EXCLUSIVE: DR SLAA -"SINA CHAMA-NASIMAMIA UPANDE wa HAKI-CHADEMA WAKISHIKA DOLA TUTAWAKAMATA RUSHWA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 26

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  5 หลายเดือนก่อน +2

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 5 หลายเดือนก่อน +4

    HAIJIBU KWASABABU HAINA MAJIBU........WELL SAID MR WILLBROD SLAA

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka1008 5 หลายเดือนก่อน +1

    Dr tafadhali sana rejea kiti chako, achana na Sauti ya wantanzania, anao uko wako na mategemeo ya Chadema...

  • @evelina9621
    @evelina9621 5 หลายเดือนก่อน +3

    Safi.sana.mzee.drslaa

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mjadara mzuri sana Dr uwanga sichoki kukusikiliza.

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 5 หลายเดือนก่อน +2

    Dr Slaa ni jembe kubali kataa.

  • @petermogha7025
    @petermogha7025 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mnafeli padogo sana cdm

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 5 หลายเดือนก่อน +3

    Sla ulisema chadema chama cha kigaid na Mbowe ni gaid, umesha feili siasa, nenda kalee wajukuu zako Bukoba. Mchawi wa Taifa la Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿.

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mzee anatumia mkorogo😂😂😂

  • @2003hintay
    @2003hintay 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee umekwisha huna namba. Umekaa Nchi za wenzetu CCM ndio iliyokuwezesha hata ukafika huko. Sasa hivi njaa inakusumbua

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ngaila party too please

    • @habarika1083
      @habarika1083 5 หลายเดือนก่อน

      Coming up soon

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mzee alituambia mbowe ameuza chadema kwa lowasa bilioni 11 ili agombee uraisi.

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 5 หลายเดือนก่อน +1

    MWAANDISHI TUTAONA MENGINE MENGI

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hii nchi hatuwezi kuwaachia wapinzani kwa njia ya kura bado tutaendelea kuiongoza Tanzania ccm ni chama tawala

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 5 หลายเดือนก่อน

      Kauli yako ni ya wale wasiyokuwa na majibu kwa hoja za msingi! Waulize "KANU" utajua hujui!

  • @KilonzoJohn-mg7cw
    @KilonzoJohn-mg7cw 5 หลายเดือนก่อน +2

    Richadi wewe ni chawa tu Kam waandishi wengine walivyo nunuliwa huna jipya

    • @habarika1083
      @habarika1083 5 หลายเดือนก่อน

      Kwa niaba ya Richard Ngailla,Thibitisha kama kanunuliwa

    • @habarika1083
      @habarika1083 5 หลายเดือนก่อน

      Kwa niaba ya Richard Ngailla,Thibitisha kama kanunuliwa

    • @habarika1083
      @habarika1083 5 หลายเดือนก่อน

      Kwa niaba ya Richard Ngailla,Thibitisha kama kanunuliwa

  • @frankraphael7546
    @frankraphael7546 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nyie niwababaishaji tu ni Bora muache ccm itawale maana najua nyie niwababaishaji mnaniuzi wewe unachama kweli wewe ni ccm usitudanganye

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn 5 หลายเดือนก่อน

    Cmde Slaa, ebu nisaidie, kauli yako kwamba Benki ya Dunia ni chombo cha Umoja wa Mataifa, ni sawa? Sidhani. Hivyo naomba elimu hapo kwani kwa ufahamu wangu World Bank ni chombo cha mabeberu (imperialists) wa USA na Ulaya Magharabi ili kunyonya vizuri na kikamilifu umma wa wanyonge duniani hususani walioko Afrika.

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mzee ameshafufuka au

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 5 หลายเดือนก่อน +1

    CHADEMA WAKURUDISHE ILI TUKUCHAGUE KAMA RAIS.

  • @pascalkalimba-nf9vy
    @pascalkalimba-nf9vy 5 หลายเดือนก่อน

    00