Wee jamaa wakufukuze TU maaana ulikuwa unachochea mugomo Sasa ivi umehongwa unalopokaka2 mbona ukisema akiondoka chama unahama ACHA ujinga unakuwaa kama msariti
Ukweli hata uongozi wa Simba ulikuwa haumhitaji tena Chama, Kwa akili ya kawaida haiwezekani Simba washindwe kumzuia mchezaji mzoefu km Chama, tena ni mchezaji wa miaka 6 ndani ya Simba, hakuwa na tofauti na mke wa mtu alieishi ndani ya ndoa miaka 6,ana watoto watatu, Halafu ghafla unaambiwa amempata mchumba mpya tena kijana na wameanza maisha, je Hilo linafuta uzee?
Huyu ni muongo Sana.... Kisha anajiona ni big 😂😂😂 , anajifanya yupo karibu na viongozi 😂😂😂 kumbe hamna kitu .... Simu tu tumlichangia , aliwekwa lock up na ao ao viongozi wake ....
GB nakukubali
Pamoja sanaa
Ahadi yako kuhama team akiondoka Chama sasa unasubiri nini
Gb 64 kazi kazi brother
Hongera gb64 upovizuri tunakuelewa
Tunakwenda na timu na boss tunamkubali.
nakukubali bro GB 64 endelea kutuwakilisha ndugu zako tusiokuwa na sauti.
Kaka nakuelewa
SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤🎉🎉🎉WAKALI WA KARIAKOO
bro kuwa na msimamo juzi ulimsifia ila baada ya kutambulishwa yanga unamuita mchochezi wa migomo
🎉Gb64 unajua sana mwamba aaa
Ebu search video za chama apo alaf uringanishe na pumba za gb64😂😂
Ata uyo chama kapata jina simba bisha tuone nauyo ata pata jina unya mani shika iyoo
@@mzeebabumzee mbona povu sheikh 😁😁😁 kama chama kakuuma nenda kashtaki kw mangungu😂😂😂😂😂💚💛.. simba nguvu moyaaaaaaaa
Gb nimekuelewa kaka
Wana Simba 2punguze maneno 2xbr uwanjani isijekua kama sawadogo
Msije mkawasema tena viongozi wenu tena hizi clip zinaishi
Wamerithi kwa Ahmed Ally Gundu Kiroporopo Uongo
Huyo ni Kigeugeu.
Achana na sisi kaiongelee timu ya wachawi yanga
Ulitaka aiponde Simba ndio mumsifie
Kwahiyo ulitaka akwambie vp. Mfuate
Nilikuwa najiuliza kwanini uliondolewa kwenye ualimu? Tayari nimejua maana halisi ya vyeti feki.
Mimi nime fulai kuondoka mana Kila siku migogolo na kosha
Gb 64 ww ni kichwa unajua unacho kisema
Tayari gb 64 umeitwa na kupigwa noti umeanza kuwasafisha viongozi uliokuwa unawatukana hadi ukafungwa rockup ya polisi!?
Wee jamaa wakufukuze TU maaana ulikuwa unachochea mugomo Sasa ivi umehongwa unalopokaka2 mbona ukisema akiondoka chama unahama ACHA ujinga unakuwaa kama msariti
ACHA UONGO PSYCHOLOGY GANI ULITUMIA BWANA,,, WEW ULIKUW UNAMAANISHA UNAJIONA UNA AKILI SANA SIO
Fala huyo anavunga mjanja
Sawa ata kama nikupunguza umri ndo mtale awe na miaka 22 kweli?😅
Asante.. Gb.. 64
Niswala la muda kuwa kataa
Uliniaminisha kuwa chama haondoki popote mo keshamalizana nae mwisho wa cku chama anatambulishwa yanga kikweli ww ni mkundu tu chawa tu.
Sina imani nauyujamaa anawadanganya ndugu zake wa simba
sana kaka upo sawa
Kumbe viongozi wako vzuri ila unadanganya sana
Siyo Shomari lawi ni Lamek Lawi
😅😅na huwa anapenda kwel kusema shamari lawi
Piga kazi kaka
Uko vizuri kaka
Amepoteza mvuto tokana na ahadi ambazo hazitimiii!!!
Wakati unaongelea simba usimtaje samia utafanya nitapike
JAMAA MUONGOOOO! UNAGUNDUA HUA HANA ZA NDANI,ANAROPOKA TU.
Ukweli hata uongozi wa Simba ulikuwa haumhitaji tena Chama,
Kwa akili ya kawaida haiwezekani Simba washindwe kumzuia mchezaji mzoefu km Chama, tena ni mchezaji wa miaka 6 ndani ya Simba, hakuwa na tofauti na mke wa mtu alieishi ndani ya ndoa miaka 6,ana watoto watatu,
Halafu ghafla unaambiwa amempata mchumba mpya tena kijana na wameanza maisha, je Hilo linafuta uzee?
Sawa hawamuitaji Chama basi wampe thank-you
Naona hurumà kwa wale watakaokùtanao simba
Wacha chama aende zake tunashusha vifaa watakoma mwaka huu.
Aliyepunguza miaka nani ?hata hivyo haiwahusu, pakome azizi wanamiaka mingapi famyeni yenu mikundu wekeni keki mikunduni mwenu tuacheni
Haaaa matusi Tena
Heeee nimekukubali chuma Cha Simba
Hawa wachezaji tunawasifia Sana,ligi ikianza,misumari,mauzauza vinaanza.Viongozi wawe makini asee.
😂😂😂 acha kuamini mauzauza ..... Mpira ni science ukileta mbugila mbugila mtashikana mashati buree
@@mwanangusana Sisi wenye D2 tunajua,Simba wanasifia Sana usajili kabla ya ligi,matokeo mnahatarisha wachezaji bureee.
Nakuami bloo maneno yakishujaa
Maneno. Saii
Ulitudanganya umeongea na mo kuwa issue ya chama ameimaliza, wewe siyo mkweli.
Weunategemea ukweli kupitia hawa 😂😂😂😂😂
Tena uyu fala kwan ajuw kma watu tunamfuatilia sana
Mpuuzi wewe si ulisema chama akihama utaacha kushabikia simba madako wewe
Matako wewe
Hama team kama ulivyo sema
Mbona ulisema unahamia Azam na uhame basi
100
bado mmoja kaka
😂😂😂😂😂😂 jamaa ni mnafki uyuuu
Uko xawa
Gb 64 nakuelewa sana
Kichapo kiko pale pale!
Mmm mtaani wanalia hukuuu schama
😂
Huyu mwehu msiwe mnamhoji, ni mjuaji halafu hajui, nahisi ni tapeli wa dar
Hivi unapataje jeuri ya kuandika maneno kama hayo Aya Sasa ngoja wakuhoji ww usiejua lolote unajua some time mnakera eti
@@deniskangombe7442 peleka ujinga huko
Unahamia lini azamu
Chawa 😂
Chawa
GB64 yule ni Lameck Lawi,yule Shomari Lawi ni refarii
Kaka unatisha nguv moja
We mlopokaji sana, hata usivyovijua unaropoka tu
❤❤❤😂
Kubwa kuliko😂😂😂😂 namkumbuka Bugatti
Kwani nawe si mmoja wapo aliyehitaji maandamano
Huyu ni muongo Sana.... Kisha anajiona ni big 😂😂😂 , anajifanya yupo karibu na viongozi 😂😂😂 kumbe hamna kitu .... Simu tu tumlichangia , aliwekwa lock up na ao ao viongozi wake ....
@@mwanangusana wewe ulimchangia nini wewe kaa kule..
@@januarysungura8119 nilichangia elfu 2 kwenye mchango. Au Imekuumiza Moyo kuwa asiambiwe ukwel kuwa ni bumundaaa ndumilakuwili