ASKOFU BAGONZA ATAKA MWABUKUSI NA MBOWE KUKAMATWA SAKATA LA UTEKAJI LINALOENDELEA NCHINI...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ต.ค. 2024
- #JAMBOTV
MWABUKUSI NA MBOWE WAKAMATWE WANALETA TAHARUKI ASKOFU BAGONZA ATETA SAKATA LA UTEKAJI..''NILIAMBIWA NIONDOKE NCHINI AU NIKAE KIMYA NISIONGEE''
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►TH-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Kuna vichwa humu vinaelewa kama vilivyosikia, havina hata tafakuli, Askofu Bagonza ni msomi sio mjinga, unapomsikiliza usipotumia akili kubwa utaishia kumtusi...lkn welevu wanamuelewa vizuri sana.
Kweli wenye akili ndogo awezi kumuelewa ila tuliosoma cuba tunamwelewa
Askofu hakumaanisha hvy Kama mnavyoelewa! Anasema Kama Hawa watu wametoa data za uwongo wakamatwe Kama hawakamatwi Basi jeshi la polisi either likanushe taarifa hiyo au liwajibike kwa kujua Hawa watu wako wapi! Please be reasonable when you comment something you know!
Nawapa ushauri wa bure km hamjui siasa acheni kucoments ujinga endeleeni kucoments za kina mwijaku na baba levo kwa baba bagonza tuachieni wenye tafsida za kisiasa tunamwelewa
@@PrinceHendry-hp8vv Anachokitaka Askofu ni kwamba Serikali na Polisi wake wafanye kazi ipasavyo na bila upendeleo na watu wanaotajwa kuhusika na matukio hayo hatua stahiki zichukuliwe dhidi yao.Kuhusu akina Mbowe kama wameongea uongo wachukuliwe hatua zinazo stahili na Polisi lkn kama hawachukuliwi hatua basi walichokisema ni cha kweli
Mmmmmh, hatari sana
Nimegundua watu wengi mna smart fone mnaangalia matukio lakini kichwani hewa tupu laiti mngejua bagonza anaongea nn mngemsifu kwa fumbo la serekali kutenda hayo
Serikali hapa haina pa kukwepea ! Kuna kupoteza imani kwa waliopewa mamlaka !! Hapo umuhimu wa kupatikana Katiba mbadala unadhihiri.
Askofu ameeleza vzr na amejibu maswali kwa mafumbo msimtukane sikilizeni tena na tena sikiliza hata zaidi ya mara 2 anaposema wakamatwe hana maana mbaya ana maanisha kama serikali imekaa kimya maana yake ni kweli walichosema akina Mbowe na Mwabukusi. Tumieni akili.
mwandishi hacha kumsumbua askofu, mwulize hamad masaun, msemaji wa jeshi la police Tz, na kama wanashindwa kutoa majibu sahihi bila shaka ni wao
askofu anakwambia iulize serikali, serikali ijibu
hivi mbona waziri wa ulinzi na usalama haulizwi? anajua mengi mnoo
Jamani jitahidini kucomenti mkiwa na akili timamu hiyo itasaidia sana
Kwani wao kama serikali hawajui wanajua vizuri kabisa kama kukamatwa wangekamatwa mapema sana.
Nilichogundua ni kwamba watu wengi humu hawajamuelewa mh: bagonza, kinacho sikitisha ni kuwa mtu hajaelewa kisha anaropoka kwa kumkashifu,
Ushauri:
Tujitahidi kuchangia lolote popote tukiwa na akili timamu.
Usemalo ndilo linalotukwamisha kupiga hatua !!
Askofu nimekuelewa sana maana wangekuwa wanaongea uongo wangewakamata sasa wanaelewa kinachoendeles
Kashalamba asali
Uko Sahihi Mtumishi;Nilikua Sijakusikiliza Kwa Umakini.Appology.Uko Sahihi.
Vyombo vya nabari vya Tanzania hovyo sana
Huyo kenge kipindi cha magufuri alikuwa upande wa kuipinga serikali kwa sasa amekuwa CCM makubwa heti naye askofu ovyo
Umemuelewa Askofu au umecoment Kwa mihemko
Kweli una akili kaungana na wanao sema utekaji umekuwa tishio kama akili hauna kaa kushoto
Hiv umeelewa anachoongea au unakulupuka tu
Ikabodi
Siku hizi hakuna muchungaji wala nini watu.
Wana habari wa Tz bhana ni hatari sana
Jambo Tv. Scooping so low also. Either/Or nyie mnafanya ni statement.
basi uyo soka Anza kuesabu ni mmoja ili usisahau niajabu kweli
Wandishi kama Hawa chawa Tanzania tuna kazi kiukwel
Sasa bwana bangoza mbona wewe hukuwahi kusema ukweli wako wakati unatishiwa. Ukweli unaouhubili uko wapi sasa? Harafu unatwambia kijijini huko hakuna mwenye mpango na vijijini, wakati unaaambiwa uhame ulikuwa unaishi wapi mchungaji?
La hawla bin qwatar!!
Mchungaji alichokosea ni kutangaza kuwa akina Mbowe wakamatwe yeye anajua maana ya hukumu asitoe kauli ya kuhukumu mtu ashikwe sababu tz nzima inaongelea hii washikwe wangapi??
Uko na akili kweli wewe ufahamu wako ni mdogo sana umeelewa au kakosoa serikali kushindwa kukanusha tuuma zinazolielemea jeshi na kukaa kmya bc watakuwa wameshiriki kama ni uongo wajitokeze waseme shida ni nini
JIFUNZE KUSIKILIZA NA SIO KUSIKIA.
Wewe ni askofu au unhwala Wewe iv unaona haya matukio WE unaona ni yakawaida?nakuchukia hufai kuwa askofu
Wewe mchungaji mtu vipi
Huyu ni🌈
Ikabodi hakuna mchungajibhapa
Uko na akili kaungana na wanao lituumu jeshi kutekwa kwa watu
Ambao hamjamuelewa asikofu poleni na hiii nchii tuna raia ambao vichwa vyao vimejaa ushabiki wa kijinga.
Kuna kuulizwa na kukamatwa
Askofu wa hovyo
Hawa wame kwenye mfuko wa Iddi Amini mama samia
Askofu kasema ukweli make wanasema hakuna utekaji wakati watu wanapokea ila kasema kwa fumbo linimsikiliza maojiano yake paka mwisho
Wewe Askofu unaishi ulimwengu gani matukio yote hayo huyaoni unatumika wewe Du!
Huo ni mtego, wakikamatwa tu ushahidi utawekwa wazi wataumbuka.
Huwezi kuelewa akili kubwa hiyo
Kama huna D mbili huwez elewa
Askofu bagonza akili kubwa amejibu Maswali kiakili sana siyo rahisi kumwelewa
Askofu ni muelewa ata Mimi naungana nae mbowe ni mtu mbaya na ni yeye anaifanya hayo yote kuipaka matope serekali na hasa kwa ajili uchahuzi unakaribia ili watu wasiielewe serekali yao
Ebu tuambie;Ni kwa nini Mbowe asikamatwe na vyombo vya Dola na kupelekwa mahakamani ili akajibu hizo tuhuma zake?Kwa akili yako unaona Serikali inaweza kushindwa kumkamata Mbowe anapoichafua na kuiogombanisha Serikali na Wananchi wake?
We shule ulikimbia 😂,hujamuelewa askofu kabiisa
nikwamba serikali ikanushe hayo tuhuma na sio kukamatwa akina mbowe wasinyamase kimya maana sisi wananchi tutaamini.@@tumlakimwaitumule
Msikilize tena ukiwa na akili timamu utaelewa
Hauna akili askofu kaungana na wanao sema utekaji ukomeshwe kina mbowe sema akili hauna unacomment bila kuelewa