WATOTO WA MARCOS WAWALIZA WATU WALIPOIMBA WIMBO HUU MBELE YA JENEZA LA BABA YAO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
  • Jeneza lililobeba mwili wa aliyekuwa mwimbaji wa kundi la Zabron Singers, Marco Joseph, likitolewa ndani kwa ajili ya kuagwa na wananchi nyumbani kwao Kahama mkoani Shinyanga, kabla ya maziko yatakayofanyika leo Agosti 25,2024.
    Joseph alifariki dunia usiku wa Agosti 21, 2024 wakati akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa moyo katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) jijini Dar es Salaam.
    #zabronsingers

ความคิดเห็น • 95

  • @grace_gracious
    @grace_gracious 17 วันที่ผ่านมา +2

    Be strong n courageous, family of late Marco, for God is with you , He will never leave nor forsake you ,,trust in Him n never relie in your own understanding but acknowledge Him in all your ways n He will prosper your path in Jesus mighty name. ❤Much love from Kenya.
    Na ile kipawa ya wimbaji iliyokuwa na Marco saasa itakuwa kwa hawa watoto kwa utukuvu wa Mungu.

  • @JemaMatupa
    @JemaMatupa 13 วันที่ผ่านมา +2

    Du polen sana adi chonj linanitok Mungu awatie nguvu watoto wazur😭😭

  • @RyanMuliro
    @RyanMuliro 3 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana watoto wa mikro take heart 😂😂😂😂😂😂

  • @user-iq3ik4ph2v
    @user-iq3ik4ph2v 18 วันที่ผ่านมา +3

    Polen sana watoto wazuri Mungu upo pamoja nanyi 🙏🙏

  • @manwalimshali2986
    @manwalimshali2986 18 วันที่ผ่านมา +6

    Poleni Saana Wana Wa MunGu,
    Na MWENYEZI MUNGU Akawe Pamoja Nanyi Katika Hali Zote

  • @gaudensiamganga1695
    @gaudensiamganga1695 18 วันที่ผ่านมา +1

    Aminaa. Nimejikuta nalia ata sielewi.polen sana wanangu

  • @user-ix9pg3pr5m
    @user-ix9pg3pr5m 3 วันที่ผ่านมา

    Pole sana mungu awabariki sana

  • @user-bk3fu2kj5m
    @user-bk3fu2kj5m 18 วันที่ผ่านมา +2

    Poleni sana,mungu akawe tulizo lenu .

  • @ShukranMustapha
    @ShukranMustapha 18 วันที่ผ่านมา +5

    Poleni sana wanangu wazuri

  • @carolynekhavere8379
    @carolynekhavere8379 18 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu huko pamoja na nyinyi watoto ❤❤

  • @Josephatkomba-x2m
    @Josephatkomba-x2m 18 วันที่ผ่านมา +2

    poleni wadogo zangu mungu awatie nguvu

  • @deobenedictakyoo3140
    @deobenedictakyoo3140 18 วันที่ผ่านมา +1

    😢 nlipofiwa nkabk peke yangu ,aisee nliteseka ,yn km naona yajsyo Kwa Hawa watoto😢😢😢😢😢

  • @TabithaKija
    @TabithaKija 18 วันที่ผ่านมา +2

    Watoto wazuri poleni mungu awe nanyi kila wakati

  • @MariaKalama-m4h
    @MariaKalama-m4h 17 วันที่ผ่านมา

    Mungu awalinde Watton ❤mkue tkt imagine na kumpendeza mungu,

  • @ZaituniNyanje
    @ZaituniNyanje 18 วันที่ผ่านมา

    Pole sana watoto pamoja na family mungu awe pamoja nanyi katika wakati uu mgumu 😪😪

  • @SaraJoshua-ht6hl
    @SaraJoshua-ht6hl 18 วันที่ผ่านมา +2

    Poreni sana mungu Yuko pamoja nanyi

  • @jacquelinerite3730
    @jacquelinerite3730 18 วันที่ผ่านมา

    Watoto wa Yesu..Poleni sana ila Bwana Yesu atawalea. Apumzike kwa amani Baba

  • @EvaristKitahelemba
    @EvaristKitahelemba 18 วันที่ผ่านมา +1

    Poleni sana watoto Mungu awatie nguvu

  • @marthamsacky6973
    @marthamsacky6973 5 วันที่ผ่านมา

    Nakosa neno😢😢😢
    Mungu tuu ndie analojambo juu Yenu

  • @Deecky
    @Deecky 6 วันที่ผ่านมา

    May God stand with the family.Orphans are his.

  • @neemaally5997
    @neemaally5997 15 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢😢😢😢Mungu awape Faraja watoto wazuri 😢jaman nimejikuta nalia polen sana

  • @marykarebeti9410
    @marykarebeti9410 18 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli maisha ya mwanadamu ni Mungu tu!

  • @MaritimChepkurui
    @MaritimChepkurui 10 วันที่ผ่านมา

    Maybe God be with you😢😢
    We all feel the pain😢
    Till the resurrection morning 😭😭🙏

  • @EbbyValeria
    @EbbyValeria 16 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana,,mungu awe pamoja nanyikila wakati

  • @AgnesiHosea
    @AgnesiHosea 15 วันที่ผ่านมา

    Jmn poleni watoto,, Mungu awalinde na kuwatunza?

  • @mariapeter6787
    @mariapeter6787 17 วันที่ผ่านมา

    Poleni Sana watoto waziri Mungu yu pamoja nanyi

  • @WinnieTowet
    @WinnieTowet 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Poleni sana watoto

  • @SaumuFrank
    @SaumuFrank 14 วันที่ผ่านมา

    Woi 😭😭😭😭😭poleni sana watoto wetu acha mungu awafariji

  • @paulinewere8862
    @paulinewere8862 14 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana,, Mungu awape nguvu

  • @user-mp5sq8fn3l
    @user-mp5sq8fn3l 17 วันที่ผ่านมา

    Poleni wanangu mungu yupamoja nanyi❤

  • @joshuanyami2687
    @joshuanyami2687 18 วันที่ผ่านมา

    Bwana Yesu,,,awatie nguvu familia,,.tumaini liwe kwake2

  • @joycemwenura4120
    @joycemwenura4120 12 วันที่ผ่านมา

    Mwenyezi MUNGU awe pamoja nanyi watoto wazuri machozi yamenitoka

  • @estachengula3902
    @estachengula3902 18 วันที่ผ่านมา

    Mungu mume wa wajane umtunze mama huyu na watoto roho mtakatifu awe Nuru ktk maisha yot

  • @HellenHellen-d4i
    @HellenHellen-d4i 18 วันที่ผ่านมา

    Mungu awatunze muiendeleze kazi ya baba

  • @irenekathambi3053
    @irenekathambi3053 16 วันที่ผ่านมา

    This is another generation Marco family his raising congrats,poleni sana Marco family

  • @JahnjeanjayNjau
    @JahnjeanjayNjau 16 วันที่ผ่านมา

    Mungu aliye mkuu atawapa faraja iliyo kuu na wala msilie wanangu

  • @nancygilliad2883
    @nancygilliad2883 18 วันที่ผ่านมา

    Mungu awatunze daima msione kupungukiwa

  • @monicahkemunto8645
    @monicahkemunto8645 15 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana kwa familia nzima

  • @michaelmshighati8432
    @michaelmshighati8432 18 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana Watoto wa Marco Joseph

  • @edithrwechungura2768
    @edithrwechungura2768 17 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu awatie nguvu watoto mazuri...Mungu hatowaacha yy ni baba siku zote

  • @MariamuKashonele
    @MariamuKashonele 17 วันที่ผ่านมา

    Poreni watoto wazuri mungu awatie nguvu

  • @mariamohon8366
    @mariamohon8366 14 วันที่ผ่านมา

    Wanangu mungu awatie moyo hiki ni kipindi tu mungu atawavusha

  • @JoyNaliakawafula
    @JoyNaliakawafula 18 วันที่ผ่านมา +1

    Poleni sana tena sana

  • @IllhamMsuy
    @IllhamMsuy 17 วันที่ผ่านมา

    Polen mung yupamoj😭😭😭😭 na nyinyi atakuw mfarij weng🤲🤲

  • @LylianeBauma
    @LylianeBauma 16 วันที่ผ่านมา

    Poleni Sanaa wandongo zangu

  • @FabiolaShoo
    @FabiolaShoo 17 วันที่ผ่านมา

    Mungu awatunze,awe pamja nanyi😭

  • @user-zh4yx7bd9d
    @user-zh4yx7bd9d 17 วันที่ผ่านมา

    May God take control🙏

  • @ronikapatrick2757
    @ronikapatrick2757 5 วันที่ผ่านมา

    Pole sana watoto polen

  • @getrudahossea4533
    @getrudahossea4533 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana

  • @SelinaOwenya
    @SelinaOwenya 7 วันที่ผ่านมา

    Jamani inaumiza sana hawa watoto hawatasahau kamwe

  • @JacquelineKinyonge
    @JacquelineKinyonge 11 วันที่ผ่านมา

    Nimeshindwa kuvumilia nimelia mwenzenu 😭😭😭😭

  • @MelaniaMallya
    @MelaniaMallya 8 วันที่ผ่านมา

    😢😢POLENI WATOTO WETU,MUNGU ATAWATUNZA MTAKUA

  • @EsterBala-q7z
    @EsterBala-q7z 17 วันที่ผ่านมา

    Polen watoto wangu mungu you nanyi Kat yen amesmama awatie nguvu😂

  • @beatykrisam81
    @beatykrisam81 10 วันที่ผ่านมา

    Zabron mpya hiyo 😢😢

  • @SuzanFelix-mo8fq
    @SuzanFelix-mo8fq 18 วันที่ผ่านมา +1

    Heri ya wafu wafio katka bwana😢😢

  • @esuvatlukumay9587
    @esuvatlukumay9587 18 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu yupo nanyi baba kaenda kuandaa makaoo

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 17 วันที่ผ่านมา

      Kwahiyo Marco kawa Yesu tena?

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 17 วันที่ผ่านมา

      Kwahiyo Marco kawa Yesu tena?

  • @ronikapatrick2757
    @ronikapatrick2757 5 วันที่ผ่านมา

    Pole watoto

  • @pilisuligi553
    @pilisuligi553 18 วันที่ผ่านมา

    Mungu awe faraja ktk familia hii

  • @RichardMhina-jr8xr
    @RichardMhina-jr8xr 16 วันที่ผ่านมา

    Mungu awaits nguvu

  • @HairathMangare
    @HairathMangare 18 วันที่ผ่านมา

    Poleni poleni sana

  • @DamarisMokaya-z5t
    @DamarisMokaya-z5t 18 วันที่ผ่านมา

    Poleni xna Mungu awe nanyi

  • @calebmuturi
    @calebmuturi 11 วันที่ผ่านมา

    mungu mbona ,pole sana

  • @MwatanosalumNdengenyu
    @MwatanosalumNdengenyu 5 วันที่ผ่านมา

    Mbona nalia jmn😢😢😢

  • @mackdmitanda5629
    @mackdmitanda5629 9 วันที่ผ่านมา

    😭😭😭😭daah cna chakusema

  • @maberamainchurch9182
    @maberamainchurch9182 16 วันที่ผ่านมา

    Kama Mimi inaniuma ivi Je familia jaman polen sana

  • @ZxnsWbak-gj1rv
    @ZxnsWbak-gj1rv 18 วันที่ผ่านมา

    Bestrong mybabys

  • @ZxnsWbak-gj1rv
    @ZxnsWbak-gj1rv 18 วันที่ผ่านมา

    Polesana family

  • @user-ww9pd1gz5g
    @user-ww9pd1gz5g 18 วันที่ผ่านมา

    Polen san jmn 😭😭😭😭🙏

  • @paulmatata
    @paulmatata 18 วันที่ผ่านมา

    Jamani inauma sana eti

  • @FRIDANYIMBO
    @FRIDANYIMBO 9 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂 polen

  • @SubiraMasak
    @SubiraMasak 10 วันที่ผ่านมา

    Polen watto

  • @ronikapatrick2757
    @ronikapatrick2757 5 วันที่ผ่านมา

    Nasema pole

  • @user-ck3hg9cc1t
    @user-ck3hg9cc1t 18 วันที่ผ่านมา

    Polen sana wanangu

  • @user-en9ro6dr1o
    @user-en9ro6dr1o 18 วันที่ผ่านมา

    Poleni

  • @JohnThomas-mq5fw
    @JohnThomas-mq5fw 18 วันที่ผ่านมา

    Mungu yupo pamoja nanyi watoto

  • @nyaoremakarrriku91
    @nyaoremakarrriku91 18 วันที่ผ่านมา +1

    Why allow this kids to sing this tough song in a midst of their loss? It's not right. The kids do not understand what death is all about

  • @bernadetteshukuru9154
    @bernadetteshukuru9154 11 วันที่ผ่านมา

    😭😭😭😭

  • @ZxnsWbak-gj1rv
    @ZxnsWbak-gj1rv 18 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @ronikapatrick2757
    @ronikapatrick2757 5 วันที่ผ่านมา

    Najikuta nalia

  • @Bil-Tone
    @Bil-Tone 18 วันที่ผ่านมา

    😭

  • @BarakaWicklifu
    @BarakaWicklifu 18 วันที่ผ่านมา +2

    Poleni sana wadogo wang

  • @ShunjoyWanja
    @ShunjoyWanja 12 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana.mungu awatie nguvu.

  • @EmmanuelMuigo
    @EmmanuelMuigo 8 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana jipeni nguvu

  • @user-pm4tw4cn2b
    @user-pm4tw4cn2b 18 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana watoto

  • @user-ln2wi8jv6i
    @user-ln2wi8jv6i 14 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana

  • @DeolindaAlexandre-q5o
    @DeolindaAlexandre-q5o 12 วันที่ผ่านมา

    😭😭😭😭

  • @JoycePoul-l8y
    @JoycePoul-l8y 17 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana familia Mungu awe nanyi

  • @user-cw3yj6ji1c
    @user-cw3yj6ji1c 18 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana

  • @josephinemtei186
    @josephinemtei186 14 วันที่ผ่านมา

    😭😭😭😭😭

  • @petermillumba7575
    @petermillumba7575 16 วันที่ผ่านมา

    😭😭😭