JE UNAIJUWA GININGI "NYUMBA ZA WACHAWI "
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
- fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#SheikhMardhiyyah #Zinjibartv
Follow Zinjibartv
Facebook | Zinjibartv
INSTAGRAM |@Zinjibar_tv_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 773 071 409
+255 773 878 523
Zinjibartv Journalists
cc: Safia Hussein
cc: Maryam Kidiko
cc: Abdillahi
Camera Department"
Abdillahi
Mohammed Abeid
Editors:
Mohammed Abeid
Ali Hassira
Video Zingine:
Angalia hapa - MTOTO WA TURKY AJITOSA KUMRITHI BABAYAKE UBUNGE
HIZI NDIO TEGO ZA KICHAWI, SHEIKH SALUM MARDHIYA
• MTOTO WA TURKY AJITOSA...
• HIZI NDIO TEZO ZA KICH...
Allahu Akbar,Lailaha Ilallah Ma sheikh wetu Allah azidi kuwakinga InshaAllah 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Subhana lmaliki l Quddus Mola atuhifadhi na mambo yao nawe akunusuru na ubaya wowote Aamin.
Allah awaongoze wote wanaofanya ibada hizo za kichawi na kishirikina😢😢😢😢😢👐👐jaman Amal gani hizi wanazofanya wenzetu Hasbunallah waniimalwakil
Lailahaillallah jaman mim niko huku naona tu basi mwil unasisimka cjui nyinyi mlioko huko😢😢😢Allah awalinde shwkh Salim na wote mliok kwenye msafar na sheikh Sheikh Salim Allah akuhifadh Subhanallah mim ata niambiwe nitapewa nitapewa mali ya aina gan siji huko Allah akbar kunatisha😩😩😩😢😢😢😢Allah azikubali dua zaks sheikh Salim Ammin ammin ammin👐👐👐
Subuhanallah Allah akbar
Shekhe Allah akulipe kheri
kwajitihadayako .
nasisi atuepushe na shari zawashirikina atuepushe.
Amin amin amin
Amen Kwa Damu ya Yesu Kristo washindwe Kwa Jina la Yesu Kristo, Mungu awalinde na Damu ya mwanao Yesu Kristo munapo omba wachawi wakashindwa na kufa Kwa Jina la Yesu Kristo, Amen
Lailahaillah Muhammad rasululah subhanallah mungu waangamizi wachawi wote
Amin amin amin
Inatisha Allah atulinde na shari za wanga na wachawi na mashetwan wa kijin ameen in shaallah
Allah awalinde masheikh wetu🤲
Amen🙌🙏🙏🙏😇
Aamiin
Amin amin amin
Mashallah sheikh Allah akuhifadhi inshallah na akuhifadhi kwa sote inshallah..
MashaaAllah shekh Salum unamoyo sana
😲😲kumbe giningi ndio huko masheikhe hamuogopi panatisha sana allah anikinge nizidi kufanya ibada tu
Subuhanallah Allah akbar, duniani kunamengi,Allah akuongoze katika harakati zako akupe afya njema
Amin amin amin
Amiin
Mashaa allah tabarakallah watamama umepotea Sana
Waalaykum salam warahmatullah wabarakatuh
Leo wa kwanza asante salum 🙏
Masha Allah Sheikh Mardhia you went deadliest region may Allah grant you his fully protection Ameen yarab...Subhallah this region so creepy, scared, weird 😦🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Leo wapili mashaa allah
Subhaanallah dah turudi kwa Allah naona wengine ndo tunakimbilia kuswal baada ya majanga Kama haya
Allah awaangamize wachawi wote
Amin amin amin
Masha Allah Allah akulinde sheikh wetu salum mardhiya Allah akujazie ilm na akupe qair in shaa Allah
Shukran shekhe Allah akulinde mahasidi
Mashaallah shekhe salimu mardhya fanyakazi wachawi wafe kabida
Asnt sana kwa kutufungua kichwa chetu
Innalilah wainailah rajiuna
Allahuakbar
Amiin
Jazzakka Allahu khyern 🤲❣️🌹❣️
Naona jamaa katoka mbioo ,KAZI ngumu io ila biiznillah shehe wetu Allah atamsaidia na atamlinda ktk pirka zake
Subuhanallah jamani kunawatu hawaogopi azabu za Mungu daa Allah atuepushe ALLAH ATAWALIPA KWA YOTE
Amelaaniwa mwenye kumtumikia sheitani.laana z Allah ziwapate wanga wote.
Sbhnaallah mwenyz mngu atuking na madhila ya mashetwan
Amin amin amin
Mashaallah Allah akupe nguvu zaid
Shekhe si kweli kwamba wagagna wote wanaotumia vitamba vya rangi hizo ni washirikina na wana mahusiano na wachawi tusome elimu ya tiba tuwache kupotosha watu.
Wewe ndie wa kusoma
Subhanallah wallah siku ya Kiana kunatisha wallah maan dah inasikitisha
Subhannallah 😭😭
Tunawashukuru. Tunaomba hili zowezi liwe endelevu mpaka giningi zote zimalizike Unguja na Pemba.
Inalilahi wainailahirwajiun
Live giningi 😳 subhannallah
Mungu atunusuru na majini
Allah awayayushe washirkina wote
Kwa utukufu wako
shekh kuna mtaa unaitw magogon kigambon dar es salaam njoo tunasumbuliw san na hao wachaw
heee subuhana awa washawi jamni mihani
We unajuaje shekh au nawe umo
Soma iyyooo
Na wallah mungu afanikishe mutokomeze maana dunia imekua chungu kwa sababu ya hao watu
Misukule je?inaishi Humo?
Toba roho yangu
Sheh kituo cha tiba kipo wapi?
Mh naangalia huku tu nasisimka mwili sendi apo ninfekusubiri ukoo
Hahaha naend usiku hapo nasmama na vesp usiku kma mda wa saa4 ivi hamn chochote apo
Looh kweli panatisha
Shukraan
Hii sehemu ya mizimu ya jadi aj sehemu ya uchawi tufanunulie
Mhh tumedanganywa leo kumbe giningi ndio huko duh cwez kuamin
Hio giningi ipo sem gani Unguja/Pemba/am tz bara?
Mbona hamsemi kitu
Hii ni Unguja naona kam sehemu za pwani huko
Pemba chambani
Sasa kwa nn hutaji sehem
Kumbe giningi nikwenye mashimo uko nilijuwa giningi nikama uko fumba au nungwi kumbe nikwenye majani namashimo hamna uwoga 🙆🙈
Hapauzwi hapo?
Shekh unazingua giningi iko pemba jipange uje uku ndo kuna magwiji kwamagwiji uku
Heh mpk kuogop jamanii
Sasa Kama mshaijua si kapigeni rukya. Muwauwe tu hao majini wanadhukumu watu tu
Mimi uko na gari na nyumba mnipe mguu kichwani 🤣🤣🤣🤣siendiii kunatisha jaman
Sasa ulijuaje kma wanakaa hapo
Kiboko wa subiani kweli huyo
Umesha sema watakuja tena hapo.omba kimya wakija wande
hapa wapi? si machomvi cave hii dimani
Kwaninavyo ogopaga mm nahisi mngenikuta kwenye gari 😃😃😃 hakuna namna
😁😁😁😅😅
Usiunasibishe uganga na uchawi acha upotoshaji mganga kweli hana urafiki na wachawi ni maadui wakubwa kabisa mganga ana tibu na mchawi ana sibu kama unaongea mada ya shirki fafanua watu wakuelewe sio kupotosha
Kwa nini mnawacha makao yao salama? Kwa nini msichome hivyo vitambaa vyao vya rangi nyeupe na nyekundu? Kwa ni nini msiipige moto hiyo sehemu yao ya kufanyia uchawi na wanapokutania?
Inaonyesha bado mnawalinda na mnawaogopa !
Nenda ww
Wachawi wanaumiz watu hatuendelei tumechok
Subuhannallah
Ukija kwetu pemba tunakumaliza na ww
Kumbe mchawi na wewe una mmaliza nani
Kumbe nawe ni chawi
Subhallah Allah atufihadh na atulinde hakiwezi kufanyika kitu bila ya ALLAH msiba
Waalaykum salaam warahmatullah wabarakatuh