#TBC1

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 8

  • @afrakanaswahilitv5520
    @afrakanaswahilitv5520 3 ปีที่แล้ว

    Shukrani kwa kutupasha habari za uwekezaji Tanzania. Ni mradi safi sana haswa kwa uvunaji wa maarifa na ujuzi kutoka kwa wataalamu wa nchi za kigeni. Nimefurahi kuwaona vijana wetu chipukizi wa kihusishwa katika mafunzo na shughuli za ujenzi. Wao hao ndio wahandisi maalum wa kesho. Tuwaoteshe vizuri. Huu ni msingi thabiti ulioasisiwa na baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere na kupigwa chepuo na Rais JP Magufuli, Mungu amrehemu. Kwa wa husika wote nawatakia kila la kheri, amina.

  • @jacksonsamson6033
    @jacksonsamson6033 3 ปีที่แล้ว

    Tanzania mpya...

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 3 ปีที่แล้ว

    Safi sana Tanzania, tutamwelewa tuu.

  • @sashashamsia6894
    @sashashamsia6894 3 ปีที่แล้ว

    Mtangazaji jitahidi kupunguza maneno mengi. Wazungumza jambo muda mrefu lakini waja kuona point ipo mwishoni. Nashauri uwe short and clear kwenye point moja kwa moja. Tuchukue mfano wa milardayo

  • @shinipapaya846
    @shinipapaya846 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana Raisi wangu MAGUFULI kimeenda kivuli tu lakini wewe bado upo kama kawa

    • @afrakanaswahilitv5520
      @afrakanaswahilitv5520 3 ปีที่แล้ว +2

      Rais, marehemu Magufuli alikuwa mwanamajumui wa Afrika halisi. Tuachane na hawa visanga na vibwanga wapenda ving'ora, mbwembwe na vimulimuli. Nawatakia kila la kheri watazania. Pokea salamu zangu za dhati kutoka papa hapa ughaibuni, jiji la New York, Marekani.

  • @dickaugustino2214
    @dickaugustino2214 2 ปีที่แล้ว

    Tatizo wawekezaji wengi wenye asiri ya wahindi huwa wanalipa mishahara ya kinyonyaji sana.wahindi na wachina ndo wanaongoza kulipa mishahara ya kipuuzi kwa watanzania 😏😏

  • @abubakarharuna6712
    @abubakarharuna6712 3 ปีที่แล้ว

    Kweli mradi wa bwawa utakamilika hii kampuni nayo unahusika JNHP 👌