ð—›ð—®ð—¹ð—¶ ð—¬ð—® ð——ð— ð—¦ð—®ð—¶ð—±ð—¶ ð—•ð—®ð—®ð—±ð—® ð— ð—®ð˜€ð—µð—®ð—¯ð—¶ð—¸ð—¶ ð—ªð—®ð—¸ð—² ð—žð˜‚ð—ºð˜ð—®ð—¸ð—® ð—”ð—·ð—¶ð—¯ð˜‚ ð—›ð—¼ð—·ð—® ð—ð—® ð— ð—®ð˜€ð—®ð—¹ð—®ð—³ð—¶
à¸à¸±à¸‡
- เผยà¹à¸žà¸£à¹ˆà¹€à¸¡à¸·à¹ˆà¸ 27 ม.ค. 2024
- ð—–ð—µð—®ð—»ð—»ð—²ð—¹ ð—µð—¶ð—¶ ð—¶ð—»ð—®ð—µð˜‚ð˜€ð—¶ð—¸ð—® ð—»ð—® ð˜‚ð˜ð—¼ð—®ð—·ð—¶ ð˜„ð—® ð—ºð—®ð—³ð˜‚ð—»ð˜‡ð—¼ ð—ºð—¯ð—®ð—¹ð—¶ð—ºð—¯ð—®ð—¹ð—¶ ð˜†ð—® ð—±ð—¶ð—»ð—¶ ð˜†ð—® ð—¸ð—¶ð—¶ð˜€ð—¹ð—®ð—ºð˜‚ ð—¶ð—¸ð—¶ð˜„ð—²ð—ºð—¼ ð——ð—®ð—¿ð—®ð˜€ð—®(ð——ð˜‚ð—¿ð˜‚ð˜€) ð˜‡ð—® ð—ºð—®ð˜€ð—µð—²ð—¶ð—¸ð—µ ð—ºð—¯ð—®ð—¹ð—¶ð—ºð—¯ð—®ð—¹ð—¶ ð—»ð—±ð—®ð—»ð—¶ ð˜†ð—® ð—žð—²ð—»ð˜†ð—® ð—»ð—® ð—»ð—·ð—² ð˜†ð—®ð—¸ð—² ,ð—ºð—®ð˜„ð—®ð—¶ð—±ð—µð—®, ð—¸ð—µð˜‚ð˜ð—¯ð—®ð—µ, ð—³ð—®ð˜ð—®ð˜„ð—® ð˜‡ð—® ð˜„ð—®ð—»ð—®ð—°ð—µð˜‚ð—¼ð—»ð—¶, ð—¤ð˜‚ð—¿ð—®ð—», ð—»ð—® ð—ºð—®ð˜€ð—µð—®ð—¶ð—¿ð—¶ ð—ºð—¯ð—®ð—¹ð—¶ð—ºð—¯ð—®ð—¹ð—¶
ð‘»ð’‰ð’Šð’” ð’„ð’‰ð’‚ð’ð’ð’†ð’ ð’†ð’ð’ˆð’‚ð’ˆð’†ð’” ð’Šð’ ð’•ð’‰ð’† ð’…ð’†ð’ð’Šð’—ð’†ð’“ð’š ð’ð’‡ ð’—ð’‚ð’“ð’Šð’ð’–ð’” ð’•ð’“ð’‚ð’Šð’ð’Šð’ð’ˆð’” ð’Šð’ ð’•ð’‰ð’† ð‘°ð’”ð’ð’‚ð’Žð’Šð’„ ð’“ð’†ð’ð’Šð’ˆð’Šð’ð’, ð’Šð’ð’„ð’ð’–ð’…ð’Šð’ð’ˆ ð‘ªð’ð’‚ð’”ð’”ð’†ð’” (ð‘«ð’–ð’“ð’–ð’–ð’”) ð’ð’‡ ð’—ð’‚ð’“ð’Šð’ð’–ð’” ð’”ð’‰ð’†ð’Šð’Œð’‰ð’” ð’Šð’ ð‘²ð’†ð’ð’šð’‚ ð’‚ð’ð’… ð’Šð’•ð’” ð’ð’–ð’•ð’”ð’Œð’Šð’“ð’•ð’”, ð’”ð’†ð’“ð’Žð’ð’ð’”, ð’ð’†ð’„ð’•ð’–ð’“ð’†ð’”, ð’‡ð’‚ð’•ð’˜ð’‚ð’” ð’ð’‡ ð’”ð’„ð’‰ð’ð’ð’‚ð’“ð’”, ð‘¸ð’–ð’“ð’‚ð’, ð’‚ð’ð’… ð’Šð’”ð’ð’‚ð’Žð’Šð’„ ð’†ð’…ð’–ð’„ð’‚ð’•ð’Šð’ð’ð’‚ð’ ð’‘ð’ð’†ð’Žð’”
🪩EMAIL:
ð—Œð–ºð—…ð–ºð–¿ð—‚ð—’ð–ºð—.ð—ð—@ð—€ð—†ð–ºð—‚ð—….ð–¼ð—ˆð—† - บันเทิง
Allaah amuhifadhi sheikh Abu khawlah na Masheikh zetu wote watu washaanza kuelewa.
"sina uhakika kama ile saiti nyajini au nya binyadyamu....." the background voice is amazing....
Allah awaingoze masufi waifuate HaQqi.... kwa upande mwengne bado ni ndugu zetu ila Bid'Ah inawatafuna tunawapenda ndio mana hatutoacha kuwalingania kunako kheri...
نسأل الله السلامة
Mashaa Allah sheikh said ,Mola azidi kukuhifadhi ,ana kweli jibu la mjinga ni kimya,Abu khalwa hana elimu ila ushindani
Mpiga huyooo
Hana elimu kwa ujinga wako, na huyo pia ni muongo, eti hana uhakika kuwa ni binaadam au ni jini, amekwama aseme ukweli tu.
Kaka mawahabi hawana akili kwanza hawawawezi mashekhe zetu ila wap ni ushindani tu maana Cha kwanza wanaaomea ubishi kabla ya elimu, kikubwa tuwape nguvu akina shekhe said mungu awape nguvu na uwezo
Masheikh wa kisalafi walimpiga pabaya, Allah awahifadhi masheikh wetu
Wacha ukurafi. Usipoteze wenzako kwa mungu simbali
Hawa jamaa,allah kapiga mihuri kwa katika nyonyo zao,ndomana bidaa waziona ni kheri,na ndo kazi ya ibilis kubwa kafanya kwa hawa watu, kupiga piga gitaa apo ndo uislamu huwo si muziki huo,nenda kanisani kapige gitaa vzr,
Mawahabi mnchemka sana kwasababu bongo zenu zimefungwa kuto kuwasikiliza wtu wa twariqa ndo maan hata aseme nn nyiye mmeng, ang, ang, nia kutukana watu ndo maan hamsomi mkaelewa mnasoma kubishana kuweni wachamungu acheni ushabiki
Nyinyi ndo mmesoma Sana mashallah . Allah awazidishe elmu
Jamaaaan wanao mjua hyo abuu khaula mwambieni namtafuta nisaidieni kumleta hadharani ili kelele ziishe.
Hauwezi kuwajibu sababu hauna hoja Dj. Utawaita majini na kujifanya kukosea jina la aliekuradd kwa kujifanya haujui wakat wajua Dj. Pia wajifanya uma kazi ya kufanya, Naam, kaz ya studio kurekod kwa magita na vinanda
Shukran Sana sheikh Said wahuni hao uko sahihi sana
Waislam wamekalia kubishania maswala amabayo hayana umuhimu mpaka kuleta mgawanyiko wakati kuna faradh muhimu za uislam zimeachwa.. Tuache hii tabia ya ushindani na kutambiana juu ya elim ya dini na tusimamishe uislam uliokua na umoja
Ww umedalilika kwenye munaqasha na mm cta fanya uzushi wa molidi umeshindwa kutetea barzanji
Allahu akuhifadh mwalim wangu said
Amuhifadhi nini mtu anaye jiita Dj muokipeni Alla
Amekufunza nn isipokuwa wimbo na uzushi,,,funguka akili umche Allah Kwa kufuata mfundisho alizo mteremshia mtume wake bila ya kuongeza wala kupunguza
Wapotea ww
Atuhifadhi sote tunaempenda mtume Mohamed inshaallah
Sheikh Said umeelewekaaa.. MashaaAllah Tabarakallah
We kijana,bidaa zinakufanya uwe mjinga ruddi katika sunna,litakuwa ni bora kwako kuliko kumzulia mtume wa allah, mmemuona rassullah llah ,hakufikisha dinni,mkaja na yenu ya kuongeza na hilo hata mayahudi walipotea kwaajili ya kuongeza mambo katika dnni alokuja nayo mussa.
Shekh saidi fanya kazi ya Allah tuko pamoja Achana nao mapimbi watakurudisha nyuma hawawezi chochot ispokua makelele mengi kama wanao teta ili wajuilikane kama nawao wanasm mh
ALLAH AKULINDE SHEIKH SAID NA AKUONGOZE WEWE NA SISI KWENYE NJIA ILIYO NYOOKA
Wanamuziki, kitu kilichokuja waziwazi uharam wake ktk ala za muziki hawauoni je wataijua sunna hawa i wanamuziki mausufi
Ww said usiingie huku ukatoka na huku ww kama huwezi jibu sema tu wazi wazi usiseme sijui ni jini wala binadamu ww kama ushafungwa kubali😂😂
Masha Allah umefanya vizuri sheikh said Allah akuhifadhi na hawa wanao kukashif ni watu wakufuata upepo
Kuna Hadith, ameisimulia Bwanamtume Mohammad s.a.w, amesema sauti mbili zimilaaniwa duniani na Akhera, sauti yakwanza Zumari na magitaa, sauti yapili vilio wakati wakufiwa yani kuomboleza, Leo nashangaa ilo shekhe lakisufi linapiga magita, ewe Babu Muongope Allah.
Namuomba ajibu km yako Tyr ss kazi yetu nikuwatibu tuuu NJOO hazaran acha kujifungia ndani nakupigia keleeeele cisozo namaaana nakuongea kejeli njooo nawewe---ukalie kiti ss hatu sauti yako km unajiamini tokeza.
Mwaita watu majina ya kike wasiyoyakubali ni makosa Allah atawauhukumu pia fikirieni kuna na Allah musifurahshe tu watu apange munakasha kama bacho anyamazishwe pia
Al habib sheikh said unaeleweka uzuri sana hao jamaa ni wababaishaji wanaozungumza vitu wasivyokuwa na ujuzi navyo,
Upo sawa sheikh said achana na hizo haluwa sifa yao ni kibri tuu
Nakwambia jipange sana kwa masalafi usije kurupuka utakuja kucheka ulimwengu kama umezoea mziki
Subhana Maliki n'nas
Jamni mm napata ukakasi juu ya hili suala la kupiga minanda lina uhalali maana imekuwa ibada kubwa na nikawaida kwa waislamu wengi naomba kulijua hili nahisi hizi ndo hoja za msingi mutufahamishe
Afwan
Huyo abuu khaula kazi yake kugombeza maiki tuu muoga kweli!! Anitokeze mbele zawanaume km hakijampata kilicho mpata bachu
Huyu Jamaa kawavuruga kabisa masalafi. Hawalali.. Kilasiku wanafikiria namna ya kumchafuwa lkn wapi inashindikana. Tangu apigwe maumari kinana wao bachu masafi wamevurugwa kabisa akili..😂😂😂😂😂😂😂
Masalafi ni makazo, makelele, masifa na fujo tu
Sisi tup Tyr mda wowote tokeza hadharani tukuone ukitangaza maada utakayo wewe tunakupa hy nafasi uchague ww ktk Yale mnayo Pinga yakisufi.
Wewe kama shkhe mwenye dalili basi haugopi mtu mpaka umwone haaaaaaa wewe tapeli
Abuu khawla anasaut kali â¤â¤â¤
Shekehe umepinda ww. Hadi minanda rafiki angu dah. Huna tofauty na qadiria wa Zanzibar. Ila unpotosha waislamu kijana.
Sheikh said yupo sawa nimemuelewa anotaka majibu ajitokeze hadharani kama bachu
Msimtie wasiwasi huyu kijana,mtafutieni vyombo ya mziki,atulie roho yake,apate kututolea nyimbo yake mpya Al maulidibarzanje
Wapi Bachu
Duh! Gitaa kama FRANCO
Sheikh Mwenyezi Mungu akuongoze
Masha, Allah safi kabisa
Nimekuelewa sana maalmu Allah akuifadh nakila Shari
Yatoka Kwa bachu Sasa aingia khawla Huu Sasa Ni upuuzi Na ukorofi Na hili anuwani za matusi si uislamu utafika wakati waislamu hatusalimiani Kwa ajili ya mirengo Na kushangilia bila kujifahamu Kesho atatoka mwengine pia naye apate wafuasi Kisha akifanikiwa mitini maslahi tu
ww wsm hivo kumbe hujui sahivi masaliti sjui ni masalafi hawa msalimii mtu ila awe ktk kundi lao hatr tunako elekea
Narudia tenaaaa!!! Abuu khaula km kweli uko Tyr jitokeze mbele zawanaume acha kugombeza maiki jitokeze yakupate km ya bachu hatutishiw ss nasauti Kali km.......
Yaani hisia za Gitaa na Hisia za Quran n wapi na wapi
May Allah guide us all
Acha usufi kijana pia acha dharau kweli usufi niwendawazimu
Acheni kukokotwa nendeni mkasome mawahabi
Apo ustadh said ywafanya istihzai...Wala hayuko serious... Allah awahifadhi mashekh zetu wa twarika..
mtihani kweli hukutunapoelekea
Hakuna shumi leta wala shumi rudisha ww ikiwa wafuata nafsi yako kwa ulitakalo basi utatenda lolote ulitakalo jibu maswali kama una faida tupate Abu khawlah tushamsikia twataka kwako shekhe wa kutegemewa
Dhahiri, Dj amche Allah
Huyo abuu khaula mm hapa namhitaji achague mada yeyote iwe nimaulidi au nichochote ktk Yale watu watwarika wayafanyao Niko Tyr
Allah awaongoze katika sunna ya mtume s.a.w.
FUNGUA BENDI YA MUSIC SHEKH
wewe umeongoka? au wabwabwaja tu acha uzuka shamba wewe
Ndenda kapinge ngoma na vunanda
Umekwamakweli
Maana kwenye Islam HAKUNA SUNNAH YA KUPIGA MNANDA
Masalafi wako na hoja gaani. Ispokuwa kukojoatu. Kama shehe weenu kakojoa naayi mta kunya.
Wewe dj said ulikutana na bachu hana elimu sasa umekutana na masalafi jibu usipige mziki tuu
Mashekhe tumcheni Allah hii mitandao itawaharibu sana
MAJINI NAO PIA WANAMILIKI SIMU NA KUWATUMIA BINADAMU
DJ😂 SubhanaAllah nacheka kama mazuri achaneni na huu msani wa Kenya Mombasa
huyo Abuu khawla nikama nani yy hana ushekhe uyo mwehu tu u Acheni kuskiliza mamwehu
Kisha ndungu huyu anajeuri na kejeli... Eti kajidai hajui kusema Abu khawla?! SubhaanaLlah! Allah amuongoze huyu na sisi pia atupe khusnul khaatima.
Ndio Kwa sababu huyo hauraaa anaongea choon mwambie atoke barazan asijifiche choon
Kwani huyo unayemjibu katuma video?
Siku hizi mawahabi pia nao wajiburudisha😂
Nimependa hiyo
😂😂😂😂 huyo dj kabisass
Mshenzi sana wew Dj
Mshenzi ww usiye na Adabu.
Alhamdulillah ostadhi uko sawa
Ustadh Saidi achana na wanaojificha uchungu wao Ni Sheikh wao aseme sijui afundishwe
Ah!Mtihani mkubwa
Nyieeee mawahabi nasema hviiiiii ili tumalize hiz kelele mleteni hyo abuu khaula!!! Ayaoge mwenyewe!!!!!!
Safi sana kk
Watu wa paziani machizi
Allah amuihifadhi Abu khawlah, amemtandika bwana dj kisawasasa mpaka hajui ni jini ama mtu😂😂😂😂
Baba khaula anapenda majibizano ya MITANDAO kama anajiweza afanye munakasha au hajiamini
Hii dalili ya kiama
MASHEIKH kugombana
Mwerevu wa kujitetea
Anajigongagonga huyo aliyomtumia meseji ambaye anamjibu mbona hajamuona embu mtazameni said akiongea hajiamini kwa sababu abuu khaula yupo kwenye haki halafu unasema sijui anaitajwe abuu khaula mwiba wa Koo za masufiاللهم ثبت ابا خولة ورÙع منهج السل٠به
Hahahaa Kama kumjibu mtu mpaka umuone Basi hata simu ngeni tusingekuwa tunapokea mpaka video call we umekwama huna hoja na wewe mlete jini atetee maulid جاء الØÙ‚ وزهق الباطل
Nyinyi maboya hamjielewi, hivi ni nani anaeweza kupanda ulingoni kupigana na asiyemuona??? JE kejeli zenu za kumwita dj mngezipata wapi Kama shekh Saeed msingemuona Kwa picha yake humu? Shida ni kwamba nyinyi maboya ni waoga. Eti unarusha ngumi halaf unajificha uvunguni. Kidume huyo hapo kajitokeza, la muhimu abuu Hawla aje hapa watambuwane na aombe mjadala. Maboya nyie kazi kutukana watu eti ndo usalafi. Kumuona sudeys pale Makkah akiswalisha Tena Kwa vidio na sura yake ni halali na mwamtazama ila kuonekana Abu haluwa ni pazia mabwege nyinyi.
Sis tunajuwa alicho wafanyia kwenye munaqasha hamtudangany mnjiliwaza tu ila elimu zenu ni mahsuur kwa ubish tu
Sikuza watu wa bidah
Mbona unajibu hiyi umenuona mtu ao ukumuona
Twambie Wewe mtu wa bidah
Eti hajui kma ni jini😂 Allah awahifadhi masheikh wetu
Tena anapiga vizur sana â¤â¤â¤â¤â¤
Amezawadiwa na jahazi modern taarab
Masalaf wanaongea chooni token barazani msiongee choon
Huyu mtu ALLAH atamuumbua sana
Yupo wapi Bachu mbona amekimbia Sasa amejitokeza أبو خلاء
Asalam alykum je piano na guitar dini yetu inaruhusu
kula chuma lazima uchanganyikiwe ikiwa yy ni shumi leta wewe jifany sala dini ujibu
Mashallah shekh said tumekuelewa sana na mola akuhifadhi kwa kazi kubwa uifanyayo usichoke shekh said
Tangu Ostadh Leo umekua Dj 😂😂
Kapige nyimbo na matwari mafikio Yako utayaona
Huyu kijana kawavua nguo wanajd wote kwa swali moja tu
Je mtu akitumia Hadith dhaifu huitwa MUONGO..?
Hapo hata fauzani hawezi kujibu
Amche Allah,,,hii dini si ya mtu,,,leta hoja ewe DJ,,,,hakika tutaulizwa kwa kila kauli na vitendo tunazotoa
Nyamaza wewe wahabi ujue km uwahabi ni ukristo
​@@user-pu2uw2ib5yyan sijafaham kufata kitabu na sunna ni ukafir au vp?
Allah akuongoze huo ni ukhawariji
@@IbrahMiracle-em4sh.... Mawahabi ni wakristo no 2
@@user-pu2uw2ib5y sasa ndugu mnasema cc tunakufurisha watu ww apo unafanya nn leta hoja kwamba cc ni makafiri wap alf nyie si mwaomba maiti ila ln tumewaita makafiri Allah akuongoze mna hata mm nlkua kma ww duh ya kwamba wakristo zambi za bure hoja huna
ustadh said tuko pamoja nawe, hawa wanachosimamia ni misimamo ya kiharakati, sio ya kielimu wala fani
Wqnaqat bihamlihiii.....
Parapara nyingi ..zift
Abuu haluwaaa😂😂😂 kweli huyuu ni abuu haluwaaa maana haluwaa ikimwagika chini basi itakamata uchafuu😂😂😂
Hahaa kama ingekuwa kumjibu mtu mpaka umuone Basi hata simu ngeni tusingekuwa tunapokea mpaka video call wewe huna hoja basi na wewe mlete jini atetee maulid جاء الØÙ‚ وزهق الباطل
ww umeishiwa hsaaa mfano wasim wapi nawp?
Ukiona msomi anashambuliwa na maadili.. basi masheytwani wata watumia mabalozi wake wamkashifu...sasa nyinyi mkashifuni lakini hakuna hata mmoja wenu anamshinda kwa elimu... Na nyinyi ni mabalozi ibilisi
Bosss wangu hajakaaa na watu wakielmu wa kiswaswaaa
Aje kwa mabig fish afundishwe elmu ya kiswaswaaaa wako watu wametulia wanamwona ni mpuuzi sanaa Allah amhidiii
Yeye kaona ameshinda bachu ndio amefika 😂😂 wako watu wazito zaidi yake bachu hmna mahali amesomea kasomea juu juuu
HawAwezi kujitokeza
Mm pia tenda ya kupinga maulid naitaka.nasikia wanalipywa pesa nzuri.ikiwa bachu aliingia mitini sembuse uo kikhaula.twarika wako vizuri jipangeni vizurii acheni kelele za njaa
Mmmh?kwani na ww sheheee???kweli duniaaa iko mwishoniii,kiama kipo krb
ShumiletaðŸ˜ðŸ˜
Hujibu hoja hata siku moja utaporoja huko huko kwa matwariqa wenzako
Umebananika kweli DJ mpaka kuhifadhi jina ABUU KHAWLA linakushinda kuhifadhi we ni kilaza sana
Kwani uyo abuu haula ndo nani ata jina lake lihifadhiwe
Uyo dogo akonamadharau
Wanaonhay kuonyesh nyusozao hao pangin sio....
Sauti si umeisikia kama unahaki jibu usirukeruke
Lugha lugha lugha lugha ogopa sana watu ambao hawasomi wanasikiliza mawaidha ya mashekhe wao kisha na wao muda huo washakuwa mashekhe aibu wazi wazi😂