JE UNAIJUWA GININGI "NYUMBA ZA WACHAWI "

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
  • fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    #SheikhMardhiyyah #Zinjibartv
    Follow Zinjibartv
    Facebook | Zinjibartv
    INSTAGRAM |@Zinjibar_tv_online
    Wasiliana nasi kupitia number
    +255 773 071 409
    +255 773 878 523
    Zinjibartv Journalists
    cc: Safia Hussein
    cc: Maryam Kidiko
    cc: Abdillahi
    Camera Department"
    Abdillahi
    Mohammed Abeid
    Editors:
    Mohammed Abeid
    Ali Hassira
    Video Zingine:
    Angalia hapa - MTOTO WA TURKY AJITOSA KUMRITHI BABAYAKE UBUNGE
    HIZI NDIO TEGO ZA KICHAWI, SHEIKH SALUM MARDHIYA
    • MTOTO WA TURKY AJITOSA...
    • HIZI NDIO TEZO ZA KICH...

ความคิดเห็น • 95

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 ปีที่แล้ว

    Allahu Akbar,Lailaha Ilallah Ma sheikh wetu Allah azidi kuwakinga InshaAllah 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @ffed1876
    @ffed1876 ปีที่แล้ว

    Subhana lmaliki l Quddus Mola atuhifadhi na mambo yao nawe akunusuru na ubaya wowote Aamin.

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany5340 3 ปีที่แล้ว +8

    Allah awaongoze wote wanaofanya ibada hizo za kichawi na kishirikina😢😢😢😢😢👐👐jaman Amal gani hizi wanazofanya wenzetu Hasbunallah waniimalwakil

  • @bintsalimalbimany5340
    @bintsalimalbimany5340 3 ปีที่แล้ว +9

    Lailahaillallah jaman mim niko huku naona tu basi mwil unasisimka cjui nyinyi mlioko huko😢😢😢Allah awalinde shwkh Salim na wote mliok kwenye msafar na sheikh Sheikh Salim Allah akuhifadh Subhanallah mim ata niambiwe nitapewa nitapewa mali ya aina gan siji huko Allah akbar kunatisha😩😩😩😢😢😢😢Allah azikubali dua zaks sheikh Salim Ammin ammin ammin👐👐👐

  • @anitacizaa413
    @anitacizaa413 3 ปีที่แล้ว +3

    Subuhanallah Allah akbar
    Shekhe Allah akulipe kheri
    kwajitihadayako .
    nasisi atuepushe na shari zawashirikina atuepushe.

    • @longjuly239
      @longjuly239 3 ปีที่แล้ว +1

      Amin amin amin

  • @ruthnimi2165
    @ruthnimi2165 3 ปีที่แล้ว +3

    Amen Kwa Damu ya Yesu Kristo washindwe Kwa Jina la Yesu Kristo, Mungu awalinde na Damu ya mwanao Yesu Kristo munapo omba wachawi wakashindwa na kufa Kwa Jina la Yesu Kristo, Amen

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma6390 3 ปีที่แล้ว +5

    Lailahaillah Muhammad rasululah subhanallah mungu waangamizi wachawi wote

    • @longjuly239
      @longjuly239 3 ปีที่แล้ว +1

      Amin amin amin

  • @ayshaswalekh9197
    @ayshaswalekh9197 3 ปีที่แล้ว +3

    Inatisha Allah atulinde na shari za wanga na wachawi na mashetwan wa kijin ameen in shaallah

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 3 ปีที่แล้ว +6

    Allah awalinde masheikh wetu🤲

  • @king-am
    @king-am 3 ปีที่แล้ว +6

    Mashallah sheikh Allah akuhifadhi inshallah na akuhifadhi kwa sote inshallah..

  • @ahmedissa7882
    @ahmedissa7882 3 ปีที่แล้ว +3

    MashaaAllah shekh Salum unamoyo sana

  • @salmasaady3720
    @salmasaady3720 3 ปีที่แล้ว +9

    😲😲kumbe giningi ndio huko masheikhe hamuogopi panatisha sana allah anikinge nizidi kufanya ibada tu

  • @furahamossi3199
    @furahamossi3199 3 ปีที่แล้ว +6

    Subuhanallah Allah akbar, duniani kunamengi,Allah akuongoze katika harakati zako akupe afya njema

    • @longjuly239
      @longjuly239 3 ปีที่แล้ว +1

      Amin amin amin

    • @Awatee
      @Awatee 3 ปีที่แล้ว

      Amiin

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma6390 3 ปีที่แล้ว +4

    Mashaa allah tabarakallah watamama umepotea Sana

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma6390 3 ปีที่แล้ว +5

    Waalaykum salam warahmatullah wabarakatuh

  • @mohamedsiadi8144
    @mohamedsiadi8144 3 ปีที่แล้ว +6

    Leo wa kwanza asante salum 🙏

  • @saeedsaeed7381
    @saeedsaeed7381 3 ปีที่แล้ว +7

    Masha Allah Sheikh Mardhia you went deadliest region may Allah grant you his fully protection Ameen yarab...Subhallah this region so creepy, scared, weird 😦🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma6390 3 ปีที่แล้ว +5

    Leo wapili mashaa allah

  • @thuglifeforever7042
    @thuglifeforever7042 3 ปีที่แล้ว +1

    Subhaanallah dah turudi kwa Allah naona wengine ndo tunakimbilia kuswal baada ya majanga Kama haya

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma6390 3 ปีที่แล้ว +5

    Allah awaangamize wachawi wote

    • @longjuly239
      @longjuly239 3 ปีที่แล้ว +1

      Amin amin amin

  • @hawaosman4316
    @hawaosman4316 3 ปีที่แล้ว

    Masha Allah Allah akulinde sheikh wetu salum mardhiya Allah akujazie ilm na akupe qair in shaa Allah

  • @salmabakar4339
    @salmabakar4339 3 ปีที่แล้ว +1

    Shukran shekhe Allah akulinde mahasidi

  • @aboubakarmtenguz4643
    @aboubakarmtenguz4643 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah shekhe salimu mardhya fanyakazi wachawi wafe kabida

  • @vitukotv9560
    @vitukotv9560 3 ปีที่แล้ว +4

    Asnt sana kwa kutufungua kichwa chetu

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma6390 3 ปีที่แล้ว +5

    Innalilah wainailah rajiuna

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 3 ปีที่แล้ว +3

    Allahuakbar

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma6390 3 ปีที่แล้ว +2

    Amiin

  • @nasirshekhi6070
    @nasirshekhi6070 3 ปีที่แล้ว

    Jazzakka Allahu khyern 🤲❣️🌹❣️

  • @safiasaleh669
    @safiasaleh669 2 ปีที่แล้ว

    Naona jamaa katoka mbioo ,KAZI ngumu io ila biiznillah shehe wetu Allah atamsaidia na atamlinda ktk pirka zake

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 3 ปีที่แล้ว +3

    Subuhanallah jamani kunawatu hawaogopi azabu za Mungu daa Allah atuepushe ALLAH ATAWALIPA KWA YOTE

  • @MesalimRashid
    @MesalimRashid ปีที่แล้ว

    Amelaaniwa mwenye kumtumikia sheitani.laana z Allah ziwapate wanga wote.

  • @saudarasul9660
    @saudarasul9660 3 ปีที่แล้ว +3

    Sbhnaallah mwenyz mngu atuking na madhila ya mashetwan

    • @longjuly239
      @longjuly239 3 ปีที่แล้ว +1

      Amin amin amin

  • @abdallahdulla3519
    @abdallahdulla3519 3 ปีที่แล้ว

    Mashaallah Allah akupe nguvu zaid

  • @msimbarashidkassimmsimbara4068
    @msimbarashidkassimmsimbara4068 ปีที่แล้ว

    Shekhe si kweli kwamba wagagna wote wanaotumia vitamba vya rangi hizo ni washirikina na wana mahusiano na wachawi tusome elimu ya tiba tuwache kupotosha watu.

  • @ummulkurthumabeid2914
    @ummulkurthumabeid2914 3 ปีที่แล้ว +2

    Subhanallah wallah siku ya Kiana kunatisha wallah maan dah inasikitisha

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 3 ปีที่แล้ว +2

    Subhannallah 😭😭

  • @1964AliK
    @1964AliK 3 ปีที่แล้ว +1

    Tunawashukuru. Tunaomba hili zowezi liwe endelevu mpaka giningi zote zimalizike Unguja na Pemba.

  • @mulhazinzibar6912
    @mulhazinzibar6912 3 ปีที่แล้ว +1

    Inalilahi wainailahirwajiun

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 3 ปีที่แล้ว +1

    Live giningi 😳 subhannallah

  • @ayishaayisha8053
    @ayishaayisha8053 3 ปีที่แล้ว

    Mungu atunusuru na majini

  • @aishaaisha4695
    @aishaaisha4695 3 ปีที่แล้ว

    Allah awayayushe washirkina wote
    Kwa utukufu wako

  • @jumabeka1271
    @jumabeka1271 2 ปีที่แล้ว

    shekh kuna mtaa unaitw magogon kigambon dar es salaam njoo tunasumbuliw san na hao wachaw

  • @fatimaf5284
    @fatimaf5284 2 ปีที่แล้ว

    heee subuhana awa washawi jamni mihani

  • @barnabasanga7552
    @barnabasanga7552 3 ปีที่แล้ว +1

    We unajuaje shekh au nawe umo

  • @ismailjuma3692
    @ismailjuma3692 3 ปีที่แล้ว +2

    Soma iyyooo

  • @lutfiarashid8770
    @lutfiarashid8770 3 ปีที่แล้ว

    Na wallah mungu afanikishe mutokomeze maana dunia imekua chungu kwa sababu ya hao watu

  • @Namanda425
    @Namanda425 3 ปีที่แล้ว +2

    Misukule je?inaishi Humo?

  • @aishasaid6749
    @aishasaid6749 3 ปีที่แล้ว +3

    Toba roho yangu

  • @mtongajuma8435
    @mtongajuma8435 ปีที่แล้ว

    Sheh kituo cha tiba kipo wapi?

  • @khadijaa815
    @khadijaa815 3 ปีที่แล้ว +3

    Mh naangalia huku tu nasisimka mwili sendi apo ninfekusubiri ukoo

    • @malota2138
      @malota2138 3 ปีที่แล้ว

      Hahaha naend usiku hapo nasmama na vesp usiku kma mda wa saa4 ivi hamn chochote apo

  • @maimunabakari1654
    @maimunabakari1654 3 ปีที่แล้ว

    Looh kweli panatisha

  • @aliamar4422
    @aliamar4422 3 ปีที่แล้ว +2

    Shukraan

  • @watuhuru6128
    @watuhuru6128 3 ปีที่แล้ว

    Hii sehemu ya mizimu ya jadi aj sehemu ya uchawi tufanunulie

  • @chamikhamis456
    @chamikhamis456 3 ปีที่แล้ว +1

    Mhh tumedanganywa leo kumbe giningi ndio huko duh cwez kuamin

  • @omaromy6583
    @omaromy6583 3 ปีที่แล้ว +1

    Hio giningi ipo sem gani Unguja/Pemba/am tz bara?
    Mbona hamsemi kitu

    • @aishasaid6749
      @aishasaid6749 3 ปีที่แล้ว

      Hii ni Unguja naona kam sehemu za pwani huko

    • @malota2138
      @malota2138 3 ปีที่แล้ว

      Pemba chambani

  • @ameryharoun7223
    @ameryharoun7223 3 ปีที่แล้ว

    Sasa kwa nn hutaji sehem

  • @salmasaady3720
    @salmasaady3720 3 ปีที่แล้ว +1

    Kumbe giningi nikwenye mashimo uko nilijuwa giningi nikama uko fumba au nungwi kumbe nikwenye majani namashimo hamna uwoga 🙆🙈

  • @abburakkaan5694
    @abburakkaan5694 3 ปีที่แล้ว

    Hapauzwi hapo?

  • @malota2138
    @malota2138 3 ปีที่แล้ว

    Shekh unazingua giningi iko pemba jipange uje uku ndo kuna magwiji kwamagwiji uku

  • @ashashaphy9413
    @ashashaphy9413 3 ปีที่แล้ว

    Heh mpk kuogop jamanii

  • @hassanturky7511
    @hassanturky7511 3 ปีที่แล้ว +3

    Sasa Kama mshaijua si kapigeni rukya. Muwauwe tu hao majini wanadhukumu watu tu

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 3 ปีที่แล้ว +4

    Mimi uko na gari na nyumba mnipe mguu kichwani 🤣🤣🤣🤣siendiii kunatisha jaman

  • @mariamaussi468
    @mariamaussi468 3 ปีที่แล้ว

    Sasa ulijuaje kma wanakaa hapo

  • @JackSparrow-bu8tj
    @JackSparrow-bu8tj 3 ปีที่แล้ว +1

    Kiboko wa subiani kweli huyo

  • @ayishaayisha8053
    @ayishaayisha8053 3 ปีที่แล้ว

    Umesha sema watakuja tena hapo.omba kimya wakija wande

  • @AM-xi4sy
    @AM-xi4sy 3 ปีที่แล้ว

    hapa wapi? si machomvi cave hii dimani

  • @mayaindeed4864
    @mayaindeed4864 3 ปีที่แล้ว +3

    Kwaninavyo ogopaga mm nahisi mngenikuta kwenye gari 😃😃😃 hakuna namna

  • @msimbarashidkassimmsimbara4068
    @msimbarashidkassimmsimbara4068 ปีที่แล้ว

    Usiunasibishe uganga na uchawi acha upotoshaji mganga kweli hana urafiki na wachawi ni maadui wakubwa kabisa mganga ana tibu na mchawi ana sibu kama unaongea mada ya shirki fafanua watu wakuelewe sio kupotosha

  • @abdullahalhabsi9332
    @abdullahalhabsi9332 3 ปีที่แล้ว

    Kwa nini mnawacha makao yao salama? Kwa nini msichome hivyo vitambaa vyao vya rangi nyeupe na nyekundu? Kwa ni nini msiipige moto hiyo sehemu yao ya kufanyia uchawi na wanapokutania?
    Inaonyesha bado mnawalinda na mnawaogopa !

  • @fatmaabdalah7007
    @fatmaabdalah7007 2 ปีที่แล้ว

    Wachawi wanaumiz watu hatuendelei tumechok

  • @aishasaid6749
    @aishasaid6749 3 ปีที่แล้ว +2

    Subuhannallah

  • @hamisiomari6645
    @hamisiomari6645 3 ปีที่แล้ว

    Ukija kwetu pemba tunakumaliza na ww

    • @saidkipaji6285
      @saidkipaji6285 3 ปีที่แล้ว +1

      Kumbe mchawi na wewe una mmaliza nani

    • @hakimhakim9631
      @hakimhakim9631 3 ปีที่แล้ว +1

      Kumbe nawe ni chawi

    • @Awatee
      @Awatee 3 ปีที่แล้ว

      Subhallah Allah atufihadh na atulinde hakiwezi kufanyika kitu bila ya ALLAH msiba

  • @aishasaid6749
    @aishasaid6749 3 ปีที่แล้ว +3

    Waalaykum salaam warahmatullah wabarakatuh