Af kingine ndugu mwandishi hapo hamaanishi paka mnyama, fikiria tabia alizonazo paka, paka ukikaa anakuja kukukalia mapajan, paka kila unapenda na yy anakufata, ukilala anakuja kulala karibu yako maana yake ni kwamba tabia hizo ndo zitakuwa ulinz wa maisha yake.
Mtoto wa mke wa rahis wa Ufaransa ana umli sawa na babake mlezi yaani rahisi wa Ufaransa kiufupi rahisi wa Ufaransa kapitwa na mkewe zaidi ya miaka 20 lakini wapo sasa cha ajabu kwa Elon musk ni kipi? Kwan hawezi kuzalisha kwa hiyo gape
Yaan waandishi wa habari bhana sasa unashangaa nn kwa umr wa elon kunzalisha Taylor? Ulisoma biology au ulianza moj kwa moja kureport habar? Sijaona unachoshangaa zaid ni umr wa Taylor ana uwezo wa ku-conceive bado kwa mwanaume ni unlimited
Af kingine ndugu mwandishi hapo hamaanishi paka mnyama, fikiria tabia alizonazo paka, paka ukikaa anakuja kukukalia mapajan, paka kila unapenda na yy anakufata, ukilala anakuja kulala karibu yako maana yake ni kwamba tabia hizo ndo zitakuwa ulinz wa maisha yake.
Taylor age 34 sashv. Huy nae bigwa wa kuzalisha kam Daimond
Taylor amezaliwa 1989
Jamaa anahela San lakn anachagua Wa kuzaa nae
Mtangazaji kinachokushangaza sasa hapo nini? Kwamba miaka 50 hana kizazi au 50 kwa 30 yai linagoma?
Mtangazaji hana uelewa
Mshamba mkubwa wa mtangazaji miaka 50 na huwezi kupata mtoto👎
Ampe tu
Bachunya family
Nywanoko
😂
Mtoto wa mke wa rahis wa Ufaransa ana umli sawa na babake mlezi yaani rahisi wa Ufaransa kiufupi rahisi wa Ufaransa kapitwa na mkewe zaidi ya miaka 20 lakini wapo sasa cha ajabu kwa Elon musk ni kipi? Kwan hawezi kuzalisha kwa hiyo gape
Jifunze kuandika
Yaan waandishi wa habari bhana sasa unashangaa nn kwa umr wa elon kunzalisha Taylor? Ulisoma biology au ulianza moj kwa moja kureport habar? Sijaona unachoshangaa zaid ni umr wa Taylor ana uwezo wa ku-conceive bado kwa mwanaume ni unlimited
Rahis
Miaka 50 na miaka 30,,mbon kawaida sana,, tena wanaendana sana tu,,,mtangazaj unashangaa nn sa
Ata akizaha watoto 1000 aiza Milioni anauwezo wakuwaleya
Atawajaza mimba gold diggers only. Lol
Mjinga Elon,with money you can not buy anything.lol
Ametania