MISO MISONDO WAMVUNJA MBAVU WAZIRI MKUU KWENYE MAPOKEZI YA NDEGE MPYA, HOI KWA KICHEKO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024
- MISO MISONDO WAMVUNJA MBAVU WAZIRI MKUU KWENYE MAPOKEZI YA NDEGE MPYA, HOI KWA KICHEKO
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Mwenye kigaloni mbona yupo😁😁😁😁👍👍❤❤ila nguo leo ziko safi kweli'mwaliko ni MKUBWA huu.
Tena Leo n beat tuu hakuna maneno 😂😂😂
Miso missondo nawakubali sana watafika mbali sana Kila mahali lazima waalikwe wanatufurahisha sana sisi watu wazima
Hatari sanaaaa😅😅😅😅
Hii nchi ukijifanya una akili zako una kufa masikini😅😅😂😂😳😳🏃♂️🏃🏃
Hapo kweli unacho lakin unakuwa maskin tumia fan yako
😂😂
Ukitumia akili za shule kutafuta hela hutoboi
@@amanmalik6917 🤣🤣🤣😂😂 seriously
Haswaaa kiwa navitu vyakichizi ndio unaonekana
mama samia kaamua kuwaachia wenyewe Tanganyika mupokee ndege yenu yeye yupo kwao zenji .safi sana mama
Kwan tanganyika sio kwake?
Namkubali sana waziri mkuu.mungu amlinde
Aisee kiukweli hii nafac hamkuitegemea leo mungu kawafkisha mbali!! Mshukuru mungu wakat wote amen
Upo vizuri nakukbal
Wakati wa mungu Big up kazi kazi
Mungu akitaka kupa hakuandiki barua yan wamefika mbaka kwa mwueshimiwa kama masihala
😅😅😅😅maisha ni plan ya allah
Haswaa
@@RajabuHayyanyeah
Dah Ktk serikali yet naombeni nimpe waziri Mkuu maua yake🎉🎉🎉🎉🎉
Agombee tu urais jaman
Unyama ni mwingi sema wamezingua kufua nguo zao maan zikiwa chaf ndo unyam wa kutosha lakin wapew maua yao💐💐💐💐
Misodo wamejitaidi 🎉😂❤❤❤❤❤❤😅😮😢
Jaaaman tnzn muraha😂san nataman nifike InshaAllah
Karibu sana.
Nijambo la aibu taifa kufanya hafla ya mapokezi ya ndege. Hii nikukiri umaskini ambao sio uhalisia wa Tanzania
Sawa tu Kwan Mara ngapi wew unafanya birthday unamwaga pesa afu Kiran anapga miayo mbona uko hamshangai ivo ukiona unashndwa kuhurumia wasio nacho na ukafanya ufujaji wa pesa ovyo bac ni ivo ivo ata juu kaa kimya
We hauna hakili ulisha jua unachoo ki ova kweny hii nyimbo
Ni wakati wa mungu big ap kazikazi ❤
Sijapenda maan sijaisikia honey ya miso misondo
Jaivah
Jaivah
Joty angekuwepo kikosini..nakazia
Mungu azidi kuwabariki misso missondo
Mungu akitaka kukupa akuandikii barua😂😂😂😂😂
Yani Uyo DJ ni maandazi kabisa Kazingua sana Yani 😲
Miso misondo namkubali sanaaa
We miso misondo umepigajee apooooooo (kusini kwanzaaaa)
missomisondo in the world❤❤❤❤ kinomaa yaniii
nawakubali ila hapa hakuna mlifanya aisee
oya weeee nakubali xana misomisond
Nakubali miso misondo
Dj kazingua alafu hao jamaa ni wengi sana wangekuwa at 5 wangevutia zaid
kwahiyo wengine tuwapereke wap?
@@saidyally8148 wachukue ww
Mimi sierewi kira mwaka cag anasema shika randege rinaendeshwa kwa hasara sasa nawaza hospitari hakuna madawa ndege ya nini tuwaze kabula ya kutenda
Mungu akipanga kuwa inakuwa
Wakati wa Mungu ndo wakati sahihi 100%
Nakukubali sana wazili
Sasa shirika la ndege linajiendesha kwa hasara halaf bado mnanunua ndege what a shame
Yaani Mimi naipenda serikali yangu ya TANZANIA sana
DJ sijui anawaonea wivu madansa wake kaboa hatali wakati mwingine anatamanigi nae haingie Kati kucheza
Sema bdo hampo organized lkn mnafurahisha
Leo dj kaboronga kabana mziki mbwembwe zimeharibu hawajakinukisha vilivyo
Wazee wa makoti'kusin hoyooo❤❤❤❤
❤mkhhggggjj
Mambo vp
Kwani miso missodo ni team au ni msanii
Misomisond ni dj wa mzik
Hatari saana ngoja wapige hela.
Dj,,muhuni....hafla kama hiii speed yoote ya mziki unakimbilia nn,,sio wote wazaramo bhana
ukibaitika kuwa kiongozi wakat huu wa bb tt uta enjoy sna
Mungu nakuomba ujibu maombi yang kwazia sasa
mmetisha sana wanangu
Waziri 🙏
Wauni wamekchafua had serikaln😂😂
Nawapenda Sanaa hawaa watu nachekaga tuu 😂😂
Mosondo inavutia ukipiga saiz ya kati,,we dj wa wapi??
Keep it up miso misondo🎉
Tanzania Kuna Uhuru kweri🙏🙏
Utamu ni nguo zao chafu na hio ndio nguvu ya Africa
😂
Sana unaweza 🎉❤
mi nimesikia tuuu misondo ee luhya in the house sema tu hi
Hv miso misondo mnanini lakini😂😅😅Niachen😊
Sijapenda Leo wamefua nguo bana hahaha
😂😂😂😂👍👍👍
😂😂😂sasa hapo ni kwa Mheshimiwa
@@happynesbaemuhappynes8813 hahaha ndo wafue nguo jaman dah hahaha Leo saf kwl
😂😂😂😂😂
😂😂
Sasa hapo Kun miziki gani ama kweli maisha ni Bahati
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Inyanyapaa dhidi ya walemavu mbele ya viongozi wa serikali, na wanachekelea tu.
Dj kazingua Sana hapo
Jama Wana weza sana
nasikia matikiti matikiti ama nimesikia vobaya alafu bangi sio mchicha haki 😂😂😂😂😂😂
Mm nawapenda wakiwa wamevaa nguo chafu,,Leo mmefua ,,illa pokeen maua yenu🎉🎉🎉
Bonjour
Mh watu na mamb yao now kila moj ana angalia upande wake
Amen
Kumekosekana vumbi tu😅
apa wamezingua. beat haijaleta vibe kabisa. kuna kionjo tumekikosa kabisa
❤❤❤❤love
Haya makoti ni ya urithi au?😂😂😂
Big up msondo wako vinzuri
Nawapenda jamani 🥰
Nawakubalisana❤
Mwenyew nikinunua baiskeri nawaharika
Mh hiyo ndo miujiza ya Mungu umepigaje apo
Namshukuru mama kwa kutuletea makoti
Kazi kazi babu
hapo kwenye kama kilema, hapana. siyo vyema kuigiza kasoro za wenzetu maana hayo ni maumbile walopewa na Allah
Mung azidi kuwapa sku nying miso msondo nawakubali San nilifurah sana pale niliposkia Ngoma ya kupigwa na kitu kzito hatar san
Utafika mbali wazi
We misi misondo nakup dadaa
God bless you
ukivaa hivo mtaana unaonekana masikini.
wapewe mauwa yao🎉👏
Hamna kazi ya kufanya mmekuwa mavichaaa kabisa
Vichaa vyao vinawalipa pesa
😂😂😂😂😂😂😂
Viongoz wa selikali wanawataka watu kama hawo walio buludani mbele yao wasio jua kuhoji chochote wanao ngojea wapewe buku ya mamanlie na ndio maana elimu duni ukienda dalasani watoto 10 wanagombea deski moja dawati 20 kati ya wToto 2000 hii ndo amani idumishwe ili wapatikane vijana wengi kama hao wakuwatumbuiza wakati matumbo yenu yakiwa yameshiba
Mambo wapendwa nawasalimu katika jinalabwana
Tuzidi kuwasapoti wafike mbali😂😂
Good
Kuna pesa imetumika hapo..
Then hakuna pesa za kununua vitabu kwenye shule na vyuo binafsi ilhali wanaosoma ni watanzania pia na wazazi wao wanalipa kodi.
mashall❤❤❤❤❤
unatari❤❤
Mambo vp
Kula Chuma ikooo😂😂😂😂
Wazee wa makoti wapo kwenye moto, nchi yao sasa hivi, wamekaikamata vema😅
Wewe zunguka naPHD zako kwenyemaofi yalioandaliwa nafamilia ya kwaniaba ya watoto wavigogo uku wadu wanapiga pisasa bila kutumia akili ya PhD bidii yako tu❤
Hahaha Leo 😅
Unyama sana
Amakweli rizki ina nguvu
Misomisondo amepata sifa kwa kuvaa Makoti na kuruka ruka tu
Ndio nawaona leo , ngoja nikae kimya
Wapewe kibunda chao kazi imeishaa
Ukitaka uwe maarufu fanya mambo ya kipumbuvu hii ndiyo tz
Ukijifanya upo serious na haya maisha, hutatoboa 😂😂😂
😮noma balaas
Wanaaibisha Tanzania
Hahahahahahahh daaa!!!
Wametisha sana
Miso miso do nitakuja dadaam🎉