Alichosema Polepole katika Mdahalo wa Katiba Mlimani-City

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 104

  • @leonardoddiaga4399
    @leonardoddiaga4399 2 ปีที่แล้ว +3

    Mr.PolePole is the late Mwalimu Nyerere reincarnation. Mwalimu's spirit still living.

  • @yonaibrahim5112
    @yonaibrahim5112 3 ปีที่แล้ว +3

    Kiongozi upo sawa mungu akulinde hoja zako ni zaidi yauwazi kimawazo ili nchi iwe na amani

  • @clevalupakisyo7460
    @clevalupakisyo7460 ปีที่แล้ว

    Hon Hamphrey Dah, Be Blessed aiseh

  • @clevermngao7565
    @clevermngao7565 3 ปีที่แล้ว +4

    Jaman PolePole! Hivi ni wewe kweli! So fantastic

  • @KumbushoMbanga-hf3wx
    @KumbushoMbanga-hf3wx 8 หลายเดือนก่อน +1

    Polepole nikichwa sana

  • @saulindama3697
    @saulindama3697 4 ปีที่แล้ว +9

    Huyu alikuwa anaitwa Polepole yule wa kijani anaitwa Chakubanga.

  • @osianajonas2104
    @osianajonas2104 5 ปีที่แล้ว +2

    To be honestly your the role model Mr Pole Pole many time I heard you u had fact in your speaking.Keep it up brother

  • @geofreynoah9458
    @geofreynoah9458 3 ปีที่แล้ว

    Huu ni mgodi unaotembea. MUNGU AKULINDE,AKUTUNZE NA KUKUBARIKI.#HAPA KAZI TU.... KAZI IENDELEE

  • @FredrickSanga
    @FredrickSanga 3 ปีที่แล้ว

    Huyu kijana yuko vizuri sana. Naomba Mungu asibadilike

    • @oswaldpancras8353
      @oswaldpancras8353 3 ปีที่แล้ว

      Umeangalia hii ni ya lini na Leo yupoje huyu jamaa?:ndumilakuwili haingii mbinguni, asilan. .

  • @jumannentimizi9000
    @jumannentimizi9000 3 ปีที่แล้ว +1

    NJAA MBAYA SANA LEO KAVALISHWA UNIFORM YA CCM ANASEMA ETI NI KATIBA NZURI HIVI HUYU JAMAA AMELOGWA KABISA PIA ANASEMA ETI TUNAJENGA UCHUMI WAKATI TUNAANZISHA RASMU YA KATIBA UCHUMI ULIKUWAJE.NDIYO MAANA NASEMA NJAA MBAYA SANA

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 4 ปีที่แล้ว +3

    ukiwa na njaa unakuwa mnafiki sana, yani hiki ki pole pole kinafkri watanzania tumesahau kauli zake

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 3 ปีที่แล้ว

      Benni mochiwa hana unafiki wowote na wala njaa kwani yeye ndiyo mwenye maamuzi peke yake hii nchi ya watanzania ukitaka kufuatilia mambo ya katiba soma na wewe unataka afanye nini mjinga wee

  • @hemedysuleiman78
    @hemedysuleiman78 3 ปีที่แล้ว

    sisi atumtaki samia mzanzibar ajui kuongoza nchi msenge uyo

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 ปีที่แล้ว

    Mla jana mkaribishe mla leo

  • @richardmakyao302
    @richardmakyao302 3 ปีที่แล้ว +1

    Unganeni na gwajima

  • @solomonkahuta5154
    @solomonkahuta5154 3 ปีที่แล้ว +1

    Wewe Ni hazina ya nchi

  • @ceciliajimmy5652
    @ceciliajimmy5652 6 ปีที่แล้ว +4

    Yaani wewe ulikuwa mkweli weeeeeeewe, lakini baada ya kuvaa rangi ya kijani, mambo yamebadilika nani kakuroga Polepole mwanangu!!! Jamaniii maneno uliyoongea ukiwa na suti nyeusi ni Excellent!!! Hebu jaribu kuriwaindi kanda ya 2014, 2015 hukuwa hivi nawaza sana mwanangu nnnnannni kakuroga.

    • @wiza2309
      @wiza2309 6 ปีที่แล้ว

      Tatizo ulishaingia upande wa pili, wanajitoa fahamu. Hazina kubwa inapotea kama kufungulia bomba la maji. Inaumiza sana vichwa kama hivi vinageuka ghafla!!! Mungu atusaidie

    • @azizawadh5973
      @azizawadh5973 3 ปีที่แล้ว

      Njaa

  • @FredrickSanga
    @FredrickSanga 3 ปีที่แล้ว

    Mbona hii kitu ni nzito sana

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 6 ปีที่แล้ว +2

    Jembeee!!

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 ปีที่แล้ว +1

    Kazi kwako polepole

  • @bitwayikimasumbuko3128
    @bitwayikimasumbuko3128 3 ปีที่แล้ว

    Huyu ndiye PolePole tunaemjua
    Ila huyu wa sasa ni #Chakubanga a.k.a Mr. VX

  • @abdallahhassani7811
    @abdallahhassani7811 3 ปีที่แล้ว +3

    Pole pole wewe ndie kiongozi wa kweli, lakini kwa sababu tumesha fanwa misukule. Viongozi waliopo madarakani watakupiga vita

  • @gideontebuye5329
    @gideontebuye5329 3 ปีที่แล้ว +1

    Tunakuhitaji 2025

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 3 ปีที่แล้ว

    Njaa sio toka Mwaka 2016 yote haya Pole pole aliweka pembeni majumuisho USIMWAMINI MWANASIASA MDA WAKO WOTE WA UHAI WAKO

  • @ochienglazzarrus8648
    @ochienglazzarrus8648 10 ปีที่แล้ว +1

    Kali hii jamm

  • @anthonychengula5046
    @anthonychengula5046 3 ปีที่แล้ว

    Ameongea vizuri sana tatizo hitimisho lake bado

  • @JohnKitamwasolemokotio
    @JohnKitamwasolemokotio 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu pole pole ni tu ni ya taifa

  • @FredrickSanga
    @FredrickSanga 3 ปีที่แล้ว +1

    TBC rusheni hii

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 ปีที่แล้ว

    Kumbe mnajua wazi katiba halali ni ipi mbona hadi leo haipatikani? Hapo kuna uongozi bora?

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 2 ปีที่แล้ว

    Kwanini tz kunawatu wanamaneno yamdomoni lakini badaye anayasaliti wenyewe!!! Au niubinafsi tu auninjaa zinawasumbuwatu,lazima tujilekebishe!!!!

  • @mikidadimuhando2315
    @mikidadimuhando2315 3 ปีที่แล้ว

    Polepole amenena sana, ni mbobezi wa siasa

  • @meddymushmaz551
    @meddymushmaz551 ปีที่แล้ว

    Mbona mambo muhimuyote waliyafuta? Kwani hiyo ilikuwa katiba amanini

  • @mandaluukali9629
    @mandaluukali9629 3 ปีที่แล้ว

    Polepole nimekukubali endelea kusema ukweli utabalikiwa

  • @FredrickSanga
    @FredrickSanga 3 ปีที่แล้ว

    Bado ana msimamo hou?

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 ปีที่แล้ว +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍

  • @SalambaPeter
    @SalambaPeter 2 หลายเดือนก่อน

    Mwongo mkubwa we!!

  • @yusuphdomi6430
    @yusuphdomi6430 3 ปีที่แล้ว

    Polepole ameogopa Mwenyezi na Rais wetu aangarie mbele siku ya kiama mizani hakh

  • @mahengebatweli9969
    @mahengebatweli9969 3 ปีที่แล้ว

    Naomba niulize huyu ni pole pole kweli wa ccm

    • @azizawadh5973
      @azizawadh5973 3 ปีที่แล้ว

      Ndio yeye kipindi kile alikua na njaa

  • @deokimena5168
    @deokimena5168 3 ปีที่แล้ว

    SELIKALI TATU, DUH SIX YEARS AGO, MUNGU TUHURUMIE

  • @osgentertainmentdancers8924
    @osgentertainmentdancers8924 3 ปีที่แล้ว

    Good speech

  • @majosamalundi3687
    @majosamalundi3687 3 ปีที่แล้ว +1

    Kipindi kile polepole Yuko sawa

  • @alfredcharlie2308
    @alfredcharlie2308 3 ปีที่แล้ว

    You was good here 😊

  • @amirimsuya9531
    @amirimsuya9531 3 ปีที่แล้ว

    Vikishaenda ccm vinakuwa kama vimelogwa

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 3 ปีที่แล้ว

    POLE POLE WAJANA SIO POLE POLE WA LEO 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣PESA TAMU SANA

  • @GeorgeMhada
    @GeorgeMhada 7 หลายเดือนก่อน

    Ukweli nkwamba ccm wanaogipa kuruhusu katiba kwasababu mbili 1 hiii nchi hii ikiwa na katiba huru watang'oka kwasababu wao wenyewe wamegawanyika ndani na kura nisiri koo wakiwa hawaja ridhiana ndani kama kipindi chalowasa alipat kura nyingi sana zingine waliuza wenyewe koo ukichanganya na kura zawapinzani ccm hawatoboi nasiyo kwamba hatujuwi tunajuwa kuwa uraisi nitaasisi inayo chaguliwa na mfumo sisi niwawakilishi hata kwenye maamuzi hatumo nasaizi ndombaya wabunge wanaheshimu chama kuliko wananchi chama kikimtangaza ndokiongoz tunaletewa kiongozi nchi hii inamambo ya hovyo sana nchi yakifalume hii

  • @eliamhando3161
    @eliamhando3161 3 ปีที่แล้ว

    Polepole rudi kwenye ulingo

  • @zeanamohamed4072
    @zeanamohamed4072 5 ปีที่แล้ว +1

    Kama munapiga Tundu lussi vijembe. ili asigombaniye urais..hayo maradhi. Nilimpa nyiyi. Kwa kama watanzaniya munaakili yachambuweni. Anayayasema. Polepole Hadi muwe Malini anayoyasema muyatafakari si maneno mazuri. Siyo mkaye na kuse ndiyo na kupiga makofu mutafakari kwa.kina. kiirefu mutajuwa nini anachoongeya

  • @mboneamweta3936
    @mboneamweta3936 3 ปีที่แล้ว

    Huyu ndie pole pole aliyekuwa mkwelii sio wa leo aliyeko ccm jamnii

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 3 ปีที่แล้ว +1

    Njaa ni mbaya,njaa huleta usaliti jmn,njaa ikizidi waweza kufanya maajabu hadi watu washangae huku wewe mwenyewe ukiamini upo sawa sawa

  • @libertymacha9134
    @libertymacha9134 3 ปีที่แล้ว

    Huyu Hamphrey wa leo ndiye yule wa tume au???????. Watu wa aina hii ni hatari sana. Cheo kinakuondoa kwenye ulichokitetea kwa hoja???

  • @nelsonmgaya8391
    @nelsonmgaya8391 3 ปีที่แล้ว

    Huyu ndugu sijawahi kuchoka kumsikliza!

  • @godwinnkya7128
    @godwinnkya7128 3 ปีที่แล้ว

    Upo CCM pigania hiyo katiba

  • @williamkirway4620
    @williamkirway4620 3 ปีที่แล้ว

    Baada ya hapa kazi tu,naona utarudi kwenye hali yako ya asili.maana awamu ya sita umejitambua kazana

  • @johnkink2096
    @johnkink2096 7 ปีที่แล้ว +1

    I really do like politics. I wish..... I could be one of "those" politician.

    • @yusuphdomi6430
      @yusuphdomi6430 3 ปีที่แล้ว

      Hawa Ccm wakubari tu Katina mpya wajipime Kama kweri wanapendwa

  • @venancikamonyore4924
    @venancikamonyore4924 3 ปีที่แล้ว +1

    Polepole ulikuwa mtu wa kuikomboa tz yetu kupitia mchango wako ktk katiba mpya, mtu yeyote ambae ameisikiliza hotuba yako hii leo anakushangaa kama mimi ninavyokushangaa, hivi nikuulize umerogwa na nani mpaka ukakengeuka? Nakushauri geuka utazame nyuma uone ni wapi ulijikwaa ukaanguka urudi upya tudai katiba yetu mpya tuikoe Tanzania. Mkumbuke mtumishi wa Mungu Yona,japo alimezwa lakini ninawi iliokolewa. Mungu akujaze nguvu na hofu yake ili uyaseme tena maneno haya kwa Watanzania.

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 3 ปีที่แล้ว

      Hakurogwa na mtu,.ila aliridhishwa na utumishi wa Mh Magufuli. Akaona Mambo yataendelea kunyooshwa lkn puu! Paa, Baba Magufuli alitwaliwa juu mbinguni.

  • @SalambaPeter
    @SalambaPeter 2 หลายเดือนก่อน

    Watanzania tuwe macho au tuamke huyu alituaminisha ni muumini wa selikali tatu na haki nyingine za raia lkn alipo pewa madalaka sijui nini kilimbadirisha nilimwamini lkn kwa sasa siwezi kumwamini tena kwa maana alisha ikana kauli yake mwenyewe haaminiki tena

    • @hpolepole
      @hpolepole  2 หลายเดือนก่อน

      @salambapeter ni kauli gani nimeikana?

  • @zeanamohamed4072
    @zeanamohamed4072 5 ปีที่แล้ว

    Polepole ccm tumeshaichoka inatosha basi

  • @celinamutta5058
    @celinamutta5058 3 ปีที่แล้ว

    Siasa! Siasa! Siasa! Kweli si hasa😳😳😳

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 3 ปีที่แล้ว

    The video is real the speaker is fake

  • @Robust78
    @Robust78 3 ปีที่แล้ว

    Polepole je unapitia pitia hizi?? Ulikuaga mzuri lkn wakakupa cheo ukajisahaulisha yote

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 ปีที่แล้ว

    Ukipigiwa makofi ukumbuke kuyalinda ukipata nafasi. Je ulilinda makofi yako pindi ulipopata nafasi?

  • @aminielyusufu4351
    @aminielyusufu4351 4 ปีที่แล้ว

    Zawadi akiwa Polepole kweli

  • @geofreysimpepo9945
    @geofreysimpepo9945 3 ปีที่แล้ว

    Hivi huyu ndio polepole tulie nae sasa ama ??? Mbona sielewi

  • @azizawadh5973
    @azizawadh5973 3 ปีที่แล้ว

    WEPWA

  • @geofreysimpepo9945
    @geofreysimpepo9945 3 ปีที่แล้ว

    Duuh, kweli pesa ilimuua yuda,wamekununua wewe na akili zako mr.polepole akili ulizokua nazo enzi hizi wamezichukua baada ya kukubali kupokea vipande30 vya fedha.

  • @selemwakajange1419
    @selemwakajange1419 3 ปีที่แล้ว

    Anaongea kama mwal Nyerere

  • @saidimohamedimgotomgoto979
    @saidimohamedimgotomgoto979 4 ปีที่แล้ว +1

    Mnafiki Ni mnafiki tu

  • @isaacsengunda3099
    @isaacsengunda3099 6 ปีที่แล้ว +2

    Polepole umekula tunda la katikati ambalo linaitwa uongo,na mti wake ni wa kijani jamani wewe,na hapa dhambini utarudi na uongo utakualia matuna,na kwa hila,chuki,ubinafsi na tamaa,,machozi yetu watanzania yatakumwagikia na ndio yatakua maji yako ya kunywa.

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 3 ปีที่แล้ว +1

      Isaack polepole unamhukumu nini yeye ndiyo mwananchi peke yake hayo ni maamuzi ya wananchi walioko kwenye majadiliano ya katiba sasa yeye hawezi kushindana na serikali unataka wamuue muache mtoto

    • @fundifundi8328
      @fundifundi8328 3 ปีที่แล้ว +1

      Wewe usimhukumu polepole wewe sio mungu mungu ndio anaejua kuhukumu sio wewe

  • @anyelwisyestephen4690
    @anyelwisyestephen4690 3 ปีที่แล้ว

    Hakika utandawazi unatushitaki, Yu wapi Polepole huyo?, maana siyo huyu tuliyenaye kwa sasa.

  • @godblesskessy5516
    @godblesskessy5516 3 ปีที่แล้ว

    hapo kabla hajanunuliwa na ccm

  • @yonamwambipile4387
    @yonamwambipile4387 3 ปีที่แล้ว

    Ughahidi wambowe uko wapi watanzania

    • @jamessiame4174
      @jamessiame4174 3 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa mbowe siyo gaidi

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 3 ปีที่แล้ว

    inafaa umeongea yanayoingia akilini kabisa

  • @mathewmeela2591
    @mathewmeela2591 3 ปีที่แล้ว

    Ngachokaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ni huyu tulie nae au mwingine! Itunzwe katika maktaba za Taifa.

  • @SalambaPeter
    @SalambaPeter 2 หลายเดือนก่อน

    Polepole sikuelewi je? Unatubu au unajidanganya maana wewe ni msariti wa kauli zako mwenyewe

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 3 ปีที่แล้ว

    Watanzania buana!!!!
    Ukivaa tu nguo za kijani ,
    Unabadirika mpaka akili.

  • @mwidzuhuluhapalataii6945
    @mwidzuhuluhapalataii6945 6 ปีที่แล้ว +1

    MMMMMMMMH

  • @mwidzuhuluhapalataii6945
    @mwidzuhuluhapalataii6945 6 ปีที่แล้ว +2

    Before an angel becomes a recent satan

  • @godblesskessy5516
    @godblesskessy5516 3 ปีที่แล้ว

    huyu ni mtumwa was fikra na hajitambui Tena,alishajiunga na genge la wanyanganyi,amechafuka Hadi kwenye kope

  • @omarmukhtar8663
    @omarmukhtar8663 6 ปีที่แล้ว +1

    Chezea tumbo wewe mama hio

    • @msanangomwarabu301
      @msanangomwarabu301 6 ปีที่แล้ว

      Jamani siamini Kama Polepole huyu ndio tulienae sasa.sijui Kala nini sasa

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 6 ปีที่แล้ว +2

    Lissu atupishe kabisaaa inatosha sababu ni mgonjwa wa kutupwa mda mrefu aangarie afya yake kwanza atuwezi kuongozwa na mgonjwa kwa kipindi kilefu akishapona anaweza kugombea tena kama anaitaji ubunge wake

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 ปีที่แล้ว

    Cesilia hajarogwa na mtu yeyote kwani kuvaa nguo ya kijani ni hoja wewe huvai nguo kama ni chadema na wewe vaa nguo yako mambo ya serikali siyo ya kushindana nayo

    • @isaacsengunda3099
      @isaacsengunda3099 3 ปีที่แล้ว

      Mtu kuitwa shujaa,au kuandikwa kwenye historia hua ni shughuli pevu,inatakiwa ukubali kupoteza maslahi yako,heshima yako,thamani yako na kila kilichobora kwako,kwa ajili ya wengine,hapo ndipo ukisalimika na kuishi,utaweza kuona matunda yake hapo baadae,,
      Lakini ukiogopa kufa na kutengwa,utakua bendera,,
      Na ndio hawa akina Polepole,Kabudi nk,,