Poleni sana kwa kuondokewa na mtangazaji maharufu sana. Ameenda mahali alipojichangulia akiwa hapa duniani. Ndio amefurahisha watu lakini kama matendo yake hayakufurahisha Bwana hata tukalia ni bure ameenda. Tujifunze kutengeneza na Mungu maana unapoondoka hapa duniani ukiwa mwenye haki basi kulia ni kujisumbua tu maana alipoenda ni pazuri kuliko hapa duniani. Lakini ukifa mwenye dhambi nafsi yako itateseka milele. hivyo basi tengeneza moyo wako ukawe safi. Amen Mtumishi ubarikiwe na Mungu sana. Kila aliyekufa akiwa ndani ya kristo haujafa huwa umelala tu! Maana siku Bwana wa mabwana atakaporudi wote waliolala wataamshwa. Lakini ukifa bila kristo ni bure hata tukalia damu Yeye Yesu ndiye LANGO.
Siku ya leo nimeguzwa na maneno yako, huwa nakufuatilia sana ila leo imenibidi nisikize neno lako, tunaomba mungu atukumbuke😢 saana, nakufuatilia nikiwa Riyadh Saudi Arabia, nikiweza skiza haya maneno kila siku naamini nitakua karibu na mungu 😢 Eeh mungu wa mbinguni utukumbuke🤲🤲
Kwakweli Mungu atujalie kupendana sisi kwasisi yaani Jua,Dunia,vyakula,na vingine vingi nikukodishwa na Mungu,basi tutende mema ilisiku hiyo itakapofika tuwe na ujasiri,kwani kifo niMungu anadai kodi yake,Amina
Poleni kwa msiba. Hivi mimi nikifa, nani atanililia kama Tabitha, matendo yangu yatafanya wanililie au hawapo? Mungu nisaidie nikuamini wewe ili nikilala upande wako nisipotee milele na nifufuliwe siku ya ufufuo.
@@Katembo_Official watu mnajua kujichotea dhambi ya bure,we umetokea wapi?he nimecomentije?saa nyingine uwe unatuliza komwe lako vizuri unasoma unaelewa
kaka kazi yako ni njema San.mana yesu hakuja kw wakristo tu hvo sauti yako itaskiwa na kila mwenye uhai mungu azidi kuktunza uendlee kuifnya kazi yake usiogpe ww ni shujaa.
@@VeronikaMatheo ubarikiwe sana kwakutambua kuwa kristo alikuja kutafuta kilichopotea na kuokoa! Na ukweli ni kwamba Kuna kanisa lisiloonekana Hilo analijua YESU mwenyewe kazi Yetu ni kutendgeneza Kila saa Kila siku Kila sekunde tusingoje wakati wa kulala
Nimefanya nae Interview zaidi ya mara mbili alikuwa sababu ya umaarufu wangu kabla ya Mimi kumrudia Mungu😢 mwisho juzi tuu amenitafuta na kutaka kujua nipo wapi mbona sionekani watu wanataka kujua mmmmmh hapana
Mtumishi nakupenda sana na mafundisho yako lakini hilo shati umevaa leo lina mchoro na chapa "yao" nadhani wanielewa kua makini sana mavazi yetu yasilingane na ya wadunia penda nguo plain sana... Thats verserce (medusa
@@janethEmmanuel-n8h vidole vyote havitoshani kila mmoja na kazi yake. Kuna mwalimu anayefundisha kwa kutumia mifano na kuna mwingine hatumii. Hivyo basi hatuwezi wote kufanana au kufanya jambo la kufanana
@janethEmmanuel-n8h mbona ukauliza swali? Sio lazima amfuate uko aliko kuwa injili aliipata hapa hapa mtandaoni... wewe ulipokuwa ukimsikiliza Dida alikuwa anakuja kwako nyumbani au ulikuwa unaenda msikiliza kituoni. Hapa ukitoa comment kuwa tayari kurudishwa na wewe usituwekee mipaka eti no one should comment! You have to expect a reply it might be positive or negative.
Napenda nyimbo zako mtumishi wa Mungu sana Mungu akulinde
Poleni sana kwa kuondokewa na mtangazaji maharufu sana.
Ameenda mahali alipojichangulia akiwa hapa duniani. Ndio amefurahisha watu lakini kama matendo yake hayakufurahisha Bwana hata tukalia ni bure ameenda. Tujifunze kutengeneza na Mungu maana unapoondoka hapa duniani ukiwa mwenye haki basi kulia ni kujisumbua tu maana alipoenda ni pazuri kuliko hapa duniani. Lakini ukifa mwenye dhambi nafsi yako itateseka milele. hivyo basi tengeneza moyo wako ukawe safi.
Amen Mtumishi ubarikiwe na Mungu sana. Kila aliyekufa akiwa ndani ya kristo haujafa huwa umelala tu! Maana siku Bwana wa mabwana atakaporudi wote waliolala wataamshwa. Lakini ukifa bila kristo ni bure hata tukalia damu Yeye Yesu ndiye LANGO.
Aminaaa
Kweli kabisa
AMINA KWELI KABISA
Ana heri yule alie liamini na kulishika NENO LA MUNGU.🙏👏 Asante mtumish kwa kutukumbusha NENO la uzima wetu katika KRISTO
Siku ya leo nimeguzwa na maneno yako, huwa nakufuatilia sana ila leo imenibidi nisikize neno lako, tunaomba mungu atukumbuke😢 saana, nakufuatilia nikiwa Riyadh Saudi Arabia, nikiweza skiza haya maneno kila siku naamini nitakua karibu na mungu 😢 Eeh mungu wa mbinguni utukumbuke🤲🤲
Nimekusikiliza vzr papaa cassian asanti kwa mahubiri mazuri mungu akutunze milele daima
Kwakweli Mungu atujalie kupendana sisi kwasisi yaani Jua,Dunia,vyakula,na vingine vingi nikukodishwa na Mungu,basi tutende mema ilisiku hiyo itakapofika tuwe na ujasiri,kwani kifo niMungu anadai kodi yake,Amina
Bwana Yesu asifiwe sana Mtumishi nimekuwa nikikutafuta sana kwenye simu sijafanikiwa kukupata kabisa
Makiwa kwa family na marafiki nenda salama Dada ni njia yetu 🙏 tuombe Mungu atupe mwisho mema
❤❤ tuombe Mungu atujaalie mwisho mwema
Amen 🙏
Napenda nyimbo zako mtumish
Poleni kwa msiba.
Hivi mimi nikifa, nani atanililia kama Tabitha, matendo yangu yatafanya wanililie au hawapo? Mungu nisaidie nikuamini wewe ili nikilala upande wako nisipotee milele na nifufuliwe siku ya ufufuo.
Ishi maisha matakatifu
Poleni sana
Huyu mtumishi jau kweli kila taharifa yeye tu anaitolea maelezo.jitahidi kufundisha vinavyo tuhusu wakristo khaaa kwani lazima kila tukio uongee
@@janethEmmanuel-n8h Ameeleza Neno la Bwana tena kwa kina sana ni vile hampendi sikiliza mpaka mwisho.
Kwani kosa lake liko wapi?
@@janethEmmanuel-n8h utasema kwakumtusi utachoka
Matatizo unayo wewe ambaye hupendi injili
@@Katembo_Official watu mnajua kujichotea dhambi ya bure,we umetokea wapi?he nimecomentije?saa nyingine uwe unatuliza komwe lako vizuri unasoma unaelewa
Amen amen❤❤👏👏👏
Amen
Pole nisana niyatari😭😭😭😭
Mtumishi una nijenga sana
Kama kawaida yako mzee wa kwenda na upepo
Unasikiliza kidogo ndomana
@@HabilyTech UTAMSEMA HAD UWE CHIZI MBELE UTAMUELEWA2
Mungu akubalik sana mtumishi wa mungu na mungu akubaliki sana na akuongezee wingi wa siku za kuishi apa dunia
kaka kazi yako ni njema San.mana yesu hakuja kw wakristo tu hvo sauti yako itaskiwa na kila mwenye uhai mungu azidi kuktunza uendlee kuifnya kazi yake usiogpe ww ni shujaa.
@@VeronikaMatheo ubarikiwe sana kwakutambua kuwa kristo alikuja kutafuta kilichopotea na kuokoa! Na ukweli ni kwamba Kuna kanisa lisiloonekana Hilo analijua YESU mwenyewe kazi Yetu ni kutendgeneza Kila saa Kila siku Kila sekunde tusingoje wakati wa kulala
Amina mtumishi wa mungu
Amen Amen 🙏🙏🙏
PASTOR WATUWENGI WANASEMA MBINA SHATIYAKO NI FILMASON NAWEWE NJO UNAKEMEA FILMASON??
Sijaelewa sms yako mpendwa
Jifunze kuandika vizuri watu waelewe siyo bora liende
Hivi nani anakuandikiaga vichwa vya habari?
Mwenyenye nashindwaga kuelewa,, ila vumilia tu😁😁
@@daudimichael7338 mtamsema had ukome mwenyewe
Pole sana kwa musiba RIP
Nimefanya nae Interview zaidi ya mara mbili alikuwa sababu ya umaarufu wangu kabla ya Mimi kumrudia Mungu😢 mwisho juzi tuu amenitafuta na kutaka kujua nipo wapi mbona sionekani watu wanataka kujua mmmmmh hapana
Dorikasi mtumishi jina lake
Mtumishi nakupenda sana na mafundisho yako lakini hilo shati umevaa leo lina mchoro na chapa "yao" nadhani wanielewa kua makini sana mavazi yetu yasilingane na ya wadunia penda nguo plain sana... Thats verserce (medusa
😢sema mpapa
Polen sana
Dorikasi
Bilashaka ulitaka kumsemea dolikas
Ulikwenda msibani au ndio wale Mano tafuta content tiu
Haleluya
Naeza okoka mtumishi
Ndyo
Tuwe na hekima sababu hakuna anaye jua mwisho wake 😢😢😢
Walio wa kristo hawaondoki bila kujua wakati wao. Usindaganyike kaka Mungu ujulisha wanawe
Sawa ....., lakini mbona hilo shati lako silielewiiii....., samahani lakini mtumishi we nieleweshe tu
Kwaiyo wewe kazi Yako kuchunguza mashati ya watu😅😅😅
Kweli Bwana napenda huduma yake Ila hilo shati mmh
@maryaiachuhila9518 Yani wewe unavituko unachunguza Hadi nguo😅😂😂😂
Mbona kama hujapiga mswaki
Watumishi wa MUNGU wengi hawana vitu kama hivi sijawai ona pastor yoyote taharifa ikitoka anakuwa anaongelea ila huyu tu 😡
@@janethEmmanuel-n8h vidole vyote havitoshani kila mmoja na kazi yake. Kuna mwalimu anayefundisha kwa kutumia mifano na kuna mwingine hatumii. Hivyo basi hatuwezi wote kufanana au kufanya jambo la kufanana
Mbona unatumia kitanda cha Chuma
@@ClassicUsed-jg6ri utachoka mwenyewe
Hapo lodge yupo safarini
@@ClassicUsed-jg6ri UNATABU UMBEYA WAKO?!
sasa ulimfata wasafi ukamuhubiria akashindwa kuokoka na sitaki mtu.ajibu comment yangu
😂😂😂
@janethEmmanuel-n8h mbona ukauliza swali? Sio lazima amfuate uko aliko kuwa injili aliipata hapa hapa mtandaoni... wewe ulipokuwa ukimsikiliza Dida alikuwa anakuja kwako nyumbani au ulikuwa unaenda msikiliza kituoni.
Hapa ukitoa comment kuwa tayari kurudishwa na wewe usituwekee mipaka eti no one should comment! You have to expect a reply it might be positive or negative.
UTAKOMA MWENYE WE
@@MGALILAYABillionairepoint
@@FestoJemsi-lr8pw mjinga wewe
Napenda nyimbo zako mtumishi wa Mungu sana Mungu akulinde
Ee mungu nisaidie nikujue zaidi amina
Amen
Poleni sana
Amen