Asante mtumishi kwa kutufunulia mambo makubwa ambayo tulikuwa hatuyajui' Ila tu naomba niwe mwanafunzi wako please 🙏 😢 😭 nakuomba maana Yesu wako ni wa kwel na Amina.
Paschal Cassian Mungu wetu azidi kukulinda na kukutangulia katika Huduma hii. Mara nyingi sisi wakristo tunababaishwa sana na fahari na anasa za maisha ya duniani. Ni heri sana kumtanguliza Mungu katika mambo yote. Tuna maisha mafupi hapa duniani na ni vyema sana kulitimiza kusudi la Mungu unapokuwa hai duniani na kulinda usafi wa mioyo yetu kwa gharama yoyote. UFALME WA MUNGU NI BORA KULIKO CHOCHOTE UNACHOWEZA KUPATA KATIKA ULIMWENGU HUU
Kuna waimbajii wainjili pia mashoga, wachawi, wazinzi, walevi nk. Usije ukadhani njimbo za injili zinaimbwa na watakatifu pekee, never. Utakatifu ni juhudi ya mtu yeyote ya kumtafuta Mungu katika usafi wa mwili na roho. Haihusiani na kuomba au muziki.
@@moseshaule586 kwa Iyo unavyoongea ivyo Kwamba watu nisawa wasikilize nyimbo za kidunia???WApo nihilistic wenye mafuta na wana mtukuza MUNGU WA kweli wa Mbinguni
@LucyKapinga-fg4dk ubaya haukai kwenye nyimbo bali unakaa kwenye aina ya ujumbe unaoimbwa. Kama mtu anaimba kuhamasisha uzinzi,ushoga na uovu kwa ujumla, hiyo ni mbaya. Biblia inasema "msidanganyike mazungumzo mabaya huharibu tabia njema." Lakini uovu wa mtu au maisha yake ya dhambi hayaezi kukuharibia utakatifu wako isipokuwa ujumbe anaokupa. Secular wanaimba nyimbo nzuri za kuelimisha jamii hata kama yeye ni freemason,mchawi, anaabudu sanamu hiyo wewe haikuhusu. Matajiri wengi wanamadhabahu za kafara kwa ajili ya maduka yao, magari, meli, ndege ambazo sisi tumazipanda bila kujua. Kwa hiyo tusinunue kwenye maduka yao, ndege na magari yao tusipande. Simba na Yanga wana madhabahu za kichawi kwa hiyo tuache kushabikia mpira. Mabenki na kwenye majeshi kote na majengo ya serikali wamezindika kwa hiyo tusiguse. Kwa ujumla dunia yote hii imejaa uchovu usioneneka.
Pastor Cassian hongera Sana kufundisha, kwani shuhuda zako ni kama za mchj Amaiel KATEKELA wa Geita ! Sawa na Hawa wengine unaowataja ambao na wamegubikwa na mengi, utajiri na shetani imaarufu na Mali nyingi na FEZA ZA KUTISHA. jz Michael Jackson uuuwui. Mungu aliwajua na kafara za ajabu. 😊😊😊😊
Heeeeee We MUNGU wa mbinguni wahurumie watoto wetu katika dunia hii mbona mambo yanazidi kuwa magumu MUNGU nisaidie nisitamani vitu kwa watu maana sijui kavipataje
Shetani km alimwendea Yesu at the point amefunga cku 40 Akamwambia nisujudie nikupe vyote mimi ni nani nisijaribiwe...huu umasikini nitadunda nao tu in Jesus Name
Wakristo wengi wametupiwa pepo wa uvivu kutokuomba Mungu mana Luka 18:1 tuombe kila siku bila kukata tamaa. Na siri ya mafanikio ndo hii sio sehemu nyingine ni kwa Yesu Kristo wetu. Mathayo 6:33 [ Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa]. Yaani ukielewa andiko hili utamuona Mungu kwenye maisha yako yaani kuishi maisha matakatifu kisha bingu zitafunguliwa kwa lolote utakalo omba kwa jina la Yesu Kristo. Mtumishi Mungu usichoke mana siku zimeisha, kupenda fedha kuliko Mungu, manabii wa uongo, watu kutafuta amani lkn hawaipati. Mungu akubariki kwa usisimamaji wako.
Ndo maana kajitangaza hivi majuz kuwa anataka awe tajiri Dunia nzima kumbe Kwa kufanyiwa ushenz huo!!! Nilikuw na vi nyimbo vyake kwenye flash yangu mime-delete kbs!
Nyie mnaoomba comments acheni kabsa huo Ni utoto wa kiroho ,na pia ni tabia ya kidunia kutafuta like sisi nikumtia moyo tuu mtumwa huyu hata wengine wazid funua giza pia namashaka nàwewe unaeomba like Kama hujaokoka like hazisaidii bora ungesambaza ujumbe huu maelfu waokolewe kuliko kutimia muda wko kutafuta like za watu sijatukana mtu hapa nakupa shauri tuu kama nmekosea nisamehe
Mchungaji mambo mengine wanadamu wanayataka wao make wanaona baraka za Mungu haziwatoshi shetani hawafati Ila wao ndo wanao mfata kwahiyo Acha wavune matunda yao
Katumikishwa na shetani mwisho Mungu kayaweka wazi ndiyo hayo anateseka jela shetani kishamkimbia kabaki peke yake anamcheka hiyo ndiyo kazi ya shetani.
Huyo inavyoonekana kakiuka mashalti ndio maana wanamkaanga vilivyo maana haiwezekani ndani malekani ufanye maovu na kuwafanyia wengina miaka zaidi ya 30 usikamatwe inavyoonekana hiyo ni cheni na huyo ana wakubwa wake wanaofanya uchafu kuliko huyo p did na wapo wafuasi wake wanaoendeleza huo uovu kwa wafuasi wao hiyo ndio michezo ya ibada za kishetani na wengi wanajiunga kwa sababu ya tamaa za mali
Huo ni ukweli Mtupu na sio wasanii tu,hata mtaani mimi pia nilikua na rafiki yangu alinunu gari benzi ghafla tu.Akawa anavaa nguo za gharama sana tukiwa na miaka 21.baada ya Muda akamchukua rafiki yangu Mwingine nae baada ya wiki mbili akanunua gari kali na nguo za gharama mimi nilitamani sana nikawa nawaomba dili,Lakini mama sikumoja alinionya kwamba ameota vibaya juu ya marafiki zangu hao wawili nilidharau nikajua ni miemko yake ya kirokole,Yaliyo nikuta mwaka 2018 siwezi sahau,Niliponea chupu kifo nikajua adi mikesha ya kanisani.yaani ukizaliwa kwenye familia za kirokole ukijiingiza katika ushetani auchukui round wanakuua,sababu kuna vitu utakataa kufanya tu arafu utachukulia masihara kumbe kule akuna masihara.
Napia wanajua utakuja kuwa geuka tyuu Na Alie okoka ni Mama yako Rohoni Uwii akiombaa Anabarikiwa mno na uzao wake unakombolewa kaa alaka na kwa mlokole wakimkamata wanamuua
Ukiingia mkataba na shetani atakupa chochote unachotaka lakini hawezi kukuacha salama katika huwo mkataba wewe utafanya kazi yake kwa kujiumiza na kuwaumiza wengine na kuwashawishi wengine ili lengo lake shetani limie kutaka kujifananisha na Mungu na kuwaangamiza wana wa Mungu, na ukishinda mkataba wake atakuomba umfanyie jingine ukisuasua yaani siyo kukataa kwamoja kwamoja ataona unataka kumbadilikia na anakupa zoezi gumu ili ushindwe na wakati utakapochoshwa na amri zake atatafuta nji ya kukuchafuwa au atatafuta njia ya kukuuwa na kujenga sanam lako katika uwalisia watu watakuona umekufa lakini anasehemu yake ya kukuhifadhi na cheo chako anapewa mtu mwengine . Na uwo ni ukweli Mungu yote hayo anayajuwa na nguvu anayo ya kumzuia mtu yeyote afiche hiyo siri ndiyo mwanadamu anasikilizwa sana na Mungu,shetani na malaika waliyo kalibu na mungu , Mungu amempa mamraka mwanadamu kufunya kwa kusahau sio kwa kukusudia RIZIKA NA HARI ULIYO NAYO ACHANA NA MIKATABA YA KUJIUMIZA NA KUWAUMIZA WENGINE SISI BADO TUNA JAKI YA KUISHI NA TUTAISHI MILELE.
Ukweli kabisa mtumish wa BWANA Leo kuna kijana amenionesha meseji ya nafiki yake wa karibu kabisa anavyomshawishi ili ajiunge fremason apate milioni 2 kila siku nikaumia sana tena sana na wengine ni wachungaji kabisa kanionesha
Ila Mungu ni mvumilivu jamani! Wacha ahusike mwenyewe kuwakomboa watu wake, Mimi ninamshukuru sana Mungu kwa zawadi nzuri ya wokovu alionipa
Asante mtumishi kwa kutufunulia mambo makubwa ambayo tulikuwa hatuyajui'
Ila tu naomba niwe mwanafunzi wako please 🙏 😢 😭 nakuomba maana Yesu wako ni wa kwel na Amina.
Bwana wa majeshi aendelee kukulinda mtumishi Paschal Cassian unatusaidia sana sisi vijana katika nyakati hizi za mwisho. 🇨🇩
Wewe ni Mtumishi wa Mungu aliye hai Mungu wa Ibarahimu,Isack,Yakobo na Bwana wetu Yesu Kristo...Nimekukubali sana Mungu akubariki sana na kukulinda.
Watu ambao tupo pamoja katika safari ya kwenda mbinguni basi tupia like yako kwenye comment yangu❤
Wanao enda mbinguni naona ni 31 tu jamani au wa safiri wa mbinguni wana puuzia
@@pastorlazarosamwelkilala5795 asa ivi wapo 60 afta 2days kwel jaman!!?
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@@pastorlazarosamwelkilala5795😊😊😊😊😊😊😊
Baraka za bwana utajirisha na wala hazichangamani na mateso. Mungu atabariki kazi za mikono yetu kwa jina la yesu amina
Acha ni baki masikini tu umaharufu wangu nitaupata mbinguni
Amen 🙏
Amen
Nikweli kabisa
utukufu ni kwa Bwana wetu Yesu Kristo
Wacha tu nikafulie watu na kulima vibarua, na niwe na amani, Mungu abaki kua Mungu maishani mwanangu 🇰🇪.
Wazi jo
Paschal Cassian Mungu wetu azidi kukulinda na kukutangulia katika Huduma hii. Mara nyingi sisi wakristo tunababaishwa sana na fahari na anasa za maisha ya duniani. Ni heri sana kumtanguliza Mungu katika mambo yote. Tuna maisha mafupi hapa duniani na ni vyema sana kulitimiza kusudi la Mungu unapokuwa hai duniani na kulinda usafi wa mioyo yetu kwa gharama yoyote. UFALME WA MUNGU NI BORA KULIKO CHOCHOTE UNACHOWEZA KUPATA KATIKA ULIMWENGU HUU
Mtumishi wa kristo mim mfuasi wako,, naomba unisaidie lile andiko ambalo yesu aliulilia mji wa yerusalemu 🙏na Mungu akubariki
Siku hizi kila kitu una search unapata tu
@@bahatimshali2731 saw
@@bahatimshali2731 nielekeze Nika search wapi
😂😂😂unamaanisha jamaa bado yupo dunia ya kale sana ee😂@@bahatimshali2731
mtumishi Mungu azidi kukupa ujasiri wa kuzidi kusema kweli kufunua yote ya gizani
Leo mtumishi umeongea vzr sana tena kwa upole,,,nimekuelewa🎉
Pascal cassian ..penda sana maubir yako yenye mafundisho pia nyimbo zako.❤❤❤
Mtiini mungu mpingeni shetana naye atawakimbiaaa. mungu tusaidie😢😢
Mtumishi Wa Mungu Mungu Azidi Kukupigania Kwa Kazi Njema Mungu Akutetee
Jamani mimi nampenda Yesu
Halafu unakuta mtu mzima na kichwa chake kama bungo anacheza miziki Yao listen guys those people whatever they sing they are praising ibilisi
Wabishiii kuelewa wakiambiwa
Kuna waimbajii wainjili pia mashoga, wachawi, wazinzi, walevi nk. Usije ukadhani njimbo za injili zinaimbwa na watakatifu pekee, never. Utakatifu ni juhudi ya mtu yeyote ya kumtafuta Mungu katika usafi wa mwili na roho. Haihusiani na kuomba au muziki.
@@moseshaule586 kwa Iyo unavyoongea ivyo Kwamba watu nisawa wasikilize nyimbo za kidunia???WApo nihilistic wenye mafuta na wana mtukuza MUNGU WA kweli wa Mbinguni
@LucyKapinga-fg4dk ubaya haukai kwenye nyimbo bali unakaa kwenye aina ya ujumbe unaoimbwa. Kama mtu anaimba kuhamasisha uzinzi,ushoga na uovu kwa ujumla, hiyo ni mbaya. Biblia inasema "msidanganyike mazungumzo mabaya huharibu tabia njema." Lakini uovu wa mtu au maisha yake ya dhambi hayaezi kukuharibia utakatifu wako isipokuwa ujumbe anaokupa. Secular wanaimba nyimbo nzuri za kuelimisha jamii hata kama yeye ni freemason,mchawi, anaabudu sanamu hiyo wewe haikuhusu. Matajiri wengi wanamadhabahu za kafara kwa ajili ya maduka yao, magari, meli, ndege ambazo sisi tumazipanda bila kujua. Kwa hiyo tusinunue kwenye maduka yao, ndege na magari yao tusipande. Simba na Yanga wana madhabahu za kichawi kwa hiyo tuache kushabikia mpira. Mabenki na kwenye majeshi kote na majengo ya serikali wamezindika kwa hiyo tusiguse. Kwa ujumla dunia yote hii imejaa uchovu usioneneka.
Aminaaaaaaaa Leo mb zangu zimeendea hakiiii asante kwa ushauri
Mungu awe pamoja nawe siku zote katika huduma yako mtumishi ❤🎉
MIMI UWA SISHANGAI MTU AKININYIMA RIFTI KWENYE GARI YAKE 😂😂😂😂😂
Kwakweli Mungu atusaidie maana niliona maono mbinu kama hizi zitatumika sana niliona wanapanga mpango wakumaliza taifa
Nakuelewa sana babaa nipo nawe wala sitoweza kukupinga
Eeeh Mungu tusaidie jamani.dunia yaelekea wapi 😢😢
Mungu baba Asante kwa maisha uliyonipa , familia yenye upendo, mtoto mzuri na ridhiki nayopata Asante Asante baba
Shetani yupo kazini na wanawe waliomkubali. Wacha nisadiki kwa kile nilizawadiwa na Mungu. Nisipende utajiri nikamkosea Mungu.
Mtumishi mungu akubaliki ktk maisha haya tupo kwenye dunia ngumu Sanaa eee mwenyezi mungu utufanyie wepesi ktk kila Jambo ili tukutumikie amen 🙏
Nakupenda sana mtumishi unafundisha kile kitu nakielew
Mungu niondolee tamaa ya vitu za ulimwengu
Pastor Cassian hongera Sana kufundisha, kwani shuhuda zako ni kama za mchj Amaiel KATEKELA wa Geita ! Sawa na Hawa wengine unaowataja ambao na wamegubikwa na mengi, utajiri na shetani imaarufu na Mali nyingi na FEZA ZA KUTISHA. jz Michael Jackson uuuwui. Mungu aliwajua na kafara za ajabu. 😊😊😊😊
Wote ni Wainjilisti kazi yao kukemea
Mungu wetu ni mwema hufunua yaloyo gizani maana tulokua tunajua wamefanikiwa juhudi za kufanya kazi kumbe vimetokea huko Mungu tusaidie
Heeeeee We MUNGU wa mbinguni wahurumie watoto wetu katika dunia hii mbona mambo yanazidi kuwa magumu MUNGU nisaidie nisitamani vitu kwa watu maana sijui kavipataje
Mungu akutunze sana Mtumishi wa Mungu ili ufunuliwe mengi na tuzidi kujifunza na kuukataa uovu
Shetani km alimwendea Yesu at the point amefunga cku 40
Akamwambia nisujudie nikupe vyote mimi ni nani nisijaribiwe...huu umasikini nitadunda nao tu in Jesus Name
Mungu atusaidie ubarikiwe mtumishi pasko kasian
Heri yule aliye na mungu... Kwa maana Kuna amani
Anaitwa MUNGU sio mungu
mungu atusaidie sana
😢😢😢😢😢😢huzini sana dunia iyi ipo mwisho wake
Hakuna kitakacho sitilika mbele za Mungu,ametujulia yaliyo ya giza tukapate kujua
Jamani turidhike na cha Mungu anachotupa, tumtafute Mungu sana jamaniii na tuombe tobą na Rehema ,, Mungu ni mzuri amen
Wakristo wengi wametupiwa pepo wa uvivu kutokuomba Mungu mana Luka 18:1 tuombe kila siku bila kukata tamaa. Na siri ya mafanikio ndo hii sio sehemu nyingine ni kwa Yesu Kristo wetu. Mathayo 6:33 [ Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa].
Yaani ukielewa andiko hili utamuona Mungu kwenye maisha yako yaani kuishi maisha matakatifu kisha bingu zitafunguliwa kwa lolote utakalo omba kwa jina la Yesu Kristo.
Mtumishi Mungu usichoke mana siku zimeisha, kupenda fedha kuliko Mungu, manabii wa uongo, watu kutafuta amani lkn hawaipati. Mungu akubariki kwa usisimamaji wako.
All true,preach brother. Tuhustle legit ,huku nje ni noma. Tuepuke Illuminati.
Watu wamrudie mungu Tu kwasababu mambo yanayo tendeka duniani ni huzuni San 😢
Ndo maana kajitangaza hivi majuz kuwa anataka awe tajiri Dunia nzima kumbe Kwa kufanyiwa ushenz huo!!!
Nilikuw na vi nyimbo vyake kwenye flash yangu mime-delete kbs!
Amen kaka Mungu akubarik
Aaah dunia nikweli inakwisha 😂😂😂mutumishi mungu akulinde naekubariki ❤❤🎉
Heri masharti ya mungu mwepesi...ya shetani magumu tena yatisha...hayana amani kabisa.
Mungu aendere kutumia mtumishi
Mungu akubariki sana mtumishi Cassian!
Mungu ni mwema nakula nashiba bora nibaki na umasikin wangu Mungu niepushe na tamaa ya mari za wa2 barikiwa sanaa mtumishi
sio Jesuis ni jesuit
Nikweli kabisa ndugu yangu
Mungu akubariki mtumish maan unazidi kunifungua ufahamu na akili njema
Nyie mnaoomba comments acheni kabsa huo Ni utoto wa kiroho ,na pia ni tabia ya kidunia kutafuta like sisi nikumtia moyo tuu mtumwa huyu hata wengine wazid funua giza pia namashaka nàwewe unaeomba like Kama hujaokoka like hazisaidii bora ungesambaza ujumbe huu maelfu waokolewe kuliko kutimia muda wko kutafuta like za watu sijatukana mtu hapa nakupa shauri tuu kama nmekosea nisamehe
Daah kwakweli YESU nimwema kwetu SAANA nawatu kweli YESU AWASAIDIE
Mungu wangu 😢😢😢mambo ya kuogovya jamani😢😢
Kweli kbs mtumishi wa Bwana hakika wewe ni kiboko yao maana hauogopi chochote Mungu azidi kukupa nguvu zaidi iLi Uwe unatujuza Ukweli
Mchungaji mambo mengine wanadamu wanayataka wao make wanaona baraka za Mungu haziwatoshi shetani hawafati Ila wao ndo wanao mfata kwahiyo Acha wavune matunda yao
Mungu ni Mkuu
Safari ya mbinguni ni Utakatifu jifunge mkanda kutimiza mapenzi ya Kristo Yesu Amen
🙏🙏🙏
Mwenye macho haambiwi tazama palapanda inalia mda wowote
Mtumishi nakubali sana wachane hao mashoga safi sana pamoja sana
Mkatae shetani na mambo yake yote😅😅😅❤❤❤❤😊😊😊😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😢😂
Mungu azidi kuku linda kwaku zidi kuwaambia watu ukweli mtumishi
Haaa! Kwa hiyo anawapanga kitandani wakisubiri zamu hee! basi minguvu ya hatari hawamwogopi? Aanatisha😢😢😢😢
Katumikishwa na shetani mwisho Mungu kayaweka wazi ndiyo hayo anateseka jela shetani kishamkimbia kabaki peke yake anamcheka hiyo ndiyo kazi ya shetani.
Huyo inavyoonekana kakiuka mashalti ndio maana wanamkaanga vilivyo maana haiwezekani ndani malekani ufanye maovu na kuwafanyia wengina miaka zaidi ya 30 usikamatwe inavyoonekana hiyo ni cheni na huyo ana wakubwa wake wanaofanya uchafu kuliko huyo p did na wapo wafuasi wake wanaoendeleza huo uovu kwa wafuasi wao hiyo ndio michezo ya ibada za kishetani na wengi wanajiunga kwa sababu ya tamaa za mali
Now Anaaibika
Nakuelewa sana casian
Balikiwa sana mtumishi
Mimi nakukubali. Uje mwanza.
Shukuran mwinjilisti kwa kuendelea kutufunulia yanayoendelea ulimwenguni....mungu akubariki Ameen
Yesu ni wa thamani kuliko malijani na vitu vyote wavitamanivyo wanadam.
Samahani mtumish, naomba kuuliza Naona TANGAZO la kuchangia huduma hii, Sasa nilikuwa naulizia ni huduma Gani hiyo ya kuchangia
Huo ni ukweli Mtupu na sio wasanii tu,hata mtaani mimi pia nilikua na rafiki yangu alinunu gari benzi ghafla tu.Akawa anavaa nguo za gharama sana tukiwa na miaka 21.baada ya Muda akamchukua rafiki yangu Mwingine nae baada ya wiki mbili akanunua gari kali na nguo za gharama mimi nilitamani sana nikawa nawaomba dili,Lakini mama sikumoja alinionya kwamba ameota vibaya juu ya marafiki zangu hao wawili nilidharau nikajua ni miemko yake ya kirokole,Yaliyo nikuta mwaka 2018 siwezi sahau,Niliponea chupu kifo nikajua adi mikesha ya kanisani.yaani ukizaliwa kwenye familia za kirokole ukijiingiza katika ushetani auchukui round wanakuua,sababu kuna vitu utakataa kufanya tu arafu utachukulia masihara kumbe kule akuna masihara.
Napia wanajua utakuja kuwa geuka tyuu Na Alie okoka ni Mama yako Rohoni Uwii akiombaa Anabarikiwa mno na uzao wake unakombolewa kaa alaka na kwa mlokole wakimkamata wanamuua
Waterless ni nyakati za mwisho, shika sana neno la Mungu.
Lusifa yukokazini akivuna mazaoyake anashindana naMuumbawake hukuakivinjari huku nakule kwa rahazote zakupata wafuasi .
❤❤❤❤ hukosei kirahisi
Mungu akubariki
Papa na pdd sawa sawa
Mungu unisainde 😢😢😢😢
Ukiingia mkataba na shetani atakupa chochote unachotaka lakini hawezi kukuacha salama katika huwo mkataba wewe utafanya kazi yake kwa kujiumiza na kuwaumiza wengine na kuwashawishi wengine ili lengo lake shetani limie kutaka kujifananisha na Mungu na kuwaangamiza wana wa Mungu, na ukishinda mkataba wake atakuomba umfanyie jingine ukisuasua yaani siyo kukataa kwamoja kwamoja ataona unataka kumbadilikia na anakupa zoezi gumu ili ushindwe na wakati utakapochoshwa na amri zake atatafuta nji ya kukuchafuwa au atatafuta njia ya kukuuwa na kujenga sanam lako katika uwalisia watu watakuona umekufa lakini anasehemu yake ya kukuhifadhi na cheo chako anapewa mtu mwengine . Na uwo ni ukweli Mungu yote hayo anayajuwa na nguvu anayo ya kumzuia mtu yeyote afiche hiyo siri ndiyo mwanadamu anasikilizwa sana na Mungu,shetani na malaika waliyo kalibu na mungu , Mungu amempa mamraka mwanadamu kufunya kwa kusahau sio kwa kukusudia RIZIKA NA HARI ULIYO NAYO ACHANA NA MIKATABA YA KUJIUMIZA NA KUWAUMIZA WENGINE SISI BADO TUNA JAKI YA KUISHI NA TUTAISHI MILELE.
Anaitwa Tekashi69
Ukweli kabisa mtumish wa BWANA
Leo kuna kijana amenionesha meseji ya nafiki yake wa karibu kabisa anavyomshawishi ili ajiunge fremason apate milioni 2 kila siku nikaumia sana tena sana na wengine ni wachungaji kabisa kanionesha
Huyo pidid ndeye wakala wakuzumu lakini yote Tisa MUNGU ndiye kila kitu
Amina
@@amosemmanuel3528AminA
Mmmmmh haya bhana
Mmm jamani kweli kazi ngumu
Kukutana nijambo jingine na mashart yake nijambo jingine.haimanish kila alie kutana nae kmpididi vidhan.waop also wapidd wale walio kaa ktk njia yake.wengine nikukutana kiheshma kibiashara kikaz hivo.
Mungu wangu😢😢😢🇲🇿
Aminaa Mutumishi wa Mungu
Ila unapenda kiki wewe daa
Hata ao ma pastor wasiku izi wengi wao waovu kuliko ayo ya p didi aache ku potesha watu
Shetani atakupa mafanikio lakini lazima akulipue maana shetani hawai kuwa na akili timamu
Amina amina
Mtihani mkubwa mweee
Mungu nae kumsaidia mtu ni ngumu sana! Mtu anapambana lkn wapi! ndio maana watu wanapitia milango mingine
Lazima akujaribu kwanza ndo akupe Sasa uvumilivu hatuna wakufikia kipimo chake kiimani
Papa kahalalisha wanaume waowane mbona hili wakristo hamuongei
Hilo Jambo kashalifundisha fuatilia vizul utaiona
Andij Vizuri..
Sisi tunafanya kazi us mbone
Hatuna pesa hizo kumbe
Viumbe wengine wana mambo
Yawo ya binafsi ole wenu
Nahizo mali zalaana
Sahii wanasema walilasimiswa uogo
Hata jina tu linajieleza kwamba n lakipepo pididi
Pdd kelele mbona nyie kanisani wanawake wakoi uchii wanaume mmvaa vizur eti mungu haangalii mavazi
Dunia imekwisha 😢
Yaan mijamaa mingine na ndevu zao nyingi kabisa wanafanya ufsika huo duh! Bora nife
EEE Jani mungu aisamehe Tanzania jamani maana hiyogathabu ya mungu hakuna atakae ikwepa kwawote wanafanya mambo yakishetan