Kumbe mzee unaipenda familia yako. Waandishi ndio hawaelewi kuchunguza habari, wanarukia taarifa juu juu. Sasa huyu anayemuhoji mzee Kamwe naye hajitambui kabisa
We mwandishi hayo maswali sio ya kumuuliza mzazi. Hujui mzazi ana uchungu kiasi gani?? Ni mwanae yule. msipende kuumiza wazazi. Unauliza maswali ambayo majibu unayajua??
Huyo mwanao angeuliwa na manara msukure ndo maana hakuna msemaji aliwai kukaa na manara yule ni jini baba mwanao muache TU na hata yanga hawana msimamo wangemkataa manara wakabaki na kamwe
Yanga ni timu kubwa sana,Ali kamwe ni mtoto mdogo sana halingani na heshima ya timu ndio maana anakufa mtovu wa nidhamu kwa ajili hajui thamani ya yanga na hajui thamani yake kwenye club anayoifanyia kazi.
Tafadhali Ally usifanye Maamuzi hayo tena unaweza kuleta madhara kwa Wazazi pia!!! Mimi ni mshauri mzuri sana ukiwa na shida tu ongea na watu kwanza au pata namba yangu IKUSAIDIE KWA CANCELLING!!
Manara hawezi kukaa na mtu ni mgomvi sugu. Kila siku anagombana na mtu na yeye anajiona hana makosa wenzake ndio wanamakosa. Akina Bumbuli, Nugaz, Babra, Jemedari wote aligombana nao
Baba nimekupenda bure mungu akupe maisha marefu sana,,na tunafurai kaka etu kuwa na baba kama wewe..
Pole sana baba yetu , ss mashabiki tu hatukulala kwako ww ni zaidi kuwa mpole tu. Haji hana shida na Ally amini hivyo
Pole mzee kamwe ally yupo yanga usiofu
Tumelia wengi kumbe...kwa Mzee kamwe,pole Sana ijapokuwa bado ako kazini
Uchungu wa mwana aujuae mzazi 🙏
Daa zee hauja umia pekeyako tunampenda sana Ali kamwe😢 💚💛💛💚🎉🎉
Mzee kamwe hajalala kama mim pole sana bab hata sis tumeumia sana
Ali KAMWE UWE UNAMUELEZA BABA KABLA YA KUWEKA MAANDIKO USIMSTUE BABA
Pole baba mi mwenyew niliumia sana kujiuzulu kwa ally
Watani kamwe abaki tu Manara kichwa kibovu
Pole saana mzee lakini usiwaze kwahilo❤
Mwenye mazuri siku zote hupata mazuri,huwenda Mungu akamwandalia mazuri zaidi.Mwombee kwa Allah.
Mambo mwengine sio mazuri kama ali anafanya masihra ya namna hii atamuua babayake
POLE SANA MWANA SIMBA MWENZETU
Pole kamq mzazi huwezi firahiyq mtoto kuacha kazi pole sana
Kumbe mzee unaipenda familia yako. Waandishi ndio hawaelewi kuchunguza habari, wanarukia taarifa juu juu. Sasa huyu anayemuhoji mzee Kamwe naye hajitambui kabisa
Hakika mengine ni upenzi tu wa mpira lakini Damu ni mzito kuliko maji na itabaki kuwa hivyo.
Ali kamwe hebu mpigie cm Mzee ajifariji kidogo sio vzr kumliza baba Mimi nakuomba sana mfariji baba .
Rizki mtihani
Uyo muandishi Una Akiri Ww
We mwandishi hayo maswali sio ya kumuuliza mzazi. Hujui mzazi ana uchungu kiasi gani?? Ni mwanae yule. msipende kuumiza wazazi. Unauliza maswali ambayo majibu unayajua??
Baba leo nimekuona unaamaana sn japo upande uliopoo daaah
Huyu mtoto ana mambo mengi
ili uwe muandilshi mzuri zingatia lafudhi
Huyo mwanao angeuliwa na manara msukure ndo maana hakuna msemaji aliwai kukaa na manara yule ni jini baba mwanao muache TU na hata yanga hawana msimamo wangemkataa manara wakabaki na kamwe
Kwani huyu ali toka ametoka south hajaenda msalimia baba ake?
Yaan Ally Kamwe tu sio kwenda kumwona baba tu hata KUMPIGIA SIMU TU baba niko Tanzania NIMERUDI,
Jamaa unaongea sana
Mzee anaongea kwa hisia kali Sana.
Mwandishi hujui kutofautisha Kati ya L na R Poor poor poor professionalism
Aisee huyu mtangazaji msenge sana hana maswali ya msingi
Pilamid
Yanga ni timu kubwa sana,Ali kamwe ni mtoto mdogo sana halingani na heshima ya timu ndio maana anakufa mtovu wa nidhamu kwa ajili hajui thamani ya yanga na hajui thamani yake kwenye club anayoifanyia kazi.
Tafadhali Ally usifanye Maamuzi hayo tena unaweza kuleta madhara kwa Wazazi pia!!! Mimi ni mshauri mzuri sana ukiwa na shida tu ongea na watu kwanza au pata namba yangu IKUSAIDIE KWA CANCELLING!!
HUYU MZEE KAMWE ANA UPENDO SANA SANA NA WATOTO WAKE..MUNGU AMPE AFYA NA AMKINGE NA SHARI ZOTE
Wacheni ushamba nyny wtngnyika mnapenda xana dunia muko tyr kuuwana mwambie akae pembeni kama untk auliwe bc sbr nyny hamna dini mbwa mtauwana
Huyo ni mtu mzima miaka 18 wewe ni mshauri TU huna nafasi mzee hujui yanayomsibu
Ally uwe unaongea na baba kabla ya utani wa kwenye mtandao. Usimshutue baba
Wandishi.niwanafki.mnagombanisha.familia
Wandishi wabovu hata kuhoji hamjui kazi mmekalia umbea wasenge nyinyi sifungui tena chanel yenu
Cc tu mashabiki hatukulala sembuse ww mzee wake
Ujaumia peke ako
Mzee kaona maisha yanaenda kuwamagumu chezea wewe
Hata mm sikulala kabisa
We Mzee umpendi mwanao,,, ujui kwamba jini kaingia mtaaani? ,,
Huyo mwanaume si mwanamke hawezi kumwogopa jini
Manara hawezi kukaa na mtu ni mgomvi sugu. Kila siku anagombana na mtu na yeye anajiona hana makosa wenzake ndio wanamakosa.
Akina Bumbuli, Nugaz, Babra, Jemedari wote aligombana nao