WEMA SEPETU, IDRIS SULTAN na IRENE PAUL kushtakiwa kwa kosa hili, STEVE NYERERE atema cheche

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 43

  • @ManirakizaOmar
    @ManirakizaOmar 22 วันที่ผ่านมา +14

    Wakati ulikua Korea hukua unaongeya Leo hiyii tz unaongeya kama kasukuu😂😂😂 ila unaongeya pwenti❤

  • @ManirakizaOmar
    @ManirakizaOmar 22 วันที่ผ่านมา +2

    MAMA nisataa Mungu amupee maisha marefu namupenda Sana anamoyo wapeke ❤ Asante sana MAMA

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 22 วันที่ผ่านมา +7

    Cha kwanza anamshukuru rais kamsahau mngu

  • @baranyikwamohammed628
    @baranyikwamohammed628 20 วันที่ผ่านมา +1

    Muanze kwa kumshkuru mwenyezimungu,pili mumshkuru docta samia🙌

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 22 วันที่ผ่านมา +6

    Hakuna kitu mtafanya itapita kama korona kwanza hampendani. Hakuna atakae weka mtaji wa maana kwenu.hiyo safari mmebaguana.

  • @Aishatheboss117
    @Aishatheboss117 20 วันที่ผ่านมา +1

    Mmtangulize mungu mbele kwanza alafu badaemama samia😢

  • @keyla3641
    @keyla3641 22 วันที่ผ่านมา +4

    😂😂😂😂😂stive kaongea vitu vya mana ila kashazoea kuchekesha hawezi kuwa sirias

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m 22 วันที่ผ่านมา +4

    Toka kanumba ameenda hamna jipya mbona yeye hakwenda kolea na mambo yalipendeza

  • @RehemaSalum-vp6rf
    @RehemaSalum-vp6rf 21 วันที่ผ่านมา +1

    Shida kila kitu mnaiga

  • @user-jy4pm3hh9s
    @user-jy4pm3hh9s 22 วันที่ผ่านมา +2

    Hii inchi kama ingekuwa kuwa kenya kingeumamaa mbna ovyo sana kutembeza machawa tu

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 22 วันที่ผ่านมา +1

      Kwaivo unafkiri wakenya wanaandamana tu kwa kila issue, watu wanaandamana kwa mambo muhimu.

    • @aishakhamis2996
      @aishakhamis2996 21 วันที่ผ่านมา

      Kabisa... Uyu Samia hana maana pesa mbili vitu vingi vya maana vipo vya kufanya Kwa watanzania km kushusha bei vyakula kuwajali wakulima yy ndo kwanza kawapeleka hawa wasojielewa china Kwa pesa za wananchi yaan bibi ww nimekutoa thamani...!! Yaan ingekuwa Kenya ungejua hujuwi...!!

  • @ManirakizaOmar
    @ManirakizaOmar 22 วันที่ผ่านมา

    MAMA naomba ajila please ❤ MAMA naomba ajila yoyote MAMA kipenzi chawengi hivi nawapinzani wanakupenda sana unachapa kazi Sana ❤❤❤❤❤ kazi iendeleye tz oyeeeee

    • @ProsperUlungi
      @ProsperUlungi 22 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂 hatuwezi kukuona huku

    • @user-wd2bc7bf5x
      @user-wd2bc7bf5x 22 วันที่ผ่านมา +1

      Jifunze kwanza kuandika vizuri neno Ajira na sio Ajila ,Ajila nini ? na hapa sio kwa mama 😂😂😂

    • @najmahhassan7853
      @najmahhassan7853 21 วันที่ผ่านมา

      Uchawa any place 😂😂😂😂

  • @ManirakizaOmar
    @ManirakizaOmar 22 วันที่ผ่านมา

    MAMA naomba ajila please ❤ MAMA naomba ajila yoyote MAMA kipenzi chawengi hivi nawapinzani wanakupenda sana unachapa kazi Sana ❤❤❤❤❤

    • @hawaramadhani6954
      @hawaramadhani6954 22 วันที่ผ่านมา

      Ajira sio ajila

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 22 วันที่ผ่านมา

      Kwanza nani kamwambia huyo mama yake anasomaga msg TH-cam?😂😂😂😂​@@hawaramadhani6954

    • @Bittertruth-u4n
      @Bittertruth-u4n 21 วันที่ผ่านมา

      ​@@hawaramadhani6954keshaikosa😂😂

  • @elizabethmasters5998
    @elizabethmasters5998 21 วันที่ผ่านมา

    Sizalau nchi yangu lkn hapa kwetu bado sana kwanza korea wanasomea sana hapa kwetu kinasomew nn mtu akijua kulia au kuchamb watu tyr kaishapelekw kwny sanaaa bado sana

  • @Mgema001
    @Mgema001 22 วันที่ผ่านมา +2

    Nipeni like nile😂

  • @mvullamanase
    @mvullamanase 21 วันที่ผ่านมา

    Toa hamu yako....
    Maana kule Korea Lugha ilikunyima Nafasi..

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 22 วันที่ผ่านมา +1

    Bongo bhna 😂😂😂 fanyen kazi ..kina denzel. Kina Angelina Jolie...kina Jack chain wanaigiza na wanakaa nyuma ya camera kama ma produce.. maneno mengi kuliko kaz chawa mchafu

  • @ibnujumanne4054
    @ibnujumanne4054 21 วันที่ผ่านมา

    Tuendeleeni na silabasi ya binadamu wa kwanza alikuwa nyani, zama za mawe za kati kwa miaka saba kwa kiswahili then miaka minne kwa kingereza tuone tutakavyoendelea kupotezeana muda

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 21 วันที่ผ่านมา

    Huwezi kujifunza unachokijua.

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 22 วันที่ผ่านมา

    Tumieni nafasi mliyopewa na mama

  • @mpjozzegalvanize4926
    @mpjozzegalvanize4926 22 วันที่ผ่านมา

    Steve jau sana, kwa hiyo #Dora hana google account 😂😂😂

  • @aishakhamis2996
    @aishakhamis2996 21 วันที่ผ่านมา

    Wema ushakuwa mzee alafu unavuliwa chupi na vitoto...?!...

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 21 วันที่ผ่านมา

    Kakiwa tanzania kanaongea kakivuka nje ya mipaka ya tanzania korea akaongeiiiii sababu ya lugha ya kiingereza

  • @elizabethmasters5998
    @elizabethmasters5998 21 วันที่ผ่านมา

    Kingine mlicho kosea kule kwao kutangaz tamadun zao badala ya kutangaz ya kwenu kwenye lugha sasa kichina ambacho hakina maan wakat mlikuw korea una vitu baadhi mnatakiw kujifunz lugha kabla ya kwenda

  • @kidmozjkm7965
    @kidmozjkm7965 22 วันที่ผ่านมา

    Kaji teteya😂😂😂😂😂😂

  • @jumazubeir5787
    @jumazubeir5787 22 วันที่ผ่านมา

    😂

  • @mpjozzegalvanize4926
    @mpjozzegalvanize4926 22 วันที่ผ่านมา +1

    Direct swahili😂😂😂 huyu jamaa muongo 😂😂😂

  • @MwemajaphetyZackalia
    @MwemajaphetyZackalia 22 วันที่ผ่านมา +1

    We mshamba ulikiwa ujui mbona Watu wanajua siku nyingi izo mambo mbona tunazijua siku nyingi ramda wewe na wezako

  • @user-jy4pm3hh9s
    @user-jy4pm3hh9s 22 วันที่ผ่านมา

    Kmmk zenu

  • @ConfusedAlien-xk3sh
    @ConfusedAlien-xk3sh 21 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂