Hallelujah Hallelujah,,nimekuwa na ugonjwa wa growth ndani ya jicho langu.ilikuwa inafaa nifanyiwe operation,,lakini nilisikiza hizi nyimbo na nikamini mungu,,nashukuru mungu ameniponya
Hallelujah 🙏🙏napenda hizi nyimbo saaaaana beacuse hua sinanituliza Roho yangu like nimeona nimefika mwisho,nikizikiza najua nko na mungu karibu sina haya tena 🙏🙏🙏🙏👍
Mungu aliyefanya njia kavu baharini na njia kuu jangwani akuonekanie maana umeenda jangwani Bado ni Mungu akufanyie njia pasipo na njia alimsikia Ishmael akampatia maji natuma malaika wa msaada akutoe.
Amen uu wimbo sa rohoni imenitia mwoyo nimepitua maisha ngumu sna kwa maisha ,Mmi ni mjane mzee alipata road accident 2007 akaniajia watoto watatu nashukuru mungu mahali nipo kwa sai
Mungu wangu naomba namimi bwana unipe nguvu baba yakushinda ulimwengu, na unipe aja ya moyo wangu ninaaja unifunguwe tumbo langu baba yangu unipe namimi watoto yesu wangu😢😢😢
hi guys good mrng, when I listen this song nahisi Nina nguvu na Imani sana kua mzima, let's pray koz ni temptation mingi tunapitia kwa wale tuko gulf na wengine wenye hawako gulf, this song is hiting me so much , may God continue blessing you Daniel sifuna endelea kumjua mungu sana, na awezi kuwacha kamwe,
Jamani mungu wangi nilikukosea wapi shida baada ya ingine kazi yngu kaisha mama angu kawa mgonjwa sasa wakati hnfio nimeingia kazini sasa baba yangu kashikwa na traffic police na wanatka fine ya shillingi elfu thelathini aki mungu wangu nilikosea wapi jamani basi unirehemu 😪😭😭😭
Amen ninapo sikiza hizi nyimbo nahisi niko karibu naye yehova katika ulimwengu wa kiroho sifa na utukufu nikwake yesu kristo ubarikiwe ndugu unapoendea kubariki ewngine hallelujah
Asanti kwa hizi nyimbo nzuri ninapo kata imani nazo zinaniinua tena, kwa hakika ubarikiwe nimepitia kipindi kigumu muno laki najua mungu atanionekania pamoja na familia yangu
I feel so blessed up and thankful this morning have been going through allot after loosing my job and thieves stolen my 3500 aed worth 120,000 ksh from my room but I thank God am recovering 🙏 🙌 mnikumbuke kwa maombi wapendwa😢
Nmeamka leo nikiwa chini sana 😢😢,nlipoingia you tub nkapatana na hizi nyimbo,kwa hakika sai nguvu zangu zimerudi niko sawa,na Naamini Mwenyezi Mungu ataniongoza kwa hii safari nikiwa Saudia 🇸🇦,kwa kweli Mtumishi wa Mungu, Mwenyezi Mungu akuongoze uzidi kutubariki,to God be Glory 🙏🙏🙏
I've been sick for the last two months coughing non stop, headache feeling dizzy but when I connected to TH-cam and found the worship songs I've been blessed and feeling better day by day, right now am fine and praising the Lord together. May you be blessed and continue uplifting those souls that are down, more Blessings brethren
Morning all dear lovely sisters and brothers for sure i never knew this apostle has been touched with his songs day in and out as am writing this am toothless after extracting my teeth due to infection and am trusting God to see me through as am to to for refilling on 8/7/2024 has suffered extra pain beyond but am seeing light at the end of the tunnel especially the first song am feeling the presence of the HOL;Y SPIRIT
Hakika nimepata kubarikiwa na kuinuliwa kupita tenzi hizi za injili, ninapitia changamoto nyingi kazini kwangu lakini ninatumai kwamba Mwokozi atanizururu na kutenda jambo tena....Amina, amina apewe sifa Yesu Kristo.
Amen amen and amen,aki si nimebarikiwa na hizi wimbo Yesu ni bwana na baba wa watu wote,nili shtukia nikiona shemeji yangu mtumishi wa mungu pia akitoka hosi bila malipo ya 42000,mungu yupo aki walio jua atakufa watashangaa wakimwona amerudi nyumbani, pamoja na huyo ndugu yake mwenye alimkata na panga,asifiwe yesu 🙏🙏🙏
Hallelujah Hallelujah,,nimekuwa na ugonjwa wa growth ndani ya jicho langu.ilikuwa inafaa nifanyiwe operation,,lakini nilisikiza hizi nyimbo na nikamini mungu,,nashukuru mungu ameniponya
Wow glory be to God ❤❤❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏❤
Amen amen amen amen amen amen 🙏🙏🙏 mungu wetu nidaktari WA Kila kitu
Amen 🙏🙏🤲🤲👏👏
Amen
He is able God
Mungu nimesikiza hizi nyimbo zako 😢na nakuomba unifungulie njia za kazi na ufungue tumbo langu la uzazi na ni latika jina la Yesu naomba
Amen amen 🙏🙏🙏🙏
Amen,I remember I sang it in my church yr 2015 ppl hadn't heard of it so some wept(kijito Cha utakaso)
Amen amen amen
I love this songs it's built me in spiritual 🙌🏿🙌🏿❤🙏
Who else feels like flying while listening to this wonderful songs ,wow,thenkyou Jesus
Amen amen❤❤❤❤🙏
Amen
AMEN
Sifuna ubarikiwe
Amen Amen Amen Hosana Echima Kubwa Ku YESUS Muana Wa Mungu na ♥️💋🌹
Very sick while listening 😢😢hop mungu anaenda kuniponya katika jina lake takatifu amen 🙏🙏
Mungu akutembelee, ni salama katika Yesu
Amen❤❤
@@pmblessed.5580it's true Man of God 🙏 hata hali ikiwa ngumu shout with joy for the Joy of the Lord is our strength 🙏
@@pmblessed.5580o8ooo
May healing be your portion in Jesus name
Amen aki napitia kipindi kigumu huku Iraqi 😢Naomba Mungu anione ninaposikiliza hizi nyimbo za kumtukuza 😢😩😭😭😭😭🤲🧎🙏
Mungu na akuokoe dada❤❤❤
Amen amen
Mungu akupiganie na akushindanie❤❤❤🙏🙏🙏❤
Mark 11:24.,Hesabu 14:28. Amin
Mungu anasema yeye ni mungu wa vizazi vyote, kunalo jambo gumu kumshinda?
Damu ya yesu ikufunika dadangu
Wakristo wa Jeshi la waokovu wanaelewa utamu wa tenzi za rohoni
Am lonely 💔
Jobless 😓
Homeless
But God remember me 😢
May God be with you. Wherever you are 🙏🙏
@@danielsifuna7377 AMEN 🙏
Ameen ameen😊
Amen
May God remember you and open doors for you.Mbingu sikukubali na zikukumbuke katika Jina la Yesu.Amen🙏
Ni nyimbo za baraka kwa maisha yangu sana,I'm much blessed
Kila ninapo huzunika pindi Tu nisikizavyo hizi nyimbo nayasahau machungu yote✊✊
Amen baba❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu naomba unishindie majalibu ninayo pitia kwa sasa 😭😭 ,nikisikiliza nyimbo hizi na pata faraja 🙏🙏
Amen amen🙏🙏❤❤❤
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu,nyimbo zako zanibariki sana
Mungu naomba uponyaji napo sikia huu wimbo magonjwa c sehemu yangu nikiwa huku Saudi Arabia 😢😢
Amen amen mungu akuponye kwa Jina la Yesu.
Wewe ni mshindi my siz Cecillia
@danie88899lsifuna7377
Be strong
Be strong
See mungu namba uniponye magonjwa yangu Yamato nisumbua
Amen 🙏 🙏 MUNGU awadhidishie na awabariki 🙏
Ni salama moyoni mwangu,ata hali ikiwa ngumu bado ni salama
Amen amen
Whenever I listen nyimbo za injili, huwa najaswa rohoni mwangu
Hallelujah 🙏🙏napenda hizi nyimbo saaaaana beacuse hua sinanituliza Roho yangu like nimeona nimefika mwisho,nikizikiza najua nko na mungu karibu sina haya tena 🙏🙏🙏🙏👍
Amen
Ndio maana tinzileeee.utelile shinza tee holo wane.uise wetu wa humwanye amwonjele ikhone uyendelelaje shishinza ne mbombo yakwe.
Aki napitia kipindi kigumu nikiwa huku Nairobi naomba mungu anionekanie ninaposikiliza hizi nyimbo
It shall be well
Not u alone ni wengi n all is well in Jesus name. Kuna hicho kipindi but utavuka Tu katika Kina La Yesu🙏
@@Carennasenya mungu akupiganie🙏♥️♥️
Amen am blessed while listening to this songs,God is doing great thinks in my love
Nyimbo za ukuzo nahisi Amani moyoni baada ya kusikiza hixi nyingi pokea baraka 🙏🏻
I love this songs so much,I thank God for using to come with songs like this
Baba yangu wa mbinguni nitumie msaada 😩😭🤲🤲🤲🤲🤲🤲😭
Amen amen
@mildredsakali please can I get your number ?
Just believe my siz♥️♥️♥️♥️🙏🙏
Mungu atakumia ulinzi usijali mungu wa mbinguni halali wa hanzii jipee moyo 😍😍🥰
Amen hizi nyimbo za nitia nguvu niko na kipindi kigumu sana ,niko Saudia Arabia Mungu awabariki sana
Napenda hizi nyimbo ❤❤❤❤❤
Mungu aliyefanya njia kavu baharini na njia kuu jangwani akuonekanie maana umeenda jangwani Bado ni Mungu akufanyie njia pasipo na njia alimsikia Ishmael akampatia maji natuma malaika wa msaada akutoe.
Aaaaamen
Remember me God through this worship songs,, you are my everything
Barikiwa sana na nyimbo hizi tamu na kumsifu mungu ....... nakuombea mungu aendelee kukupa ufunuo ili uwendele kutubariki na nyimbo tamu kama hizi ❤❤😅
Very enjoyable
I feel very much blessed
God has brought me to this far
Always believe in God and be thankfull
Amen uu wimbo sa rohoni imenitia mwoyo nimepitua maisha ngumu sna kwa maisha ,Mmi ni mjane mzee alipata road accident 2007 akaniajia watoto watatu nashukuru mungu mahali nipo kwa sai
Pole
Amen amen.
Pole kwa huo msiba🙏🙏🙏
@@danielsifuna7377 Thank you
@@danielmusyoki3786 Thank you
@@danielsifuna7377 Thank you
Ubarikiwe watumishi wa mungu 👏🤝
Mungu wangu naomba namimi bwana unipe nguvu baba yakushinda ulimwengu, na unipe aja ya moyo wangu ninaaja unifunguwe tumbo langu baba yangu unipe namimi watoto yesu wangu😢😢😢
Amen amen🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤
Mungu nitete kwamapitoninayoyapita ninaposikilizaizinyimbo nipatebalimachonikwako nifanikiwe ajayamwoyowangu
Niko Saudi Arabia but ninapozikixa nahizi nko nyumbani tena kanisani
Amen amen be blessed ❤❤❤❤
Me too in Saudi. Let's trust God in everything 🙏
Wow God is great jameni roho wa Mungu hujaza fikra
@@mrhome4426 Amen 🙏🙏
Same too najihisii niko uweponi mwa Bwana
Dear lord open my doors 😢😢🙏
Kazi nzuri sana mtumishi wa mungu❤
Amen❤
hi guys good mrng, when I listen this song nahisi Nina nguvu na Imani sana kua mzima, let's pray koz ni temptation mingi tunapitia kwa wale tuko gulf na wengine wenye hawako gulf, this song is hiting me so much , may God continue blessing you Daniel sifuna endelea kumjua mungu sana, na awezi kuwacha kamwe,
That second song has taken me way back to the 90's in sunday school!!!! Barikiwa sana
Najua mungu atanisaidia kupitia nyimbo za tenzi napitia mambo mangumu naona ni kama naingia binguni nikiwa saudi
Amen amen
Napigwa vita za majini... magonjwa naomba kufunguliwa kupitia hizi nyimbo
Nyimbo za wokovu zani moyo B Blessed
Can I have your number Brother
Amen, Amen, and Amen 🙏 🙌 👏
Jamani mungu wangi nilikukosea wapi shida baada ya ingine kazi yngu kaisha mama angu kawa mgonjwa sasa wakati hnfio nimeingia kazini sasa baba yangu kashikwa na traffic police na wanatka fine ya shillingi elfu thelathini aki mungu wangu nilikosea wapi jamani basi unirehemu 😪😭😭😭
Punguza kulalamika Mushukuru Mungu kwa kila jambo utaona mabadiliko
Hallelujah. May the will of God be done ❤❤❤❤❤❤
Hakika nyimbo hizi zinanibariki sana ninaposikiza be blessed mtumishi wa Mungu,,🙏🙏🙏🙏
Mungu akubariki
All hail father see me through the tough times
Amen ninapo sikiza hizi nyimbo nahisi niko karibu naye yehova katika ulimwengu wa kiroho sifa na utukufu nikwake yesu kristo ubarikiwe ndugu unapoendea kubariki ewngine hallelujah
Amen amen amen ❤ 🙏
Mungu apewe sifa na atukuzwe
Asanti kwa hizi nyimbo nzuri ninapo kata imani nazo zinaniinua tena, kwa hakika ubarikiwe nimepitia kipindi kigumu muno laki najua mungu atanionekania pamoja na familia yangu
Amen amen❤❤❤❤❤❤
Following from Kampala Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Hallelujah hizi nyimbo zinatia nguvu sana hasa kama uko kwa kipindi kigumu
Dear Lord I love you so much,yaani Mimi Sina lakukupa Bali ni kukushukurutu kwa Yale unanitendea
Very great collection👏👏be blsd ,so touched especially the first one "kijito" the best🙏
Amen amen
Mungu ndio mume wa wajane
Mingu awabariki Siku zote Kweli tunafarijika kwa hizi nyimbo
Amen❤❤❤
May God bless u 🙏
Amina Jina la BWAna YESU asifiwe
Mungu atakuongoza kwa kila jambo dada
Amen❤❤❤
Amina mbarikiwa
God bless you man of God you are a blessing to many....
I feel blessed while listening to this music ubarikiwe sana from Saudi Arabia ❤❣️❣️🥰
Amen Mungu akubariki sana sana
Amen thank you God for you using your son to lift many people. Fill blessed bro whenever you are.
Amen amen❤❤❤❤❤❤❤
Your songs make me close to God....thanks......amen
i don’t why am so touched with the 2nd song🙏🙏🙏i will never be broke in Jesus name
Amen ❤❤❤
This song usually fill my heart blessed Sunday my people be blessed
I feel so blessed up and thankful this morning have been going through allot after loosing my job and thieves stolen my 3500 aed worth 120,000 ksh from my room but I thank God am recovering 🙏 🙌 mnikumbuke kwa maombi wapendwa😢
Amen ame amen🙏🙏🙏🙏🙏
Mungo anikumbuke katika maisha yagu
Barikiwa sana hizi zinaninguza moyo wangu
Amen amen❤❤❤❤❤❤❤
Msalaba ndio asili ya mema😢,
Nmeamka leo nikiwa chini sana 😢😢,nlipoingia you tub nkapatana na hizi nyimbo,kwa hakika sai nguvu zangu zimerudi niko sawa,na Naamini Mwenyezi Mungu ataniongoza kwa hii safari nikiwa Saudia 🇸🇦,kwa kweli Mtumishi wa Mungu, Mwenyezi Mungu akuongoze uzidi kutubariki,to God be Glory 🙏🙏🙏
Amen amen🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤❤❤
@@danielsifuna7377Glory be to God 🙏🙏
@@danielsifuna7377❤L😊
Jitie nguvu Kwa kweli n Mungu tu anaeza kukusaidia Kwa hayo mapto so hizi nymbo ztakutia nguvu
Amen hki nko hpa iraq lkn sna amni na Sina nguvu ya kuomba naomba unitie nguvu mungu ninapo endelea kusikiza nyombo hizi
I've been sick for the last two months coughing non stop, headache feeling dizzy but when I connected to TH-cam and found the worship songs I've been blessed and feeling better day by day, right now am fine and praising the Lord together. May you be blessed and continue uplifting those souls that are down, more Blessings brethren
Morning all dear lovely sisters and brothers for sure i never knew this apostle has been touched with his songs day in and out as am writing this am toothless after extracting my teeth due to infection and am trusting God to see me through as am to to for refilling on 8/7/2024 has suffered extra pain beyond but am seeing light at the end of the tunnel especially the first song am feeling the presence of the HOL;Y SPIRIT
Amen
Mungu mwaminifu utarundi nyumbani
Nyimbo hizi ninazisikiliza kwa sikio La ROHONI,(ubarikiwe)
Always is my responsibility to do revistation now and again 4 my spiritual growth.
Amen amen❤❤❤❤
Hallelujah 🙏 Mungu awe nawe ninaposikiza hiza nyimbo naona moyo wangu ukipata utulivu unapatikana wapi ama kanisa angalau nishiriki ibaada na ww
This is the massage we need in this Gulf, it moves one near to God, more blessings pst Sifuna.
Amen amen amen
They never learn @@danielsifuna7377
Amen ninaposikiza nyimbo hizi za rohoni napata ukombozi wa roho
Hallelujah PSALMS 100...sing to the LORD,all the world! Worship the LORD with joy AMEN
Amen
Amen nyimbo hizi Zina ni bariki sana mahali nipo Asante baba
Hallelujah . The Good Lord who started the new work in you will carry it on until completion. You are a blessing to me here in Beirut Lebanon.
Amen amen❤❤❤❤
Amen
Hard times in my life,,, I pray to Almighty God to be on my path when am listening thing songs
Hakika nimepata kubarikiwa na kuinuliwa kupita tenzi hizi za injili, ninapitia changamoto nyingi kazini kwangu lakini ninatumai kwamba Mwokozi atanizururu na kutenda jambo tena....Amina, amina apewe sifa Yesu Kristo.
Pokea uponyaji in Jesus name
Imagine singing all songs with you but namba 3 imenishinda. 🙏🙏🙏🙏Zimenibariki sana
Usihofu mpendwa wa Yesu Mungu atarahisisha kuwa mepesi
Am passing through diffuculties dear lord help me overcome 😢
Mungu uishie mbinguni, ktk jina lako takatifu tunaomba ututembelee na ushuke na uponyaji
Nice songs🎉🎉
Ni salama rohoni mwangu. Thank you Jesus. Mungu ni pendo.
Amen❤❤❤❤
Kupitia huwimbo munguwangunipe ngufu nimalise salama unajua maitajiyangu
Barikiwa sana mtumishi wa mungu , hizo nyimbo nkiskiza zanigusa moyo wangu nn naskia uwepo wa mungu washuka
Inaniguza na kubadilisha matendo yangu ulio mbovu nakuniweka katika imani moja katika Cristo
Nahisi nmefika mwisho ju ya magonjwa hayaishi nkiwa nje ya inchi lakin kupitia hizi nyimbo nitapata uponyaji
nikisikiza kichito hufanya moyo wangu kutulia amen
Lord help me uknow me better than I know myself amen 🙏
Amen amen and amen,aki si nimebarikiwa na hizi wimbo Yesu ni bwana na baba wa watu wote,nili shtukia nikiona shemeji yangu mtumishi wa mungu pia akitoka hosi bila malipo ya 42000,mungu yupo aki walio jua atakufa watashangaa wakimwona amerudi nyumbani, pamoja na huyo ndugu yake mwenye alimkata na panga,asifiwe yesu 🙏🙏🙏
Ninapo sikiza nyimbo hizi zinaniinua sana barikiwa mutumishi wa mungu
Mungu anikumbuke kupitia Kwa hizi nyingi God bless you😂
Amen mungu zaidi kubariki familia yangu kupitia nyimbo za injili 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen
Nimebarikiwa sana mtushi wa mungu,mungu aendelee kukupa neema ya ushindi
good songs,,,really blessing listens them carefully