VILIO VYA WAKE MAJUMBANI | Sh yusuf Abdi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 64

  • @Amina-dm5iw
    @Amina-dm5iw 2 ปีที่แล้ว

    mashallah shehk mwenyezimungu ambariki kinywa chako kwakunifikisha kwenye njia hii kuongoza njia ilionyooka🙏🙏

  • @sitiali9286
    @sitiali9286 3 ปีที่แล้ว +6

    MashaAllah sheikh, Maneno swadakta.

  • @hadijam.7037
    @hadijam.7037 3 ปีที่แล้ว +5

    Masha Allah....totally truth ..many women suffer in bad marriages...

  • @lilalila3267
    @lilalila3267 3 ปีที่แล้ว +4

    maashallah nimejifunza Allah akujaze Kheri inshaallah

  • @iqbalomar9162
    @iqbalomar9162 3 ปีที่แล้ว +9

    MashaAllah Ukweli unauma.
    Hilo wazo la kusomesha ndoa ni zuri sana. huenda likapunguza matatizo ya ndoa kwa percentage kubwa.

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 3 ปีที่แล้ว +1

    Tunakuombea sheikh Allah akuwezeshe tuwe tukipata darsa kama hivi,nadra sana kupata msemaji mzuri kama hivi,kutufundisha waume na wake,Alhamdulillah Allah atupe mwisho mwema

  • @fatmasuleiman1902
    @fatmasuleiman1902 3 ปีที่แล้ว +1

    Allah atuonqozee tuwe wnye kuskia na kutwii inshllah🙏

  • @fatumasalim7123
    @fatumasalim7123 3 ปีที่แล้ว +4

    Mashaallah sheikh Allah ibarik, mada hizi ziwe Mara kwa Mara coz siku hizi hamna mapenzi ya kweli(true love) imani hamna tena. Mateso ni mengi mno wengi wamenyamaza si wake si waume. Hafadhaka allah

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah hii darsa iko sawia sheikh Yusuf abdi,matatizo yawanadoa kila uchao yazidi Allah atuongoze na atufahamishe

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma6390 3 ปีที่แล้ว +2

    Subhanallah swadakta sheikh

  • @zuwenaseif4950
    @zuwenaseif4950 3 ปีที่แล้ว +1

    ماشاءالله شكرن خزك الله لخير
    Somo limeeleweka
    Allah akuzidishiye ufasaha

  • @bakariabdallah2579
    @bakariabdallah2579 3 ปีที่แล้ว +1

    Alla akulip Kila la kheir

  • @mwanaishayusuf9968
    @mwanaishayusuf9968 3 ปีที่แล้ว +2

    Mashallh sheikh yusuf abdu Allah akubarik Inshaallah

  • @mwanakhamiskhamis3115
    @mwanakhamiskhamis3115 3 ปีที่แล้ว +1

    Tena twalia sanaa

  • @mejumaamwachirero7324
    @mejumaamwachirero7324 3 ปีที่แล้ว

    Wallah huyu Shekh sijaskia hata siku moja akiongea upuuzi kila ninapomsikiliza huwa anaongea point zakunigusa zinazoleta hisia.Poleni sana wanandoa

  • @umma6654
    @umma6654 3 ปีที่แล้ว +3

    Nimejifunza shukran

  • @nshimirimanadjamilla7270
    @nshimirimanadjamilla7270 3 ปีที่แล้ว +1

    Allah akulipe kheri

  • @hassaneyn
    @hassaneyn 3 ปีที่แล้ว +1

    Maa shaa ALLAH. Allah akujaz

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 3 ปีที่แล้ว +5

    Mimbar aliyosimama mwanaume ..shujaa .. 🦁 🦁 simba wa kenya Sheikh aboud rogo rahimahullah نحسبه شهيد والله حسيب

    • @issaabdi9129
      @issaabdi9129 3 ปีที่แล้ว

      Mjuwe Kwanza historia ya sheikh rogo then msifu. Bali amepeleka vijana njia potevu .sasa ndio wenyeji wa Mombasa Wanavuna.

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 3 ปีที่แล้ว

    mashaallah,sheikh hujawahi kukosa kutuelekeza kulingania, watoa mafundisho ya ndoa na kijamii kama hivi,huwa ni adimu nadra sana kuyapata haya kwa viongozi wetu,watu tunapotea katika dini na maadili mema siku hizi hakuna,Allah atuhifadhi na atupe mwisho mwema

  • @hadijahamis2965
    @hadijahamis2965 3 ปีที่แล้ว

    Mashallah shekhe ,Yani umegusa penyewe shekhe likawe funzo kwa Wana ndoa wote

    • @Aida-qh3jq
      @Aida-qh3jq ปีที่แล้ว

      Mashaallah shekhe

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura 3 ปีที่แล้ว +1

    SubhanaAllah
    Allah awaongoze waume zetu

  • @nasrasalathassanhassan8372
    @nasrasalathassanhassan8372 3 ปีที่แล้ว

    Mashallah sheikh Yusuf mungu akupe umri refu

  • @salmanaaman1594
    @salmanaaman1594 3 ปีที่แล้ว +4

    MashaAllah

  • @a.856
    @a.856 3 ปีที่แล้ว +2

    Jazakallah khayran

  • @nasraalismailiy5188
    @nasraalismailiy5188 3 ปีที่แล้ว

    mashaAllah mashaAllah Allah akuzidishie ilmu yaarab nimefurahi moyo wangu kwa mawaidha mazuri sana

  • @jkphilosophy101
    @jkphilosophy101 2 ปีที่แล้ว +1

    Wanaume ambao wakali nje wengi ni ma dhayuth ndani majumbani na ambao ni wakali nyumbani Basi wengi ni wanyonge nje. Alafu wanaume wengine kabla ya kumuoa make hua anajipendekeza kwa yule mke lakini baada ya kumuoa basi hamwangali tena mke. Wengi ambao hufanya hivi ni wale ambao wana date badala ya kuposa

  • @fatmasaid7093
    @fatmasaid7093 3 ปีที่แล้ว

    MashaAllah ❤️🌹❤️ALLAH barik

  • @slyadckyalii1784
    @slyadckyalii1784 3 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah ustadh mm ndio wa kwanza kucomment

    • @AbuShuraim
      @AbuShuraim  3 ปีที่แล้ว

      Shukran

    • @shufaafadhilahmed25
      @shufaafadhilahmed25 3 ปีที่แล้ว

      A.alkm.naomba no ya shk yusuf abdi ya wasap au yakumpigia direct nina maswali nataka ushauri na naswaha

  • @nuurjumaan266
    @nuurjumaan266 3 ปีที่แล้ว +4

    Shukran kw kuleta mada hii wanaume wanatesa wanawake walia sijui ni iblis or hasada or or nini jamani? Watto ndipo wana potea

  • @swalehsaid1531
    @swalehsaid1531 3 ปีที่แล้ว

    mashaallah sheikh wetu

  • @ummua5006
    @ummua5006 3 ปีที่แล้ว

    Jazakumu Llaahu khairan

  • @mwanakhamiskhamis3115
    @mwanakhamiskhamis3115 3 ปีที่แล้ว +1

    Wasichana , watoto, vijana wa kiume, waume na wake wotee wanalia ila kilio cha wake au Wanawake kwa ujumla ni kilio kikubwa mnooo

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 2 ปีที่แล้ว

    Mashallah

  • @bsamohamed122
    @bsamohamed122 2 ปีที่แล้ว

    Mimi binafsi shekh ni mmoja ambaye nimedhulumiwa na nduguyangu wa kiume mkubwa ambae ndie aliniozesha mume mbaya,kisha akasaidia mume mbaya nikaatwa kwajili nduguyangu ajali maslahi ya kupewa msaada na watu wa mume wangu,na nduguyangu huyo ni shekh mkubwa kwenye jamii ni msomi wa Quran,ni daaiya katika TH-cam na kila mahali,hii ndio Hali ya waisilamu

  • @mohamedoierussis1784
    @mohamedoierussis1784 3 ปีที่แล้ว

    Mashallah ❤❤❤👍

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 3 ปีที่แล้ว +1

    Masha Allah ❤❤❤

  • @hassanharuna1519
    @hassanharuna1519 3 ปีที่แล้ว +2

    Masha Allah

    • @muhammadbakari9713
      @muhammadbakari9713 3 ปีที่แล้ว +3

      Mashallah Allah kulipe kheri akupe umri na afya njema na furaha daima ameeen shekh wetu uzidi kitufaidisha ameen ameen

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 3 ปีที่แล้ว +3

    Kwakweli nimtihan

  • @AyushAli-gv1yl
    @AyushAli-gv1yl 3 ปีที่แล้ว

    Sheikh mm nilipigwa kisa nilikataa kununua hometheater na yy hanihudumii kw chochote

  • @AyushAli-gv1yl
    @AyushAli-gv1yl 3 ปีที่แล้ว +2

    Na nikimkataza zinaa anambia yy sishoga,nikimuelekeza mambo ya dini anambia najifanya mm najua dini sana

    • @sikukuuchuo3093
      @sikukuuchuo3093 3 ปีที่แล้ว +1

      Wengi wao wakielekezwa utaambiwa wajifanya wajua dini

  • @bsamohamed122
    @bsamohamed122 2 ปีที่แล้ว

    Shukran sheikh,lakini wajuwa kama sisi wanawake was kiisilamu twaumizwa kisaikolojiya kwasababu wanaume wa kiisilamu wamepewa khatamu ya kudhulumi wanawake Kwa kisingizio dini imewapa rukhsa,kwahiyo hakuna mjadala hapa ,hapa ni hivi uislamu umempa rights mume,na mke Hana rights huu ndio uwadilifu wa hukumi ya dini, tushkuru tuu na tukubali tumeumbwa kuteswa Wala sio lengine

  • @halimaissack2209
    @halimaissack2209 3 ปีที่แล้ว

    Shukran

  • @mutomubaya
    @mutomubaya 3 ปีที่แล้ว

    Mayatima pia wapo wengi ambao ni watoto wadogo ambao hawawezi kujitetea wanapoteswa kimawazo au kwa udhalilishaji nk. Natoa Mwito Ma imaam wafanye iwezekanavyo kuwasajili watoto wote wa karibu na msikiti ili kuwawezesha kujua maendeleo yao ya kielimu na kimaslahi na kiafya nk. Tukumbuke Mtume, Swalla Allahu alayhi wa sallam, amesema, كلكم راع وكلكم مسؤول عن رعيته
    Kwamba, Nyote ni (kama vile) mchungaji wa mifugo na (kila) Mchungaji (ajue) ni mwenye kuulizwa kuhusu Raiyah wake.

  • @shamimnassor6192
    @shamimnassor6192 3 ปีที่แล้ว +1

    Kuna wanaume walaji marungi huwa wakorofi sana akeshe barazani usiku kucha akirudi usiku wa manane ataka mke aamke ampe mke akikataa kutoa labda kwa hasira anapigwa mpaka asubuhi afunika uso watoto wasimuone alivyotolewa manundu

  • @aishaaisha1495
    @aishaaisha1495 3 ปีที่แล้ว

    Wanaume achen ubahir

  • @abumuhidin6842
    @abumuhidin6842 3 ปีที่แล้ว

    Ndiyo

  • @christopherwarutere3489
    @christopherwarutere3489 3 ปีที่แล้ว +4

    Mashallah mawaidha mazuri lakini fupi sana sheikh shuraim twataka clips nyengi kuhusu ndoa kama itaezekana

  • @hassaneyn
    @hassaneyn 3 ปีที่แล้ว

    Maa shaa ALLAH. Allah akujaz

  • @cusmaanaweys2179
    @cusmaanaweys2179 3 ปีที่แล้ว +3

    Mashaallah