KISUGU AVUJISHA MASHINE 5 ZA SIMBA ZIMEFUNGIWA NDANI|CHAMA SIO PIGO KWETU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.ค. 2024
  • KWA HABARI NA MATANGAZO
    TUPIGIE SASA
    0753393036 CALL
    0625466848 WHATSAPP

ความคิดเห็น • 35

  • @BellaTuyi-hd7tw
    @BellaTuyi-hd7tw 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    SIMBA nguvu MOJA 💪
    Kwa msimu ujao kazi nzuri Sana kwa sajiri zinazoendelea sahiv. MPANZU Lin jaman anatua MSIMBAZI
    ✍️ Mabetu &Co

  • @AmiryHamza-gs8pp
    @AmiryHamza-gs8pp 2 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli kaka kisugu unaongea vzr na point simba tunaijenga upya naamini tutakuwa vzr et

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 วันที่ผ่านมา

    Kisugu uko sahihi kabisa.Tuombe tu tupate usijali mzuri sio tunawasijili wanakuja vizuri toka kwai baada ya muda wachezaji wanakua wa ovyo:wanashuka kiwango chao tunachowasifia. Simba nguvu moya❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @MsafiriBosco-qh4kd
    @MsafiriBosco-qh4kd 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    sawa kaka dua tu

  • @user-kl9ej6yd4v
    @user-kl9ej6yd4v 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Chama babu aende tu uwa Hawa ngai wakifika utopolo

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 2 วันที่ผ่านมา

    SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SamilOmary
    @SamilOmary 2 วันที่ผ่านมา

    Simba nguvu moja

  • @michaelkasilabwa3096
    @michaelkasilabwa3096 2 วันที่ผ่านมา

    😮said huwezi ukaelewa maana we utopolo

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 2 วันที่ผ่านมา

    Safi raha badaye machungu

  • @JaziaImmanuel
    @JaziaImmanuel วันที่ผ่านมา

    Nikwelikisungu,tumefirahiwanasimba

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 2 วันที่ผ่านมา

    Chuma hijo kimewadia simba

  • @drallan6879
    @drallan6879 2 วันที่ผ่านมา +1

    we kisugu Acha kum underate chama;

    • @sakinasakina1286
      @sakinasakina1286 2 วันที่ผ่านมา

      matusi peleka kwenu mwehu mkubwa usikute wew ni shoga

    • @MicahGhloloj-bs4cy
      @MicahGhloloj-bs4cy 2 วันที่ผ่านมา

      Ajatukana mbona amesema kumu underet maana yake Ni kumchukulia poa poa

  • @babycandycharles7816
    @babycandycharles7816 2 วันที่ผ่านมา

    Kwausajili upi mnajifariji tu nyinyi mwakahuu chama pekeake atawafunga tano hatamsajili vip hamtapata tena mchezaji Kama chama Mimi haomnao wasajili sijamuona hatammoja afanane na chama nyinyi mmezowea machawa wa Simba kuwadanganya mashabiki wa Simba waliokuja kwanza mliwasifia hivohivo hakuna Kama chama

  • @kassimntara6901
    @kassimntara6901 2 วันที่ผ่านมา

    Kwa wachezaji nakupongeza ila kwa viongizi hasa nangungu wako sitajakuunga mkono abadani

  • @JacksonMartin-pb2vq
    @JacksonMartin-pb2vq 2 วันที่ผ่านมา

    Jamaa anailazimisha furaha😂😂😂😂

  • @michaelkasilabwa3096
    @michaelkasilabwa3096 2 วันที่ผ่านมา

    🎉ongea baba ongeaaaaaa

  • @JalasiIssa
    @JalasiIssa 2 วันที่ผ่านมา

    Shida ya huyu mwamba ni mwongo

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 2 วันที่ผ่านมา

    Ongea Baba.

  • @selemanisaid1435
    @selemanisaid1435 2 วันที่ผ่านมา

    M o m
    Joshua mutale. M
    Omari diakite . O
    Stephen mukwala from congo
    M. O . M

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 2 วันที่ผ่านมา

    Patachimbika meakani

  • @elizajohn8066
    @elizajohn8066 2 วันที่ผ่านมา

    Chama ni nani chama alishamaliza Simba nguvu zake yanga anakwenda kupumzika tu anajipya

  • @JacksonMartin-pb2vq
    @JacksonMartin-pb2vq 2 วันที่ผ่านมา

    Acha kumuongelea vibaya Chama mpumbavu ww

    • @manmanonline6394
      @manmanonline6394 2 วันที่ผ่านมา

      Chama kitu gan ww duka tu lile,ana mwanzo tu ila mwisho wake mbaya!....hahahahahaha“aa

  • @iddymsagalile5371
    @iddymsagalile5371 2 วันที่ผ่านมา

    tusha wazoea wakina bii vijola

  • @CharlesAlly-jp1ms
    @CharlesAlly-jp1ms 2 วันที่ผ่านมา

    Makocha wa simba ni wengi ndiyo maana benchika ameshindwa

    • @MamboMbuli
      @MamboMbuli 2 วันที่ผ่านมา

      Wewe nani

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 2 วันที่ผ่านมา

    Wewe ni nani? Simba?

  • @tosh7671
    @tosh7671 วันที่ผ่านมา

    MEMKWA

  • @user-lj8jp9dc9l
    @user-lj8jp9dc9l 2 วันที่ผ่านมา

    Ukiona mara nyingi ukiongea unazomewa tambua unaongea uchafu

  • @SadikiSaid-cp1pt
    @SadikiSaid-cp1pt 2 วันที่ผ่านมา

    uyu nae anachongeaga ata simuwere wagi ana ongea umbavu gani apo sasa

    • @romanambelle6356
      @romanambelle6356 2 วันที่ผ่านมา

      Inategemea ubongo una uwezo gani wa kuelewa saaa huelewi nn au utopolo hamuelewagi

    • @sakinasakina1286
      @sakinasakina1286 2 วันที่ผ่านมา

      toka lini utopolooo mkawa waelewa