Mh. PETER PINDA;ASALI NI UTAJIRI MKUBWA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 ต.ค. 2024
- Alie kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania Peter Pinda aeleza faida nyingi zitokanazo na Mazao ya Nyuki kama Asali ambazo watu wengi hawazijui,ni mara baada ya kutembelea Banda la Asali na Mali Asili yaliopo katika Maonesho ya Kimataifa ya Dar es Salaa(SabaSaba).
Awesome
Asante kwa elim
Nimekubali
This is the truth. Congratulations to our leader for this light.
Thanks , Prime minister for the info regarding the benefits of bee keeping . love from jirani mwema , Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Asante kwa kunishawishi nlikuwa nakusikiliza nlivyo kuwa Dada wa kazi saivi na milki mizinga zaidi ya elf1000 Mungu akubariki Baba angu ishi ili wengine waishi ubarikiwe mnooo Katavi oyeee
Mashaallah 🎉
asante sana, barikiwa sana baba
Asante sana Baba na mimi nina mzinga yangu zaidi ya elf1000 huko huko Katavi Mungu akubariki mnoo
Naomba mawasiliano yako ndugu yangu. Nami nipo kwenye mchakato wa ufugaji nyuki
Nashuru sana mzee wetu
Nakushuru sana mheshimiwa kwa kutuelimisha watanzania, kweli nimeteseka miaka 2 lakini kwa asali ni kiboko.
Safi sana mh waziri mkuu mstaafu
Kwakweli huyu baba ameni inspire nami nina mizinga yangu sasa. 🇹🇿
Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA
Hongernisana
Sio rahisi wakakuelewa mheshimiwa, ila kuna manufaa makubwa saba kutokana na nyuki
Hakuna comments coz watanzania hampendi kujishughurisha
Asante sana kumbe na wewe umeliona hilo
Hahaaha
Hakuna mawasiliano.
Nani anishike mkono tupande wote!??
Jaman kumbe anajua mambo ya nyuki.