Hayo unayoigiza kunawatanzania wanapitia huwa wanaenda kuomba msaada pale radio free Mwanza.Wakati huo hawa wanaotaabika rasmali zao ambazo zingewasaidia zinaliwa na kundi la wachache kwenye taifa lao hal ni mbaya kweli kweli.
Pole sana Mrisho mpoto, lkn wewe ni mnafiki jambazi kama viongozi majambazi waliobungeni. Mpuuzi sana wewe RAIA hatujawahi kunufaika na wewe, mpuuzi mnafiki mkubwa. Kuwa realistic jifunze kuwa WATANZANIA tunateseka mno Kwa ujinga wa serikari na wizi
Congore nying kwako kaka M MPOTO, napendezwa na Kaz zko rakin dunian too wapitaji ombi lang kwako niombe utafte mtuu mwenyewe huitaji na mziki kama wako ili Hya unayo yafanya SIKU na SAA yetu ikifika kutoweka hapa dunian bc tusitoweke navyo vipaji tulivojaariwa Na Mnyaazi MUngu naomba Sana risisha kipaji chako tupate wasanii Kama ww napenda sana Kaz yako kaka God bless you mor an mor 🙏
Hongera sana mr. Mrisho Mpoto. @Mh. Nape, ubinadamu ni zaidi ya vyeo, viongozi wetu tujali haki na usawa kwa wote. Duniani tunapita!
Mungu mwema utapona muombe munguwako nasiwatanzania twakuombeapia ishalllh uatponakaka
Asante kwaujumbe wako mpoto hakika mafumbo umenifany nikumbuke. Mengi sana
Hayo unayoigiza kunawatanzania wanapitia huwa wanaenda kuomba msaada pale radio free Mwanza.Wakati huo hawa wanaotaabika rasmali zao ambazo zingewasaidia zinaliwa na kundi la wachache kwenye taifa lao hal ni mbaya kweli kweli.
Pole sana Mrisho mpoto, lkn wewe ni mnafiki jambazi kama viongozi majambazi waliobungeni. Mpuuzi sana wewe RAIA hatujawahi kunufaika na wewe, mpuuzi mnafiki mkubwa. Kuwa realistic jifunze kuwa WATANZANIA tunateseka mno Kwa ujinga wa serikari na wizi
Kongole Sana kakangu Mrisho Mpoto unaubunifu mwingi story nzuri unajua kufiksha ujumbe
Msani chawa uyu iviutabadilika lini wewe mtumzima acha uchawa Bwana
Nakupongeza sana kwa kipaji ulichonacho mungu akubariki
Ubunifu wa Hali ya juu you have done ma brother
Chawa washaanza kujitangazia ajali mamamae ngoja zianze kutokea kweli
Hongera Sana mrisho mpoto👏👏👏
Congore nying kwako kaka M MPOTO, napendezwa na Kaz zko rakin dunian too wapitaji ombi lang kwako niombe utafte mtuu mwenyewe huitaji na mziki kama wako ili Hya unayo yafanya SIKU na SAA yetu ikifika kutoweka hapa dunian bc tusitoweke navyo vipaji tulivojaariwa Na Mnyaazi MUngu naomba Sana risisha kipaji chako tupate wasanii Kama ww napenda sana Kaz yako kaka God bless you mor an mor 🙏
Eeeeh!jamani pole sana Mungu atakufanyia wepesi
Pole Bab mungu Yuko pamoj n wew utapona
Mbunifu ndio Huyu hapa Sasa. Gooo Mrisho Goo
Pole xana bro
Mpoto namba moja tz
Naona mnavyo jaribu kupaka rangi upepo
hi ndio real sanaaa ubunifu wa hali ya juu brother 100%
Pole san