LIKO LANGO MOJA WAZI. dinu zeno. 0625954315
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2016
- Kama unahitaji nyimbo hizi tafadhali niandikie kwenye coment hapo chini kuwa unahitaji nyimbo ngapi na namba yako ya simu ya whatsapp.Nitakutumia bure kabisaa.
Liko lango moja wazi ni wimbo kutoka katika kitabu cha tenzi za Rohoni. Hakuna lango lingine limwezeshalo mtu kupita kufika mbinguni ila ni Yesu tu ndiyo lango hilo.
#dinuzeno - เพลง
My brother be blessed,how many are blessed by this song like me🙋
Thanks. To God be the Glory
Lango ndie YESU BWANA wote tuingie kwake 🙏nahis kubarikiwa nahis uwepo wa MUNGU eee Mwenyez MUNGU utujalie waja wako tukujue wewe na kutenda yaliyo mema 🙏Amen
Nyimbo yangu ya kila siku kila dakika 2024 mko wapi najishi niko mbinguni aki huu wimbo😢😢unifanya nikaripie mungu wangu kila saa vya dunia ni ovyo tu yesu ndiye njia tu ooo hallelujah stay blessed forever brother keep the fire burning
Mungu ni mwema alitukomboa kwa kumtoa Mwanae Yesu Kristo ili atukomboe kutoka ktk nguvu za giza na kisha kutuhamishia kwenye Ufalme wake tusemi nin Bwana Bali tunashukuru kwa jinsi Pendo lako lilivyo Kuu Ujitwalie Sifa na Utukufu Ee Mungu Ufalme wako uje Utawale Milele na Milele
Kumbe hata baba angu yupo mbunguni maana naamini alipita lango .... limpasalo RIP dady najua uko mbunguni in jesus name😭😭🙏
Amina pole dea
😭😭😭😭😭
liko lango moja wazi nalo ni YESU KRISTO wate waingie kwake, this is so powerful. Amen
Thank you my lord for everything 🙏 🙌 l love these songs of praise the almighty god .May god bless you all choirs🎉🎉🎉
Omba mguu akuchukuwe ..we ear lying our selves .. truly ...James changole ..Judy moi ... Emmanuel Kipkoech ..kiprop ...mumanyi u are blessed u have a God heart ...But people will mistake you humans leave in deception ...Find God ..This song is the real true ... Muslims ..china ..all people all over the world will confess Jesus is the one ..
Kweli lango la mbinguni li wazi.thz songs conforts me through thz hard tym of covid 19
Kwa Yesu raha sana nakushauli wewe ambaye bado hujaingia kwenye lango hili njooo upesi uwingiye bado neema ipo karibu sana Mungu akuinuwe zaidi mtumishi
Barikiwa sana,, napenda huu wimbo Wanifanya kama naweza pawa juu mbinguni
When I listen to this song...najikotana kua karibu na Mfalme wetu Yesu Kristo...Amen
DINU ZENO, liko lango moja wazi brother nalo ni YESU KRISTO wate waingie kwake, this is so powerful. Amen
Who's with me here 2020 till Jesus Christ come back
Am here
We are together
Even me am with you
Haleluya
Me
Ahsante kwa ujumbe mzuri ubarikiwe katika kazi ya bwana
Wimbo mzuri lakini hata wewe mtumishi umeutendea haki kabisa, ujumbe mzuri pia
Ubarikiwe Sana yani Hakuna siku inapita sijasikiliza uimbaji wako
I thank God for His servant for the work He has laid before them actually this songs are blessings to me, may God continue using you people
Du nmeanz sabato vizuri wimbo mzuri sana tena sanaaaa🇹🇿apa
My childhood friend has just passed and am dedicating this song to her rest in peace diano chepoisho
Let God be with you
@@DinuZeno iam humbled
Lango ni moja tu aki huu umenifanya kumjua mungu na kubarikiwa sana
Kweli Mungu uabudiwe milele
Hakuna lango lingine zaidi la hili tunaloliamini la mbinguni haleluya
Ubarikiwe sana muimbaji
Nabalikiwa sana
namkumbuka mama mzazi. alikuwa akiniimbia. 2004 Mungu akamchukua ningali mdogo. mpaka Leo natafakari nyimbo alizokuwa akiniimbia
Pole sana
Asante sana Gladness
Uko vizuri my friend
Tukipita lango hili tutatua mizigo tuliyochukua kwanza na tutavikwa uzima haleluya....napata faraja sana kupitia tenzi hii ubarikiwe sana mtumishi Wa mungu na uinuliwe kwa viwango vingine
A good song that makes to focus on Jesus because He is the only way....Nashukuru sana kuisikia wimbo huu
I woke up this song singing in my heart. I remember the testimony of nyisak nchaula from Tanzania,, who saw a large, beautiful door in heaven, and when she came back, she said"nilikumbuka mwimbaji mmoja aliyeimba" liko lango moja wazi". kumbe ni kweli hili lango lipo mbinguni!!!
Napenda hizi nyimbo sana kwa ajili zanibariki ninapozisikiliza naomba unitumie via whatsapp tel no. 0768223296 na nitashukuru
Nzur sana hizi nyimbo,,, zimebadilisha maisha yangu sana sana,,,nitumie WhatsApp kwa namba 0765014339
Bukard chares from igunga whatsup no 782732798
Hakika hizi nyimbo ni nzuri ajabu
Amen
Mungu ameweka kitu kikubwa moyon mwako kwa sababu hiyo kuwa imara sana na uwe na bidii ktk yesu
Here in 2024. Woke up with it in my Spirit. On loop. Feeling blessed🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
nyimbo hizi nikizisikiliza najihisi kumuona mungu, km na wewe zinakubariki fanya kulike ili twende pamoja
Hakika
kweli nyimbo ni nzuri sana
Yasinta David hata mimi limenigusa
Yasinta David nnabarikiwa sana moyoni mwangu
Yasinta David nazama kweli
I can't stop listening to this song everyday
Nimebalikiwa na na lango mungu akuzidishie huduma hii kutupatia
Wimbo umetulia, hakika kutubu ni sasa.🙏🙏
Hakika
Ameeeen Tunamuamini Mungu atatenda maaana nyimbo za tenzi ni adimu mno......tukiona hivi kama wewe umeguswa kuimba tunafurahi kwa kweli ubarikiwe mno
Mungu akubariki
l hardly listen to gospel music, but l trembled across this beautiful song, thanks for uplifting my spirit when l am down
To God be the glory
vyema
Amina ubarikiwe sana
Bwana yesu wewe ni mkuu na fadhil zako ni za milele,, tuokoe kwenye midomo ya shetana,,
I'm always here. Good singing, Nazipenda nyimbo za injili sana. Mungu akubariki sana na tenzi za rohoni. Ahsante sana
Asante sana na Bwana ni mwema
Huu wimbo huwa naupenda sana hata akiimba ambeye hajui kuimba ntacheza na kuimbanaye
Dinu Zeno but naitaji audio nijaribu kuitafuta nafeli
Nipo shinyanga
🙏🙏🙏🙏
🙏🙏🙏🙏
Me huwa naskia kulia halafu naogopa kufa
Lango ndie Yesu bwana, who's here during this corona pandemic 😭🙏🙏
Sokoli brought me here😂 This will be on my Christian playlist
Am listening to this song 😭😭 while praying for the soul of my lovely boy and my brother continue resting in peace
The voice lango lango calls all sinners to get in that lango.... li wazi..
2021 And still fresh, bado hu wimbo unanibariki tu.
Ooh! God is Good
hakika liko lango moja wazi nabarikiwa sana na nyimbo,zako mpendwa mungu akuinue kwa viwango vya juu sanaa Be BlesseD
nyimbo nzuri sana zanibariki
YESU ndiye NJIA ya kweli ya kwenda MBINGUNI.Hakika YESU ni LANGO la kwenda MBINGUNI twendeni sote kwenye LANGO
barikiwa sana amen amen
Frank Mpembu amen
Ahsante sana kwa wimbo mzuri hizi nyimbo nazitafutaga naomba uniunge Kwenye group lako
Kweli ata mimi naomba
hongera kwa kazi ya kuimba tenzi za rohoni mungu aendelee kukupa kibali hiki zaidi na zaid....naomba nirushie tenzi nyingine kupitia namba hii
mungu azidi kubariki kazi ya mikono yako,hakika nyimbo zako zinanips faraja kubwa iliyopotea when I hear ,Amen
HALLELUHYA .THE HOLY SPIRIT LED ME IN SINGING THIS SONG .I HAD TO LOOK FOR IT .AM BLESSED.SHALOM
Am listening to this song 😭 while praying for the soul of our lovely dady and honourable president to rest in peace 🙌
To God be the Glory
Furaha yangu ni KUONA unazidi kubarikiwa,ubarikiwe sana mtumishi
I love ur all songs somuch may God bless u and ur family ..Ameeeeen
Thank you very much for your love.
2020 liko lango mojaa tuu
Wow I can't explain how I feel ..when I hear this song..Hallelujah 👐👌👌❤Lango ndiye yesu Bwana wote waingie kwake lango..........niwazi Amen Amen..May God bless u abundantly!
Lango ni Yesu kristo.
Amina
Nabarikiwa Sana kupitia wimbo huu mungu atupe neema na rehema.
Barikiwa Mtumishi..Napenda nyimbo za tenzi sana
Bwana ni mwema
Kutoka uswisi naupenda huu wimbo sana nishacheza Mara nyingi hadi mtoto wangu wa miaka kumi kachifunza Kiswahili kidogo,ajabu ni kwamba hizo Rhythm nasikia kenya kitambo kwetu ubaluhyani,barikiwa kaka
A real encouragement to those who have fallen into despair the door is still open. The Lord bless you Sir
Amen and you too man of God
Mamkubali
Bwana yesu asifiwe nimebarikiwa na nyimbo zako naomba unitumie zote
nabarikiwa sana na huu wimbo barikiwa mtumish
2021 and beyond Amen so uplifting.
Mungu akuongoze daima na Milele mpendwa.
Ubarikiwe kwanyimbo nzuri
hujambo mtumishi.napenda nyimbo zako sana ubarikiwe na BWANA
Hakika lango liko moja barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Amen mbarikiwe Sana watumishi wa Yesu, Mungu naomba lango labinguni na mimi niingia Yesu 🙏🙏🙏
Mungu ni mwema
Dinu Zeno amen 🙏
@@rhinaregina5806 no one
AMEN LORD
NO ADDITION NO SUBTRACTION
Ninazidi kubarikiwa na huu wimbo, Mungu akubarik sana ndugu nawote ambao walifanikisha wimbo huo
Amen
Barikiwa sana mtumishi pia wimbo umenibariki Sana
Vraiment votre style de musique m'amène dans la présence de Dieu soyez béni abonnement 😍😍😍
Very Powerful, Let's surely enter Now while that very Door is still Open, the Great Day of the Lord is the Day of Shutting the Door. Be Blessed of God Please. THE MESSIAH IS COMING
Amen amen amen
Mercy Too
Ubarikiwe mtumishi nami naomba unitumie hizi nyimbo nimebarikiwa sana na nyimbo zako
Namba yangu ni 0755704778
Nice song inanibarki sana kutoka kwa mawazo machafu naona utukufu 2 cjiskii nkibanduka kwa krsrto
Mungu akusaidie
Natamani na mm kujiunga nanyi katika kumuimbia Mungu, najisikia kuomba niposikiliza nyimbo zako, Mungu akubariki
2022 still hitting to heaven 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
I always feel God's power In this anointed song. God increase you. Much love from Kenya.
Thank you, thank you, thank you.
4
yes
@@DinuZeno thinks my brother
Huu wimbo huwa sichoki kuusikiliza jmn Mungu wangu endelea kunitia nguvu maana kila nikianza kusikiliza naanza kububujika machozi
Mungu awabariki watumishi wote mnaomsifu na kumwabudu mungu nabarikiwa sana
Nyimbo zako zanibariki sana,God bless you mchungaji
Amen.
Karibu whatsapp 0625954315
Betty Khasandi
nice
AMENI
Be blessed brother, it's only one way, Jesus Christ,,msalaba,💒👆🙌
Amen amen.
vane samwel
Hongera kwa kazi nzuri ya kumwimbia Mungu. Nimependa wimbo huu sana.
Amen 🙏🏿, Hakika lango ni YESU BWANA, 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
This song always heals my heart whenever I got hurt 🙏🙏🙏❤️❤️❤️
rt
Am blessed with this hakika lango ni Yesu.
Asante sana ubarikiwe songa thawabu yako IPO utakapomaliza kazi.
Hakika lango li wazi, na no lango moja tu, tumshukuru mungu kwa hiyo , na yeyote atakaye pita atapata baraka
One of my late dad Rev James Ngunyi’s songs! I love this song!
To GOD be the Glory
Huwa nafarajika San Na nyimbo hizi ... Huwa napat nguv ya kumtumikia bwana ... Kwa yesu kuna raha
Hakika.Amen
Njimbo inanibariki Sana. Naomba unitumie. 0713878449
nauhitaji wimbo huu kaka langolango ubarkiwe mtumishi
barikiwa sana wimbo mzuri naupenda unafariji nasikiliza kila kuchapo unafariji
siku ya kupaa kwangu mbinguni nitaimbiwa lango na yesu rafiki
Oooooh was my oooooh day you were doing good things are doing 👍 you ooo
nikweli brother niwakila mtu
I can hear this song many times, really blesses me.
liko lango ni moja tu wazi ni la mbinguni .je ww mwenzangu umechagu lipi.mbarikiwe sana mwimbaji wetu utukufu kwa mungu.
Touching worship ady nimepona
1. Liko lango moja Wazi,Ni lango la Mbinguni,
Na wote Waingiao Watapata nafasi.
Lango ndiye Yesu Bwana Wote Waingie Kwake,
Lango! LangoLa Mbinguni ni wazi.
2. Yesu ndiye lango hili,hata sasa ni wazi, Kwa
wakubwa na wadogo, Tajiri na maskini.
3. Hii ni lango la raha, Ni lango la rehema,
Kila mtu apitayeHana majonzi tena.
4. Tukipita lango hili Tutatua mizigo
Tulichukua kwanza Tutavikwa uzima
5. Hima ndugu Tuingie lango halijafungwa
likifungwa mara moja halitafunguliwa.
Amen mpendwa barikiwa sana
nyimbo hiz nazitafuta hatimae leo nimebahatisha asante sana kaka kwa wimbo mzuri lango ni mojaa tuuu tena la rehema kila mtu anapita tena kwa majonzi lango hil lazim upite ili kutua mzigo mzito amen
Ubarikiwe Kaka,nahitaji CD yako
nyimbo nzri sana
sante san nyimbo nzuri
zainabu yasin wrote waingie kwake hBagui yesu
wimbo huu ndg unanigusa sana tena mungu kweli akuongoze pale unapo fanya kazi yake..
Lango la mbinguni ni wazi ,,,I feel touched by this song,,,,
Amen
hakika Yesu ni lango bora... axnt mtumixhi wa Bwana.... barikiwaxn
asante sana kwa nyimbo zenu zenye baraka, kuna nyingine zaiidi ama ni hizi pekee, niko Mombasa kenya
peter nandwa poa to get her bro faith
mungu akubariki mwanangu huduma njema by mtume macha
Asante
amen sina chakusems
Sijui umezipata ngapi au unazo ngapi za kwetu tafadhali
umeimbwa na watu wengi ila wewe wanibariki!!
Ubarikiwe daima'taranta yako ing'are kama nyota ya mbinguni
mungu akubariki
Daniel Patrick Robert aunt a
Daniel Patrick Robert hiyo
Daniel Patrick Rober mungu akubalik cana kwa yesu kunalaha sana
Bwana. Mwema sana naomba wimbo wa nitembee nawe bwana
Hizi nyimbo jaman zinaingia ndani ya moyo amin