MWILI WA MUIMBAJI WA ZABRON SINGERS UMEHARIBIKA SANA | ATOBOLEWA TOBOLEWA KWA UPASUAJI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
  • Kiongozi Na Muimbaji Wa Kundi La Muziki Wa Injili @zabronsingers ndugu @marcojoseph_official amefariki Dunia katika Hospitali Ya Taifa MOI jijini D’salaam alikokuwa anapatiwa Matibabu.
    Taarifa za Awali Kutoka Kwa Ndugu Yake @japhetzabron_official anasema Marco Alipata mshtuko Wa Moyo Wakiwa safarini kihuduma Nchini Kenya siku chache zilizopita,Jitihada za matibabu zilifanyika katika Hospital Ya Rufaa Ya Kanda,Bugando Mwanza na Baadae Kuhamishiwa MOI ambapo umauti umemkuta akiwa anaendelea kupatiwa matibabu.
    Tamka Neno La Faraja Kwa Familia ya @zabronsingers Katika Kipindi hiki Kigumu cha Kuondokewa na Mpendwa Wao.
    Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa Jina Lake Lihimidiwe.
    #zabronsingers

ความคิดเห็น • 197

  • @everlinekanini7255
    @everlinekanini7255 20 วันที่ผ่านมา +23

    I Wish alipelekwa hospitali hapa Kenya 🇰🇪 Nairobi Hospital to be checked Angepona instead of being flown all the way to Dar..Operation was not Necessary Mungu anawaona hao Madakitari they caused the Death of Marco Joseph Inauma Sana Anyway imetendeka .May his Soul Rest Peace.

    • @user-mx7hg3yu4p
      @user-mx7hg3yu4p 19 วันที่ผ่านมา +1

      True hata Agakhan hosp is best kutibu moyo .most patients operations zao hukuwa successful .poleni sana familia yake na zabron singers .kifo ni uchungu

    • @gracekiondo2541
      @gracekiondo2541 19 วันที่ผ่านมา +1

      Kenya watu hawafi?

    • @susanmwangi2114
      @susanmwangi2114 18 วันที่ผ่านมา

      Death n life of person is in God's hand. Hakuna mtu anaeza kufa kama mungu hajakubali, ni wakati wake ulifika wa kuondoka nduniani.

    • @susanmwangi2114
      @susanmwangi2114 18 วันที่ผ่านมา +1

      1samwel 2:6 God brings death n makes alive: he brings down to the grave n raises up

    • @elizawambui7636
      @elizawambui7636 18 วันที่ผ่านมา

      I second you,,hapa Kenya I don't think our doctor's could rush in operations,wagetake precautions first 😢😢😢,,,Inaumaaa saana😭😭💔

  • @user-pr5mz5cq9t
    @user-pr5mz5cq9t 20 วันที่ผ่านมา +30

    Yote hayo tumwachie mungu.hata hao madaktar tusiwalaumu.operation wa moyo ndugu zanguni hata angepona asingeish muda mrefu.tuna ndugu yetu alifanyiwa na mpaka Leo hii hatupo nae.tumshukuru mungu kwa yote.hata ss mm kesho yetu hatuijui.poleni sana Wana familia mungu awatie nguvu kipindi hik kigumu.hata ss tulimpenda sana

    • @majaliwapeterSimon-vl6ym
      @majaliwapeterSimon-vl6ym 20 วันที่ผ่านมา +4

      Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu mungu ndie kila kitu jaman

    • @Tripac-photography
      @Tripac-photography 20 วันที่ผ่านมา +1

      Pole ni sana jamani kumupoteza muimbaji kipenzi chawatu zaidi sana kipenzi cha familia tunatowa pole tukiwa Congo drc

    • @user-pw2sw1sk1b
      @user-pw2sw1sk1b 20 วันที่ผ่านมา +1

      Amiin

    • @MwitaKihugi
      @MwitaKihugi 19 วันที่ผ่านมา +1

      Mimi nilifanyiwa jeshini mwanza oppression wanajeshi wako vizuri kuliko hii minywa gongo

    • @LastdayJesu4153
      @LastdayJesu4153 18 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@MwitaKihugiusifanye tena hivyo haina afya poti😮

  • @SaadEbrahim
    @SaadEbrahim 19 วันที่ผ่านมา +4

    Nchini Tanzania hakuna Ma-Daktari wazuri ukiumw aukipelekwahospitali ujijuwe unakwendakufa kupona ni asilimia 20 tu. Mr Tundu Lissu angelitibiwa Tanzania sasa hivi tungelimwita Marehemu .Lakini amekwendakutibia ulaya na amepona .

  • @joyceomboga5906
    @joyceomboga5906 19 วันที่ผ่านมา +3

    Heart surgery is very delicate,it's needs the best of the best surgeon to carry the operation and well equipped facility.God knows better.RIp Mwimbaji😭😭😭

  • @RajabuKiedu
    @RajabuKiedu 19 วันที่ผ่านมา +1

    Kila jambo ni mungu karuhusu kama alifanya kazi ya mungu kwa uaminifu atavalishwa taji tuache lawama

  • @christinemwakio7870
    @christinemwakio7870 19 วันที่ผ่านมา

    Mungu awape faraja zake zinazo pita uwezo wa kibinadamu... but ako kwa mikono iliyo salama, Mungu hutukumbusha pia kupitia hili kwamba tuwasafiri... ila Mungu alipanga haya yote, asante Mungu kwa mda wote pamoja na Marco hapa duniani... hii ni transfer Marco akaimbe huko juu Mbinguni.. natushukuru kwamba hata hili Mungu atawapa faraja na litapita.. Mungu ametukumbusha tuko safarini basi tujichunguze tunaelekea vipi🇰🇪🙏❤

  • @user-bu7vk4kd2q
    @user-bu7vk4kd2q 20 วันที่ผ่านมา +2

    Mwenyezi Mungu awape faraja katika kipindi hiki kigumu wanafamilia poleni kwa kuondokewa na kaka yetu mpendwa

  • @WitnessAumaNono
    @WitnessAumaNono 20 วันที่ผ่านมา +4

    Inauma sanaaa duuuuuuh poleni sanaaa ndugu rafiki jamaaaa familiy MUNGU Awatie nguvu

  • @azizanzumbi9637
    @azizanzumbi9637 20 วันที่ผ่านมา +3

    Tumezaliwa siku moja tutakufa siku moja muhimu ni kumuomba mwenyez mungu atujalie mwisho mwema msilaumu madaktar sana kwan kila mmoja ataondoka kwa sababu mwenyez mungu alopanga kifo kimeumbwa msiongee sana mkamkufuru mwenyez mungu inauma sana ila tumshukur mungu yote kwa yote innalilah wainalillah rajiun😭🙏

  • @RoseMbeiyan
    @RoseMbeiyan 20 วันที่ผ่านมา +2

    Inauma sn jmn hatutokuona Tena kweli muimbaji mzuri sn Mungu aipokee roho Yako kw kweli nyimbo zako zitabaki kuwa kumbukumbu kwangu

  • @user-fp4ge3oc5w
    @user-fp4ge3oc5w 20 วันที่ผ่านมา +3

    Jina la bwana lipewe sifa daima Kwa muda huu mfupi tumekuwa na Marco Kwa uimbaji na kumtukuza mungu

  • @silvanosamwila
    @silvanosamwila 20 วันที่ผ่านมา +3

    All is not lost,he is at the right time in the hands of GOD ,we are all passing by ,diferen time , diferent ours. im Evangelist Silvanos AKOMBO GOSPEL ARTIST FROM KENYA.

  • @LastdayJesu4153
    @LastdayJesu4153 18 วันที่ผ่านมา

    Mungu ndiye mponyaji madaktari husaidia tu maumbile..tunawapenda madaktari hata hivyo❤

  • @StanleyMolla
    @StanleyMolla 20 วันที่ผ่านมา +4

    Hii dunia hakuna kazi isiyo na lawama,, kikubwa ni kufanya kwa moyo ukiamini hakuna wa kukulipa zaidi ya Mungu..mnawalaumu madaktari lkn kuna mambo mengine yapo juu ya fahamu za binadamu

  • @DianahWalukana
    @DianahWalukana 13 วันที่ผ่านมา

    Mbona mlimpeleka tazania na alikua Kenya,na Kenya Kuna mahosipitali mbona,mbona,nlitaka tu huyo muimbaji wetu aage Dunia,imeniuma sna kuliko wote ju nlikua nwapenda sna sauti yake na dadake,mi sio familia bt imeniuma sna,wakenya tumupenda sana na dadake jinzi walivio kua wakirudishana masauti zao ,tazania hakuna madakitari,n mafala sana,hao na uzembe wao ndio waliomua Jose wetu😭😭😭😭😭

  • @DianahWalukana
    @DianahWalukana 13 วันที่ผ่านมา

    Hamujui kitu madakitari wa Tanzania kuendeni huko mrudi mashuleni mmefanya kitu mbaya sna,ama mliongwa kumaliza muimbaji wetungemu ref Kenya,hata nalaumu pia wenye walimurudisha Tanzania eti atipiwe huko mbona hamukumuacha ati iwe huku kueyu Kenya ,na mlikua Kisumu pia kina specialist wa moyo tukampotezandugu wetu mzuri kua njia ka hiyo jamani,sjui ka ntasahau souti na sura yke,rip bro mungu anakujua vzuri sna.

  • @doradaniely2036
    @doradaniely2036 20 วันที่ผ่านมา +2

    Dah jmn inàuma sana poleni sana ndugu mungu ailaze roho yake mahali pema peponi

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 20 วันที่ผ่านมา +3

    Dah inaumiza sana kuna namna hiyo operesheni haikuenda vizuri.

  • @CoCo-ol6mu
    @CoCo-ol6mu 15 วันที่ผ่านมา

    🇰🇪 ndugu yetu angetibiwa kenya tu maana hata shida ilimzidi akiwa amefika kisumu kenya. Yote hata yangeisha vyema kabisa..poleni kwa msiba

  • @FaithLnayi
    @FaithLnayi 16 วันที่ผ่านมา

    Rest in peace mwimbaji ,yote ni ya MUNGU , inaniuma zaidi 😢😢😢😢

  • @christinemwakio7870
    @christinemwakio7870 19 วันที่ผ่านมา

    Familia na Zabroni singer's Mungu awatie nguvu , ni ngumu sana bt yote yawezekana kwa Mungu 🇰🇪

  • @majaliwapeterSimon-vl6ym
    @majaliwapeterSimon-vl6ym 20 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu ailaze mahari pema peponi roho ya marehem alitoa ametwaa jina lake litukuzwe

  • @lucykiwelu4451
    @lucykiwelu4451 20 วันที่ผ่านมา +2

    Kuna wakati hata kila kitu kikiwa ktk uangalifu bado madaktari hawajui kinachotokeaga.....Tumtafakari Mungu zaidi

  • @user-ln9ku5yv9f
    @user-ln9ku5yv9f 20 วันที่ผ่านมา +1

    Polen sana family Mungu awatie nguvu 😭😭 pumzika kwa Amani mpendwa

  • @harrietwaweru9760
    @harrietwaweru9760 20 วันที่ผ่านมา

    I was So saddened and touched to hear of this sudden death of this dear servant of God...of the Zablon singers.
    I have been quiet ,in like wondering waaa, is it so? Am I hearing it well or seeing?
    He served God through music in a great and powerful way # Zablon singers
    It's not easy to be humanly possible.
    But I know, our father in Heaven who took Him home knows it,
    Words may not mean much dear brothers and sisters of Zablon singers,His family and larger family and the entire Nation and East Africa community.
    May our good Lord uphold you and encampass you this most difficult season.shalom.

  • @NeemaMeshaki-qm4ew
    @NeemaMeshaki-qm4ew 20 วันที่ผ่านมา +3

    YOTE tumwachie Mungu maana YEYE ndo anajua YOTE ila Cha msingi sisi tuliobak tujiandae mwisho mzuri

  • @user-ri1fp8oz2s
    @user-ri1fp8oz2s 19 วันที่ผ่านมา +1

    Poleni sana jamani Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake libarikiwe

  • @gracebuhatwa6359
    @gracebuhatwa6359 20 วันที่ผ่านมา +4

    Mimi pia Mme wangu alikataa kuweka sahihi Mimi nikifa asilaumu Mme wangu alikataa wakasign madaktari na Mimi mwenye.niliingia kwenye chumba cha upasuaji Sana mbili nilirudishwa hodi alfajili ya saa Kumi na moja ndio nikazinduka.kuna kupona au kufa na kupona huwa Ni Mungu tu anasimama

  • @user-ek8df1lc9g
    @user-ek8df1lc9g 17 วันที่ผ่านมา

    Hiyo Sura ya huyo doctari hatujafurahia Kenya😭😭😭😭 it's painful wangejua hawange fly Tanzania 😭😭😭mungu anakuona wewe uchungu Sana 😭😭😭

  • @glorysungura3180
    @glorysungura3180 20 วันที่ผ่านมา +3

    Samahani ndg jifunze kutamka kiswahili vizuri. Kwani kwenye R unatamka L. Ni aibu kukusikiliza

    • @noelmarapachi1808
      @noelmarapachi1808 20 วันที่ผ่านมา

      Inakera sana na anayejua kiswahili kizuri inakatq stimu kusikiliza

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 20 วันที่ผ่านมา

      Kukosea sio aibu mana hakuna mkamilifu hata wewe una makosa kibao watu wanakuvumilia mjuwaji wakila kitu ni Mungu tu wengine wote sisi tunapuyanga tu

  • @DorisKaranja
    @DorisKaranja 20 วันที่ผ่านมา +1

    😭😭😭😭😭so painful may God come through my favorite singer Marco Joseph umetuwacha and a friend to many

  • @JamesNyakweba-xb6mb
    @JamesNyakweba-xb6mb 20 วันที่ผ่านมา +2

    Pole sana ndugu wakristo

  • @joycewanjiru2202
    @joycewanjiru2202 17 วันที่ผ่านมา

    Tumenguzwa myoyoni sana muyimbaji mwema.mungu amupumuzishe kwa mani❤

  • @user-hu9ym7vg6n
    @user-hu9ym7vg6n 19 วันที่ผ่านมา +1

    Pole sana ndugu zetu🇴🇲🇧🇮😢😢😢

  • @hopedavid3531
    @hopedavid3531 17 วันที่ผ่านมา

    Poleni wafiwa mungu awafaliji katika kipindi hiki kigumu.

  • @JeniphaDonard
    @JeniphaDonard 18 วันที่ผ่านมา

    Ikitokea imetokea hatuna budi kulaumu madaktari kikubwa tumuombe maiko apumzike kwa aman aminaa😢😢😮

  • @StoneJoyc
    @StoneJoyc 18 วันที่ผ่านมา

    No operation these days: normaly this is done: Coronary stents are now used in nearly all angioplasty procedures. A stent is a tiny, expandable metal mesh coil. It's put into the newly opened area of the artery to help keep the artery from narrowing or closing again. Tissue will start to coat the stent like a layer of skin once the stent has been placed.
    Mume wangu alifanywa 2012 aliposikia uchungu huo.

  • @user-hk3py6qk7q
    @user-hk3py6qk7q 14 วันที่ผ่านมา

    Mungu.mpokee.mtumishi.wako.

  • @EvaNgomuo
    @EvaNgomuo 19 วันที่ผ่านมา

    Inauma sana,mnoo!poleni sana zablon singers

  • @magrethibrahim9636
    @magrethibrahim9636 17 วันที่ผ่านมา

    Kupasuliwa kifua kabisa mhh ni changamoto hata marco sema tu ana imani sana ndo ulomlinda mpk akakubali lakin vingine mh bora ufe hvyohvyo kuliko kwenda kuchnjwachinjwa hvyo aisee

  • @DRHUSANY
    @DRHUSANY 19 วันที่ผ่านมา

    Ukimsikiliza Daktari vizuri huna mahali pa kutoa lawama kabisa na Sijaona kucheka kwa namna yoyote ya kubeza msiba kwa Dr.
    R.I.P gone too soon Mungu awe mfariji mkuu wa familia

  • @janepherjackson9693
    @janepherjackson9693 20 วันที่ผ่านมา +2

    Nairobi hospital is the best even though expensive.

    • @daltonpaul5838
      @daltonpaul5838 20 วันที่ผ่านมา

      Nairobi is not heaven thank you

  • @JamesIbrahim-n5y
    @JamesIbrahim-n5y 16 วันที่ผ่านมา

    Polen ndg zangu tupo pamoja.

  • @JeniphaEmanuel
    @JeniphaEmanuel 19 วันที่ผ่านมา

    Mungu aitie farajaa familia ya marehemuuu jaman inaumaaaa sanaaa 😢😢😢😢😢😢

  • @SophiaFutteh
    @SophiaFutteh 20 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu ni mungu tuu pimzika kwa aman mtumishi 😭

  • @GodfreyMhando-gn7ok
    @GodfreyMhando-gn7ok 19 วันที่ผ่านมา +1

    Education challeng vizuri sanaa

  • @agrcem6707
    @agrcem6707 20 วันที่ผ่านมา +4

    Jamani upasuwaji wa moyo unaweza ukachukuwa Hata masaa 12,kutokana naoperation

    • @olicej7837
      @olicej7837 20 วันที่ผ่านมา

      Tatzo watu hawajui taaruma ya udactari ndiyo maana wanasema ivo 😢😢😢

    • @user-xl4io3or7r
      @user-xl4io3or7r 20 วันที่ผ่านมา

      Hata madaktari sio wa kuwaamini Sana. Kufanyiwa utafiti ni kawaida Sana.

    • @janejoel2465
      @janejoel2465 20 วันที่ผ่านมา

      @@user-xl4io3or7r kabisa , watuwanasema tuna walaumu madaktali . Hayajawakuta, sisi wengine tulikutw na maswaibu madaktali omba yasikukute

  • @carolinewangari6652
    @carolinewangari6652 19 วันที่ผ่านมา

    Ni ngumu kuelewa mambo ya kifo,wuii bro tulia hamna neno,katukuze mungu huko mbinguni😢🙏🙏

  • @mohamedkipingu9471
    @mohamedkipingu9471 19 วันที่ผ่านมา

    Waandishi jitahidini kwenye lugha tofautisheni kati ya L na R
    Kama daktali badala ya daktari
    Opaleshen badala ya opareshen(operation)

  • @celeniendayishimiye4905
    @celeniendayishimiye4905 19 วันที่ผ่านมา +2

    Poreni sana FAMILLIA MUNGU AWE NAnyi katika hiki kipindi cha MACHOZI

  • @samuelkeya
    @samuelkeya 19 วันที่ผ่านมา

    after kufanya Yuko mzima Sasa au Ni nguvu zako tw doctor ulikua nazo better mkemuacha tw MUNGU amponye c angeletwa Kenya rip bro

  • @JACOBNDASHUKA
    @JACOBNDASHUKA 20 วันที่ผ่านมา

    Uhifadhiwe vizur au vibaya ukishakifa umekufa haisaidii chochote la msingi umejiandaaje katika safari yako ya kuondoka hapa duniani cku yako ya mwisho? Tuombeane mwisho mwema polen wote tulioguswa na msiba huu mzito R.I.P Marco

  • @KASUBIVIDEOPRODUTIONS
    @KASUBIVIDEOPRODUTIONS 17 วันที่ผ่านมา

    Ok sawa lakn kila binadam ana mapungufu yake

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 20 วันที่ผ่านมา +2

    Ninaomba tunaocoment tusiwalaumu madaktari, wanafanya kazi kubwa sana. Tusiwakatishe tamaa kwa lawama. Wapo wengi wanaotibiwa na kupona na wapo wanaotibiwa wanafariki kulingana na hali ya mgonjwa.

  • @fadhilkassanga5386
    @fadhilkassanga5386 20 วันที่ผ่านมา +2

    Wewe unabooa Sana madakitari walifanya Kazi yao vizuri Mimi nilifanyiwa na nikatoka operation hilichukua masaa 12 na sio masaaa 5 Kazi ya dakitari sio kama yako kwani Kenya ndio nini wacha kutuletea upumbavu

    • @olicej7837
      @olicej7837 20 วันที่ผ่านมา +1

      Na mimi nimewashangaa saana op ilienda vzr shida ikaja badae😢

    • @joycelinekobero7724
      @joycelinekobero7724 20 วันที่ผ่านมา

      Yani uelewa wake ni sifuri kabisa

  • @muscato50
    @muscato50 20 วันที่ผ่านมา +1

    Jifunze kutofautisha LA na RA inakera kusikilisa “mwili umehalibika! UMEHARIBIKA ndio sahihi

    • @joycelinekobero7724
      @joycelinekobero7724 20 วันที่ผ่านมา

      Yani anaboa,halafu Hana facts kabisaaa,analaumu kitu asichokielewa,anakera huyu mtangazaji

  • @Kevin-h5l
    @Kevin-h5l 20 วันที่ผ่านมา +1

    Sasa niyo hiyo mmemfanyia operation amepona hata nyinyi madaktari mwe makini binadamu si kama engine yagari in shot we live once so once you are handling human being be careful hatukaki hiyo mahojiano ju haisaidii kwa sasa

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 20 วันที่ผ่านมา

    Tuacheni lawama wanadamu. Daktari ni professional si wa kienyeji. Pia tumuachie Mungu ndio muamuzi

  • @AnceeBy
    @AnceeBy 19 วันที่ผ่านมา

    Polen sana mungu awatie nguvu ni mpango wa mungu

  • @BonfaceWawire-k6p
    @BonfaceWawire-k6p 19 วันที่ผ่านมา

    hiyo hospitali ingekuwa hapa kenya tungeichoma moto hadi mwili hauwezi kuhifadhiwa cku kadhha hapoo

  • @user-su7du3tt3h
    @user-su7du3tt3h 20 วันที่ผ่านมา +2

    Yan waandsh wa habari punguzen uongo n uchochezi mngepewa nyinyi mumfanyie angepona!!? Mnakera sana yan nyooo

    • @hackileo
      @hackileo 20 วันที่ผ่านมา

      Tunasahau ya kuwa daktar yeye anatibu ila anayeponya ni mungu hata tulalamike vip mung humchukua yule anayemtaka kwa wakat anao utaka yeye

    • @JacksonMutinda-jw5qw
      @JacksonMutinda-jw5qw 19 วันที่ผ่านมา

      Nawashagaa sana Mimi maana aina aja kutueleza megne,

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 20 วันที่ผ่านมา

    Hata kama wangempa referral kwenda mbali ikiwa Mungu ametuwekea mipaka ambayo mwanadamu hawezi kuivuka.wko waliyopelekwa mbali lkn hawakurudi wazima,hivyo badala ya kulaum tushukru kwa yote ingawa ni ngumu kulipokea kwa ndugu zakee.nafikri haya yaliyotokea ndiyo mapenzi ya BWANA.

  • @SwabahaFaridi
    @SwabahaFaridi 20 วันที่ผ่านมา

    Mbona tunasingizia madaktari lkn? Kama kifo kimefika kimefika hata madaktari wafanye nini, ulikua moyo hauezi work bila operation hata afanyeje lets understand first the system of the heart.. Tumshukuru mungu kwa kila hali na kwa kila jambo tusisingizie kifo hiyo ni mipango ya mungu

  • @AlphonceKomba-go3xu
    @AlphonceKomba-go3xu 16 วันที่ผ่านมา

    JPM angeenda nje angetoboa lkn uku janja janja nyingi

  • @user-ve2ve9nx2m
    @user-ve2ve9nx2m 20 วันที่ผ่านมา

    Mungu ndiye anaeyejua kila kitu 😢😢rest easy marco😢😢😢😢

  • @sarahmwakipembe5033
    @sarahmwakipembe5033 20 วันที่ผ่านมา

    Jamani duuuuu inauma Sana huyu kijana daaa anayejua Ni Mungu

  • @luckydubebello1131
    @luckydubebello1131 19 วันที่ผ่านมา

    So sad 😞 but wangemleta huku nairobi sad 😥

  • @zuhur0mar-g2d
    @zuhur0mar-g2d 17 วันที่ผ่านมา

    UpasuJi gang saa 5 mlikuwa mnachukua viungo vyake

  • @zenakavinga1648
    @zenakavinga1648 18 วันที่ผ่านมา

    Inauma sana Mungu ampumzishe,

  • @windrosechelangat
    @windrosechelangat 20 วันที่ผ่านมา

    Poleni Sana kwa familia mungu Ako na nyinyi

  • @bahaticharles2013
    @bahaticharles2013 19 วันที่ผ่านมา

    Kaka tengeneza habari nzuri na za ukweli hakuna Mungu anabaki kuwa Mungu acha kutengeneza story zisizo na msingi.

  • @EdithNeddy-hs9xv
    @EdithNeddy-hs9xv 16 วันที่ผ่านมา

    Kama hangepona mngemuacha ninyi madakitari mumechangia kwa kifo chake mungu atawaukumu vikali

  • @LovenengaKiliii
    @LovenengaKiliii 20 วันที่ผ่านมา

    Poleni familia mungu awatie nguvu

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 20 วันที่ผ่านมา +1

    Yani kuna watu mnaongea km mnatumia huko nyuma mlitaka wampulize apone na doctor mnataka asicheke kwan lipi geni duniani

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 18 วันที่ผ่านมา

    Moyo ni kitu kingine ni rizki sana Tena hadi usaidi sana

  • @OliverKarege
    @OliverKarege 11 วันที่ผ่านมา

    Mungu amrehem jamani😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @EuniceAndrew-zm8de
    @EuniceAndrew-zm8de 20 วันที่ผ่านมา

    Mimi mwenyew sijapendezwa kucheka kwa dokta anaona kawaida tu mungu akusamehe haufai kabisa

  • @ZawadikisamoKisamo
    @ZawadikisamoKisamo 20 วันที่ผ่านมา

    Madaktari wa sasa wachache wanawito wengine ni pumba nakumbuka mwaka jana nilitaka kurudiwa sindano nikakata nililalamika walipogundua walimsimamisha kazi uzembe upo

  • @kayungilojuma7361
    @kayungilojuma7361 20 วันที่ผ่านมา

    Jamani tusisingizie tena Madakitar Tumwombe marehemu apumzishwe KWA amani

  • @jenirwegasira
    @jenirwegasira 20 วันที่ผ่านมา +1

    Poleni sana😢

  • @DorisKaranja
    @DorisKaranja 20 วันที่ผ่านมา +1

    This guy vile anacheka it's seems ni nyenye amefanya our brother Marco Joseph atuwache may God see you 😭😭😭😭

  • @marysynaider4981
    @marysynaider4981 20 วันที่ผ่านมา

    Hio ilikua ngumu,, angetibiwa Kenya, karen heart hospital naamini wangeweza

  • @Evelynbonifas
    @Evelynbonifas 20 วันที่ผ่านมา +1

    Kama kweli kuna namna madactar mungu anawaona

  • @LeahMathias-ls4fm
    @LeahMathias-ls4fm 20 วันที่ผ่านมา

    Polen sana kwa kuondokewa na mpendwa wetu bwana ametoa na bwana ametwaaa jina la bwana libalikiwe

    • @LeahYona-zn5sn
      @LeahYona-zn5sn 20 วันที่ผ่านมา

      Unajina kama langu yote mawili duh😢

  • @EuniceAndrew-zm8de
    @EuniceAndrew-zm8de 20 วันที่ผ่านมา

    Mungu awatie nguvu katika hiki kipindi jamani 😢

  • @rachelrodgers5080
    @rachelrodgers5080 19 วันที่ผ่านมา

    mmmh kutobolewa tena mmmmh jaman ....

  • @Petitejollie
    @Petitejollie 20 วันที่ผ่านมา +1

    Jifunze kuongea kwa kutofautisha L na R

  • @GeorginaMkumbwa
    @GeorginaMkumbwa 20 วันที่ผ่านมา

    Poleni.Huko ni nyumbani tutamkuta .

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 20 วันที่ผ่านมา

    Jamani si wangeweka huo mwili dawa ya kutosha? Ndugu walipaswa wasimamie utaratibu mzima wa kuhakikisha mwili unahifadhiwa vizuri.

  • @TatuMussa-q3q
    @TatuMussa-q3q 18 วันที่ผ่านมา

    Pumzika kwa aman

  • @viviankemunto4435
    @viviankemunto4435 20 วันที่ผ่านมา +1

    Ak wangempeleka tu india ,tungechanga pesa lakn mungu ako na sababu ,,lakn daktari walikuwa careless

  • @victorianjau8856
    @victorianjau8856 20 วันที่ผ่านมา

    🤔🤔🤔 mmm kuna maswali mengi sana?? Katika hichi kifo mwenye ufahamu afahamu' kwanini asiangwe na kuagwa watu wanamtizama usoni 'eti kaharibika sana'pili kwanini wa harakishe mazishi' kama hakuna mchezo mchafu unao endelea ila 👉👉 nyie 'mungu anawaona mliomfanyia mwenzenu hivi' na nyinyi mapua yenu yameinamia chini' nanyi mtafuata Msijisaulishe 'kazi kuwachukua watu misukule'kukatisha maisha ya wenzenu ole wenu siku zenu zaja

  • @hackileo
    @hackileo 20 วันที่ผ่านมา

    Ukwel utabaki pale pale wakt wako ukifika mungu anakuchukua wanadamu wabaki na sababu

  • @JacksonMutinda-jw5qw
    @JacksonMutinda-jw5qw 19 วันที่ผ่านมา

    Maneno nmengi yameogelewa uko Tanzania tangu afe,,ili kusema mwili umeariba sana cwezi amini Mimi,hakuna kosa la dactari apo,nmidomo mumeeka sana ju mmekosa LA kuogea enyi waogeaji

  • @user-oy9wr2zc6x
    @user-oy9wr2zc6x 18 วันที่ผ่านมา

    Apumzike kwa amani

  • @NtamamiloGibson
    @NtamamiloGibson 20 วันที่ผ่านมา

    Mbona inajulikana tu kuwa mtu aliyefanyiwa upasuaji mkubwa huwa ni vigumu kumtunza kwa muda mrefu.

  • @NeemaMkwemba-ws9du
    @NeemaMkwemba-ws9du 20 วันที่ผ่านมา

    Ukishaambiwa unaumwa moyo ni kumuomba mungu mungu tu,,

  • @ExodusMarcStanley
    @ExodusMarcStanley 20 วันที่ผ่านมา +1

    Usiombe kufanyika majaribio kwa madaktari

  • @janejoel2465
    @janejoel2465 20 วันที่ผ่านมา

    Jaman, wanakosea sana madaktar . Mtu anatatizo la moyo halafu mna mwambia usipo fanyiw upasuaji hupon jaman kibinadam kweli pressure inaweza kupanda au kushuka uwi lazima aliwaza pia kibinadam.

  • @joycemkeka3769
    @joycemkeka3769 19 วันที่ผ่านมา

    Sio kila kicheko kinamaanisha furaha 😢😢