ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
Maua Sama: Alikiba ni Mwanaume Mzuri Anavutia | Nipo Tayari kwa Lolote
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 มี.ค. 2024
- " @officialalikiba ni mwanaume mzuri anavutia pia ni kaka yangu hivyo sikuona shida kurekodi video ya wimbo wangu wa #Zamani huku nikicheza naye kwanza nipo single na yeye yupo single" @mauasama
Dah maisha haya demu anamtaka Ali kiba kilazima
Ukweli nayo ni kua Alikiba anavutia kw wote. Kwanza hananga pupa mingi 🎉❤
😂😂😂 eti kaka ndo umkalie vile kwenye mapaja alafu yeye alikiba uso wake anakugusa kwenye ziwa lako maua wewe jiangalie sisi watu wazima tumeona vzr ile video eti kaka we
❤ kila mutu iko huru kama anapenda alikiba iyo ni isiya yake siyo kumulaumu
Mwijaku hilo pala lang'aa
Suala la Nyumba Maua limekujaje kwenye hii mada😆
Mauwa anampenda alikiba hawezi ficha hisia zake tena
🔥🔥🔥🔥
New hit loading
mmmhh sasa wew maua sama mbona ali kibaa sasa mzuri kuliko wew itawaje?
ww bwege c tumempenda shemej le2
Dunia tyuu wacheni wenzenu msiwajadili kwani maisha yanaenda kwa bahati
❤❤❤❤❤❤❤
😂😂😂maua me napenda ivyo
Huyu dem mbaya bhna hata bure me ctaki
Tafadhali naomba munitafutie number ya maua sama
Njoo kwngu mm
❤❤❤
Amesemaa ukwerii wakee jmn mwijaku nn lakini
mauwa nichek DM
😂😂😂
😆🤣
Dooh
Washaingia kwnye mahusiano hakuna haja ya kuanza kuzunguka hapa
MAUA SAMA mwenzio nipo tayar kuuza FIGO ili niwe nawe.I LOVE YOU ❤
😂😂😂😂😂😂
Mhhhh maua sama kiba huyo n mtu wako na mpo kweny mahusiano
Tatizo huna uzuri wowote Kabisa
Wew ndo mwenye uzur
Koma wew😏