sana
Homgera
Nimependa
Asante Dada
Hongereni sana
Watanzania wenzangu mna nipa moyo sana na mimi nitajiunga nanyi .. hivi karibuni katika kuendeleza kilimo..
Joseph Gomalo kaka acha tu.,mimi najichanga hapa na hakika tuungane na kushirikiana mafanikio yapo tu ni kujuhudik na kazi tu hakuna namna
safi
Machine hiyo ni bei gani??
Safii
What the name of that banana very short easy to cut ? I am Montagnard indigenous we planted many banana varieties but we didn’t have this kinh of banana.
Only found in Tanzania lol
Hizi elimu tunapewa mtaani uzeeni...wakati shuleni tulikua tunachora panzi. Viongozi wetu sijui wako na akili gani
Naomben contact zenu plz
Sasa mtu ukidislike hii video wee ni nini unataka? Una pepo tu...
Nimewapenda bure
Safi sana