DOCTOR MO ACHIZIKA NA USAJILI WA MAANGAMIZI SIMBA| SIWADAI TENA VIONGOZI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
  • KWA HABARI NA MATANGAZO
    TUPIGIE SASA
    0753393036 CALL
    0625466848 WHATSAPP

ความคิดเห็น • 26

  • @godfreybitakama9845
    @godfreybitakama9845 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hakika upo sawia kabisa

  • @LucianaJoachim
    @LucianaJoachim 3 หลายเดือนก่อน

    Wachezaji wa ndani wengi wametosha harafu baadaye hawapangwi wanakaa pesa zinaenda baadaye mo anakuja kusema anatumia bilioni bila sababu, yeye ndiye kasajiri matokeo mabovu tunamng'oa yeye MO,

  • @PiusLaymond
    @PiusLaymond 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa nikigeugeu hiiklp naifath nitamuonyesha hii ndio bongo tulia uspapalike

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 3 หลายเดือนก่อน

    Usiumie Jobe Atavunjiwa mkataba kwa Sasa anamalizana na Simba namna ya kulipana

  • @mohdseif2593
    @mohdseif2593 3 หลายเดือนก่อน

    KINACHO MUEEKA JOBE KWENYE SIMBA KWASASA NINI NAHAMNAKITU ANATIA ASARA TEAM TU

  • @Isakhiayusuph-jb3yx
    @Isakhiayusuph-jb3yx 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe Dr mohamed taala hamna

  • @SalimAl-mahrooqi
    @SalimAl-mahrooqi 3 หลายเดือนก่อน

    Lakini haija eleweka usajili WA simba hata hawaeleweki tunaogopa kichapo kilicho pita

  • @dominickiungulia1016
    @dominickiungulia1016 3 หลายเดือนก่อน

    Usajili umefanyika vizuri, tunategemea mazuri msimu ujao

  • @KATEGILEMABADA
    @KATEGILEMABADA 3 หลายเดือนก่อน

    So kila mchezaji nzuri lazima aitwe timu ya Taifa maana wazuri ni wengi

  • @peterchande957
    @peterchande957 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaa bonge la mshamba analazimisha kuingia kwenye mpira lkn haumtaki

    • @Theprincipalmboya
      @Theprincipalmboya 3 หลายเดือนก่อน

      Jaribu na wewe ndugu yangu

    • @jaribunimangoma4322
      @jaribunimangoma4322 3 หลายเดือนก่อน

      We ndiyo mshahara ongea nawe tukusikie

  • @xhiranation
    @xhiranation 3 หลายเดือนก่อน

    Binafc ninaham na shauku yakuona simba yetu ikirud kwenye makali yake naubora pia......hakika jina la chama linaenda kufutika kwenye fikra na masikio yawana simba.......NGUVU MOJA💪

    • @ekimnkande2873
      @ekimnkande2873 3 หลายเดือนก่อน

      Doctor asante ulipolalamika nilsema vipi huyu sasahivi Simba ipo safi Magoliiiii tunataka mambo kama haya hamaaa nenda kakahapo ma.bo safii❤❤❤

  • @franccoz94
    @franccoz94 3 หลายเดือนก่อน +1

    KWA HAMZA HAMNA BEKI HAPO MCHEZAJI HATA TEAM YA TAIFA HAITWI,HAMNA MCHEZAJI HAPO TUTALAUMIANA SANAA LIGI IKIANZAA

    • @AishshibnShibani
      @AishshibnShibani 3 หลายเดือนก่อน

      Mmh ww naye kwaiyo mchezaji mpaka aiwetwe timu ya taifa

    • @imanmasawe749
      @imanmasawe749 3 หลายเดือนก่อน

      hamza atawashangaza wengi tunajua wewe ni utopolo

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 3 หลายเดือนก่อน

    Hii timu wakizoeana mama weee hataRiii

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 3 หลายเดือนก่อน

    Alienda wapi?

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 3 หลายเดือนก่อน

    Hawa hawa, utasikia ohhh wachezaji wa ten percent😂😂 Simba wata struggle sana! Wachezaji huchukua mda mrefu ku gel! Hasa wakiwa WENGI! Kocha pia tatizo,atakua hawajui wachezaji! Ukiangalia YANGA,wanajazia tu kwenye kikosi palipo na uhitaji! Simba Timu nzima ina uhitaji🤣🤣🤣 football sio MANENO!

  • @mqsqymmh3866
    @mqsqymmh3866 3 หลายเดือนก่อน

    Kumbuka hata unaemuona chama hapo kuna mda uwa haitwi timu ya taifa wakat wabongo ndo mnamuona ni professional player

    • @Sebastianmangenyi
      @Sebastianmangenyi 3 หลายเดือนก่อน

      Yanga kazi yao kutupondea tu, wanaumia sana na MO

  • @MauaGabriel
    @MauaGabriel 3 หลายเดือนก่อน

    Mda utaongea bt viongoz wetu Jobe na Fred watupishe mcjaze wachezaj wasiokua na uwezo Wala sifa ya kuichezea simba cs tumewapatia mda wa kucheza na hawajaonesha chochote so tuwape thank u na tuongeze mbadala wa kapombe na shabalala pia tupate back mzr wa kutusaidia kimataifa,pia tupate sain nzuri ya kiungo mkabaj na strike mwenye asili ya straike

    • @LassonDominick
      @LassonDominick 3 หลายเดือนก่อน

      Daah oy!! Ila kusema kweri Fredi Coublan anajuwa mpila kiukweri! Ila wachezaji aliokuwa akicheza nao walikuwa wagumu mno! Naomba mungu sana abaki tuone kazi yake hata kwa nusu msimu jamani namkubari saana hy jamaa!!!!!!