SEMAJI AHMED ALLY AELEZA MAZITO"ALIYEONDOKA SIMBA HANA MCHANGO KWETU|MUKWALA JITU LA BOLI |CHAMA.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ก.ค. 2024
- "Mwamba wa Lusaka @realclatouschama tunamuheshimu na tunampenda" AHMED ALLY
#simbafans #nbcsports #timuyawananchi
#timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #simbasc - กีฬา
Speed Speed, aquracy passes... muhimu sana kwenye timu.. mpira wa pasi za taratibu zitawagharimu.. mpira wa taratibu umeshapita timu zinakimbia kwa umakini
SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉WAKALI WA KARIAKOO
Bora chama ameondoka, Tena tumechelewa kumuondoa🎉🎉🎉
Simba cyo kinyonge wajiandae sanaaaaa😢
Simba Uongozi uache tamaa waungane waache tofauti zao za maisha wote watembee pamoja hata wachezaji watakaa kwa Amani bila bugza kuwachomolea posho zao Mungu anawaona acheni
❤❤❤❤❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉
Tuko pamoja
SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Bwana waziri anakula huyu binti daaaa!
Hata fei akiondoka yanga akaja azizi kii na azizi alikua benchi sembuse uyo mzee Tena chiba
Chama alitugharimu Sana kwenye.5.za hongo alihongwa psmoja na inonga Manila na wengine wengi tinawajua sense mpuuzi huyu.
maandaliz ya simba day yameanza ila timu bado haijaenda kwenye maandalizi
Sana ilitakiwa atoke toka mwaka jana mbona atujaona msada wake apo
Ila Irene 😂,., tulia sasa😂
Duu MUNGU akusamehe Sana
Huu Ni mpila na Maisha mengine yanaendelea
Matusi ya nini ,,,,,,baada ya kutukana umelipwa nini ,,,,,
Achani matusi kuweni na AMANI na watu wote
Tanzania hatuji Vita
MUNGU ibariki Simba
MUNGU ibariki Tanzania
Mbarikiwe na usk mwema
Hapa watu hawaulizani mambo ya mke wa mtu wanaulizana mambo ya wachezaji.
Hayo ya mke wa nani utajuwa ww
Chama mali na kama mtabeza sasa mtamwongezea kasi kama kumpiga teke chura
Huyu mwandishi ni mtoto wa ana kilango mke wa malechela?nauliza jmn
Hata mm najua hivo unavofikilia
Ndo hivyo
Sio kweli na hawana undugu!!!ni mtoto wa kilango tofauti!!wazazi wake wapo Mbezi Juu!!!na wadogo zake !!!wakina Kilango ni majina makubwa ya kikabila tu
@@josephatjordan5560 ok sawa
Hahahahaha 😂😂😅🤪 mjinga kweli wewe Ahamad Ally na mdomo wako. Wakina Onana wako wapi? Wakina Lwambangoma wako wapi? Ulikuwa unaongea hivihivi mwisho wa siku nafasi ya tatu . Nyie mafala kweli mikundu wa msimbazi.
Daaaaa mbona matusi ivyo ndugu yangu
Mbona matusi yote yanini jaman
Matusi yanini kama humpendi siunyamaze tu