RC CHALAMILA APOKEA MELIVITA YA JESHI LA CHINA, INAFANYA MATIBABU, INA ROBOT "NI BURE JITOKEZENI"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 23 ส.ค. 2024
- Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila leo Julai 16,2024 amepokea Melivita ya matibabu iitwayo Peace Ark ya Jeshi la ukombozi la watu wa China katika Bandari ya Dar es Salaam.
RC Chalamila akiongea wakati wa mapokezi hayo amesema Melivita hiyo itakuwepo katika Mkoa wetu kutoa huduma za kitabibu kwa wakazi wa mkoa huu na watanzania kwa ujumla kuanzia tarehe l16 Julai, 2024 hadi tarehe 23 Julai,2024 ambapo leo Julai 16, 2024 ni siku maalum ya uzinduzi, na kuanzia tarehe 18-23 Julai 2024 ndyio siku rasmi ya kuanza kutoa matibabu kwa wananchi. Huduma hizo za kitabibu zinatolewa ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka sitini(60) ya ushirikiano kati ya Tanzania na China na maadhimisho ya miaka sitini (60) tangu kuanzishwa kwa JWTZ tarehe 01 Septemba,1964.
Aidha RC Chalamila amesema huduma za kitabibu zinazotarajiwa kutolewa ni pamoja na vipimo, tiba za kawaida pamoja na upasuaji wa kawaida, magonjwa ya kina mama, mifupa, njia ya mkojo, macho, pua, koo, meno, moyo, utumbo pamoja na ngozi zilizoungua na moto ambapo matibabu hayo yatatolewa kwa ushirikiano wa wataalamu wa Afya wa JWTZ, Hospitali ya Taifa Muhimbili,Tumbi,Amana,Mwananyala,Temeke,na Jeshi la China.
Vilevile kutakuwa na kikundi cha Madaktari Bingwa watakaokuwa wanakwenda kutoa matibabu kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili na Mbagala , Hospitali ya Lugalo na Kunduchi ,Hospitali ya Amana, Bunju, Mwananyamala na Temeke pamoja na maeneo mengine ambayo ratiba rasmi itatolewa na JWTZ.
Sanjari na hilo amesema wananchi watakaokwenda Bandarini kwenye Meli hiyo kwa ajili ya kupata matibabu wanataarifiwa wapitie geti namba mbili(2) la Bandari ya Dar es salaam.
RC Chalamila amesema Matibabu hayo yatatolewa bure, hivyo ametoa rai kwa wananchi wanaohitaji huduma hizo kujitokeza kwa wingi kuitumia fursa hiyo ya kitabibu.
Safi 🇹🇿🇻🇳🇷🇺👏
Safi Sanaa inaonywsha kwao hakuna kabisa wagonjwa ndio maana wamehamia na kwetu china oyeee
😂😂😂😂
Kazi iendelee..
😂😢😂 wahengw walinambia vya bure vinaua utajikuta washakuchomoa hata Figo
Si watupe kabisa tukae nayo
Hii ya chanjo ya covido😂
Mmmmmm mtapandikizwa mpaka magonjwa misaada hiyo vipi ingawa wachina ni marafiki zeetu lakini selikari kuweni makini wachina ni wajanja
😮😮😮😮😮We need to be careful
Hawa viongozi wanauza marizetu usiku nahawajaanza leo tangu mzee john,atuache kunadege lilikuja dom,,likaondoka,mda,usojulikanaa
We hata kuandika hujui Mali unaandika Marizetu kazi kuandika vita hauna ushahidi navyo
@@HusseinKarumna kwani hujaelewa,,wee kumakweli ,,🤰
sisi kama wachina tunawakaribisha sana
SHIDA...HAPA KWETU,KILA KITU ,AU MAMBO YOTE NI,"DAR ES SALAAM "....PEKE YAKE....
-IWE HUDUMA,MICHEZO AU JAMBO MUHIMU,NI DAR..AU ZANZIBAR TU...
Kwa hiyo hiyo meli ulitaka ifike vipi Dodoma kwa mfano?
😂😂@@salumalriyamy
Wnakuwaga pale central.posta
Ina mambo yao,cdf wetu simuoni mbona,ndo alipaswa ahojiwe imeleta nini hasa,mchina hana rafiki ana maslahi kwake hasa,
Acha kutafuta kiki ktk mitandao
Waizi wakubw mbwa hawa
Kwann
🎉
Kila la kheri kwny maadhimisho ya miaka 60 tangu kuundwa kwa jeshi la ulinzi wananchi wa tanzania
Kenya waje tupigane
Huku America kuna shirika linatoa huduma kama hiyo nchi mbali mbali duniani huwa najiuliza mbona hawaji huko tz
Jipeleke mchanjwe muwekewe chip😂
😂😂😂😂
Tunashukuru, lakini tuwe makini yawezekana Tanzania ni sehemu ya Majaribio.
😂😂😂😂
Milladi hapo ushapeleka udaku US kuwa China wameleta meri ?
Tuwe makini jamani.
Kwanini waje wanajeshi?
Nina shaka hapo!
Naombeni mnijuze alitaja hospital gani
Corona???!!!!!
Waende marekani uku wasije
Sasa serikali ijiongeze iliwapate utaalamu wa vifaa vitaa
Depending football club
China safi sana kuja kwetu tanzania
Matibabu yanaanza lini??
NAOMBA LOCATION SEHEMU WANAPOTOA HAYO MATIBABU
Haya Sasa!.. fulsa hiyo Kwa Malaya wa daslamu. Wachina wana upwiru kama wote hao.
🤣🤣🤣🤫
😂😂😂😅😅😅
Kigamboni nilini mtujuze
Sasa mbona mnakwamisha biashara zingine sasa meli inakaaa mda gani pale gat
Kwani hayo matibabu yapo sehem gani?
Hii mel inauzwaje?
Watanzania jamani tuwe makini tusijekua majaribio ya virusi fulani
Virüsü gani sasa mbona huvitaji,kabla hujazaliwa meli za kivita za China na Nchi nyinginezo Ndio utartibu wao kutembea Dunia nzima kutoa matibabu
yani mchina achome mafuta kutoka china aje Tanzania afu akutibu bure?? sawa ni matokeo ya mahusiano kati yetu na wao, sisi tuna toa nini katika mahusiano hayo?? enewi tuendelee kunywa mtori
Inaonekana wew unapenda kutoa sanaa
Uko Sawa kaka aisyekuwa na D Tatu hawezi kuelewa
Acha ujinga ww mhehe
Majaribio kwa nyani sio mtu
Ebwana ama kweli hiyo lugha Wabongo ilishatukataa piece of land kumbe inamaanisha eneo la amani 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂