"six years to five years" hii generation hapana. huwezi kuwa na generation ya 5 years !! to be generation atleast ani atleast iwe 10. we know within ten years atleast we can have a new person with different view and ideas. huwezi kuwa na generation ya miaka 5 au 6. after all S2KIZZY is very Good.
Asa kwenye my generation am g.o.a.t hiyo point sijailewa coz g.o.a.t means greatest of al times means ni generation zote hakuna story za generation yangu😂😂 ukisha jiita goat then means ni generation zote I think alikua asema in my generation am the best producer..au angesema one of the greatest producer of all time.. coz huezi sema am the g.o.a.t Kisha useme majani ni generation tofauti.. that’s my opinion
@@user-vm7bk3xr1zdo you understand the meaning of goat? Hiyo ni short cut ya greatest of all time sasa itafsiri greatest of al time kwa Kiswahili maana yake ni ukubwa au ubora wa hali ya juu kwa mda wote.. sasa kama ashakubali kuna kina majani wapo juu yake vipi yeye atakua goat? Na amekubali mwenyewe so Right Word angetumia one of the goat sio am the goat in my time wakati goat ni greater of all time
Pride will make you flow like a feather, likewise dowfall can be as quick as coconut falling on a concrete surface. Always be thankfull to God of who you are, dont mention of yourself (Me), I actually mean you , whatever that you did and get a big name be thankfull to Master (God). Remember that !! Wisdom is not to answer to anyone who said something negative, let your good work speak itself than taking a lot of energy and time trying to express what you do!!! Let nature of your work take place !! Remember also exposure of working with big names artists is the one that gives you the name that you are proud off. Anyone who worth to be a producer, if they could've exposure like you do could have a big name as you do !! Just keep quite bro focus more on what you do and not on what your opponents said !
HII NI PLAN HATA MAPRODUSER PIA NI MAARTIST , SHIDA HUWA MIDIA HAMUWAHOJI HICHI ANACHOFANY S2KIZY NI KUFANY MEDIA ZIWAJUE KAMA NCHI ZA WENZETUU WAAMSHEE CHALII
Abbah ni producer bora tz usiongee pumba broo sema ww unajiona bora kutokana na wasanii unaofanya nao kaz ngoma zako hazina ubora ndio maan ikiingia mtaani leo baada wiki huisikii beat zako za kukopi beat zinafananafanana ....
Kuwa na hits haimaanishi ye ni bora.abbah is way better na hizi nyimbo s2kizzy ana produce zinakuwa mixed and mastered by lizer s2kizzy hajaiva mixing bado
hata Abba anamix the mixing killer.. hapo cjaelewa point zako, tuzo pia inaonesha ubora. Na hit songs zinaonesha ukubwa, aliye produce Despacito ikahit dunia lazma ajisifie.
No hate mzee…hakuna research yoyote presenter aliekuwepo hapo…hata wikipedia hakuna ukweli wa anayosema kuhusiana na grammy(unapinga nenda kaprove) s2kizzy anaongea sababu mko busy na cheni zake…you cant do the math😂😂mashabiki wa mziki wanauchambuwa mziki kikikikikikikiki🏃🏽🖕🏼
Mbona s2kzz kaongea vzur .. jama n mkali🚀🔥
Uyu jamaa yupo sahihi bana ana hits nying mnooo
"six years to five years" hii generation hapana. huwezi kuwa na generation ya 5 years !! to be generation atleast ani atleast iwe 10. we know within ten years atleast we can have a new person with different view and ideas. huwezi kuwa na generation ya miaka 5 au 6. after all S2KIZZY is very Good.
We zombie 💥💥💥💥
I like the fact that he used facts on adressing his point
Mi namkubali Tuddy thomas, ila zombie ana hits nyingi sana kuliko producer yyte hpa bongo. Abbah aweke fact asirukeruke km bisi jikoni.
Reality, Confidence and his fact... he's a GOAT at this f new s generation.. niguhh goatted
Asa kwenye my generation am g.o.a.t hiyo point sijailewa coz g.o.a.t means greatest of al times means ni generation zote hakuna story za generation yangu😂😂 ukisha jiita goat then means ni generation zote I think alikua asema in my generation am the best producer..au angesema one of the greatest producer of all time.. coz huezi sema am the g.o.a.t Kisha useme majani ni generation tofauti.. that’s my opinion
Iyo sio maana ya goat...iyo ni maana ya legend broo...goat ni kama king wa mda flani
@@user-vm7bk3xr1zdo you understand the meaning of goat? Hiyo ni short cut ya greatest of all time sasa itafsiri greatest of al time kwa Kiswahili maana yake ni ukubwa au ubora wa hali ya juu kwa mda wote.. sasa kama ashakubali kuna kina majani wapo juu yake vipi yeye atakua goat? Na amekubali mwenyewe so Right Word angetumia one of the goat sio am the goat in my time wakati goat ni greater of all time
S2kizzy anastahili tuz0 maanake nakubalii kafanya c0meback ya wasaniii wengine.....
Kua na uhakika hakutakua na s2kizzy mwingine tena 💥💥
Wapi mocco genius 💥💥
Jisifie mzee....Unajua saaana
Adam kmmk kweli😂😂 eti amber kapata mimba na ndo mambo zake Zombi, Hajatuwakilisha Kama Taifa...
S2kizz anapenda sifaa minyama sanaa acha sifa
Mchizi kabonga point bro
Kwann camera hazitembea kwa mtu anaeongea?
Pride will make you flow like a feather, likewise dowfall can be as quick as coconut falling on a concrete surface. Always be thankfull to God of who you are, dont mention of yourself (Me), I actually mean you , whatever that you did and get a big name be thankfull to Master (God). Remember that !! Wisdom is not to answer to anyone who said something negative, let your good work speak itself than taking a lot of energy and time trying to express what you do!!! Let nature of your work take place !!
Remember also exposure of working with big names artists is the one that gives you the name that you are proud off. Anyone who worth to be a producer, if they could've exposure like you do could have a big name as you do !! Just keep quite bro focus more on what you do and not on what your opponents said !
Noted big man!
S2kizzy Zombie 🧟♂️ sio
Confidence ya s2kuz ndo inatakiwa kwenye kaz kajitosheleza
Zombie ni mkali sn.
Hakuna anemuweza East Africa nzima.
S2kzy sio mwaisa
We Zombie,haujui😂😂
Sema usijitape sn maan simba haaminiki mara paah kakuacha mkon na akukuachamkon yule hee km umetemw walize wenzio
Hivi NAHREEL
Kijana amebebwa tu naondi hakuna Tena kazi ingine Ako nayo anaeza vimba nayo
Abbah anachakujifunza apa n shabiki kama sisi tu hamuwezi Zombie😅😅
Laizer ndio baba wa maproducer
HII NI PLAN HATA MAPRODUSER PIA NI MAARTIST , SHIDA HUWA MIDIA HAMUWAHOJI HICHI ANACHOFANY S2KIZY NI KUFANY MEDIA ZIWAJUE KAMA NCHI ZA WENZETUU WAAMSHEE CHALII
MIMI MKONGOMANI ILA PRODUCER BORA NI S2KIZZY, NA YEYE NJO AMETOWA WASANI WENGI UNDERGROUND
Weeh zombi wee weeh huogopi😂
Haujui😂
Nisiulize kali jaman
Zombie anataka kung'ata ohoo😂😂😂
As long as kaweka facts. Then He deserves it… maneno bila facts huta eleweka.
S2kizzy apewe maua yake kazi anapiga
p
Amapiano zikiisha (na zimeanza kuisha) ataenda wapi?
Jamaa ni fundi kama anaeza fanya beatbox basi anaweza kufanya style yyote
Abbah ni producer bora tz usiongee pumba broo sema ww unajiona bora kutokana na wasanii unaofanya nao kaz ngoma zako hazina ubora ndio maan ikiingia mtaani leo baada wiki huisikii beat zako za kukopi beat zinafananafanana ....
Abbah kafanya ngoma gani international leta fact alafu utulie
LETE HIT ZAKE TUZIONE
Wewe kakojoe ulale hyo abah Ana ngoma gani hits za kimataifa achana na S2kizy 🔥
Huyu jamaa ni shabiki wa Abba ila kwa wasio mashabiki S2kizzy ana talent
Wewe zombie angaa nyengine antie
we zombie
BRING EYO LIZER
Tupo sahihi zombieeer
FACT
We zombie haujui 😂😂
Kitov cha mdada nimekipenda
Kaka Unatisha Sana Wa Nyumbani
Aya clouds machoko kweli labda mi na ally mengne machoko tuu
NGOMA ZA S2KIZZY NDO NGOMA KALI TUUU
Kuwa na hits haimaanishi ye ni bora.abbah is way better na hizi nyimbo s2kizzy ana produce zinakuwa mixed and mastered by lizer s2kizzy hajaiva mixing bado
hata Abba anamix the mixing killer.. hapo cjaelewa point zako, tuzo pia inaonesha ubora. Na hit songs zinaonesha ukubwa, aliye produce Despacito ikahit dunia lazma ajisifie.
🎉😂❤🎉
Mchov huy hv mbn km mvuta bangi ayupo smart
Humjui Adam wewe yupogo hivyohivyo always ila pia ni mtu wa masihara/utani sana
mchomvu yup lil
mbona Dazen kama hana furaha hivi nini tatizo?
Dazen amepoa alafu kama amepungua ivii
Kaka mchovu samahan kama nakukwaza funika kichwa hicho
acha ujinga,kila m2 anahaki ya kuishi apendavyo ilimladi havunji sheria
No hate mzee…hakuna research yoyote presenter aliekuwepo hapo…hata wikipedia hakuna ukweli wa anayosema kuhusiana na grammy(unapinga nenda kaprove) s2kizzy anaongea sababu mko busy na cheni zake…you cant do the math😂😂mashabiki wa mziki wanauchambuwa mziki kikikikikikikiki🏃🏽🖕🏼
Yèah men Yeah Men usenge mtupu ,ongeeni lugha ya Taifa na mrudishe mziki wetu
Kipato huleta majvuno 😂
𝕠𝕖 𝕜𝕒𝕜 2𝕜𝕚𝕫𝕫𝕪 𝕨𝕨 𝕗𝕦𝕟𝕕