2HOURS TENZI ZA ROHONI, NYIMBO ZA WOKOVU NA ZA INJILI BY DANIEL SIFUNA, BEST SWAHILI WORSHIP SONGS.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 พ.ค. 2024
- NYIMBO ZA KUKUFARIJI NA KUKUTULIZA MOYO
ILI UENDELEE MBELE NA KUMWANI MUNGU LICHA YA YOTE UNAYOPITIA.
#Alone with God.
#relaxing worship songs
#relaxing Tenzi za rohoni
#Tenzi za rohoni mix
#nyimbo za wokovu mix
#Kenya Tanzania best praise and worship songs
peaceful Tenzi za rohoni
#Daniel Sifuna
Facebook Daniel Sifuna
Tiktok Daniel Sifuna
Instagram Daniel Sifuna
CALL/ SUPPORT 0746298853
GOD BLESS YOU
Amen aki napitia kipindi kigumu huku Iraqi 😢Naomba Mungu anione ninaposikiliza hizi nyimbo za kumtukuza 😢😩😭😭😭😭🤲🧎🙏
Mungu na akuokoe dada❤❤❤
Amen amen
Mungu akupiganie na akushindanie❤❤❤🙏🙏🙏❤
Mark 11:24.,Hesabu 14:28. Amin
Mungu anasema yeye ni mungu wa vizazi vyote, kunalo jambo gumu kumshinda?
Damu ya yesu ikufunika dadangu
Hallelujah Hallelujah,,nimekuwa na ugonjwa wa growth ndani ya jicho langu.ilikuwa inafaa nifanyiwe operation,,lakini nilisikiza hizi nyimbo na nikamini mungu,,nashukuru mungu ameniponya
Wow glory be to God ❤❤❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏❤
Amen amen amen amen amen amen 🙏🙏🙏 mungu wetu nidaktari WA Kila kitu
Amen 🙏🙏🤲🤲👏👏
Amen
He is able God
❤❤ napenda nyimbo zako zina niguza. Ninapo vujika roho kutoka masaibu. Kazini.
Amen amen
Very sick while listening 😢😢hop mungu anaenda kuniponya katika jina lake takatifu amen 🙏🙏
Mungu akutembelee, ni salama katika Yesu
Amen❤❤
@@pmblessed.5580it's true Man of God 🙏 hata hali ikiwa ngumu shout with joy for the Joy of the Lord is our strength 🙏
@@pmblessed.5580o8ooo
May healing be your portion in Jesus name
Barikiwa sana na nyimbo hizi tamu na kumsifu mungu ....... nakuombea mungu aendelee kukupa ufunuo ili uwendele kutubariki na nyimbo tamu kama hizi ❤❤😅
Very enjoyable
Mungu naomba uponyaji napo sikia huu wimbo magonjwa c sehemu yangu nikiwa huku Saudi Arabia 😢😢
Amen amen mungu akuponye kwa Jina la Yesu.
Wewe ni mshindi my siz Cecillia
@danie88899lsifuna7377
Be strong
Be strong
See mungu namba uniponye magonjwa yangu Yamato nisumbua
Nikiwa gulf nasikia kufarijika na nyimbo hizi hasakwa wakati ngumu huwezi omba labda kimoyomoyo God bless you
Very Good nyimbo za kuasifu Bwana Yesu Vhristo❤.
Amen nyimbo hizi Zina ni bariki sana mahali nipo Asante baba
Hallelujah 🙏🙏napenda hizi nyimbo saaaaana beacuse hua sinanituliza Roho yangu like nimeona nimefika mwisho,nikizikiza najua nko na mungu karibu sina haya tena 🙏🙏🙏🙏👍
Amen
Hallelujah 🙏🙏🙏🙏🙏 Amen may God bless you nyimbo zako nazipenda barikiwa my bro
Nimeptia magumu but mungu amenionekania kupitia hizi nyimbo na akakuinue na uimbe zaidi
Nabarikuwa sana, kijito cha Utakaso ni Damu ya Yesu!
Sifuna unasjua kusienda bro, ulikuwanga wapi, people are being Heald, good songs
Amen amen amen
Ameni! Barikiwa sana,nyimbo mwanana sana hizi♥️💯🇹🇿🇮🇱👏
Ee mwenyezi Mungu mm ni mja wako,nitazame Bwana na usikie kilio changu,kupitia nyimbo hizi nipate baraka na rehema zako.
Bwana mwema mkombozi wetu, Ganga majeraha ya moyo na mwili wangu. Baba naamini unaweza. Asante kwa nyimbo hizi zinazoniwogeza karibu na wewe ehe Muumbaji wangu❤❤
Hakika hizi nyimbo hunituliza roho baada ya serikali kupomoa hekalu letu
Asante Sana kwa hizi nyimbo za kumsifu bwana kwa hakika zimenitia Imani kwa kuwa nimetupiwa roho ya kukataliwa ,kukosa job ,kuangaika kimaisha,na roho ya kujelewa jaribu kujinyonga lakini kwa hakika Mungu ameniokoa kupitia hizi nyimbo ubarikiwe mtumishi
Naomba uponyaji wa kiafya kwa jna la yesu
Amen nahisi roho wa mungu akinitia nguvu
Mungu apewe sifa
Ingawa shetani ananitesa ni salama rohoni mwangu
Nmeona mungu kupitia hizi mungu mungu azidi kunifungua
Mungu akubariki sana kwaku mwabandu
Amen amen
Asante Yesu kwa kupata nyimbo za Kuabudu
Ubarikiwe Sana mtumushi wa mungu
Nitafunguliwa kiroho 🙏
Nyimbo za ukuzo nahisi Amani moyoni baada ya kusikiza hixi nyingi pokea baraka 🙏🏻
Ameni mungu akubariki sana mtumishi wa mungu maisha uarabuni ni magumu sana sana hasa usiku kunyongwe na majini lakini nikisikiliza hizi nyimbo na lala vizuri aki mungu akubarikie huduma yako😢😢
Kiukwel hata unapitia magumu kiasi gani lakini ukisikiliza nyimbo hizi hakika utajihisi uumbarikiwa endelea kutufariji kaka mungu akubariki sana❤❤❤
Sifa zimurudie mwenyezi mungu
Amina nimebariwa sana na hii ya kwanza hata kabla niendelee🙏🙏barikiweni sana
Hallelujah 🙏 napenda hizi songs sana ,hakika zanibariki
ILove you Jesus also I need you for my life
Who else feels like flying while listening to this wonderful songs ,wow,thenkyou Jesus
Amen amen❤❤❤❤🙏
Amen
AMEN
Huwa nabarikiwa kiukwel
Sincerely man of God nimebarikiwa sanaa na hizi nyimbo thanks you so much God bless you abundantly
Mungu akupe uponyaji wa daima
Am lonely 💔
Jobless 😓
Homeless
But God remember me 😢
May God be with you. Wherever you are 🙏🙏
@@danielsifuna7377 AMEN 🙏
Ameen ameen😊
Amen
May God remember you and open doors for you.Mbingu sikukubali na zikukumbuke katika Jina la Yesu.Amen🙏
Bwana Yesu asifiwe . Ameen
Mungu akuonekanie
Amen 🙏 utukufu umrudie mungu isinyimbo sinanijaza ki. Roho nikiwa nimelemewa naimani
Asaante mungu kwa baraka zako zidi kunikumbuka kwa wakati huu mgumu napitia
Powerful worship songs. Glory to Jesus Christ and the Holy Spirit
Thanks be unto lord
Hakika hizi nyimbo zinanipa nguvu ya kumsifu mwenyezi mungu nanimemkubali kwa yoyote yenye amenitendea
Very touching songs 🙏🙏🙏
Dear lord nimechoka kuchezewa na wanaume plz God I need my husband 🙏🙏
Amen amen amen 🙏🙏🙏❤
❤❤❤❤❤❤ barikiwa sana mutumishi wa Mungu
Amen uu wimbo sa rohoni imenitia mwoyo nimepitua maisha ngumu sna kwa maisha ,Mmi ni mjane mzee alipata road accident 2007 akaniajia watoto watatu nashukuru mungu mahali nipo kwa sai
Pole
Amen amen.
Pole kwa huo msiba🙏🙏🙏
@@danielsifuna7377 Thank you
@@danielmusyoki3786 Thank you
@@danielsifuna7377 Thank you
Nabarikiwa utukufu kwa Mungu
Amen 🙏 naomba ulinzi kwa uzao wangu
Aki Mimi nikisikia hizi nyimbo najikutanga nikiwa kwa anga ya kiroho nasikia nikiwa sauth arabia , riyath town
Barikiwa Sana ndugu, wimbo wako niwabaraka sana
Mungu naomba unishindie majalibu ninayo pitia kwa sasa 😭😭 ,nikisikiliza nyimbo hizi na pata faraja 🙏🙏
Amen amen🙏🙏❤❤❤
Ameeen nashukuru Mungu kwa maisha yangu 😭
Barikiwa sana
Nyimbo hizi zaileta roho yangu karibu na Mungu, Amen Amen
Zina nipa nguvu 🙏
Ni salama rohoni mwangu🙏🙏🙏
Hakika nyimbo hizi zinanibariki sana ninaposikiza be blessed mtumishi wa Mungu,,🙏🙏🙏🙏
Sitachoka kuskiza hizo nyimbo Kila cku direct online to support the ministry until it gets a million views because am so blessed day by day ❤❤be blessed Man of God 🙏
Barikiwa sana hizi zinaninguza moyo wangu
Amen amen❤❤❤❤❤❤❤
Amen 🙏🙏🙏 thenks bro
Amen
Mingu awabariki Siku zote Kweli tunafarijika kwa hizi nyimbo
Amen❤❤❤
May God bless u 🙏
Amen amen hizi nyimbo za nitia nguvu kazini ninapo loose hope zinanifariji more grace upon you bro may the Lord left you to another level 🙏 ❤️ 🙌
Good job mtumishi
Nabarikiwa na hizo nyimbo
Am passing through alot in Saudi may God of Abraham,isaac and jacob here my prayers through this songs 🥲
reah najua Nishida zilikupeleka uko but. Trust God utarudi ukiwasalama ukiamuka Lila asubui unaambia Mungu akupe nguvu naniko naakika utatomboa Ni Name of Jesus
Amen mungu asifiwe
thank you lord your blessings
Amen❤❤❤❤
Mungu anionekanie napitia wakati mgumu moyoni mwangu naomba mungu anipee Amani nayi pia ndugu zangu kwa christo tuompeane
Hakika mungu atue nguvu😢😢😢🙏🙏🙏
Amen
Amen nimebarikia .Mungu akubatiki
Amen nimebarikiwa
Blessings brother 🙏🙏
Aaamen
Amen mungu tuhurumie kwa boma letu tusimamishe kwa wema wako tupanguze machozi
Mungu wangu naomba namimi bwana unipe nguvu baba yakushinda ulimwengu, na unipe aja ya moyo wangu ninaaja unifunguwe tumbo langu baba yangu unipe namimi watoto yesu wangu😢😢😢
Amen amen🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤
Debt kila mahali but hizi nyimbo imenipea hope
When offered an opportunity would you do it seriously to be debt free?
@@AmosObanda23Thursday16Nov8amyes
Ubarikiwe sana
Amen may God bless you 🙏🙏🙏🙏🙏
Amen❤❤❤
Baba yangu wa mbinguni nitumie msaada 😩😭🤲🤲🤲🤲🤲🤲😭
Amen amen
@mildredsakali please can I get your number ?
Just believe my siz♥️♥️♥️♥️🙏🙏
Mungu atakumia ulinzi usijali mungu wa mbinguni halali wa hanzii jipee moyo 😍😍🥰
May God bless you and and add more years to your way
Amen amen amen
The songs are blessings to me ❤❤!!Kwaza ile ya kutakuwa mwanga🫶🫶My best ever💕💞
Hakika nimepata kubarikiwa na kuinuliwa kupita tenzi hizi za injili, ninapitia changamoto nyingi kazini kwangu lakini ninatumai kwamba Mwokozi atanizururu na kutenda jambo tena....Amina, amina apewe sifa Yesu Kristo.
Amen blessed songs🙏
Amen
Asanti kwa hizi nyimbo nzuri ninapo kata imani nazo zinaniinua tena, kwa hakika ubarikiwe nimepitia kipindi kigumu muno laki najua mungu atanionekania pamoja na familia yangu
Amen amen❤❤❤❤❤❤
His songs have been of great blessing to my spirit.He's blessed spiritually. Amen Amen 🙏🙏
Hofu rohoni sina🙏🙏🙏
Nyimbo tamu zanitia moyo katika kipindi cha mawimbi makali
Napitia kipindi kingumu lakini ninapo sikia tu hizi nyimbo zako roho yangu inafurahia
Hakika wema wa Mungu kwetu wanadamu umekuwa dhahiri katika maisha yetu kila siku. Cheki tu hili kwa mpango wa Sifa hizo zilivyotimilika kwa yeyote aliyepata na kupata nafsi ya kusikia. Barikiwa wote mliowezesha kazi hii.
Hallelujah hallelujah glory be to God 💪💪🙏🙏🙏🙌🙌🙌
Morning all dear lovely sisters and brothers for sure i never knew this apostle has been touched with his songs day in and out as am writing this am toothless after extracting my teeth due to infection and am trusting God to see me through as am to to for refilling on 8/7/2024 has suffered extra pain beyond but am seeing light at the end of the tunnel especially the first song am feeling the presence of the HOL;Y SPIRIT
Amen
Thank you may God expand your borders stay blessed as you reach many through those hymns
Aamen
Very nice song. It is true.Keep it up.
I am feeling the thymems
Amen❤❤❤
Amen 🙏🙏
My favorite worship songs🙏May God uplift u more brother
Mungu aliyefanya njia kavu baharini na njia kuu jangwani akuonekanie maana umeenda jangwani Bado ni Mungu akufanyie njia pasipo na njia alimsikia Ishmael akampatia maji natuma malaika wa msaada akutoe.
Aaaaamen