MISO MISONDO WAMVUNJA MBAVU WAZIRI MKUU KWENYE MAPOKEZI YA NDEGE MPYA, HOI KWA KICHEKO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024
  • MISO MISONDO WAMVUNJA MBAVU WAZIRI MKUU KWENYE MAPOKEZI YA NDEGE MPYA, HOI KWA KICHEKO
    www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 305

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 6 หลายเดือนก่อน +14

    Mwenye kigaloni mbona yupo😁😁😁😁👍👍❤❤ila nguo leo ziko safi kweli'mwaliko ni MKUBWA huu.

    • @NaomiBwilinde-r2j
      @NaomiBwilinde-r2j 5 หลายเดือนก่อน

      Tena Leo n beat tuu hakuna maneno 😂😂😂

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 6 หลายเดือนก่อน +34

    Miso missondo nawakubali sana watafika mbali sana Kila mahali lazima waalikwe wanatufurahisha sana sisi watu wazima

    • @wizk_halfa
      @wizk_halfa 4 หลายเดือนก่อน

      Hatari sanaaaa😅😅😅😅

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 6 หลายเดือนก่อน +68

    Hii nchi ukijifanya una akili zako una kufa masikini😅😅😂😂😳😳🏃‍♂️🏃🏃

    • @YonaKigawa
      @YonaKigawa 6 หลายเดือนก่อน +1

      Hapo kweli unacho lakin unakuwa maskin tumia fan yako

    • @fridaanders183
      @fridaanders183 6 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂

    • @amanmalik6917
      @amanmalik6917 6 หลายเดือนก่อน +4

      Ukitumia akili za shule kutafuta hela hutoboi

    • @vincentauxerbius7554
      @vincentauxerbius7554 6 หลายเดือนก่อน +2

      @@amanmalik6917 🤣🤣🤣😂😂 seriously

    • @sawackoswald9322
      @sawackoswald9322 6 หลายเดือนก่อน +3

      Haswaaa kiwa navitu vyakichizi ndio unaonekana

  • @hassanMahmoud-i4l
    @hassanMahmoud-i4l 6 หลายเดือนก่อน +10

    mama samia kaamua kuwaachia wenyewe Tanganyika mupokee ndege yenu yeye yupo kwao zenji .safi sana mama

    • @salmaalimusa6809
      @salmaalimusa6809 5 หลายเดือนก่อน

      Kwan tanganyika sio kwake?

  • @mariamyusuph3262
    @mariamyusuph3262 6 หลายเดือนก่อน +19

    Namkubali sana waziri mkuu.mungu amlinde

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 6 หลายเดือนก่อน +34

    Aisee kiukweli hii nafac hamkuitegemea leo mungu kawafkisha mbali!! Mshukuru mungu wakat wote amen

    • @maryjoseph1996
      @maryjoseph1996 4 หลายเดือนก่อน

      Upo vizuri nakukbal

  • @Zuu673
    @Zuu673 6 หลายเดือนก่อน +7

    Wakati wa mungu Big up kazi kazi

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e 6 หลายเดือนก่อน +37

    Mungu akitaka kupa hakuandiki barua yan wamefika mbaka kwa mwueshimiwa kama masihala

    • @RajabuHayyan
      @RajabuHayyan 6 หลายเดือนก่อน +4

      😅😅😅😅maisha ni plan ya allah

    • @baloz8974
      @baloz8974 5 หลายเดือนก่อน

      Haswaa

    • @MowanaMohammed
      @MowanaMohammed 4 หลายเดือนก่อน

      @@RajabuHayyanyeah

  • @abdallahassan6378
    @abdallahassan6378 6 หลายเดือนก่อน +7

    Dah Ktk serikali yet naombeni nimpe waziri Mkuu maua yake🎉🎉🎉🎉🎉

  • @NorasckoLaurent
    @NorasckoLaurent 5 หลายเดือนก่อน +4

    Unyama ni mwingi sema wamezingua kufua nguo zao maan zikiwa chaf ndo unyam wa kutosha lakin wapew maua yao💐💐💐💐

    • @madamjoy2402
      @madamjoy2402 5 หลายเดือนก่อน

      Misodo wamejitaidi 🎉😂❤❤❤❤❤❤😅😮😢

  • @RayaRaya-d1h
    @RayaRaya-d1h 6 หลายเดือนก่อน +6

    Jaaaman tnzn muraha😂san nataman nifike InshaAllah

  • @GloiSa-of6vo
    @GloiSa-of6vo 6 หลายเดือนก่อน +17

    Nijambo la aibu taifa kufanya hafla ya mapokezi ya ndege. Hii nikukiri umaskini ambao sio uhalisia wa Tanzania

    • @ABUUSHURAIM
      @ABUUSHURAIM 2 หลายเดือนก่อน +2

      Sawa tu Kwan Mara ngapi wew unafanya birthday unamwaga pesa afu Kiran anapga miayo mbona uko hamshangai ivo ukiona unashndwa kuhurumia wasio nacho na ukafanya ufujaji wa pesa ovyo bac ni ivo ivo ata juu kaa kimya

    • @DanielManase-m2b
      @DanielManase-m2b 11 วันที่ผ่านมา

      We hauna hakili ulisha jua unachoo ki ova kweny hii nyimbo

  • @KidauraKoplojohnA
    @KidauraKoplojohnA 12 วันที่ผ่านมา

    Ni wakati wa mungu big ap kazikazi ❤

  • @Saidmayombya-z3g
    @Saidmayombya-z3g 6 หลายเดือนก่อน +9

    Sijapenda maan sijaisikia honey ya miso misondo

  • @abeidmbano6077
    @abeidmbano6077 6 หลายเดือนก่อน +7

    Joty angekuwepo kikosini..nakazia

  • @stellamsokwa6785
    @stellamsokwa6785 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu azidi kuwabariki misso missondo

  • @ISSACKRICHARD
    @ISSACKRICHARD 6 หลายเดือนก่อน +26

    Mungu akitaka kukupa akuandikii barua😂😂😂😂😂

  • @MRPRESIDENT-w4l
    @MRPRESIDENT-w4l 6 หลายเดือนก่อน +7

    Yani Uyo DJ ni maandazi kabisa Kazingua sana Yani 😲

  • @SikudhaniIbadi
    @SikudhaniIbadi 6 หลายเดือนก่อน +6

    Miso misondo namkubali sanaaa

  • @hyerarosemary
    @hyerarosemary 6 หลายเดือนก่อน +6

    We miso misondo umepigajee apooooooo (kusini kwanzaaaa)

  • @RichadMelembuk
    @RichadMelembuk 6 หลายเดือนก่อน +3

    missomisondo in the world❤❤❤❤ kinomaa yaniii

  • @brandsmedia4861
    @brandsmedia4861 6 หลายเดือนก่อน +6

    nawakubali ila hapa hakuna mlifanya aisee

  • @KarangiMafuruMjinja
    @KarangiMafuruMjinja 6 หลายเดือนก่อน +3

    oya weeee nakubali xana misomisond

  • @AntoniDaffi
    @AntoniDaffi 26 วันที่ผ่านมา

    Nakubali miso misondo

  • @kingthedon508
    @kingthedon508 6 หลายเดือนก่อน +4

    Dj kazingua alafu hao jamaa ni wengi sana wangekuwa at 5 wangevutia zaid

    • @saidyally8148
      @saidyally8148 6 หลายเดือนก่อน

      kwahiyo wengine tuwapereke wap?

    • @kingthedon508
      @kingthedon508 6 หลายเดือนก่อน

      @@saidyally8148 wachukue ww

  • @victorphilipo
    @victorphilipo 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi sierewi kira mwaka cag anasema shika randege rinaendeshwa kwa hasara sasa nawaza hospitari hakuna madawa ndege ya nini tuwaze kabula ya kutenda

  • @ridermc7734
    @ridermc7734 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu akipanga kuwa inakuwa

  • @eliaspeter4017
    @eliaspeter4017 6 หลายเดือนก่อน +14

    Wakati wa Mungu ndo wakati sahihi 100%

  • @KINYONGAMASAUTI
    @KINYONGAMASAUTI 6 หลายเดือนก่อน +3

    Nakukubali sana wazili

  • @barakalema4358
    @barakalema4358 6 หลายเดือนก่อน +2

    Sasa shirika la ndege linajiendesha kwa hasara halaf bado mnanunua ndege what a shame

  • @REHEMAMINISTRYCHURCHTV
    @REHEMAMINISTRYCHURCHTV 26 วันที่ผ่านมา

    Yaani Mimi naipenda serikali yangu ya TANZANIA sana

  • @ShedrackMakumba
    @ShedrackMakumba 6 หลายเดือนก่อน +2

    DJ sijui anawaonea wivu madansa wake kaboa hatali wakati mwingine anatamanigi nae haingie Kati kucheza

  • @ANAMARYRUNYORO
    @ANAMARYRUNYORO 6 หลายเดือนก่อน +2

    Sema bdo hampo organized lkn mnafurahisha

  • @sebastianphineas1593
    @sebastianphineas1593 6 หลายเดือนก่อน +3

    Leo dj kaboronga kabana mziki mbwembwe zimeharibu hawajakinukisha vilivyo

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 6 หลายเดือนก่อน +20

    Wazee wa makoti'kusin hoyooo❤❤❤❤

    • @KingPeter-hi3sk
      @KingPeter-hi3sk 4 หลายเดือนก่อน

      ❤mkhhggggjj

    • @Qadablah
      @Qadablah หลายเดือนก่อน

      Mambo vp

  • @Adelemaombi
    @Adelemaombi 6 หลายเดือนก่อน +3

    Kwani miso missodo ni team au ni msanii

    • @KassimBwanali
      @KassimBwanali 6 หลายเดือนก่อน

      Misomisond ni dj wa mzik

  • @erickmsemwa4268
    @erickmsemwa4268 5 หลายเดือนก่อน +3

    Hatari saana ngoja wapige hela.

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 6 หลายเดือนก่อน +1

    Dj,,muhuni....hafla kama hiii speed yoote ya mziki unakimbilia nn,,sio wote wazaramo bhana

  • @KarimuYusuph
    @KarimuYusuph 6 หลายเดือนก่อน +2

    ukibaitika kuwa kiongozi wakat huu wa bb tt uta enjoy sna

  • @nestorynestoryjohn4738
    @nestorynestoryjohn4738 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu nakuomba ujibu maombi yang kwazia sasa

  • @mwanagwakyala3213
    @mwanagwakyala3213 6 หลายเดือนก่อน +3

    mmetisha sana wanangu

  • @nuruhhussein167
    @nuruhhussein167 6 หลายเดือนก่อน +2

    Waziri 🙏

  • @hamadichopoti2996
    @hamadichopoti2996 6 หลายเดือนก่อน +3

    Wauni wamekchafua had serikaln😂😂

  • @salhaiddy403
    @salhaiddy403 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nawapenda Sanaa hawaa watu nachekaga tuu 😂😂

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mosondo inavutia ukipiga saiz ya kati,,we dj wa wapi??

  • @shadrakagalus1185
    @shadrakagalus1185 5 หลายเดือนก่อน

    Keep it up miso misondo🎉

  • @KingMoses-i2v
    @KingMoses-i2v 6 หลายเดือนก่อน +3

    Tanzania Kuna Uhuru kweri🙏🙏

  • @Kaida_Cut254
    @Kaida_Cut254 6 หลายเดือนก่อน +7

    Utamu ni nguo zao chafu na hio ndio nguvu ya Africa

  • @KhadijaKindamba-yj9bn
    @KhadijaKindamba-yj9bn 4 หลายเดือนก่อน

    Sana unaweza 🎉❤

  • @Nyabondotvmedia.6297
    @Nyabondotvmedia.6297 5 หลายเดือนก่อน

    mi nimesikia tuuu misondo ee luhya in the house sema tu hi

  • @janemcharo5371
    @janemcharo5371 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hv miso misondo mnanini lakini😂😅😅Niachen😊

  • @innocentchristopher7571
    @innocentchristopher7571 6 หลายเดือนก่อน +40

    Sijapenda Leo wamefua nguo bana hahaha

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 6 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂👍👍👍

    • @happynesbaemuhappynes8813
      @happynesbaemuhappynes8813 6 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂sasa hapo ni kwa Mheshimiwa

    • @innocentchristopher7571
      @innocentchristopher7571 6 หลายเดือนก่อน +1

      @@happynesbaemuhappynes8813 hahaha ndo wafue nguo jaman dah hahaha Leo saf kwl

    • @Zuu673
      @Zuu673 6 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂

    • @veronicaromwald8311
      @veronicaromwald8311 6 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂

  • @maigekigendi6414
    @maigekigendi6414 6 หลายเดือนก่อน +11

    Sasa hapo Kun miziki gani ama kweli maisha ni Bahati

    • @gracemassawe3670
      @gracemassawe3670 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @amanimlengwa9202
    @amanimlengwa9202 5 หลายเดือนก่อน

    Inyanyapaa dhidi ya walemavu mbele ya viongozi wa serikali, na wanachekelea tu.

  • @MremaMkunji
    @MremaMkunji 5 หลายเดือนก่อน +1

    Dj kazingua Sana hapo

  • @AllySeleman-co6km
    @AllySeleman-co6km 6 หลายเดือนก่อน +2

    Jama Wana weza sana

  • @Maas-d5d
    @Maas-d5d 5 หลายเดือนก่อน +5

    nasikia matikiti matikiti ama nimesikia vobaya alafu bangi sio mchicha haki 😂😂😂😂😂😂

  • @GetrudeRashid-be8bs
    @GetrudeRashid-be8bs 2 หลายเดือนก่อน

    Mm nawapenda wakiwa wamevaa nguo chafu,,Leo mmefua ,,illa pokeen maua yenu🎉🎉🎉

  • @YaqoobElyasa
    @YaqoobElyasa 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mh watu na mamb yao now kila moj ana angalia upande wake

  • @EmadoDone
    @EmadoDone 6 หลายเดือนก่อน +2

    Amen

  • @sheyjimmy6055
    @sheyjimmy6055 6 หลายเดือนก่อน +4

    Kumekosekana vumbi tu😅

  • @andersonsamuel9214
    @andersonsamuel9214 5 หลายเดือนก่อน

    apa wamezingua. beat haijaleta vibe kabisa. kuna kionjo tumekikosa kabisa

  • @AmiriHamisi-lj4zg
    @AmiriHamisi-lj4zg 6 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤love

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 6 หลายเดือนก่อน +1

    Haya makoti ni ya urithi au?😂😂😂

  • @upendomwampulule1724
    @upendomwampulule1724 5 หลายเดือนก่อน

    Big up msondo wako vinzuri

  • @TausiOsein
    @TausiOsein 4 หลายเดือนก่อน

    Nawapenda jamani 🥰

  • @RamadhaniHemedi-l1v
    @RamadhaniHemedi-l1v 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nawakubalisana❤

  • @ApronalCharles
    @ApronalCharles 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mwenyew nikinunua baiskeri nawaharika

  • @KharudickigMkolosai
    @KharudickigMkolosai 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mh hiyo ndo miujiza ya Mungu umepigaje apo

  • @lusakokyando8693
    @lusakokyando8693 5 หลายเดือนก่อน

    Namshukuru mama kwa kutuletea makoti

  • @EmanuelMsangi-ro9we
    @EmanuelMsangi-ro9we 5 หลายเดือนก่อน

    Kazi kazi babu

  • @mbatatakiazi1678
    @mbatatakiazi1678 5 หลายเดือนก่อน

    hapo kwenye kama kilema, hapana. siyo vyema kuigiza kasoro za wenzetu maana hayo ni maumbile walopewa na Allah

  • @p.l.sfinancialserivesltd-fe3jt
    @p.l.sfinancialserivesltd-fe3jt 4 หลายเดือนก่อน

    Mung azidi kuwapa sku nying miso msondo nawakubali San nilifurah sana pale niliposkia Ngoma ya kupigwa na kitu kzito hatar san

  • @EsterSamoni
    @EsterSamoni 18 วันที่ผ่านมา

    Utafika mbali wazi

  • @KarimujumaMkasa
    @KarimujumaMkasa 5 หลายเดือนก่อน +2

    We misi misondo nakup dadaa

  • @Victoria-bv6xu
    @Victoria-bv6xu 3 หลายเดือนก่อน

    God bless you

  • @JafaryChamungwana
    @JafaryChamungwana 4 หลายเดือนก่อน

    ukivaa hivo mtaana unaonekana masikini.

  • @abuumnokotha
    @abuumnokotha 4 หลายเดือนก่อน

    wapewe mauwa yao🎉👏

  • @YohanaWanda-v7d
    @YohanaWanda-v7d 6 หลายเดือนก่อน +3

    Hamna kazi ya kufanya mmekuwa mavichaaa kabisa

    • @milley7185
      @milley7185 5 หลายเดือนก่อน

      Vichaa vyao vinawalipa pesa

    • @shupanamugala6266
      @shupanamugala6266 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa 3 วันที่ผ่านมา

    Viongoz wa selikali wanawataka watu kama hawo walio buludani mbele yao wasio jua kuhoji chochote wanao ngojea wapewe buku ya mamanlie na ndio maana elimu duni ukienda dalasani watoto 10 wanagombea deski moja dawati 20 kati ya wToto 2000 hii ndo amani idumishwe ili wapatikane vijana wengi kama hao wakuwatumbuiza wakati matumbo yenu yakiwa yameshiba

  • @NfitumukizaMushahara-u3l
    @NfitumukizaMushahara-u3l 13 วันที่ผ่านมา

    Mambo wapendwa nawasalimu katika jinalabwana

  • @HemediMvugalo
    @HemediMvugalo 23 วันที่ผ่านมา

    Tuzidi kuwasapoti wafike mbali😂😂

  • @RichardLikingo
    @RichardLikingo 23 วันที่ผ่านมา

    Good

  • @aloycebabene6239
    @aloycebabene6239 3 หลายเดือนก่อน

    Kuna pesa imetumika hapo..
    Then hakuna pesa za kununua vitabu kwenye shule na vyuo binafsi ilhali wanaosoma ni watanzania pia na wazazi wao wanalipa kodi.

  • @neemaneema-xw1ol
    @neemaneema-xw1ol 5 หลายเดือนก่อน +1

    mashall❤❤❤❤❤

    • @neemaneema-xw1ol
      @neemaneema-xw1ol 5 หลายเดือนก่อน +1

      unatari❤❤

    • @Qadablah
      @Qadablah หลายเดือนก่อน

      ​Mambo vp

  • @hassansuleiman-ph3jg
    @hassansuleiman-ph3jg 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kula Chuma ikooo😂😂😂😂

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wazee wa makoti wapo kwenye moto, nchi yao sasa hivi, wamekaikamata vema😅

  • @hamiduchingi2672
    @hamiduchingi2672 5 หลายเดือนก่อน +7

    Wewe zunguka naPHD zako kwenyemaofi yalioandaliwa nafamilia ya kwaniaba ya watoto wavigogo uku wadu wanapiga pisasa bila kutumia akili ya PhD bidii yako tu❤

  • @JoeAggy
    @JoeAggy 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hahaha Leo 😅

  • @SalumuJuma-jf5pp
    @SalumuJuma-jf5pp 5 หลายเดือนก่อน

    Unyama sana

  • @rajabungatanda630
    @rajabungatanda630 6 หลายเดือนก่อน +1

    Amakweli rizki ina nguvu
    Misomisondo amepata sifa kwa kuvaa Makoti na kuruka ruka tu

  • @ajmstationery6157
    @ajmstationery6157 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ndio nawaona leo , ngoja nikae kimya

  • @ErnestAbel-gn9px
    @ErnestAbel-gn9px 3 หลายเดือนก่อน

    Wapewe kibunda chao kazi imeishaa

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ukitaka uwe maarufu fanya mambo ya kipumbuvu hii ndiyo tz

  • @benjo_brighter
    @benjo_brighter 5 หลายเดือนก่อน

    Ukijifanya upo serious na haya maisha, hutatoboa 😂😂😂

  • @ModestRaurence
    @ModestRaurence 6 หลายเดือนก่อน +1

    😮noma balaas

  • @ewaldambrose6136
    @ewaldambrose6136 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wanaaibisha Tanzania

  • @davidelias3986
    @davidelias3986 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hahahahahahahh daaa!!!

  • @NdakiNdaki
    @NdakiNdaki 5 หลายเดือนก่อน

    Wametisha sana

  • @EduBou
    @EduBou 6 หลายเดือนก่อน +2

    Miso miso do nitakuja dadaam🎉