Amen amen pastor. You are blessed to bless us. Mimi unanisaifia sana ma mafundisho yako. Ashukuriwe Mungu kwa ajili yako mchungaji. From Washington USA.
Sorry nina swali ambalo kidg ni out of context kwa hili somo,Hv shetani alijua kwamba ilimpasa Yesu kufa(tena kwa kusulubiwa msalabani), ikiwa ni hvo maana halisi ya 1Corinths 2:8 ni ipi,Msaada pls🙏🙏
Barikiwa sana pr.MUNGU azidi kukutumia vyema unapo kuwa unatuelekeza wengi kwa KRISTO
🙏🙏🙏
Amen amen pastor.
You are blessed to bless us.
Mimi unanisaifia sana ma mafundisho yako.
Ashukuriwe Mungu kwa ajili yako mchungaji.
From Washington USA.
Amen pr kwa mafunzo mema
Asante tena kwa mahubiri mazuri sana tena Zaidi . Napenda sana unavyo hubiri
Barikiwa sana Mchungaji
Tune from Kenya 🇰🇪
Barikiwa sana Mmbaga
Nabarikiwa nikiwa shyinyanga lakini na changamoto niombee
Amina, asante mchungaji. Barikiwa na Bwana. Nawafuata kutoka Lubumbashi DRC.
Lubumbashi 1
Nime shangaa kumbe lubumbashi niwengi tuna mfatilia
Sorry nina swali ambalo kidg ni out of context kwa hili somo,Hv shetani alijua kwamba ilimpasa Yesu kufa(tena kwa kusulubiwa msalabani), ikiwa ni hvo maana halisi ya 1Corinths 2:8 ni ipi,Msaada pls🙏🙏
Kosa la Vashti hakutii kwa mume wake.
Pastor mbona kwa karne hii wanaume tutapata tabu sana
Naomba mawasiliano ya mtu wa njombe anayeuza naziwa ya soya
Jambo mchungaji? Mi ni m Moja Kati ya machabiki zako, niliomba unielekeze namna yaku soma mambo ili niweze ku elimuka kama wewe.
Jambo mchungaji? Mi ni m Moja Kati ya machabiki zako, niliomba unielekeze namna yaku soma mambo ili niweze ku elimuka kama wewe.