SEMAJI AHMED ALLY AELEZA MAZITO"ALIYEONDOKA SIMBA HANA MCHANGO KWETU|MUKWALA JITU LA BOLI |CHAMA.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.ค. 2024
  • "Mwamba wa Lusaka @realclatouschama tunamuheshimu na tunampenda" AHMED ALLY
    #simbafans #nbcsports #timuyawananchi
    #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #simbasc
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 26

  • @abdallahmdiliko8088
    @abdallahmdiliko8088 2 วันที่ผ่านมา +4

    Speed Speed, aquracy passes... muhimu sana kwenye timu.. mpira wa pasi za taratibu zitawagharimu.. mpira wa taratibu umeshapita timu zinakimbia kwa umakini

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 2 วันที่ผ่านมา

    SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉WAKALI WA KARIAKOO

  • @kassimkibwe4614
    @kassimkibwe4614 วันที่ผ่านมา

    Bora chama ameondoka, Tena tumechelewa kumuondoa🎉🎉🎉

  • @HospiaceMata
    @HospiaceMata 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Simba cyo kinyonge wajiandae sanaaaaa😢

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y 2 วันที่ผ่านมา

    Simba Uongozi uache tamaa waungane waache tofauti zao za maisha wote watembee pamoja hata wachezaji watakaa kwa Amani bila bugza kuwachomolea posho zao Mungu anawaona acheni

  • @BarakaDeus-gt8hr
    @BarakaDeus-gt8hr 2 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤❤

  • @justinmwanyingili8073
    @justinmwanyingili8073 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    🎉🎉🎉🎉🎉
    Tuko pamoja

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 2 วันที่ผ่านมา

    SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika4851 2 วันที่ผ่านมา

    Bwana waziri anakula huyu binti daaaa!

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 2 วันที่ผ่านมา

    Hata fei akiondoka yanga akaja azizi kii na azizi alikua benchi sembuse uyo mzee Tena chiba

  • @SanziNzige
    @SanziNzige 2 วันที่ผ่านมา

    Chama alitugharimu Sana kwenye.5.za hongo alihongwa psmoja na inonga Manila na wengine wengi tinawajua sense mpuuzi huyu.

  • @MuammaryAbdalla
    @MuammaryAbdalla 2 วันที่ผ่านมา

    maandaliz ya simba day yameanza ila timu bado haijaenda kwenye maandalizi

  • @justinmwanyingili8073
    @justinmwanyingili8073 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Sana ilitakiwa atoke toka mwaka jana mbona atujaona msada wake apo

  • @SautiYanguJr
    @SautiYanguJr 2 วันที่ผ่านมา

    Ila Irene 😂,., tulia sasa😂

  • @user-sx2hv1vz5e
    @user-sx2hv1vz5e 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Duu MUNGU akusamehe Sana
    Huu Ni mpila na Maisha mengine yanaendelea
    Matusi ya nini ,,,,,,baada ya kutukana umelipwa nini ,,,,,
    Achani matusi kuweni na AMANI na watu wote
    Tanzania hatuji Vita
    MUNGU ibariki Simba
    MUNGU ibariki Tanzania
    Mbarikiwe na usk mwema

  • @MohammedJaizan-yf5yt
    @MohammedJaizan-yf5yt วันที่ผ่านมา

    Hapa watu hawaulizani mambo ya mke wa mtu wanaulizana mambo ya wachezaji.
    Hayo ya mke wa nani utajuwa ww

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 2 วันที่ผ่านมา

    Chama mali na kama mtabeza sasa mtamwongezea kasi kama kumpiga teke chura

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c 2 วันที่ผ่านมา

    Huyu mwandishi ni mtoto wa ana kilango mke wa malechela?nauliza jmn

    • @abiaslimadyanse1842
      @abiaslimadyanse1842 2 วันที่ผ่านมา

      Hata mm najua hivo unavofikilia

    • @joshuamtagwa347
      @joshuamtagwa347 2 วันที่ผ่านมา

      Ndo hivyo

    • @josephatjordan5560
      @josephatjordan5560 2 วันที่ผ่านมา

      Sio kweli na hawana undugu!!!ni mtoto wa kilango tofauti!!wazazi wake wapo Mbezi Juu!!!na wadogo zake !!!wakina Kilango ni majina makubwa ya kikabila tu

    • @abiaslimadyanse1842
      @abiaslimadyanse1842 2 วันที่ผ่านมา

      @@josephatjordan5560 ok sawa

  • @mrishojuma4695
    @mrishojuma4695 2 วันที่ผ่านมา

    Hahahahaha 😂😂😅🤪 mjinga kweli wewe Ahamad Ally na mdomo wako. Wakina Onana wako wapi? Wakina Lwambangoma wako wapi? Ulikuwa unaongea hivihivi mwisho wa siku nafasi ya tatu . Nyie mafala kweli mikundu wa msimbazi.

    • @NeymaTarimo-uk1zw
      @NeymaTarimo-uk1zw 2 วันที่ผ่านมา

      Daaaaa mbona matusi ivyo ndugu yangu

    • @user-wl8uu4dw6n
      @user-wl8uu4dw6n 2 วันที่ผ่านมา

      Mbona matusi yote yanini jaman

  • @RokiPeter
    @RokiPeter 2 วันที่ผ่านมา

    Matusi yanini kama humpendi siunyamaze tu