KWAYA YA UINJILISTI KIJITONYAMA & JOSHUA MLELWA | MUNGU ANAKUPENDA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
- Unapoukaribisha mwaka mpya, tambua kwamba ni kwa sababu MUNGU ANAKUPENDA, sio kwamba wewe ni mwema ama unafaa sana, ni mapenzi yake Mungu Baba yetu.
Joshua Mlelwa Na Kwaya ya Uinjilisti Kijitonyama wakiimba wimbo wa MUNGU ANAKUPENDA. Katika ibada maarufu Siku Ya Mbingu Kujaa Sifa Season 2.
Karibu usikilize Ujumbe wa Neno la Mungu.
Iive, performance good song
My lovely song ever.... Wakati mnakuja Njombe kihuduma.... Mamayangu alifarijika sana na nyimbo hii alikuwa ktk last minute kuitwa Mbinguni😭😭😭alikuwa anapenda kusikiliza nyimbo hii
😭😭🙏🙏
Umeniliza tuwaombee mamazetu waliotangulia
Ng be hr u fr : ,g
@@ClaraLugomiamen
Nimekumbuka nyimbo ihi mu 2000 nimekuwa mudogo sana witching from Angola 🇦🇴!!
❤❤❤ Namna hii ndo nyimbo zinaimbwa za kumsifu Munqu.Unasikia Uwepo wa Munqu. Na ielewekehivyo.❤❤❤❤❤❤
Aisee huu wimbo nimeuona wasafi tv,imebidi nije kuuona vizuri,what a beautiful gospel song.🥰
Uko kama mimi yani
Nyimbo inanikumbusha mbali sana, mwaka 1998-2000 kwenye bus la Lupelo from Dar to Njombe🙏🙏
Oooh nimebarikiwa sana na huu wimbo
I LITERALLY LISTENS TO THIS SONG EVERY OTHER TIME BECAUSE IT IS ONE OF THE VERY BEST ARTWORKS OF THIS CENTURY. THE LYRICS, THE INSTRUMENTATION, THE VOCALS BLENDS SO WELL TO AN EXTENT OF TOUCHING SOULS LIKE MINE. KUDOS TO BROTHER MLELWA.
Wimbo mzuri saaana
What a lovely touching song
Mungu wangu,Asante Kwa Upendo wako,najua sistahili lakini unanipenda hivyohivyo,nakupenda Mungu wangu na ninaahidi kukutumikia mpaka mwisho wa maisha yangu
Amen Amen pasta 🙏
Mbarikiwe sana sana
Huu Wimbo ni shukrani yenye unyenyekevu Mkubwa,tangu miaka 2000 tulikuwa tunausikiliza kijijini na Baba Yangu,rest in peace my sister Rachel
Sio kama mm ni mwema sana baaba nikushukuru Mungu wang 😭🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Mbarikiwe Kijito!Mnahudumia dunia nzima,mtafsiri hizi nyimbo
Ameen
Can not waiting 😋😋😋😋😋😋
Sound nzuri, ujumbe mzuri. Mungu awabariki watumishi .
My best song ..miaka yangu yotee ya humu duniani
Mbarikiwe mno na Bwana hakika huduma yenu imetukuka, God bless you again
Kijito hii kazi nzuri sana wapendwa
Hakina niko kwa ajili ya kupendwa na mungu
Dah🙌🙌🙏
❤
Mungu wangu tusaidie kuzihesabu siku zetu....hakika unamakusud na maisha yetu leo hii kuwa hai.....libarikiwe sana jina la Yesu Kristo....amen
This kijitonyama huwa na watu wa vibawa vya uimbaji sana!
Among of favorite song thank lord Jesus for this blessing song of all time
Nimefurahi sana kumwona tena kaka mlelwa katika kwaya ya uinjilisti kijitonyama kkkt. Sifa na utukufu kwa Bwana YESU KRISTO
Ni Joshua Mlelwa featuring Kijito
Wimbo huu unabariki moyo wangu siku zote za maisha yangu
Ameni
Uwiiiii huu wimbo ni fireeee
Mungu awabariki
😢😢😢
2
nikiwa nimetoka Maombi ya alfajiri nakutana wimbo huu nasikia kusisimka jamani kwa Yesu amani ipitayo amani zote
Kwa kweli brother Joshua Mungu amempa kipaji sana ktk uimbaji
Original version ya huu wimbo naweza kuipata wapi?
Old school gospel of all time since 2000 year
Nakumbuka nikiwa kijijini kwetu isimani iringa ....Dada yangu alituletea kanda za izi nyimbo na radio ya mbao, nakumbuka betri zinaweka jumapili tu
Basi tu enzi izo kweri Watu walikuwa wana sifu
Ata ukisikilza nyimbo ya dini kweri unasklza kwa hisia Nguvu za Mungu zinashuka ,
Mungu atusaidie jamani
Mana sikuizi nyimbo wanazialibu melody zote wanaharibu ...
Nyimbo za dini zilkuwa zamani
Jamani nawakumbusha tumludie Mungu Dunia imeisha
Kama haumini angalia
Vitu vya zaman vyote sasa vinathimika kuanzia fashion kote ...
Vipya vimeisha, manabii ni wengi
Ndio mwisho wa dunia upo karibu
Yesu yu karibu kuja Muda mchache ...kila siku naota mwisho wa Dunia basi ni dalili zinaonesha
Naomba sana tumludie Mungu Tutubu Mungu qna samee saba mala sabini ...
Tubu kabla haijafika nafasi ya kutawala shetani ikifika autopata muda wa kutubu kwani wakati huo utakuwa wa dhiki tabu na njaa
Tubu wakati ni sasa, tubu ili unyakuliwe usifike wakati huo wa tabu
Nakuombea kwa Mungu uanze hapo ulipo utubu.
👍Mungu anakupenda live music,live performance , mziki sanifu ladha zakipekee🎻💯
This song reminds me of my childhood
good
Ahsante Mungu wangu kwa kunipenda mimi nisiyestahili.
Merry Christmas Kijito...
Nabarikiwa sana na nyimbo zenu, Mungu awabariki sana kwa huduma nzuri
Ahsante Mungu kwa upendo wangu kwako na familia yangu kwa ujumla
Nawapenda
Elishabanda
Nawapenda mno huwa nabarikiwa sana na nyimbo zenu nzuri.
Asante Mungu kwa Upendo wako
mbarikiwe watumishi wa mungu❤❤❤❤❤❤
Amen
Kwakweli mko juu Mungu awaweke juu said kiroho kwani mko vizuri sana
Mungu awabariki sana jamn
Halleluya Halleluya...
Mbarikiwe wapendwa!
Ameni kubwa kabisa kweli Mungu ananipenda ndio maana naishi mpaka leo hii
Mungu awabariki Sana waimbaji wazuri
Napenda nyimbo zenu mbalikiwe sana❤🙏
Alléllua alléllua asente Mungu wa maisha 🙌🙌🙌🙌🙇🙇🙇🙇🙇
Amen Amen 🙌🙏🙌❤
Muamze kuweka matamasha kila mkoa wajameni tumewamiss nyimbo za zamani hizi zilikiwa fire
Ahsante, JEHOVA kwa kunipenda
MRS MAFWENGA ELIWINJUKA NAKUONA HAPO KIJITO,KAZI YAKO NI NJEMA SANA.MUNGU AKUINUE KATIKA HUDUMA HII.
Nampenda sana ise
Ame,KIJITO vs MLELWA mbarikiwe sana
Uwepo wa Mungu wetu upo duniani ndio maana naishi hivi kwa Neema yake
Ameeeeeeeeeeeeeen Ameeeeeeeeeeeeeen Ameeeeeeeeeeeeeen Ameeeeeeeeeeeeeen
May lord keep you safe Joshua
Mungu ni mwema sana
Mbarikiwe sana wana Kijitonyama . Kwakweli asante sana Mungu kwa kunipenda na kuniweka hadi sasa .
Kaka Joshua....umebarikiwa
Ubarikiwe sana watumishi wa Mungu
Best of all time🏅
Waoooo glory to God❤
hallelujah
Mungu azidi kuwainuwa zaidi Kijito. 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
🙌🙌🙌🙌 hallelujah
Kijitonyama is a blessing to the world
Hakika wewe ni Mungu wa vyote ntakusifu daima
Ameen Mungu awabariki
Hallelujah 🙏 Hallelujah 🙏🙏
Ni kwa Neema za mungu🙏🙏
Nimebarikiwa sana na hii nyimbo
Hongereni kwa huduma ya kumhubiri Kristo, Mungu awainue kwa viwango vingine. Kipekee nimefurahi kuona mkiimba pamoja na akina Joshua, inapendeza mno ndugu mkikaa kwa pamoja na kwa kupendana mmenikumbusha Kijito ya zamani zile. Mungu awabariki sana
Waoh, mbarikiwe
Powerful
Amen 🙏🙏
Hakika Mungu anatupenda
Amen mbarikiwe
Kweli Mungu anatupenda na umetukumbusha kwa ujumbe huu wa Kiroho kuhusu upendo wa Mungu Baba
Amen; Big up sana my Brother Joshua.
🥰🥰🥰🥰❤️
Such wonderful song
🙏 🙏 🙏
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏
Sound imekaa vizuri jamani
Hallelujah..... Jesus Christ My SAVIOUR
God indeed has always loved Me🙏thank you JESUS CHRIST my God
Am blessed!!
🙌🙏🙏🙏🙏🙏
🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Kila nikiskiliza hii nyimbo natokwa na machozi....ukifikiria ulioyafanya afu uwambiwe MUNGU anakupenda..duh!!...acha ATUKUZWE!!
Mimi pia
Powerful Song!!!!