HUU NDIO WOSIA WA MBARIKIWA KWA WATOTO WAKE.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 49

  • @JonathanLugna
    @JonathanLugna 5 หลายเดือนก่อน +4

    Ninacho kupenda MCH ni jinsi ulivyofauru kuwaunganisha washiriki wako na kwenda pamoja nao
    Hakika wamemeza roho yako kama baba kama mimi ningekuwa hapo mbeya hakika ningekuwa mshirika wako
    Napenda msimamo wako
    Songa mbele kina yeremia waliwekwa sero ya shimo lenye tope lakini walipotoka hawakuacha kusema kweli ya Mungu
    UBARIKIWE SANA MCH BARIKIWA

  • @annasam-nw4sw
    @annasam-nw4sw 6 หลายเดือนก่อน +4

    Oooh Tembea na Yesu ameeeen ee ameeen eee Ameen haleluya Ameen
    Usilotaka kutendewa usimtendee wingineeeeee...ameeen haleluya ameeeen ❤❤❤❤Asante babaaaaa ameeeen ..tubaki na Yesuuuu tuuuu

  • @LuthuBayo-de9wm
    @LuthuBayo-de9wm 5 หลายเดือนก่อน +1

    Asante baba nitatembea na huyo yesu mungu anisaidie kwa alivyo nisaidia kwa injili yako by kaiza 🎉🎉❤

  • @cecyliamosha370
    @cecyliamosha370 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwe sana Mt.wa Mungu.Mungu akulinde akutunze ck zote

  • @ALESIACHIJOKA
    @ALESIACHIJOKA 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana mchungaji na nyimbo yenye funzo kubwa kwetu mbarikiwe wote mungu aendelee kuwalinda daima na kuwstia nguvu milele. Mchungaji nakufuatilia sana .. nikiwa marekani .nafurahi sana .nikiwaona hivyo ..

  • @WilfredMalima
    @WilfredMalima หลายเดือนก่อน +1

    Amina jaman duuh❤

  • @TausiMokiwa
    @TausiMokiwa 4 หลายเดือนก่อน +1

    Amen natembea na yesu siku zote zamaishayangu mbalikuwe sana❤❤❤

  • @MamaNkungi
    @MamaNkungi วันที่ผ่านมา

    Amen amen mungu awatunze

  • @gpupinternational
    @gpupinternational 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nakupenda sana kwa ajili ya ukweli wa neno la MUNGU.Tuponyu yako.amina.

  • @sarahmdindile4301
    @sarahmdindile4301 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi naomba muulize roho mtakatifu kuhusu kuweka picha ya mchungaji kwenye nguo ni machukizo kwa Mungu mnakuwa kama mnamwabudu au mnamtangaza yeye ,Mungu wetu ni Mungu mwenye wivu

  • @HejJsj-hv5it
    @HejJsj-hv5it 2 หลายเดือนก่อน +1

    Be blessed 🙌

  • @HellenkwambokaOtwori
    @HellenkwambokaOtwori 5 หลายเดือนก่อน +1

    Amen kukejeliwa kuko lakini mtazamie tu yesu

  • @AlubatiElia
    @AlubatiElia 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akunze baba

  • @omanss268
    @omanss268 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubaliki sana

  • @PastorNathanael-ex4co
    @PastorNathanael-ex4co 5 หลายเดือนก่อน +1

    Barikiwa sana mtumish wa MUNGU

  • @hosealutangilo5058
    @hosealutangilo5058 6 หลายเดือนก่อน +2

    Tembea na Yesu....Milele yote

    • @AGATHACLAVERYMAKANTA
      @AGATHACLAVERYMAKANTA 5 หลายเดือนก่อน

      Hongera sana baba, hakuna MUNGU azidi kuwatetea na mama ili nasi bila kuchoka tuwafuate nyuma, BARIKIWA sana na wimbo huo nzuri sana, hakika nitatembea nae mpaka mwisho MUNGU anisaidie sana

  • @annasam-nw4sw
    @annasam-nw4sw 6 หลายเดือนก่อน +1

    Asante baba na mama yetu ❤❤

  • @victorkamugisha2282
    @victorkamugisha2282 4 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana.

  • @EmanuelRazaro
    @EmanuelRazaro 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ubarikiwa Bwana

  • @gpupinternational
    @gpupinternational 4 หลายเดือนก่อน +1

    Amina❤

  • @VeronikaJerome
    @VeronikaJerome 4 หลายเดือนก่อน +1

    Na tembea na yesu kila niendapo na tembea nayesu

  • @VeronikaJerome
    @VeronikaJerome 4 หลายเดือนก่อน +1

    Natembe na yesu kila niendapo

  • @JojinaMbwiga
    @JojinaMbwiga 5 หลายเดือนก่อน +1

    Amina

  • @sifawayesu7079
    @sifawayesu7079 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ameeeeeen

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 4 หลายเดือนก่อน

    Kwa hiyo mtumishi baada ya kutoka jela umewaamuru waumini wavae rangi ya jela?

    • @DevothaSanga-d3d
      @DevothaSanga-d3d  หลายเดือนก่อน

      @@ndogoroedson199 HAPANA! Hajaamuru tuvae nguo za Jela! HIZO NGUO ZILIANZA KUVALIWA YEYE AKIWA BADO JELA NA WATU WACHACHE; Lakini pia Sisi ni Wafungwa wa WA NENO LA MUNGU, Kwani MITUME WALIFUNGWA KWA AJILI YA NINI?? UKIWA MKWELI KWENYE HII DUNIA WEWE JUA WAKATI WOWOTE UTAKUWA KIZUIZINI.

  • @EliaMhile
    @EliaMhile 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu mtu kipawa chake ni uimbaji tu, uchungaji kavamia fani.

    • @DevothaSanga-d3d
      @DevothaSanga-d3d  หลายเดือนก่อน

      @@EliaMhile Pole sanaaaaaa! Usilolijua ni usiku wa GIZA TOTORO.

    • @EliaMhile
      @EliaMhile หลายเดือนก่อน

      @@DevothaSanga-d3dninyi ni wa baba yenu Ibilisi, kazi mzifanyazo si zenu ni za baba yenu maana hata yeye alikuwa mpinzani wa Ile kweli tangu mwanzo!

  • @mwamuzi
    @mwamuzi 6 หลายเดือนก่อน +1

    Umeanza kufulukuta nawewe

    • @DevothaSanga-d3d
      @DevothaSanga-d3d  6 หลายเดือนก่อน

      Kama unavyoona.

    • @HelbethMlelwa
      @HelbethMlelwa 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@DevothaSanga-d3d Nani huyu alikuwa anakuuliza hivyo??

  • @ElizaAxson
    @ElizaAxson หลายเดือนก่อน

    Minatamani kujua ivi wewe mbarikiwa ni dhehebu gani

    • @DevothaSanga-d3d
      @DevothaSanga-d3d  หลายเดือนก่อน

      UPENTEKOSTI WA KIZAMANI KATIKA NYAKATI ZA MWISHO.

  • @MaDennis-f2n
    @MaDennis-f2n 6 หลายเดือนก่อน

    Mwanaharakati huyo

    • @DevothaSanga-d3d
      @DevothaSanga-d3d  หลายเดือนก่อน

      @@MaDennis-f2n UNA UHAKIKA NA HICHO UNACHOKIONGEA???? KUWA MTU WA HAKI NDO UANAHARAKATI?????

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mbarikiwa siyo mchungaji ila ni mwana maigizo huy bwana

    • @VIJANANAMABINTITATIZONINIBERTH
      @VIJANANAMABINTITATIZONINIBERTH 6 หลายเดือนก่อน

      Sasa aliekuambia ni mchungaji ninani? Ewe joka mwana wa joka

    • @DevothaSanga-d3d
      @DevothaSanga-d3d  6 หลายเดือนก่อน +2

      Ni heri ambaye ni mchungaji mwanamaigizo ambaye kazi zake zinaonekana na wewe umepata nafasi ya kuzifuatilia.

    • @omanss268
      @omanss268 6 หลายเดือนก่อน +1

      Heri yake mwanangu maigizo kuliko we hujulikani mbinguni na duniani mwenzeo ajulikana mbinguni na duniani

    • @samwelmswete2232
      @samwelmswete2232 6 หลายเดือนก่อน +1

      Si kosa lako kwakua hujui alicho kiweka mungu ndani yake ila sisi tumesaidiwa na huyu mch .mungu na aongeze neema juu yake.

    • @HelbethMlelwa
      @HelbethMlelwa 5 หลายเดือนก่อน

      Kafuatilie nyimbo za wachungaji, nani kakiita hapa??

  • @WinnieResian
    @WinnieResian 6 หลายเดือนก่อน +1

    Amina

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 6 หลายเดือนก่อน

    Mbarikiwa siyo mchungaji ila ni mwana maigizo huy bwana

    • @DevothaSanga-d3d
      @DevothaSanga-d3d  6 หลายเดือนก่อน

      Ana heri sana kwa kuwa Mwanamaigizo yanayoleta TIJA.

    • @Ambwene
      @Ambwene 6 หลายเดือนก่อน

      Basi tufanya mamaako ndo mchungaji

    • @evanestharold5079
      @evanestharold5079 5 หลายเดือนก่อน

      Aamen.