Mtumishi nimekwa nikipitia mambo magumu sana,mume wangu alitoka nyumba sai miezi tano,watu wakwao wote wananipiga vita,niliwachwa na mtoto wa mwaka moja,kuna wakati nilitami kujiuwa na mtoto kwa nyumba,nilifika mwisho,lakini nilipoañza kuskiza nyimbo zako,sai nimejipata niko na nguvu na tumaini kila kitu kitakwa sawa.ukweli mungu ni muweza wa yote,vita ni vyake milele❤❤❤may God bless man of God
My sister, you have a God in heaven wachana nayeye your life is very important keep praying and in you, you are capable. What can you do as a person? What talent do you have ? Find something that you can do that can bring you money and joy time will tell. Let him go my dear move on
KUNA TUMAINI KUTOKA KWA MUNGU KWA YEYOTE ANAYESIKIZA NYIMBO HIZI. USIKATE TAMAA KWA YOTE UNAYOPITIA LEO HII. YAWEZAKUWA NI MAZITO KWAKO LAKINI KWA MUNGU YANAWEZEKANA. JIPE MOYO TU NA UMWOMBE MUNGU. Kwa yule ambaye Hana kazi, naomba Mungu akuongoze Kila mahali unapoenda kutafuta ajira upate kibali. Roho ya kukataliwa ishindwe katika Jila la YESU. Wewe ambaye unafanya kazi na huoni mapato yako, Kila unapopata mshahara kunatokea janga Fulani pesa inapotelea huko., Mungu akuonekania na akumbuke maono Yako. Kuna nguvu za Mungu KATIKA NYIMBO HIZI. Ziimbe Kwa imani na umlilie Mungu. Kuna jambo Mungu atatenda ambalo wewe mwenyewe hutaamini. MUNGU AWABARIKI. Kwa shukrani/ support Yako MPESA 0746298853 Mungu AWABARIKI..❤❤❤🙏🙏🙏🙏
Yesu shuka unipinganie unishindanie kwa kila jambo amblo liko mbele yangu,,shuka unilindie watoto wangu vijana wangu na ndoa yangu pia mikononi mwako 🙏🙏🙏🙏🙏 wazazi ndugu na dada zangu na rafiki wote na madui pia mikononi mwako 🙏🙏 nami apa Saud Arabia shuka unilinde in Jesus name 🙏🙏🙏
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏 hixii worship zinanitia nguvu umbali mungu alinitoa sijui niseme nini mtumishi w mungu ubariikiwe sana na kizazi chsko mungu abariki kazazi chako pia
All glories onto Him👏👏👏🙌I onces almost committed suicide but GOD whispered into my ears and He said my daughter this is not what I brought you into this world to do.Stand and fight don't giveup😭🥹🥹🥹and here I am Giving praises and His Holy Name.Kwa ukweli kuna Mungu naamini ipo siku mimi na Ndugu yangu tutasalimiwa kwa heshima👏Mungu Amekuwa Baba na Mama yetu ipo siku tu 😊🙌🙌🙌🙌🙌
Amen! Huwa naskia kuwa Karibu na Mungu, nahi..si uwepo wake Karibu na Mimi na maisha yangu. Mtumishi wa mungu ,Mungu akubariki, akuongezee Neema YA uimbaji
Hii wimbo imenituliza Moyo Wangu ambao ulikuwa umevujika nilikuwa nimefika mwisho wa Dunia natamani kujiua but Mungu ameingililia katikati😢😢😢😢😢😢❤❤
Mungu akubariki very powerful song glory to God 🙏
Ameeeeen,,,,,najua Bwana atatenda ata kama itachukua mda
Nitumie musaada nisisame Jehovah🤲🙏🙏🙏
Kama si yesu mm ningekuaje kweli ameniongoa sana
Yesu shuka unipagania vita zko mbele cna amani kwa maisha yangu
Am blessed 🙏 May our heavenly father fill you with joy
Ibalikiwe Sana mungu akupe kibali Zaid mbele zake
Amen Amen Amen, may God bless you man of God,
Glory to God 🙏🙏,be blessed Man of God
Aky mungu akulinde daniel
Yesu shukaaa Yesu shukaaa 🔥🔥🔥🔥
So good be blessed man of God
Mtumishi nimekwa nikipitia mambo magumu sana,mume wangu alitoka nyumba sai miezi tano,watu wakwao wote wananipiga vita,niliwachwa na mtoto wa mwaka moja,kuna wakati nilitami kujiuwa na mtoto kwa nyumba,nilifika mwisho,lakini nilipoañza kuskiza nyimbo zako,sai nimejipata niko na nguvu na tumaini kila kitu kitakwa sawa.ukweli mungu ni muweza wa yote,vita ni vyake milele❤❤❤may God bless man of God
Amen sister
My sister, you have a God in heaven wachana nayeye your life is very important keep praying and in you, you are capable. What can you do as a person? What talent do you have ? Find something that you can do that can bring you money and joy time will tell. Let him go my dear move on
Amen 🙏🙏 dear what God can no one can do continue praying and even fasting like from 6am to 6pm and God will release his favour to you 🙏🙏🙏
It's all about you God
God has a good plans with you my sister
KUNA TUMAINI KUTOKA KWA MUNGU KWA YEYOTE ANAYESIKIZA NYIMBO HIZI.
USIKATE TAMAA KWA YOTE UNAYOPITIA LEO HII.
YAWEZAKUWA NI MAZITO KWAKO LAKINI KWA MUNGU YANAWEZEKANA.
JIPE MOYO TU NA UMWOMBE MUNGU.
Kwa yule ambaye Hana kazi, naomba Mungu akuongoze Kila mahali unapoenda kutafuta ajira upate kibali.
Roho ya kukataliwa ishindwe katika Jila la YESU.
Wewe ambaye unafanya kazi na huoni mapato yako, Kila unapopata mshahara kunatokea janga Fulani pesa inapotelea huko., Mungu akuonekania na akumbuke maono Yako.
Kuna nguvu za Mungu KATIKA NYIMBO HIZI.
Ziimbe Kwa imani na umlilie Mungu. Kuna jambo Mungu atatenda ambalo wewe mwenyewe hutaamini.
MUNGU AWABARIKI.
Kwa shukrani/ support Yako MPESA 0746298853
Mungu AWABARIKI..❤❤❤🙏🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏
@@millicentambuso3163amen amen❤❤❤
Amen 🙏
@@mildredsakali2243 ❤️❤️🙏
🎉 nimebarikiwe xana mtumishi wa MUNGU nakupenda sana ktk BWANA YESU KRSTO
Tuzidi kumwamini tu huyu yesu
God bless you man of God
amen and amen every part of this worship is my favorite
Really appreciating be blessed man of God and me too❤❤
Yesu nilinde Mungu wangu
Amen 🙏 🙏 🙏 Glory be to God.
Will something comes out me,I'm comforted that I'm not alone Jesus is with me in all this
First day to hear ur Gospel songs and fully blessed
Am so blessed by this songs🙏🙏🙏💕💕💕
Thank you pastor for the good songs zinanipa moyo kwa sababu napitia mengi magonjwa na kifamilia
Glory be to God
Mungu turehemu hizi nyimbo za sifa na ibada zimeguza moyo wangu
It's all about Jesus. His name be praised.
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Ameeeeen Hallelujah MUNGU akubariki mtumishi wa YESU KRISTO wanazareth
Ubarikiwe Sana 🙏
You blessed my heart. Be blessed 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Very powerful worship,,be blessed man of God.
Yesu shuka unipinganie unishindanie kwa kila jambo amblo liko mbele yangu,,shuka unilindie watoto wangu vijana wangu na ndoa yangu pia mikononi mwako 🙏🙏🙏🙏🙏 wazazi ndugu na dada zangu na rafiki wote na madui pia mikononi mwako 🙏🙏 nami apa Saud Arabia shuka unilinde in Jesus name 🙏🙏🙏
Aaamen Mungu awe nawe siz❤❤❤
@@danielsifuna7377 amen 🙏🙏🙏
AMEN Amen Amen @@danielsifuna7377
Nice song be blessed
Hallelujah. He is the Lord of Impossibilities
Glory be to GOD, nmetoka mbali na wewe usiniache peke yangu🙏👏 i will praise you forever lord😭
Hakika unasitahili kuabdiwa, kama si ww kuwa pamoja nami Israel na aseme Sasa👏👏
Ameeeeen ubarikiwe sana mtumishi wa mungu nyimbo ni nzuri sana❤❤❤❤❤
Ee Mungu usiniache pekeangu sitaweza 🙏🙏🤲🤲 wajua yenye nimepitia na yenye naendelea kupitia Mungu usiniache 🤲🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Amen 🙏🙏🙏 Mungu shuka utawale Kenya 😭😭🤣😭
Amen asanty nimebarikiwa moyo wangu umepona
Nkisikiza hizi nyimbo waalai mungu ni mtamu sana kushinda Kila kitu mungu niokoe pamoja na kizazi changi❤🙏🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Mungu Akubariki
Oooh yesu shuka uliona sitayaweza ukamwabia shuka yesu nko apa
Thanks man of God be blessed move on praising our Lord .
Waaah, sikua nimekutana na hii, si nikali,pilipili haitoshi, God bless you much more Dan.
Amen .tumebarikiwa sana God bless you
Amen 🙏 🙏 🙏 hizi nyimbo zinaniweka karibu n mungu sana.....napata baraka thanks God for blessing 🙏 🙏 🙏
Ni kweli Mungu ashuke ❤❤❤nyimbo zako zimenibarikj sana❤,kwanza hyo uliona sitaweza imenibariki sana
Amen worship yako imenifa nifeel waoh Mungu azidi kukubariki
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏 hixii worship zinanitia nguvu umbali mungu alinitoa sijui niseme nini mtumishi w mungu ubariikiwe sana na kizazi chsko mungu abariki kazazi chako pia
È mungu nikubuke kwa vita ninazo pitia, pstor nikubuke kwa maombi.
Yesu nko apa shuka kwa jina la yesu baba shuka unitendee oooh baba😢😢😢
Feeling blessed 😇 powerful worship 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Touching songs indeed 🙌
Powerful God with all grace macies and glory.
Amina barikiwa sana
Touching God bless you
Kama si yesu mm ningekuaje ameniongoa huyu bwana, nampenda kweli 🙏🙏
Mungu naomba Mme mazuri hii wimbo ibaliki mm na familia yangu na my daughter angle lord bless them 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nyimbo zako time nimenpendeza thhanķssss
Amen 🙏🙏 asante kwa kututia moyo wenye tumefika mwisho na kututia nguvu kupitia nyimbo hizi ubarikiwe mtushi wa mungu
Barikwa mtumishi wa mungu
Eee baba mungu muumba mbingu na nchi usinitupite na unikumbuke mtumishi wako
Amen mtumishi unazidi kunibariki na nyimbo zako
Ni wewe ujuae maisha yngu 😭,shka unitetee na unipiganie ,guza watoto wangu wavunike na damu yko,bila ww mie siez baba,
Yesu shuka ukatende miujiz katika maixhaa yangu na familia yangu mtkakatifu🙏😭
All glories onto Him👏👏👏🙌I onces almost committed suicide but GOD whispered into my ears and He said my daughter this is not what I brought you into this world to do.Stand and fight don't giveup😭🥹🥹🥹and here I am Giving praises and His Holy Name.Kwa ukweli kuna Mungu naamini ipo siku mimi na Ndugu yangu tutasalimiwa kwa heshima👏Mungu Amekuwa Baba na Mama yetu ipo siku tu 😊🙌🙌🙌🙌🙌
Najua Baba utatenda hata kama itachukua mda gani ❤🙏🙏🙏🙏
Amen! Huwa naskia kuwa Karibu na Mungu, nahi..si uwepo wake Karibu na Mimi na maisha yangu. Mtumishi wa mungu ,Mungu akubariki, akuongezee Neema YA uimbaji
Barikiwa Brother 💚
Amen nmebarikiwa sana kuabudu mungu
Mtumishi wa mungu barikiwa sana wanibariki sana na worshipping song
Ameen ameen nimebarikiwa na huduma hii ya uwimbaji, hakika namwona Mungu katik nyimbo izi nzurii❤
Barikiwa sanaa
Ubarikiwe sana mtumishi
Thanks very much for the song truly God is our helper
Blessed songs to our feeling to jesus
Be blessed man of God 🙏
Yesu shuka Umrudishe baba wafamilia James arudi nyumbani kwafamilia yake.Chochote kilichomshikilia kimwachie kwajina la Yesu
Amen, Amen 🙏🙏🙏 aki nyimbo zako sinanibariki sana
Ukimuamini mungu Akawa kalibu na maisha yako lazma ufanikiwe kila kitu kinakuw chepesi kwako❤
Amen❤❤❤❤
AMEN 🙏🙏🙏 aki mungu n mwaminifu ukimtumikia kwa haki na ukweli mimi nimepitia ,,,,vita vimekuwa mingi,,,but mungu amenishindania
Hallelujah Hallelujah Hallelujah glory back to God
Glory to God, I can't stop listening to your songs .Be blessed savernt of God.
Mungu nikumbuke😢😢
Amen amen barikiwa mtumishi wa mungu kwa nyimbo za upako
Barikiwa sana Nabii Sifuna.Huu wimbo umeniguza roho sana ukanikumbusha jinzi yesu alitukufia msalabani tuweze kupata uokovu.
Hallelujah. Uliona Niko peke yangu ukamwambia Yesu shuka.❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu shuka na uponyaji naumia na kifua
Mungu anitendee mema na kunifungulia milango za baraka kupitia hizi nyimbo 🎉🎉🎉🎉🎉 and be blessed pastor
Amina🙏🙌🙌 ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
God open many doors for you
Bila yesu Mimi siwesi kabisaaaa
Amen be blessed man of God
Best worship songs nimebarikiwa sanaa😍😍💯💯💯🙏
I can't get tired of typing AMEN mtumishi
Amén amén...mungu moyo wangu waumia nitumie msaada wako baba
Amina Amina
Amen 🙏 Mungu wangu.Barikiwa mtumishi wa Mungu
barikiwa bro aki napenda nyimbo zako
Amen 🙏🙏🙏 shikiria hapo