GB64:HUYU MWAMBA ALIYETUA LEO REKODI ZAKE MYAKIMBIA WENYEWE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 93

  • @MADINAKITEMO
    @MADINAKITEMO 3 หลายเดือนก่อน +5

    GB nakukubali

  • @barakaPaulo-ei8zp
    @barakaPaulo-ei8zp 3 หลายเดือนก่อน +5

    Pamoja sanaa

  • @fatherjaytz
    @fatherjaytz 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ahadi yako kuhama team akiondoka Chama sasa unasubiri nini

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia7940 3 หลายเดือนก่อน +5

    Gb 64 kazi kazi brother

  • @barakamapayu2850
    @barakamapayu2850 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera gb64 upovizuri tunakuelewa

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 3 หลายเดือนก่อน +3

    Tunakwenda na timu na boss tunamkubali.

  • @drizyMg
    @drizyMg 3 หลายเดือนก่อน +7

    nakukubali bro GB 64 endelea kutuwakilisha ndugu zako tusiokuwa na sauti.

  • @FrancisSabai-q9v
    @FrancisSabai-q9v 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kaka nakuelewa

  • @JosephTibu
    @JosephTibu 3 หลายเดือนก่อน +7

    SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤🎉🎉🎉WAKALI WA KARIAKOO

  • @emanuerchrsimas5151
    @emanuerchrsimas5151 3 หลายเดือนก่อน +2

    bro kuwa na msimamo juzi ulimsifia ila baada ya kutambulishwa yanga unamuita mchochezi wa migomo

  • @MoshiMrisho-e6m
    @MoshiMrisho-e6m 2 หลายเดือนก่อน

    🎉Gb64 unajua sana mwamba aaa

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ebu search video za chama apo alaf uringanishe na pumba za gb64😂😂

    • @mzeebabumzee
      @mzeebabumzee 3 หลายเดือนก่อน

      Ata uyo chama kapata jina simba bisha tuone nauyo ata pata jina unya mani shika iyoo

    • @BenPeter-vp2cy
      @BenPeter-vp2cy 3 หลายเดือนก่อน

      @@mzeebabumzee mbona povu sheikh 😁😁😁 kama chama kakuuma nenda kashtaki kw mangungu😂😂😂😂😂💚💛.. simba nguvu moyaaaaaaaa

  • @JohnKulwa-c9v
    @JohnKulwa-c9v 3 หลายเดือนก่อน +7

    Gb nimekuelewa kaka

  • @KarebuPhares
    @KarebuPhares 2 หลายเดือนก่อน

    Wana Simba 2punguze maneno 2xbr uwanjani isijekua kama sawadogo

  • @selemanidando298
    @selemanidando298 3 หลายเดือนก่อน

    Msije mkawasema tena viongozi wenu tena hizi clip zinaishi

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 3 หลายเดือนก่อน +2

    Wamerithi kwa Ahmed Ally Gundu Kiroporopo Uongo
    Huyo ni Kigeugeu.

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu 3 หลายเดือนก่อน

      Achana na sisi kaiongelee timu ya wachawi yanga

    • @AdhamAlliy-mg5py
      @AdhamAlliy-mg5py 3 หลายเดือนก่อน

      Ulitaka aiponde Simba ndio mumsifie

  • @Dastanikasanda
    @Dastanikasanda 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kwahiyo ulitaka akwambie vp. Mfuate

  • @musamwakalibule3383
    @musamwakalibule3383 3 หลายเดือนก่อน

    Nilikuwa najiuliza kwanini uliondolewa kwenye ualimu? Tayari nimejua maana halisi ya vyeti feki.

  • @AllyKimeme
    @AllyKimeme 3 หลายเดือนก่อน

    Mimi nime fulai kuondoka mana Kila siku migogolo na kosha

  • @saidismail6676
    @saidismail6676 3 หลายเดือนก่อน

    Gb 64 ww ni kichwa unajua unacho kisema

  • @musamwakalibule3383
    @musamwakalibule3383 3 หลายเดือนก่อน

    Tayari gb 64 umeitwa na kupigwa noti umeanza kuwasafisha viongozi uliokuwa unawatukana hadi ukafungwa rockup ya polisi!?

  • @Shinarambod
    @Shinarambod 3 หลายเดือนก่อน

    Wee jamaa wakufukuze TU maaana ulikuwa unachochea mugomo Sasa ivi umehongwa unalopokaka2 mbona ukisema akiondoka chama unahama ACHA ujinga unakuwaa kama msariti

  • @fatherjaytz
    @fatherjaytz 3 หลายเดือนก่อน +1

    ACHA UONGO PSYCHOLOGY GANI ULITUMIA BWANA,,, WEW ULIKUW UNAMAANISHA UNAJIONA UNA AKILI SANA SIO

    • @avitusmichael5
      @avitusmichael5 3 หลายเดือนก่อน

      Fala huyo anavunga mjanja

  • @emmanuelibrahim4556
    @emmanuelibrahim4556 3 หลายเดือนก่อน +2

    Sawa ata kama nikupunguza umri ndo mtale awe na miaka 22 kweli?😅

  • @KirishwaRashid
    @KirishwaRashid 3 หลายเดือนก่อน

    Asante.. Gb.. 64

  • @BizzBoy-g4o
    @BizzBoy-g4o 3 หลายเดือนก่อน

    Niswala la muda kuwa kataa

  • @jamesgeorge8279
    @jamesgeorge8279 3 หลายเดือนก่อน

    Uliniaminisha kuwa chama haondoki popote mo keshamalizana nae mwisho wa cku chama anatambulishwa yanga kikweli ww ni mkundu tu chawa tu.

  • @OmallyAlly-cy3yt
    @OmallyAlly-cy3yt 3 หลายเดือนก่อน +2

    Sina imani nauyujamaa anawadanganya ndugu zake wa simba

  • @michaelnsingija
    @michaelnsingija 3 หลายเดือนก่อน

    sana kaka upo sawa

  • @ELIACHOMOLA
    @ELIACHOMOLA 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kumbe viongozi wako vzuri ila unadanganya sana

  • @AndrewShayo-np1sy
    @AndrewShayo-np1sy 3 หลายเดือนก่อน +3

    Siyo Shomari lawi ni Lamek Lawi

    • @emmanuelmayunga1518
      @emmanuelmayunga1518 3 หลายเดือนก่อน

      😅😅na huwa anapenda kwel kusema shamari lawi

  • @gulamjuma8939
    @gulamjuma8939 3 หลายเดือนก่อน

    Piga kazi kaka

  • @DaudiMade
    @DaudiMade 3 หลายเดือนก่อน +3

    Uko vizuri kaka

  • @elirahammwiri6519
    @elirahammwiri6519 3 หลายเดือนก่อน

    Amepoteza mvuto tokana na ahadi ambazo hazitimiii!!!

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 3 หลายเดือนก่อน

    Wakati unaongelea simba usimtaje samia utafanya nitapike

  • @raybirry3816
    @raybirry3816 3 หลายเดือนก่อน

    JAMAA MUONGOOOO! UNAGUNDUA HUA HANA ZA NDANI,ANAROPOKA TU.

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 3 หลายเดือนก่อน

    Ukweli hata uongozi wa Simba ulikuwa haumhitaji tena Chama,
    Kwa akili ya kawaida haiwezekani Simba washindwe kumzuia mchezaji mzoefu km Chama, tena ni mchezaji wa miaka 6 ndani ya Simba, hakuwa na tofauti na mke wa mtu alieishi ndani ya ndoa miaka 6,ana watoto watatu,
    Halafu ghafla unaambiwa amempata mchumba mpya tena kijana na wameanza maisha, je Hilo linafuta uzee?

    • @georgecuthbert5230
      @georgecuthbert5230 3 หลายเดือนก่อน

      Sawa hawamuitaji Chama basi wampe thank-you

  • @FumaoFumao-d8w
    @FumaoFumao-d8w 3 หลายเดือนก่อน

    Naona hurumà kwa wale watakaokùtanao simba

  • @RashidOmary-bd5oz
    @RashidOmary-bd5oz 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wacha chama aende zake tunashusha vifaa watakoma mwaka huu.

  • @LucianaJoachim
    @LucianaJoachim 3 หลายเดือนก่อน

    Aliyepunguza miaka nani ?hata hivyo haiwahusu, pakome azizi wanamiaka mingapi famyeni yenu mikundu wekeni keki mikunduni mwenu tuacheni

  • @makoreremakorere4212
    @makoreremakorere4212 3 หลายเดือนก่อน

    Heeee nimekukubali chuma Cha Simba

  • @geraldbagole4494
    @geraldbagole4494 3 หลายเดือนก่อน

    Hawa wachezaji tunawasifia Sana,ligi ikianza,misumari,mauzauza vinaanza.Viongozi wawe makini asee.

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂 acha kuamini mauzauza ..... Mpira ni science ukileta mbugila mbugila mtashikana mashati buree

    • @geraldbagole4494
      @geraldbagole4494 3 หลายเดือนก่อน

      @@mwanangusana Sisi wenye D2 tunajua,Simba wanasifia Sana usajili kabla ya ligi,matokeo mnahatarisha wachezaji bureee.

  • @FrankMaiko-xb5fn
    @FrankMaiko-xb5fn 3 หลายเดือนก่อน

    Nakuami bloo maneno yakishujaa

  • @AdijaSurutan
    @AdijaSurutan 3 หลายเดือนก่อน

    Maneno. Saii

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 3 หลายเดือนก่อน +12

    Ulitudanganya umeongea na mo kuwa issue ya chama ameimaliza, wewe siyo mkweli.

    • @DarliotonTumaini
      @DarliotonTumaini 3 หลายเดือนก่อน +2

      Weunategemea ukweli kupitia hawa 😂😂😂😂😂

    • @FadhiliRajath
      @FadhiliRajath 3 หลายเดือนก่อน +2

      Tena uyu fala kwan ajuw kma watu tunamfuatilia sana

    • @Oscarmarwa-fitnesstrainer
      @Oscarmarwa-fitnesstrainer 3 หลายเดือนก่อน +3

      Mpuuzi wewe si ulisema chama akihama utaacha kushabikia simba madako wewe

    • @Oscarmarwa-fitnesstrainer
      @Oscarmarwa-fitnesstrainer 3 หลายเดือนก่อน +1

      Matako wewe

    • @Oscarmarwa-fitnesstrainer
      @Oscarmarwa-fitnesstrainer 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hama team kama ulivyo sema

  • @ELIACHOMOLA
    @ELIACHOMOLA 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona ulisema unahamia Azam na uhame basi

  • @MakarotiKamugisha
    @MakarotiKamugisha 3 หลายเดือนก่อน

    100

  • @AsiaBakari-k4k
    @AsiaBakari-k4k 3 หลายเดือนก่อน

    bado mmoja kaka

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy 3 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂😂 jamaa ni mnafki uyuuu

  • @AllyShaban-ms7ot
    @AllyShaban-ms7ot 3 หลายเดือนก่อน

    Uko xawa

  • @MeshackChenya
    @MeshackChenya 3 หลายเดือนก่อน

    Gb 64 nakuelewa sana

  • @Shaha-d1i
    @Shaha-d1i 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mmm mtaani wanalia hukuuu schama

  • @georgebetram63
    @georgebetram63 3 หลายเดือนก่อน +1

    😂

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu mwehu msiwe mnamhoji, ni mjuaji halafu hajui, nahisi ni tapeli wa dar

    • @deniskangombe7442
      @deniskangombe7442 3 หลายเดือนก่อน

      Hivi unapataje jeuri ya kuandika maneno kama hayo Aya Sasa ngoja wakuhoji ww usiejua lolote unajua some time mnakera eti

    • @avitusmichael5
      @avitusmichael5 3 หลายเดือนก่อน

      @@deniskangombe7442 peleka ujinga huko

  • @ELIACHOMOLA
    @ELIACHOMOLA 3 หลายเดือนก่อน +1

    Unahamia lini azamu

  • @bobbyfiasco4311
    @bobbyfiasco4311 3 หลายเดือนก่อน +1

    Chawa 😂

  • @eliashagai7920
    @eliashagai7920 3 หลายเดือนก่อน +1

    Chawa

  • @othmanhamad7887
    @othmanhamad7887 3 หลายเดือนก่อน

    GB64 yule ni Lameck Lawi,yule Shomari Lawi ni refarii

    • @OmaryAlly-h1j
      @OmaryAlly-h1j 3 หลายเดือนก่อน

      Kaka unatisha nguv moja

  • @isayamneja7020
    @isayamneja7020 3 หลายเดือนก่อน +2

    We mlopokaji sana, hata usivyovijua unaropoka tu

  • @JustineMasele
    @JustineMasele 3 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤😂

  • @georgebetram63
    @georgebetram63 3 หลายเดือนก่อน

    Kubwa kuliko😂😂😂😂 namkumbuka Bugatti

  • @mzugigizzlelife6229
    @mzugigizzlelife6229 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kwani nawe si mmoja wapo aliyehitaji maandamano

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu ni muongo Sana.... Kisha anajiona ni big 😂😂😂 , anajifanya yupo karibu na viongozi 😂😂😂 kumbe hamna kitu .... Simu tu tumlichangia , aliwekwa lock up na ao ao viongozi wake ....

    • @januarysungura8119
      @januarysungura8119 3 หลายเดือนก่อน

      @@mwanangusana wewe ulimchangia nini wewe kaa kule..

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@januarysungura8119 nilichangia elfu 2 kwenye mchango. Au Imekuumiza Moyo kuwa asiambiwe ukwel kuwa ni bumundaaa ndumilakuwili