Kabisa... Uyu Samia hana maana pesa mbili vitu vingi vya maana vipo vya kufanya Kwa watanzania km kushusha bei vyakula kuwajali wakulima yy ndo kwanza kawapeleka hawa wasojielewa china Kwa pesa za wananchi yaan bibi ww nimekutoa thamani...!! Yaan ingekuwa Kenya ungejua hujuwi...!!
MAMA naomba ajila please ❤ MAMA naomba ajila yoyote MAMA kipenzi chawengi hivi nawapinzani wanakupenda sana unachapa kazi Sana ❤❤❤❤❤ kazi iendeleye tz oyeeeee
Sizalau nchi yangu lkn hapa kwetu bado sana kwanza korea wanasomea sana hapa kwetu kinasomew nn mtu akijua kulia au kuchamb watu tyr kaishapelekw kwny sanaaa bado sana
Bongo bhna 😂😂😂 fanyen kazi ..kina denzel. Kina Angelina Jolie...kina Jack chain wanaigiza na wanakaa nyuma ya camera kama ma produce.. maneno mengi kuliko kaz chawa mchafu
Tuendeleeni na silabasi ya binadamu wa kwanza alikuwa nyani, zama za mawe za kati kwa miaka saba kwa kiswahili then miaka minne kwa kingereza tuone tutakavyoendelea kupotezeana muda
Kingine mlicho kosea kule kwao kutangaz tamadun zao badala ya kutangaz ya kwenu kwenye lugha sasa kichina ambacho hakina maan wakat mlikuw korea una vitu baadhi mnatakiw kujifunz lugha kabla ya kwenda
Wakati ulikua Korea hukua unaongeya Leo hiyii tz unaongeya kama kasukuu😂😂😂 ila unaongeya pwenti❤
😂😂
Mm naon anaongea utopolo tu
MAMA nisataa Mungu amupee maisha marefu namupenda Sana anamoyo wapeke ❤ Asante sana MAMA
Cha kwanza anamshukuru rais kamsahau mngu
Kuitwa kwa kujipendekez
Muanze kwa kumshkuru mwenyezimungu,pili mumshkuru docta samia🙌
Hakuna kitu mtafanya itapita kama korona kwanza hampendani. Hakuna atakae weka mtaji wa maana kwenu.hiyo safari mmebaguana.
Mmtangulize mungu mbele kwanza alafu badaemama samia😢
😂😂😂😂😂stive kaongea vitu vya mana ila kashazoea kuchekesha hawezi kuwa sirias
Toka kanumba ameenda hamna jipya mbona yeye hakwenda kolea na mambo yalipendeza
Kolea ni nini ndugu?
Hapo Sasa tujifunz speling
Shida kila kitu mnaiga
Hii inchi kama ingekuwa kuwa kenya kingeumamaa mbna ovyo sana kutembeza machawa tu
Kwaivo unafkiri wakenya wanaandamana tu kwa kila issue, watu wanaandamana kwa mambo muhimu.
Kabisa... Uyu Samia hana maana pesa mbili vitu vingi vya maana vipo vya kufanya Kwa watanzania km kushusha bei vyakula kuwajali wakulima yy ndo kwanza kawapeleka hawa wasojielewa china Kwa pesa za wananchi yaan bibi ww nimekutoa thamani...!! Yaan ingekuwa Kenya ungejua hujuwi...!!
MAMA naomba ajila please ❤ MAMA naomba ajila yoyote MAMA kipenzi chawengi hivi nawapinzani wanakupenda sana unachapa kazi Sana ❤❤❤❤❤ kazi iendeleye tz oyeeeee
😂😂😂😂 hatuwezi kukuona huku
Jifunze kwanza kuandika vizuri neno Ajira na sio Ajila ,Ajila nini ? na hapa sio kwa mama 😂😂😂
Uchawa any place 😂😂😂😂
MAMA naomba ajila please ❤ MAMA naomba ajila yoyote MAMA kipenzi chawengi hivi nawapinzani wanakupenda sana unachapa kazi Sana ❤❤❤❤❤
Ajira sio ajila
Kwanza nani kamwambia huyo mama yake anasomaga msg TH-cam?😂😂😂😂@@hawaramadhani6954
@@hawaramadhani6954keshaikosa😂😂
Sizalau nchi yangu lkn hapa kwetu bado sana kwanza korea wanasomea sana hapa kwetu kinasomew nn mtu akijua kulia au kuchamb watu tyr kaishapelekw kwny sanaaa bado sana
Nipeni like nile😂
Toa hamu yako....
Maana kule Korea Lugha ilikunyima Nafasi..
Bongo bhna 😂😂😂 fanyen kazi ..kina denzel. Kina Angelina Jolie...kina Jack chain wanaigiza na wanakaa nyuma ya camera kama ma produce.. maneno mengi kuliko kaz chawa mchafu
Tuendeleeni na silabasi ya binadamu wa kwanza alikuwa nyani, zama za mawe za kati kwa miaka saba kwa kiswahili then miaka minne kwa kingereza tuone tutakavyoendelea kupotezeana muda
Huwezi kujifunza unachokijua.
Tumieni nafasi mliyopewa na mama
Steve jau sana, kwa hiyo #Dora hana google account 😂😂😂
Wema ushakuwa mzee alafu unavuliwa chupi na vitoto...?!...
Kakiwa tanzania kanaongea kakivuka nje ya mipaka ya tanzania korea akaongeiiiii sababu ya lugha ya kiingereza
Kingine mlicho kosea kule kwao kutangaz tamadun zao badala ya kutangaz ya kwenu kwenye lugha sasa kichina ambacho hakina maan wakat mlikuw korea una vitu baadhi mnatakiw kujifunz lugha kabla ya kwenda
Kaji teteya😂😂😂😂😂😂
😂
Direct swahili😂😂😂 huyu jamaa muongo 😂😂😂
We mshamba ulikiwa ujui mbona Watu wanajua siku nyingi izo mambo mbona tunazijua siku nyingi ramda wewe na wezako
Kmmk zenu
😂😂😂😂