VILIO VYA KINA BABA MAJUMBANI |SHEIKH YUSUF ABDI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 83

  • @fatumahamisi7064
    @fatumahamisi7064 3 ปีที่แล้ว +1

    Subahana llah . Allah Akbaru, shukrani sheke kwa kutusisitiza umuhimu wetu kwa waume ze2. Pia nimejifunza kitu hapa kumenti zinaonyesha wanawake tuna gubu ktk kuoa waume ze2 mathina n.k. wallah namuomba mungu Atujaalie kutwii yale yote aloyatuhusu allah na s vinginevo . Tuwasikilize waume ze2 na hata tuolewao mke wa 2, n.k. basi tukawe wake bora pia . Yarabby turidhie ktk hili na utujaalie mathina zilizo jaa mawaddah warahma yailayi n ww ndoutatupa mme bora s mwingine ili ndoa ibaki kua ndoa na sio ndoano. Yarabby utupe mapenzi ya kweli kutoka moyoni na tutridhie ktk maisha hayo in sha allah 🌹

  • @MohamedMohamed-fr4gr
    @MohamedMohamed-fr4gr 3 ปีที่แล้ว +7

    Masha Allah sheikh timid Mungu akujaalie kheir

  • @mosamadmwahija7879
    @mosamadmwahija7879 3 ปีที่แล้ว +5

    SubuhanallAh😭😭😭😭 ya rabby tusamehe sisi wanawake

  • @saudamohamed7208
    @saudamohamed7208 3 ปีที่แล้ว

    Allah akuzidishie Elmu na umri yaraby uzidi kutuelimisha.

  • @manzekeleramazani
    @manzekeleramazani 6 หลายเดือนก่อน

    Shiekh ADBi Allah akupe ilmu marudufu. nakufata nafurahi kututetea. Ni mimi hadji ramadhani congo D.R.C.

  • @felicitendayishimiye809
    @felicitendayishimiye809 2 ปีที่แล้ว

    Shukran sheikh Allah akujalie kila lakheri akupe umbri murefu

  • @mylovetrueloveeverything4722
    @mylovetrueloveeverything4722 3 ปีที่แล้ว +2

    Subhanallah 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭 Allah Atuongoze wanawake subhanallah 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 3 ปีที่แล้ว +3

    Subuhanah Allah sheikh umeongea mambo makubwa sana,sheikh wapo wanao sema usiniguse wanitengua udhu, saa zote siku zote yeye yuko na udhu na hataki kutenguliwa udhu wake, wa swali sana hata sunnah, wafunga sana hata sunnah, watoaji sadaqa wazuri sana,wasomaji wazuri sana wa Qur'ani lakini hawajui kwa nini wamekuja kwa mume hawajui kabisa!hawajui wametoka Kwao kuja kwa mume kufanya nini,tena hawataki kujua kabisaa tusaidie sheikh labda hawajui umuhimu wa mume kumtafuta kooote huko na kumleta ndani ni nini hasa sheikh tunakushukuru darsa hili sijawahi sikia popote shukurran al habiby

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 3 ปีที่แล้ว +1

    Vilio vitaendelea Sana Ni mfumo NDANI ya mfumo wa maisha

  • @mamawa3mamawa321
    @mamawa3mamawa321 3 ปีที่แล้ว +3

    MashaAllah tumesikia Sheikh.Aallah atujaalie tuwe wasikivu na watendaji mema InshaAlah

  • @khadijaahmed6411
    @khadijaahmed6411 3 ปีที่แล้ว +1

    Shukran sheikh Yusuf ,,mungu akupe kila kheri na furaha inshallwa,,jazakal u kheri....

  • @mariamogao6274
    @mariamogao6274 3 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah Mashaallah Mashaallah

  • @mahadhinoor12
    @mahadhinoor12 3 ปีที่แล้ว +1

    MashaAllah my dearest bro sheikh yussuf abdi Allah akupe umri mrefu wenye kheyr.

  • @awenaabdallah3594
    @awenaabdallah3594 3 ปีที่แล้ว +3

    MashaAllah

  • @khadijaangore4408
    @khadijaangore4408 3 ปีที่แล้ว +1

    Masha Allah tabaraka Allah

  • @haseanatnsanya2079
    @haseanatnsanya2079 3 ปีที่แล้ว

    Shukran sana shejk wetu

  • @zaitunimsumi1007
    @zaitunimsumi1007 3 ปีที่แล้ว

    Kila lenye ktk maisha. Yako. M mungu akujaallie. Kheri. Zaidi

  • @faizanassor6336
    @faizanassor6336 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah shukrain sheikh wetu Allah akujalie afya njema akuifaidhi mashallah mada nzuri sn 💯 Allah azidi kutuongoza tupate pepo za wa umezetu sote kwa jumla Allahuma meen 🤲

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 3 ปีที่แล้ว +3

    Shukurran sheikh, Allah akuweke ukupe yenye kheri kwa Dunia na Aakhera, nilikuwa natamani sana hili jambo lipate mzungumzaji hasa kutoka kwa wadhifa wa sheikh ilivyo kwako,maana leo sheikh imekuwa ni mtihani ndani ya maisha ya ndoa na kuiona ndoa ni mtihani kwa baadhi ya watu hawana furaha na maisha ya ndoa, imekuwa ni machungu tu, kitu kingine sheikh ninakuomba sana sana tena kama Allah akikuwezesha naomba siku upate wak'ti wa kuongelea jambo hili muhimu sana kwa upende wa mume kuongeza mke, sheikh hiki ni kilio cha wanaume wengi na wale wanawake wanao olewa mke wa 2au 3 au 4, hawa wake wakubwa imekuwa ni kigingi au kizuizi cha maisha ya furaha ya wake zaidi ya mmoja, sheikh imekuwa ni taabu mume kuoa mke, na akioa basi atapata taabu yeye na huyo Mke wa 2 alo muoa,maana imekuwa ili wafurahike ni mpaka mke mkubwa aridhie mume kuoa, na haijapata kutokea wakaridhia waume zao kuoa, inamfamya mume na mke alo olewa waishi kwa mashaka kwa taabu, maana mke mkubwa hataki kabisa na zile haki na usawa Katika ndoa hukosekana, na hii humfanya mume akose kutenda usawa na haki zake kutokana na huyu bi mkubwa hataki,hii humfanya mke mdogo kukosa mahitaji yake na hamuoni mume kwa muda mrefu, naomba sheikh ongelea kuhusu wake wakubwa wamuogope Allah kufanya dhulma hii ya ndoa, wapo wanawake ndani ya uke wenza wanateseka kupitia hawa wake wakubwa,huwamiliki waume bila kujali mume huyu ana haki Katika kuongeza mke zaidi ya mmoja, wao hujioangia maisha kwa huyo mume, sio mume kumpangia yeye mke maisha Subuhanah Allah, Allah atupe yalo na Kheri na atuepushie yenye shari Yarrabb 🙏

    • @ballkissymubarak9416
      @ballkissymubarak9416 3 ปีที่แล้ว +1

      Naaaam nakuunga mkono juu ya mafundisho ya ukewenza tuishi vipi na maisha hayaa

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 3 ปีที่แล้ว

      @@ballkissymubarak9416 wallah imekuwa mtihani,Allah atuhifadhi,wake wa aina hii hupingana na Allah,wajutishwa alo owa na olo olewa hawana raha taabu wallahi,hujuta hasa kuingia ndoa za aina hii,yatakikana darsa hasa tupokeane kwa mapenzi,na huruma na wenzetu nao wanahitaji waume,wawe na huruma wamuogope mungu,mume raha hana na olo olewa raha hana,kisa ameingia kati mke mdogo waonekana huna haki kuolewa,ila yule alo olewa mwanzo ndo ana haki zote,hii dhulma haifai uwe wa kwanza au wa mwisho wote ni sawasawa

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 3 ปีที่แล้ว +2

    Allah atuhidhi Yarrabb, lakini pia sio mambo mema yote mtu akitaka kuyafanya kwa mja mwenzie tusisubiri Hadithi ikiwepo Alhamdullah, lakini Hadithi zingine hazifundishwi na hatuzijui kwa Yaqin, ila tujifundishe kuishi kwa amaniwema na kutendeana mema na mazuri ya kufurahishana, na kuoneana huruma kutendeana ihsan na kumuogopa Allah kwa kila fikra mbaya inayo kujia kuufanya ubaya kwa mwenzio, iwe kwa kila mja ni muhimu sana kujua i'nsha'allah Allah akupe mwisho mwema kwa mapenzi yake Rabbana

  • @aydaawadh388
    @aydaawadh388 3 ปีที่แล้ว

    Mashaallah darsa nzuri sana

  • @زينبأمينة-ظ7ق
    @زينبأمينة-ظ7ق 3 ปีที่แล้ว +1

    Masha allah

  • @rizikiishak962
    @rizikiishak962 3 ปีที่แล้ว

    Mashallah mashallah mngu akupe umbri

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 3 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah

  • @mohamadfaridalwahaibi5078
    @mohamadfaridalwahaibi5078 3 ปีที่แล้ว +2

    Maa Shaa Allah. Allah akuhifadhi mada nzuri sana sheikh Yusuf.

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 3 ปีที่แล้ว +2

    Shukrani sheikh wetu 😍😍😍

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 3 ปีที่แล้ว +2

    Jazzakallah kheri

  • @bindauud1037
    @bindauud1037 3 ปีที่แล้ว +2

    Jazakallahu kher

  • @julihanjosephyjs6361
    @julihanjosephyjs6361 3 ปีที่แล้ว

    Shekhe shukrani ,wanawake wengi tunajuwa hatufanyi kazi wafanya waume mnatupoteza ,mkisoma vitabu msome vizur

  • @cizakitambala8720
    @cizakitambala8720 2 ปีที่แล้ว

    BONSOIR LE CHEKH DONNE LES MAWAIZA AVEC INTELLIGENCE .ANASEMA VIZURI SANA MTU UNA COMPRADE KWA URAISI NA ROHO INATULIYA KWA ANAITOWA

  • @halimaissack2209
    @halimaissack2209 3 ปีที่แล้ว

    Mashaallah ni ukweli allah atuongoze shukran sheikh

  • @a.856
    @a.856 3 ปีที่แล้ว +2

    Jazakallah khayran

  • @sakinat2527
    @sakinat2527 3 ปีที่แล้ว

    Jazakallah kheyr yaa sheikh Yusuf Abdi

  • @awaznasor2913
    @awaznasor2913 3 ปีที่แล้ว +1

    jazakallahu khairah sheikh

  • @jamilahaji7507
    @jamilahaji7507 3 ปีที่แล้ว

    مشاء اللله

  • @rajabyusufwesonga9886
    @rajabyusufwesonga9886 3 ปีที่แล้ว

    mashallah

  • @OmanOman-gp7xm
    @OmanOman-gp7xm 3 ปีที่แล้ว

    Masha allah shekh yusuf nimekupenda bure mungu yakupe umri tooiri

    • @hasnaally1713
      @hasnaally1713 3 ปีที่แล้ว

      Subuhana Allah pole ndugu yangu katika imani kama yakukuta Hayo Allah akufanyie wepesi Inshallah

  • @khadijamohammad473
    @khadijamohammad473 3 ปีที่แล้ว

    Baarakallah feek

  • @khadijamohammad473
    @khadijamohammad473 3 ปีที่แล้ว

    Shukrn shakh

  • @ibrahimsleiman4455
    @ibrahimsleiman4455 3 ปีที่แล้ว

    Shukran Kwa ukumbusho

  • @mariamogao6274
    @mariamogao6274 3 ปีที่แล้ว +1

    Allah ibariq

  • @الفردوس-ن6غ
    @الفردوس-ن6غ 3 ปีที่แล้ว

    Maasha'allaah baarakallaahu fykum

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 3 ปีที่แล้ว +5

    Sheikh wanawake wengi wapenda uzuri wao na urembo wao na manukato yao kuwaonesha watu wa nje na sio mumewe,wapo wafanyao makusudi hata hawakogi wala haibadilishi dera kutwa anuka mchuzi, makusudi mume asimguse, na wapo waanzishao ugomvi wa makusudi ili asiwe faragha na mumewe,sheikh mambo ya ndoa mazito wallahi, mume apanda kitanda mapema mke anangalia vipindi vyake vya tamthilia visimpite,apanda room kulala saa apendayo yeye amkuta mume akoroma hoi kwa usingizi,na hata anyata taaratibu asije shtuka na hamgusi mpaka alfajir ya ingia, eti hayo ndo maisha ya ndoa sheikh

    • @just_this_way
      @just_this_way 3 ปีที่แล้ว

      😭😭

    • @shamimnassor6192
      @shamimnassor6192 3 ปีที่แล้ว +1

      Mapenzi hapo yameisha kabisa hakuna

    • @just_this_way
      @just_this_way 3 ปีที่แล้ว +1

      @@shamimnassor6192 Ndio. Yan ni mtihani.

    • @salimseif1468
      @salimseif1468 3 ปีที่แล้ว

      Mashallah kwajina lubna furaha Sana kweli

    • @aishaaisha1495
      @aishaaisha1495 3 ปีที่แล้ว +1

      So wanawake tu hata wanaume wapo wenye tabia km hzo kikubwa Allah atupe waume wema nanyi waume Allah akupen wake wema Amiin

  • @mylovetrueloveeverything4722
    @mylovetrueloveeverything4722 3 ปีที่แล้ว +1

    Subhanallah 😭 😭 😭 ingelikuwa utumwa kufanyakazi majumbani basi ingelikuwa watumwa wanawake wema waliotangulia subhanallah 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭 😭

    • @mamussi6872
      @mamussi6872 3 ปีที่แล้ว +1

      Kama utaisoma historia ya kiislaam utakuta wanawake wengi Wa zamani hao wema walikuwa na wafanyakazi au watumishi majumbani mwao na wewe kazi zinapokuwa nyingi si vibaya kufanya hivyo ila kiukweli kazi za majumbani zinachosha sana haswa unapokuwa na watoto ni haki wanawake kulalama

    • @mamussi6872
      @mamussi6872 3 ปีที่แล้ว +1

      Ila kwa kuwa wewe ni mwanaume huyaoni hayo ila muige mtume wako saidia wake zako nyumbani kupunguza malalamiko

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 3 ปีที่แล้ว

      @@mamussi6872 lakini kama mume afanya kazi kukutafutia ridhki na mahitajio yote, huhitaji kumfanyisha kazi za nyumba mume, labda uwe mgonjwa na huna mdaidizi wa nyumba,pia ukiwa mnapenda na kuhurumiana nyote mwajikuta tu mwasaidizana bila hata kuambizana, lakini kidesturi Sio picha nzuri kumfanyisha kazi mume, hasa mume asi choka kukutafutia ridhki,ikiwa mume hana kazi yupo tu home ni sawa

    • @tommethodjr.9731
      @tommethodjr.9731 3 ปีที่แล้ว

      True talking

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 3 ปีที่แล้ว +2

    Sheikh Allah akuweke, unayo yaongea wallahi yamesisimua mwili na hasa moyo wangu sadakta umeongea kwa niaba ya ndugu zetu wanaume mie ni mwanamke sheikh wallahi nimekuwa nikingojea viongozi wetu wa dini waongelee hili labda wanawake watazingatia,leo wanawake hatuna hadhi kwa tabia zetu, mwanaume ni kivuli cha mke, na mke ni tandiko la mume lakini leo hakuna zaidi ya kibri na kushindana ndani ya nyumba, wanawake hawaoni mahangaiko ya mume, na waume wakija ongeza mke ndo balaa hawataki kujua,wao wataka kuwapeleka mbio waume zao,na hawajui majukumu yao kwa waume zao,tena sheikh wanaume wa ulaya sheikh utawahurumia wanateseka sana,afadhali hata wanaume wa Africa wana hadhi na sauti, lakini waume wa ulaya ni dhaif kwa wake zao,hawana sauti wako chini ya amri ya wake zao,heshima zao kama waume hazipo,mtihani Allah atufanyie wepesi

    • @just_this_way
      @just_this_way 3 ปีที่แล้ว +1

      Jazakillahu khayran.💖💕

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 3 ปีที่แล้ว

      @@just_this_way shukurran za barka na kheri kwako 🙏

  • @yasinially3675
    @yasinially3675 3 ปีที่แล้ว +2

    Shekhe ntapataj nambazako

  • @kevinkaina
    @kevinkaina 3 ปีที่แล้ว +1

    MashaAlla

  • @husnahamisi7826
    @husnahamisi7826 3 ปีที่แล้ว +2

    Shukran

  • @chayogasperi9783
    @chayogasperi9783 3 ปีที่แล้ว +3

    Kwa yeyote ambae ana namba ya simu ya Shekh Yusuf Abdi naomba mnisaidie kumfahamisha kwamba ; kuna tangazo ameliweka facebook na Instagram kuhusu mtoto anaeumwa anahitaji kuchangiwa kwa ajili ya matibabu ,
    Namba iliyowekwa kwenye tangazo hilo ni yangu .napigiwa simu na watu wanataka kuchangia , na mimi sifahamu chochote kuhusu huyo mtoto .

    • @SheikhYusufAbdi
      @SheikhYusufAbdi  3 ปีที่แล้ว

      Asalam Aleykum Naam Mimi ndie Yusuf Abdi nipe hiyo Number yako hapa nikupigie au nipigie 0720801217

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 3 ปีที่แล้ว

      @@SheikhYusufAbdi
      Siwezi kuweka namba yangu hapa Shekh .
      Nipo Tanzania .
      Nikupigie vipi hii namba yako nikupate , kila nikipiga inakataa .

    • @SheikhYusufAbdi
      @SheikhYusufAbdi  3 ปีที่แล้ว

      @@chayogasperi9783 +254720801217

    • @SheikhYusufAbdi
      @SheikhYusufAbdi  3 ปีที่แล้ว

      @@chayogasperi9783 Kama number yako ni ya Tanzania basi wanao kupigia niwatanzania na hawaeki code number ya kenya, sasa wanze na +254

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 3 ปีที่แล้ว

      @@SheikhYusufAbdi
      Ni sahihi , alionipigia wote ni watanzania na wote wanataka kuchangia , basi kwenye tangazo haikueleza vizuri kwamba kwa kenya ni hivi , kwa Tanzania anza na +254

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 3 ปีที่แล้ว +1

    Wanaume wote tunapenda wanawake Malaya kisheria ndani ya nyumba.

    • @salimseif1468
      @salimseif1468 3 ปีที่แล้ว

      Busu Malaya utajua raha

    • @salimseif1468
      @salimseif1468 3 ปีที่แล้ว

      We vp

    • @Awatee
      @Awatee 3 ปีที่แล้ว +1

      Subhanallah ALLAH atujaalie tuwe na Mapenz na waume zetu kwa kwel wanaume wengi wanaowa kwa kuangalia uzur na sio dini vijana ukimwambia mke yule mashallah anajistir na ana dini yak ana kwambia Aaa anataka pisi kali ALLAH awape wake wema wanaume wote wanaoteseka na awape waume wema wanawake wanaoteseka

  • @aimanbritish
    @aimanbritish 3 ปีที่แล้ว

    Namba ya sheikh plz

  • @OmanOman-gp7xm
    @OmanOman-gp7xm 3 ปีที่แล้ว

    Shekhee huo sindio uislam lakini ndio tunayaona uko uarabuni shekhe

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 3 ปีที่แล้ว

      Funguka hatukuelewi
      huko uarabuni ndo kuna wengi wateseka eee subuhanah Allah

  • @yusuflaly6289
    @yusuflaly6289 3 ปีที่แล้ว +1

    Ukitakata kukosa peace of mind oa,ndoa za zama hizi ni kifo,si mwanamke ulomzidi umri au aliekuzidi umri,wote ni balaa.

    • @tommethodjr.9731
      @tommethodjr.9731 3 ปีที่แล้ว

      Bro usipo oa mtihan nao Cha nj dua ktk hili

  • @quibibiabdalaabdala8864
    @quibibiabdalaabdala8864 3 ปีที่แล้ว

    Mashallah