Asante sn sheikh 🙏, mie nliota naingia kwa shimo kwa shida sn, lkn baadae nikangangana nikatoka nje, kisha nilivontoka nikaanza kuomba, baadae nkataka kuenda kuoga ss nlivokuwa ktk harakati ya kwenda kuoga nikashutuka usingizini nkaamka
Ukimwota mtoto wako ametumbukia kwenye kisima Cha maji na nikamuokoaa mm mwenyewe ila mama yangu mzazi aka mvuta Yale maji na mtoto akaarisha maharisho mengi sana yamajimaji nakuna mdudu alietoka katika tumbo lamtoto kupitia hayo maharisho ila mama yangu akasema mdudu huyo akutakiwa kutoka tumboni na kama akitoka nilazi hyo mtu afariki nashindwa kuelewa inamaanisha nn kwa mwanangu
Assalam alaykm walhmatu llahi wabarakatu shekhee mm naomba kuuliza mm mwanzo nilikuwa naota ndoto nakumbuka la kini kwa sasa nikiota sikumbuki hii ina maana gani
shekh mm nmeota nmeingia kisiman lkn nilitolewa na mtu shida mwanangu yy alifika hadi chini y kisima lkn ndoto ilionyesh nalia sna sjui kiliendlea nn nlishtuka ssa sjui mwanangu n vp yarraby😢😢
Mimi nimeota nimepita kwenye kisima juu Kuna gogo hafla lile gogo lika Katika na kutupikia ndani ya maji lakin nikawa naelea juu na nyumba kulikuwa na mtu anataka kupita ghafla mbele yangu akatokea mtu na kunifuta nikatoka
Nimeota nadondokea kisimani lakin kabla sijafika chini kugusa maji nkashika Jani kumwa bich linafanana na Mti wa mchikich nikawa nimeshikilia badae ikatokea kitu kama ngaz nikashika nikatoka kwenye kile kisima maana yake nn
Mm nimeota tunafanya mashindano ya kukimbia alafu mm nilikua nakimbia kwa kasi mbele nikakuta tuko watatu wote tunaenda leo sawa ya kukimbia mwisho nikaona kuna mtu akaja akanibeba juu akaingia kwenye kisima mara tukatoka lakini mm bado alikua amenibeba began mwake.
Nimeota mtoto wa mdogo wangu ameangukia kwenye kisima na kisima hicho nicha humhum ndani tunachotaga maji nimeangaika kuita wtu wa kumuokoa wamekuja wakamtoa kumtoa kumbe ni mwanangu na akawa yupo kama kwenye usingizi TU hajafa
Asalamu alekum mm nimeota nachota mji kisimani ndoo kubwa na ndogo nawachotea watu wapembeni ila wao hawahitaji maji yang ila mm nawazalimisha kupokea maji yangu ila najion nimechoka kuchota maji ila nachota tu
Mimi nimeota mwanangu katumbukia kisimani na watu wanamuangalia na kulikua na wezake mle kwenye maji mimi nikakimbia kumtoa ila maji kayanywa nikawa namkamua
Asalaam aleykum shekhe mm nimeota nimedumbukia kwenye shimo lina maji nikataka kutoka nikashindwa maporomoko ya udongo yakaanza kuniangukia shekhe nimeogopa sana maanake nini shekhe
Sheik mimi nimeota navuta maji lakini bahati mbaya nika tumbukia kwenye kisima hicho cha maji. Baada hapo nikaona kitu kama daraja na nikatumia mti mti kutoka kutumia daraja hio.
Nisaidie sheikh mm nimeota mwangu kdumbukia kisiman alafu kisima hcho maji yalikuwa meupe xana xaxa kabla sijamuokoa nikawa nimeshituka kutoka usingzini nn maana yake sheikh
Asante, Mimi nimeota namwona mtu nisiemfahamu anaporomokea kwenye kisima kirefuu ,ila palikuwa na umati wa watu wamezunguka kisima hicho maana yake Nini?
Niliota dadangu mkubwa ameingia kwenye kisima na mwanangu kamfuata humo ndani na nikaona sura ya mama nayemjua akijaribu kumshika mwanangu mguu anapotumbukia na ilinishtua sana.maana yake nini.walipoingia nilisikia wakiongea wakiitana na Mimi nikagutuka usingizini
Shekh mm naitwa ramadhani ally hivi punde nimeota ndoto nimeangia kwenye shimo la chini ya ngazi ya nyumba nyumba yenyewe ni ghorofa nikajitahidi kuruka kutoka mpaka juu kabla sijatoka juu kabisa udongo ukawa unamong'onyoka nikajizuia kushuka tena niklala hapo juu naelea na nikashtuka usingizini inamaanisha nini?
Shee Mimi niliota visima 3 ndani yake kulikuwa na maji nawatu Wana wake 2 kismakingine mwanamke 1 walizama vilibaki vichwa vyao nje iyondoto inamaana gani
Sheikh Ass aleikum warahmatullah wabarakatuh mimi nimeota niko kwenye kisima kikubwa kimejaa maji na kimefinikwa juu nikapanda hapo juu naninginia kama nataka niingie nikangangana mpaka nikashuka mara mbili ya tatu nikaninginia hapo nataka kushuka nikashtuka nini maana yake sheikh
Shekhe nimeota mtoto ameingia kisiman amefariki lakini mama zake wadogo na marehemu hawajaenda kumuokoa na wanafirahi lakin akatokea mtoto wa pili kuingia nikamuita mkaka jirani ameokolewa ila nimelia sana na kuwalaumu wale madogo wa marehemu nikiwa nalia sana
Insha ALLAH RABI akujaliye hery nyigi sana kutupa ellmu 🇰🇪🤲🤲
Mmmm!!naota mara nyingi eee mungu niepushe na hili
mashaAllah Allah akupe pepo ya juu kwa elimu hii kubwa na pia kwa dua na tiba zako kisheria
Naoba namimi ouniwonge kwegne groupe lawatsap
Naomba unique kwe group
Asante sn sheikh 🙏, mie nliota naingia kwa shimo kwa shida sn, lkn baadae nikangangana nikatoka nje, kisha nilivontoka nikaanza kuomba, baadae nkataka kuenda kuoga ss nlivokuwa ktk harakati ya kwenda kuoga nikashutuka usingizini nkaamka
Naomba tafadhali sheikh uniunge kwnye group la Ndoto
Shekh naomba uniunge kwenye group
Swadaktah
Nitafasirie shekhe
Amen
Naomba uniunge
Niunge kwenye group shekhe
Ukimwota mtoto wako ametumbukia kwenye kisima Cha maji na nikamuokoaa mm mwenyewe ila mama yangu mzazi aka mvuta Yale maji na mtoto akaarisha maharisho mengi sana yamajimaji nakuna mdudu alietoka katika tumbo lamtoto kupitia hayo maharisho ila mama yangu akasema mdudu huyo akutakiwa kutoka tumboni na kama akitoka nilazi hyo mtu afariki nashindwa kuelewa inamaanisha nn kwa mwanangu
Nimemuota mjomba wangu yeye ndo kaingia kisimani kulikuwa na maji..mimi nikawa namtafuta sijamuona..baadae nikamuona punzi zake zilikata
Mi nimeota mjomba wangu kaingia kisimani mi nikawa namtafuta nilipomuona tayari punzi zake zilikuwa zinaisha
Shekhe sion namba
Assalam alaykm walhmatu llahi wabarakatu shekhee mm naomba kuuliza mm mwanzo nilikuwa naota ndoto nakumbuka la kini kwa sasa nikiota sikumbuki hii ina maana gani
shekh mm nmeota nmeingia kisiman lkn nilitolewa na mtu shida mwanangu yy alifika hadi chini y kisima lkn ndoto ilionyesh nalia sna sjui kiliendlea nn nlishtuka ssa sjui mwanangu n vp yarraby😢😢
Mimi nimeota nimepita kwenye kisima juu Kuna gogo hafla lile gogo lika Katika na kutupikia ndani ya maji lakin nikawa naelea juu na nyumba kulikuwa na mtu anataka kupita ghafla mbele yangu akatokea mtu na kunifuta nikatoka
Nimeota nadondokea kisimani lakin kabla sijafika chini kugusa maji nkashika Jani kumwa bich linafanana na Mti wa mchikich nikawa nimeshikilia badae ikatokea kitu kama ngaz nikashika nikatoka kwenye kile kisima maana yake nn
Shehe naomba uniunge kwenye group la wasafi
Mm nimeota tunafanya mashindano ya kukimbia alafu mm nilikua nakimbia kwa kasi mbele nikakuta tuko watatu wote tunaenda leo sawa ya kukimbia mwisho nikaona kuna mtu akaja akanibeba juu akaingia kwenye kisima mara tukatoka lakini mm bado alikua amenibeba began mwake.
Assalam aleikum warahmatullah wabarakathu mm niliota na tubukia dani yaki sima cha maji mengi lkn nikapata usaidizi nika tolewa
Je kama mume wangu ameota nimemdumbukizq kwnye shimo ina maana gani😢
Shehe Mimi nimeota nakibizwa na wanajeshi baadae nikakimbilia kwenye kisima nikatumbukia baadae akajamtu akaniokoa maana yake nin
Mimi. Nimeota nawatoa watoto kwenye maji cjui inamaan gan
Nimeota mtoto wa mdogo wangu ameangukia kwenye kisima na kisima hicho nicha humhum ndani tunachotaga maji nimeangaika kuita wtu wa kumuokoa wamekuja wakamtoa kumtoa kumbe ni mwanangu na akawa yupo kama kwenye usingizi TU hajafa
Asalamu alekum mm nimeota nachota mji kisimani ndoo kubwa na ndogo nawachotea watu wapembeni ila wao hawahitaji maji yang ila mm nawazalimisha kupokea maji yangu ila najion nimechoka kuchota maji ila nachota tu
Mimi nimeota karibu nitubukia shimon lakini nikatoka sikuikia ndani maana yake nini
Mimi nimeota mwanangu katumbukia kisimani na watu wanamuangalia na kulikua na wezake mle kwenye maji mimi nikakimbia kumtoa ila maji kayanywa nikawa namkamua
Mimi nimeota mtoto ameanguka kisima inamaana Gani.
Mm nimeota natumbukia kisimani lakini sikufika mwisho akaja mtu kanivuta nakunitoa
Samahani mm nimeota wanangu wameangukia kisiman ote wawili ila nilienda kumuita mka simjui wakati anaingia nangaz nikaamka nilikuwa Malia Sana
Asalaam aleykum shekhe mm nimeota nimedumbukia kwenye shimo lina maji nikataka kutoka nikashindwa maporomoko ya udongo yakaanza kuniangukia shekhe nimeogopa sana maanake nini shekhe
Mimi nimeota mutoto wangu ameanguka kwakisiima kirefu alakini hakufariki
Pia mimi
Sheik mimi nimeota navuta maji lakini bahati mbaya nika tumbukia kwenye kisima hicho cha maji. Baada hapo nikaona kitu kama daraja na nikatumia mti mti kutoka kutumia daraja hio.
Aslm alkm, mm leo nimeota natumbukia ndani ya choo, lkn kukatokea mtu akanitoa
Nisaidie sheikh mm nimeota mwangu kdumbukia kisiman alafu kisima hcho maji yalikuwa meupe xana xaxa kabla sijamuokoa nikawa nimeshituka kutoka usingzini nn maana yake sheikh
Shehe mimi nimeota shimo kikubwa sana nani pana sana badaye nimeokolewa namtu
Mimi nimeota tumetumbukia kwenye kisima na mwanang na kisima chenyewe sielew ni sehem gan kile kisima kilikua na maji masafi sana pia tulitoka wote
Kuota unamulisha mwanao
Asante, Mimi nimeota namwona mtu nisiemfahamu anaporomokea kwenye kisima kirefuu ,ila palikuwa na umati wa watu wamezunguka kisima hicho maana yake Nini?
MoSheee asalamu aleiku mim nimeota nimedubukia kwenye shimo nikwamwabia mvulana moja nivute akashidwa nikatoka mwenyewe nikakutana na dungu yangu anakula hafu keki akanipa inamanisha nin
Niliota dadangu mkubwa ameingia kwenye kisima na mwanangu kamfuata humo ndani na nikaona sura ya mama nayemjua akijaribu kumshika mwanangu mguu anapotumbukia na ilinishtua sana.maana yake nini.walipoingia nilisikia wakiongea wakiitana na Mimi nikagutuka usingizini
Shekhe nimeota nimedumbukia kwenye shimo la maji nikiwa na mwanangu wakiume akiwa na mwaka mmoja na nusu tulidumbukia wote
Shekh mm naitwa ramadhani ally hivi punde nimeota ndoto nimeangia kwenye shimo la chini ya ngazi ya nyumba nyumba yenyewe ni ghorofa nikajitahidi kuruka kutoka mpaka juu kabla sijatoka juu kabisa udongo ukawa unamong'onyoka nikajizuia kushuka tena niklala hapo juu naelea na nikashtuka usingizini inamaanisha nini?
Nimeota mwanangu kaingia kisimani na kisima kulikuwa ndani ya nyumba nzuri sana.kisha nikamutoa mm mwenyewe maana yake nini
Nimeota mume wangu ametumbukia kisiman tena kisima kirefu maji kina maji yasiyoyaa lakin nikamuokoa kwa kumvuta na kamba nini maama yake
Aowatu walio zama sikuwafaam ilawanawake mie nilipita njia
Mimi nimeota nimeingia kisimani nikayaona maji madogo na nikatoka
Shee Mimi niliota visima 3 ndani yake kulikuwa na maji nawatu Wana wake 2 kismakingine mwanamke 1 walizama vilibaki vichwa vyao nje iyondoto inamaana gani
Namaji yalikuwa machafu saana Yan kwausi
Sheikh Ass aleikum warahmatullah wabarakatuh mimi nimeota niko kwenye kisima kikubwa kimejaa maji na kimefinikwa juu nikapanda hapo juu naninginia kama nataka niingie nikangangana mpaka nikashuka mara mbili ya tatu nikaninginia hapo nataka kushuka nikashtuka nini maana yake sheikh
Mm naota nimeona shimo la nyoka
Assalam aalaikum warahmatullah wabarakatuh naomba unisaidie namba yako ya WhatsApp
Mimi nimeona natumbukia kwenye shimo lakin ckufika chini nkawai kujizuia na mtu akaja kuniokoa hii ipoke mkuu?
Je ukimtoa mtu ametumbukia kwenye shomo
Nimeota mtoto kadumbukia kisimani nikaingia nikamtoa inamaana gani shehy
Unashota kisima maana yake😮
Nimeota nimedumbukia kwenye kisima kabla sijazama nikaomba mdaada nikaokolewa kisima kilikua hakitumiki nikapewa ngo nikabadilisha mana Ake nn
She Mimi nime ota mwanangu kadumbukia kisimani majiyarikuwa pakajuu baba yake akamuopowa AANA yake nini
Nimeotoa naoga kwenye kisima na maji yanaonja chumvi
Nimeota mtoto katumbukia kwenye kisima Cha maji
Ukiota umelala kwenye kisima
Ukiot mtot ametumbukia alaf unamuokoa nn maan yake
Shekhe nimeota mtoto ameingia kisiman amefariki lakini mama zake wadogo na marehemu hawajaenda kumuokoa na wanafirahi lakin akatokea mtoto wa pili kuingia nikamuita mkaka jirani ameokolewa ila nimelia sana na kuwalaumu wale madogo wa marehemu nikiwa nalia sana
mimi nimeota nimetumbukia kisimani, nikawa nawatekea maji waliokuwa ardhini, Nini maana yake?
Niunge
she Mimi nimeota mwanangu wa kike kadumbukia kisimani na hicho kisima kimejaa maji lakini nikawahi kumtoa nini maana yake
Nami hivyo hivyo
Mm nimeota mwanangu katumbukia kwenye kisima kirefu lkn kaokolewa
Shekh Mimi nmepta tumetumbukia mimi na mke wangu kwenye korongo refu Pana sio Sana na ndani Lina maji ili tutoke labda tuvutwe kwa kamba
Ata Mimi nliota mtoto wanga anadumbukia lakn Nika muokoa
mm ckuwah kumtoa ndoto ilikata😢😢 cjui n vp ila mm mwenyew nliokilewa haraka
Shehe Mimi nimeoya mtoto wangu wa kiume amedumbukia kisimani tena kisima kirefu lakini sikufanikiwa kumuokoa, nini maana yake?