Me ninaotaga sn km mara tatu ivi yaan nasafiri nipo kwenye meli lkn kufika katikati mara meli imeharibika me nikajiona kwenye bahari lkn nikawa naogelea kueleka nchi kavu . Kikawaida siwez kuogelea
Aslm alkm mm nilimuota bbngu na amekufa twaongea utani kma tulivyo kuwa zmni alafu aniambia mm nisimuogope akanishika mkono mm nilikuwa nina uwoga inamanisha nn plz 🙏ntka kujua
Ukiota umemuona mtu katumbukia kwenye karo la choo ambalo limejaa na lipo wazi hali ya kuwa wewe unmshidia na hatimaye yule mtu akafa, lakini akaja mtu mwingine kwa lengo la kumsaidia lakini yule mtu alitoka salama japo alichoka. Hii inamaana gani shekh?
Me ninaotaga sn km mara tatu ivi yaan nasafiri nipo kwenye meli lkn kufika katikati mara meli imeharibika me nikajiona kwenye bahari lkn nikawa naogelea kueleka nchi kavu . Kikawaida siwez kuogelea
Aslm alkm mm nilimuota bbngu na amekufa twaongea utani kma tulivyo kuwa zmni alafu aniambia mm nisimuogope akanishika mkono mm nilikuwa nina uwoga inamanisha nn plz 🙏ntka kujua
nimeota nimetumbukia kwamaji lkn yabahari lkn nikaomba nisozame nikatokea mahalipakau nn maanayake
Ukiota umezungukwa na maji machafu na unaenda msibani hii ina maana gani shehe
Ukiota umemuona mtu katumbukia kwenye karo la choo ambalo limejaa na lipo wazi hali ya kuwa wewe unmshidia na hatimaye yule mtu akafa, lakini akaja mtu mwingine kwa lengo la kumsaidia lakini yule mtu alitoka salama japo alichoka.
Hii inamaana gani shekh?