MSTAAFU KIKWETE AFICHUA BABA'AKE MANJI ALIVYOFARIKI KWA SARATANI ya NGOZI AKAMWAMBIA AMLEE MANJI...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
  • MSTAAFU KIKWETE AFICHUA BABA'AKE MANJI ALIVYOFARIKI KWA SARATANI ya NGOZI AKAMWAMBIA AMLEE MANJI...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 33

  • @JosephKilapilo
    @JosephKilapilo 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera sana Raisi mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete kwa hekima & busara kubwa sana ambayo Mwenyezi Mungu amekujalia kuwa nayo.
    👉Wewe ni mmojawapo ya viongozi wastaafu katika bara la Afrika, ambao bado uko mioyoni mwa wananchi walio wengi.
    👉Mwenyezi Mungu akujalie Afya njema, Nguvu tele & Uzima tele katika majukumu yako ya kila iitwapo leo.

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 2 หลายเดือนก่อน

    Dr jakaya hakika wewe ni baba wa taifa mungu akulinde inshallah 🙏

  • @publicrelations4600
    @publicrelations4600 3 หลายเดือนก่อน +10

    Best president ever in Tanzania

  • @PastoryNdemela
    @PastoryNdemela 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana
    Mwananchi

  • @FahadAbubakari
    @FahadAbubakari 3 หลายเดือนก่อน +12

    Mzee ananchekesha kila msiba yeye lazma anastori flani hivi ambayo hakuna aliewahi ijua

    • @MassoudAlly-c9e
      @MassoudAlly-c9e 3 หลายเดือนก่อน +3

      Ni mtu wa watu

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 3 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@MassoudAlly-c9eSiyo mtu wa watu,ni mcheshi kama wacheshi wengine tu

    • @MassoudAlly-c9e
      @MassoudAlly-c9e 3 หลายเดือนก่อน

      @@mataypanga5262 ok

  • @modyworldmody4297
    @modyworldmody4297 3 หลายเดือนก่อน +1

    انا لله وانا اليه راجعون الله يرحمه

  • @ModextaModexta-on7mi
    @ModextaModexta-on7mi 3 หลายเดือนก่อน

    🙏🤲🤲

  • @akbarkisamo8392
    @akbarkisamo8392 3 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉

  • @YusufLubangula-yn6tq
    @YusufLubangula-yn6tq 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nivyema walivyo kuteua kuamgeni Rasmi Wewe ni mtu muhimu sana! Tuwape pole wafiwa INNA LILAH...

  • @yahayaallytv2852
    @yahayaallytv2852 3 หลายเดือนก่อน +5

    Uongozi wa Magufuli alimuonea sana manji

  • @EsterSekela
    @EsterSekela 3 หลายเดือนก่อน +1

    tajiri yeyote akiwa ni shabiki wa yanga anajua mwanao, sipendi sema sana ila una ubinafsi sana, icon zipende timu zote coz wewe ulikua ni kiongozi wa nchi!!!

  • @mmassyferguson4959
    @mmassyferguson4959 3 หลายเดือนก่อน +2

    Wewe ndie rais wangu bora mpaka sasa

  • @calvin6445
    @calvin6445 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ulikua unamliwaza au unambeba rais wetu acha zako basiii😂😂😂

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha 3 หลายเดือนก่อน

    Kumbe ufisadi ulianzia mbali! Baba yake Manji alijua kuwa nafasi ya fisadi huyu ingemfanya Kikwete awe ngazi nzuri ya kuchumia utajiri haramu. Nchi ikiwa na viongozi wa hovyo na wenye uwezo mdogo wa kufikiri wanatumiwa kama nepi. Nashukuru sikuishi chini ya utawala wa fisadi huyu aliyeacha makashfa makubwa kama vile Richomond, EPA, Escrow , IPTL na mengine mengi.

  • @BraytonMwakitalima
    @BraytonMwakitalima 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wauzaji wa nchiiiii

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 3 หลายเดือนก่อน

      Mtu Huna Chakukomenti Unatulia Tu. Ndio Ubinadamu

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 3 หลายเดือนก่อน +7

    JK Rais wangu wa wakati wote. Hivi hairuhusiwi kugombea Tena?;

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hakustahili,agombee nini tena😂

    • @MusaNgao
      @MusaNgao 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ni suala lakikatiba lakini kubwa zaidi ni kuwa Tanzania yetu ina hekma katika suala la uongozi hasa kutazamia umri wa mtu, mamlaka imemtambua mstaafu katika malezi ili iwe lulu na kivutio kwa vizazi vijavyo mfano mzuri ni mzee mwinyi alibamba makini zetu hasa kwa vichekesho vyenye vioja kadha wa kadha lakini hakusahau kutufunza kwa kutumia stara na busara zake.

  • @PULKERIAIZIDORY
    @PULKERIAIZIDORY 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hmmmm hata sauti moyo unashtuka nilisikia huyu baba naogopa maana huyu ni mungu wa dunia

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 3 หลายเดือนก่อน +1

      Duuu

    • @kisomekiguwa3706
      @kisomekiguwa3706 3 หลายเดือนก่อน +2

      Kafanya nini watz mna mambo ya ajabu sana mmezoea kukaririshwa kikwete hana tatozo ila watz wamezoea kukariri mtu akisemwa na mbaya wake basi wote wanazomea bila kujua nini kinaendelea.

    • @frankjoely3313
      @frankjoely3313 2 หลายเดือนก่อน

      Maskini wengi wamejaa wivu tu.

  • @angelsgabriely3575
    @angelsgabriely3575 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ndo maana ukampa rasilimal za nchi yetu Tz kwa kufaidsha tumbo lako ee,..mkafkr Maguful ndo wakufa ye hatakufa?..ndo mjue muache kuuwa wengne kwan kila mtu atakufa,..na muwe wazalendo wa kwel muache unafk

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 3 หลายเดือนก่อน +1

    Katiba ndio kikwazo ila mzee unastahili kuendelea kuwa Raisi

  • @HassanAbdallah-f6o
    @HassanAbdallah-f6o 3 หลายเดือนก่อน +3

    Raisi wangu pendwa

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 2 หลายเดือนก่อน

    Dr jakaya hakika wewe ni baba wa taifa mungu akulinde inshallah 🙏