#TBC1

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 21

  • @irfansaleh7654
    @irfansaleh7654 ปีที่แล้ว +8

    Naitwa Moshi Mazoea naishi Msasani Moshi Kilimanjaro likini mzaliwa wa Kimanzichana Mkuranga Pwani.
    Ukitaka kufahamu mambo muhimu ya nchi+ Ulimwengu basi sikiliza TBC na ukitaka ngonjera basi sikiliza TV au redio nyingine.
    Hongereni Sana TBC.

  • @EliezaRichard
    @EliezaRichard 8 หลายเดือนก่อน

    Hongela sana nchi yangu tanzania

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana mama samia

  • @binmawanja1252
    @binmawanja1252 ปีที่แล้ว

    🎉Utaweza sana kuongea dd ubarikiwe

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 ปีที่แล้ว

    Safi sana samia.

  • @ElizabethMakwaia
    @ElizabethMakwaia 4 หลายเดือนก่อน

    Kwani uzalishaji umeeshaanza?

  • @nasibumatutera786
    @nasibumatutera786 ปีที่แล้ว

    Hongereni sana washirika wote kwa kazi nzuri.

  • @bentaomari4272
    @bentaomari4272 ปีที่แล้ว +1

    🤜🤛

  • @ismailbughudha474
    @ismailbughudha474 ปีที่แล้ว +1

    🎉

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 ปีที่แล้ว

    Yeah kazi nzuri ila serikali iwe makini wawekezaji wengine SI wazuri wakiharibu kazi tukiwafukuza wanaishia kukamata ndege zetu ili walipwe kwa faida.tuwe makini sana katika msafara wa mamba na kenge wanakuwepo.

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup9236 ปีที่แล้ว +4

    Mtu anawekeza halafu majitu toka TRA na TBS, OSHA, NEMC , Polisi, Fire na wengine wanapishana kila siku kuchukua rushwa.., kiwanda kisife kweli?

    • @fauzibinzoo6563
      @fauzibinzoo6563 ปีที่แล้ว

      Aisee umenena ni kweli kabisa Tra,tbs na hao OSHA wapo mahususi Kwa ajili ya kuwarundisha watu nyuma hasa Tra na tbs

  • @jeremiaaugustino7187
    @jeremiaaugustino7187 11 หลายเดือนก่อน

    Tuweke standard ya viwanda..,hào wanaeza jengea hata mabua

  • @thomasbutingo17
    @thomasbutingo17 ปีที่แล้ว

    We Africa countries we need China we support China. China is our saviour. Karibu China Kwan ww huna mambo ya ushoga na usagaji

  • @mr.socialtz5409
    @mr.socialtz5409 ปีที่แล้ว

    ✨️🇹🇿

  • @mlionea
    @mlionea ปีที่แล้ว

    Chinese. Ai. Sipendelei hata!

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 ปีที่แล้ว

      Unaijua china vizuri

    • @mlionea
      @mlionea ปีที่แล้ว

      @@magorymara5515 hawa watanipea tender?