CHADEMA: Tanganyika irudi kwanza ndipo tuujadili Muungano

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 20

  • @abdulfirst_pilot
    @abdulfirst_pilot 4 ปีที่แล้ว +2

    Tundulussu mungu akuweke hakika ni zaid ya wanasiasa wote nchini

  • @williamkirway5074
    @williamkirway5074 3 ปีที่แล้ว +2

    Historia inafaa kukumbushwa,wasiofahamu wajue.5-12-2020

  • @mathewtesha3139
    @mathewtesha3139 4 ปีที่แล้ว

    Hapo ni sawa na wabunge 100 wa CCM Big up lisu

  • @almasyahya1060
    @almasyahya1060 10 ปีที่แล้ว +3

    mnahamishwa kwenye mada ccm itaendelea kuwababaisha milele msipofunguka ilikua cuf sasa uamsho

  • @Nkya
    @Nkya 12 ปีที่แล้ว +1

    Haya sasa...moto umewashwa...

  • @SIPRINAJOSHUA
    @SIPRINAJOSHUA 28 วันที่ผ่านมา

    Nani amemuona mh mwinyi Akipitia katiba na kumfatilia MR lisu kamanda

  • @lupalilolupalilo599
    @lupalilolupalilo599 10 ปีที่แล้ว +3

    Tundulisu kichwaaaaa

  • @hassanrwitita2503
    @hassanrwitita2503 6 ปีที่แล้ว +1

    cdm kuna #binadamu lakin ccm kuna #watu tofauti ya mawazo na utendaji vimeonyesha.
    fananisha mwazo ya LISSU , msigwa. na nassari dhidi ya msukuma lusinde na milinga utajua ccm wapo kwa ajiri ya chama sio Tanzania

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 8 หลายเดือนก่อน

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍

  • @mathewtesha3139
    @mathewtesha3139 4 ปีที่แล้ว

    Kichwa kinazungumza

  • @joshuaprincess7832
    @joshuaprincess7832 3 ปีที่แล้ว

    Tundu antipas lisu

  • @eliezamabula1087
    @eliezamabula1087 11 ปีที่แล้ว +1

    ninyi viongozi wa sasa mnadhani mna uwezo mkubwa na mnaona mbali kuliko waliowatangulia.dhamila zenu zinaonekana wazi kutafuta mkikosacho kwa sasa huku mkifumba macho kwakutaka liwalo naliwe ilimradi kutimiza tamaa zenu bila kujali mstakbali wa kizazi hiki na kijacho.

  • @melishamp4983
    @melishamp4983 11 ปีที่แล้ว

    stop talking what you don't know! you better ask what is uamsho and
    our aims.

  • @msongoroamir5451
    @msongoroamir5451 6 ปีที่แล้ว +1

    muungano ulizaliwa 1964 wewe LISSU umezaliwa 1968 mmoja Kati ya wajinga alikuwa baba yako aliyekubali muungano wewe hujui sababu ya kuungana Kama usivyojua kwa Nini baba na mama walioana umeingia bungeni ukaapa kulinda katiba katiba ipi ya tanganyika au tz jitoe kwanza ubunge usubiri tanganyika

    • @abuufauzaanmohd447
      @abuufauzaanmohd447 4 ปีที่แล้ว

      Weye umezaliwa mwaka gani

    • @adamkapaya4185
      @adamkapaya4185 3 ปีที่แล้ว

      Kumbe Kuna mijitu haina akili aisee.. Msongoro akili huna kaa kimya

    • @AnordErio
      @AnordErio ปีที่แล้ว

      Mm sioni umuhimu na faida ya huu muungano