IFAHAMU HALI YA MTOTO YATIMA LAIYEKUA ANALALA NA NYOKA PEMBA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 ส.ค. 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Alhamdhulillah MashaAllah Mungu ni mwema jaman nilijua ni mtoto wa kiume kumbe wa kike mzuri❤❤❤ Allah azidi kumpa afya🤲🤲🤲
Maaashallah m pia nilijua wa kiume voh
Alhamdulillah
Na mm hvo hvo Alhamdulillah allahu akbar Allah ampe afya wote waliosaidia allahuma amiiin.
Mashallah tabarak rrahman ❤️ hata mm nlijua mtot wa kiume ivo kumbe mashallah cute baby girl ❤Allah amjaalie afwan inshallah
Mashaallah Allah awalipe kheri kwa kila alie jitolea hamida kwa ss kapendeza Hali ngumu maskini inazidisha maradhi Allah atamuafu Inshaallah kwake hakuna linalo shindikana
Awe namaisha yke mazuri.... aingie kwenye ndoa inshaallah tuombe allah inshaallah....Allahummatakabbalminna innaka anta ssamiu l-alim
Wallah nalia na mda huu nataman kma nipige kelele maskin kaingia afya maisha nyie aya umaskin n mtihan mzti unakufa huku unajiona Allah ampe shifaa na nyinyi awalipe kher tuko pamoja
Subhanallah Allah amfanyie wepesi inshallah
Alfatah Allah awajaze kheri na nyinyi 🎉🎉🎉🎉🎉
Mashallah nilijuwa ni mwanaume kumbe ni binti tena mrembo mashallah 😊
Mashaalah Hamida nimefurahi ❤❤❤Allah kareem
Mashallah mungu amjalie afya njem inshallah
Mashallah Allahu akbar,Allah ampe swiha njema😊
Subhanallh Allah azidi kumpa Uzim Hamida shifaaa ya rabbi😭
Mtoto amekuwa mzuri ❤ alhamdulillah
mashaallah mungu atamfanyia wepes
مشاءالله تبارك الله ❤❤❤
MA SHA ALLAH TABARAKA ALLAH...Alhamdulillah kwahii neema
MaShaAllah Tabaraka Rrahman. Mm nilidhani ni wa kiume pia. SubhannaAllah
Maashaallah Maashaallah Alhamdulillah
Masha allah mungu mwemaaa
Mashallah vara mwili umeingia kidogo alhamdulilah
Alhamdulilah. Allah amzidishie afya njema ameen ya rabil ❤
Mashaallah Allah amjaaliye arudi kwenye Hali kama zakwetu au zaidi asome afanikiwe inshaallah
Alhamdllah Rabbllaamin MashaAllah MashaAllah Mwenyeez Mungu mkubwa mtoto mzuri
aaallhamdu lilahh walwahi kwakweli nafsi inauma mungu ampe nguvu ishaall
MashaAllah mheshmiwa hemed suleiman Allah akubarik kwa kweli una moyo nzur sana ❤
Màashallah amenawiri
Alhamdulilah mungu ni mwema🤲🤲
Bismillah mashaa allah allah azid kumuafu inshaa allah
Maasha Allah bint yetu amependeza sana
MashaAllah
Allhamdulillah,jina la marehem mama yangu hamida,hata mm nilijua wa kiume, Allah atamuafu.
Mashallah
Mashallah Mashallah mtoto hamida allah akufanyie wepes
Alhamdulilah. mungu ni mwema ..kumbe ni mwnamke ...mungu ashukuriwe SNA.. alhamdulilah
Maa Shaa Allah
Allahummah machozi ya furaha yamenitoka mashaAllah mtoto sai ameanza kurudi vizuri wallah afya ngozi hata nywele mashaAllah mm sikujua mara ya kwanza kua ni mtoto wakike saii kapendeza Allah azidi kumrudishia mtoto Afya njema Allahummah Amiiiin
Alhamdulillah
ALLAHU AKBARU!
Amiin
Maa shaa Allah ❤alhamdulillah thumma alhamdulillah nafurahia wallahi kama vile mm ndo nimepata hiyo afueni wallahi
Alhamdullillah
Allah awajaalie wote mlo fanikisha Jambo hili
maa shaa Allah mtoto amekuwa mzuri .Allah awape kila kheri kwa juhudi zenu
Allah SW atupe nguvu ya kutoa katika kheri
Ni mzuri jamani
Mungu amtie nguvu
Mashaallah Allah ampe shifaa zaid na allah wajalie kila la heri
Bismilah Ma Sha Allah Alhamdelilah kwa Neema zake Allah Alhamdelilah 🤲🤲
ALHAMDULLILAH
Alhamdulillah mungu kubwa tuzidi kumshukulu mungu
Mashallah Allah awazidishie waliotoa
.اللهم انتشاقي لاشفاء الشفاءك
Subhanallah hakika allah ni muwenza wa yote amakweli umaskin m.baya😢😢😢
Alhamdulillah, mashallah❤
Alhamdulillah 🎉🎉🎉
Mashaallah
Allah azid kumuimarish afya yak
AmUstdh Rashid kikweli ww ni mtu wa watu kikweli sote tulitokwa na machozi tulipomuona Ramadan Alla akulipe khr ustdh Radhid
Tusikate tamaa na rehema za mungu jamani ...kw hali alivyokuwa nayo Huyu mtoto na alipofikia MUNGU TUACHE AWW MUNGU TU
Muulize Daktari wake kama tangawizi mbichi si shida kwa huyo mtoto kuitumia.
Akiruhusu basi msagieni, ichujwe vizuri apewe kijiko kimoja (Cha chakula) mara tatu. Yaani, kijiko Asubuhi, kijiko Mchana na kijiko usiku kabla kulala.
Ni kwa ajili ya kukunjua mifupa na kuondosha kukakanaa.
❤❤❤❤
Taqbili
Alhamdulillah
Mashallah
ALHAMDULLILAH
Mashallah
Mashallah