Ninacho kupenda MCH ni jinsi ulivyofauru kuwaunganisha washiriki wako na kwenda pamoja nao Hakika wamemeza roho yako kama baba kama mimi ningekuwa hapo mbeya hakika ningekuwa mshirika wako Napenda msimamo wako Songa mbele kina yeremia waliwekwa sero ya shimo lenye tope lakini walipotoka hawakuacha kusema kweli ya Mungu UBARIKIWE SANA MCH BARIKIWA
Hongera sana mchungaji na nyimbo yenye funzo kubwa kwetu mbarikiwe wote mungu aendelee kuwalinda daima na kuwstia nguvu milele. Mchungaji nakufuatilia sana .. nikiwa marekani .nafurahi sana .nikiwaona hivyo ..
Mimi naomba muulize roho mtakatifu kuhusu kuweka picha ya mchungaji kwenye nguo ni machukizo kwa Mungu mnakuwa kama mnamwabudu au mnamtangaza yeye ,Mungu wetu ni Mungu mwenye wivu
Hongera sana baba, hakuna MUNGU azidi kuwatetea na mama ili nasi bila kuchoka tuwafuate nyuma, BARIKIWA sana na wimbo huo nzuri sana, hakika nitatembea nae mpaka mwisho MUNGU anisaidie sana
@@ndogoroedson199 HAPANA! Hajaamuru tuvae nguo za Jela! HIZO NGUO ZILIANZA KUVALIWA YEYE AKIWA BADO JELA NA WATU WACHACHE; Lakini pia Sisi ni Wafungwa wa WA NENO LA MUNGU, Kwani MITUME WALIFUNGWA KWA AJILI YA NINI?? UKIWA MKWELI KWENYE HII DUNIA WEWE JUA WAKATI WOWOTE UTAKUWA KIZUIZINI.
Ninacho kupenda MCH ni jinsi ulivyofauru kuwaunganisha washiriki wako na kwenda pamoja nao
Hakika wamemeza roho yako kama baba kama mimi ningekuwa hapo mbeya hakika ningekuwa mshirika wako
Napenda msimamo wako
Songa mbele kina yeremia waliwekwa sero ya shimo lenye tope lakini walipotoka hawakuacha kusema kweli ya Mungu
UBARIKIWE SANA MCH BARIKIWA
Oooh Tembea na Yesu ameeeen ee ameeen eee Ameen haleluya Ameen
Usilotaka kutendewa usimtendee wingineeeeee...ameeen haleluya ameeeen ❤❤❤❤Asante babaaaaa ameeeen ..tubaki na Yesuuuu tuuuu
Asante baba nitatembea na huyo yesu mungu anisaidie kwa alivyo nisaidia kwa injili yako by kaiza 🎉🎉❤
Ubarikiwe sana Mt.wa Mungu.Mungu akulinde akutunze ck zote
Hongera sana mchungaji na nyimbo yenye funzo kubwa kwetu mbarikiwe wote mungu aendelee kuwalinda daima na kuwstia nguvu milele. Mchungaji nakufuatilia sana .. nikiwa marekani .nafurahi sana .nikiwaona hivyo ..
Amina jaman duuh❤
Amen natembea na yesu siku zote zamaishayangu mbalikuwe sana❤❤❤
Amen amen mungu awatunze
Nakupenda sana kwa ajili ya ukweli wa neno la MUNGU.Tuponyu yako.amina.
Mimi naomba muulize roho mtakatifu kuhusu kuweka picha ya mchungaji kwenye nguo ni machukizo kwa Mungu mnakuwa kama mnamwabudu au mnamtangaza yeye ,Mungu wetu ni Mungu mwenye wivu
Be blessed 🙌
Amen kukejeliwa kuko lakini mtazamie tu yesu
Mungu akunze baba
Mungu akubaliki sana
Barikiwa sana mtumish wa MUNGU
Tembea na Yesu....Milele yote
Hongera sana baba, hakuna MUNGU azidi kuwatetea na mama ili nasi bila kuchoka tuwafuate nyuma, BARIKIWA sana na wimbo huo nzuri sana, hakika nitatembea nae mpaka mwisho MUNGU anisaidie sana
Asante baba na mama yetu ❤❤
Safi sana.
Ubarikiwa Bwana
Amina❤
Na tembea na yesu kila niendapo na tembea nayesu
Natembe na yesu kila niendapo
Amina
Ameeeeeen
Kwa hiyo mtumishi baada ya kutoka jela umewaamuru waumini wavae rangi ya jela?
@@ndogoroedson199 HAPANA! Hajaamuru tuvae nguo za Jela! HIZO NGUO ZILIANZA KUVALIWA YEYE AKIWA BADO JELA NA WATU WACHACHE; Lakini pia Sisi ni Wafungwa wa WA NENO LA MUNGU, Kwani MITUME WALIFUNGWA KWA AJILI YA NINI?? UKIWA MKWELI KWENYE HII DUNIA WEWE JUA WAKATI WOWOTE UTAKUWA KIZUIZINI.
Huyu mtu kipawa chake ni uimbaji tu, uchungaji kavamia fani.
@@EliaMhile Pole sanaaaaaa! Usilolijua ni usiku wa GIZA TOTORO.
@@DevothaSanga-d3dninyi ni wa baba yenu Ibilisi, kazi mzifanyazo si zenu ni za baba yenu maana hata yeye alikuwa mpinzani wa Ile kweli tangu mwanzo!
Umeanza kufulukuta nawewe
Kama unavyoona.
@@DevothaSanga-d3d Nani huyu alikuwa anakuuliza hivyo??
Minatamani kujua ivi wewe mbarikiwa ni dhehebu gani
UPENTEKOSTI WA KIZAMANI KATIKA NYAKATI ZA MWISHO.
Mwanaharakati huyo
@@MaDennis-f2n UNA UHAKIKA NA HICHO UNACHOKIONGEA???? KUWA MTU WA HAKI NDO UANAHARAKATI?????
Mbarikiwa siyo mchungaji ila ni mwana maigizo huy bwana
Sasa aliekuambia ni mchungaji ninani? Ewe joka mwana wa joka
Ni heri ambaye ni mchungaji mwanamaigizo ambaye kazi zake zinaonekana na wewe umepata nafasi ya kuzifuatilia.
Heri yake mwanangu maigizo kuliko we hujulikani mbinguni na duniani mwenzeo ajulikana mbinguni na duniani
Si kosa lako kwakua hujui alicho kiweka mungu ndani yake ila sisi tumesaidiwa na huyu mch .mungu na aongeze neema juu yake.
Kafuatilie nyimbo za wachungaji, nani kakiita hapa??
Amina
Mbarikiwa siyo mchungaji ila ni mwana maigizo huy bwana
Ana heri sana kwa kuwa Mwanamaigizo yanayoleta TIJA.
Basi tufanya mamaako ndo mchungaji
Aamen.