Hii kitu ndo napitia saiz rafiki wote washaondoka na amebaki mmoja lakn nae ana chuki na ananizungumzia vibaya kwa watu kuhusu mafanikio sijui nimuondoeje kwenye maisha yangu maana ni rafiki yangu wa karibu sana😢😢
Sioni kama wewe nimtu wakawaida naona kama joel ww sio mtu uliye zaliwa nikwamba kama uliumbwa tu kuja kuokoa. Hii imenigusamoja kwa moja had nikajihisi unasimulia maisha yangu halisi daa. sina uwezo mkubwa japo uelekeo nauona sana naomba no yako nitoe sadaka kidogo pls.
Hata hili somo ni sauti ya Mungu nilihitaji kusikia kitu kama hiki kabisaaa,
Ameen, chukua hatua bila kuchelewa
Asante kwa ujumbe mzuri
Amina. Ahsante kaka Joel
Joel unahuduma ya ushauri? Kila nikiuliza hili swali sijibiwi. Why??
Anayo
Nakumbuka marafiki zangu walinitenga baada ya kuwa nawaeleza mafanikio yangu..nilipogundua nilijitenga nao na nikajifunza kukaa kimya
Hii kitu ndo napitia saiz rafiki wote washaondoka na amebaki mmoja lakn nae ana chuki na ananizungumzia vibaya kwa watu kuhusu mafanikio sijui nimuondoeje kwenye maisha yangu maana ni rafiki yangu wa karibu sana😢😢
Asante Kaka Joel, hii ni yangu imekuja kwa wakati wake. Barikiwa saaana🥰
Thank you so much bro, ninabarikiwa sana na life wisdom series....
Ahsante sana kwa hili somo, Mungu akunarika sana kaka Nanauka, nimejifunza sana.
Kwan Mr Joel kuwapoteza watu wa kalib ndo Kuna kuwa na mafanikio
Ahsante kwa mafundisho yako chakwetu ni actions za kitu Tulichojifunza . See you at the top
Sioni kama wewe nimtu wakawaida naona kama joel ww sio mtu uliye zaliwa nikwamba kama uliumbwa tu kuja kuokoa. Hii imenigusamoja kwa moja had nikajihisi unasimulia maisha yangu halisi daa. sina uwezo mkubwa japo uelekeo nauona sana naomba no yako nitoe sadaka kidogo pls.
Thanks Joel. Umeongea somo zito na la maana sana leo. Natamani hata nikutafute tuongee ana kwa ana ili moyo wangu upone na nipate ufumbuzi.
Asante sana kaka joel na Mungu akubaliki
good morning top team
Morning!!
Ameeen barikiwa sana eeii hii moto dah! Let the living GOD to bless you
Asante sana
See you at the top JAN 🇹🇿
More thanks Brother
See me at the TOP.
Jo Asante sana kwa ushauri wako. Inakuaje jambo hili kwa wanandoa ni sahihi watengane??!!!
Hapo kwenye watu wenye ajenda za siri aisee ni maumivu sana Lakin Mungu ni mwema tumeshatengana sasa nimefungua ukurasa mpya
Nimekuelewa kaka ntafanyia kazi ili nipite vizur kweny hich kipind mung akubaliki sana uzidi kuwasaidia na wengine
Asante Sana kaka Joel Nanauka kwa Elimu hii MUNGU HAKUBALIKI SANA 🤝
Asante Uncle Joel, Mungu amekutuma unene na mimi kuhusu jambo hili. Ndio wakati napitia sasa. God is Great.
Kwa mara ya kwanza nipo mapemaaa 🍁
Upo sahihi Kaka barikiwa Sana. Endekea kuinjilisha kupitia kipaji ulichojaliwa na Mungu
Shukran sana kaka Mungu Aendelee kukuweka kwaajili yetu nimejifunza meng Sana kupitia wew ubarikiwe Sana🙏
Nimejifunza kitu kizuri na Mimi nilikuwa kinganganizi ila sasa nimeelewa sitangangania watu.
Asanteee Yesu Kristo kwa Ajili ya Hili SOMO.
Kila leo najifunza tu hata nikiwatch late am blessed more grace mr.
Thank you my bro kwa hili somo limeniongezea nguvu I'm in separation season
Kweli nilipo taka kufunga ndoa nikagundua anitakii mema ana shilikiana na maasimu wangu nikaamua kuachana nae Yani maumivu kukiacha kitu ulichokizowea
Yeah my brother Joel ❤
Kaka joeli umenigusa sana ninandoto za kufika mbali naomba msaada wako
Nikwel kaka kunawatu niliachana nao nikaanza kubadili mtazamo mawazo
Unanitia hamasa kweli mentor wangu Mr Joel ,juu nilikua naona nii mm ndio mkosa
Shukrani sana kaka Joel, we are proud to have you . Mungu akubariki sana
Hili somo naona ni kwaajil yangu Asante sana
Hapa nmekuelewa mno mtumishi asante sana tena sana
Naweza kupata story hii kwa njia ya sauti pls?
Morning. Very true hasanti kwa Nuru ya maisha
Asante baba Kwa mafudisho mazuri
nimejifunza sana kitu kikubwa sante sana
Naomba namba yako nkupigie kaka
Asante kaka yangu kwa elimu nzuri
MUNGU AKUBARIKI SANAAA NAKUELEWAAA
Naomba namba yako mtumishi
Joeli nanauka Ubarikiwe🙏🏾
Nimeelewa sana zaid ya sana
wakati ukifika no turn bck! C u around again ❤
Asante sana ubarikiwe
Mungu akuongoze
Mafundisho haya ni mazuri sana
SoMo limekuja on time saana kaka😂
Kbs kaka Dah!!! Nimekubali,
UPO SAWA KABISAA
Shukrani kwa somo
Asante Mkurugenzi
Dah Asante sana Nanauka!
asante sanaaa kaka yanguuu.
NI kweli kabisa
Ubarikiwe sana mwalimu.
Nipo mkuu Leo mapema 😅
Asante baba.
🙏🙏🙏 Barikiwa sana
Umeniongelea mm kabisa
Mungu akulinde daima kaka
Asante sana kaka wewe ni mwalimu wa walimu mungu akusimamie.
Ameen Ahsante sana
Namimi baada yakuacha kazi sehemu niliko kukwa naganya kazi nime fanyikiwa kiukweli maishani
Hongera Sana Sanaa
Asante kwa mafundisho
True brother God bless you for being the light to many🌸👌🙏
Aisee blooo Joel nanauka 🙏
Current situation thank u!
💯🙏
🙏🙏🙏✨
🙏🙏
Thanks @kaka Joel
14:46
🏋🏾✊
Absolutely 🦁
🙏🙏
Thank u
GROWING SEASON
Kaka sana kwa elimu yako.