MDAHALO WA SONGEA...HABIB MAZINGE, IBRAHIM BAKONZI & SAID KINYOGOLI (2)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
  • Akasha Daawah Channel

ความคิดเห็น • 150

  • @khadijasayeed3381
    @khadijasayeed3381 3 ปีที่แล้ว +5

    Uislam ni dini ya Haki wallah najivunia kuwa Muislam ...Yaa Rabi tyujaalie mwisho mwema na tufe tukiw waislam inshaAllah🙏😍

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 3 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah shukran masheikh wetu kwa kazi hii ngumu ya da'waa allah awalipe kila mazuri, uisilamu raha na nidini ya haki najivunia kuzaliwa muisilamu

  • @chidistar1944
    @chidistar1944 4 ปีที่แล้ว +5

    Hudhuni kwa waislam kumuona sheikh Mazinge anazeeka inshaallah mwenyezi mungu amjaalie pepoo.

  • @zeenathabdulaziz5971
    @zeenathabdulaziz5971 8 ปีที่แล้ว +5

    ALLAH,awazidishie mashekhe wangu!ni neema kua ktk dini hii,maana kila kitu kipo wazi nashangaa kwanini makafiri si waelewa

  • @ashamasudi9441
    @ashamasudi9441 8 ปีที่แล้ว +7

    MashaAllah Allah awape umri zaidi mashekhe wetu tuko mbali lakini nyoyo zetu zafurahika MashaAllah

  • @vimkhamis2794
    @vimkhamis2794 ปีที่แล้ว +1

    Allah awape ulizi wake wa kutosha Mashekhe wetu na Awabariki sana.

  • @mansoorsadiq5721
    @mansoorsadiq5721 7 ปีที่แล้ว +9

    Allah akuhifathi habib mazinge nakupenda kwaajili ya allah Allah akujalieufekwenye kazihio yakueneza dini ya allah

  • @nak3477
    @nak3477 4 ปีที่แล้ว +5

    Huzun kwa waisalam..shekhe mazjnge kashazeeka...allah amlipe kheri kwa kaz ngumu anayofanya...

    • @Awatee
      @Awatee 3 ปีที่แล้ว

      Amiin

  • @kibibimwanamvuamohammadmoh9823
    @kibibimwanamvuamohammadmoh9823 8 ปีที่แล้ว +10

    Ma shaa Allah....masheikh wangu nawapenda kwa ajili ya Allah subhaanahu wataa'alaa ,naye akulipeni khery kwa kazi mnayo ifanya

  • @faridabakari8511
    @faridabakari8511 6 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah mashallah mabrook wallahi masheikh Allah atawalipeni kwakuitanza dini InshaAllah ameen kwasote wote waje Dini na imani yakiislam inshallah ameen 1000x

  • @hawawezidianakukushusha756
    @hawawezidianakukushusha756 8 ปีที่แล้ว +11

    wallah mi nampenda sana huyu sheikh kinyogoli ivi ana wake wangapi Akasha plz nijibu

    • @kibibimwanamvuamohammadmoh9823
      @kibibimwanamvuamohammadmoh9823 8 ปีที่แล้ว +1

      Ma shaa Allah

    • @mansoorsadiq5721
      @mansoorsadiq5721 7 ปีที่แล้ว +2

      Viliunanyopingwa na jua uanjani basi namuomba allah siku ya kiama akakufinike na kivulichake siku ambayo hakutakua nakivuli ispokua cha allah amiin yaraby na pamoja na waislam wakweli

    • @Awatee
      @Awatee 3 ปีที่แล้ว

      @@mansoorsadiq5721 Amiin

  • @maryammakhumo2149
    @maryammakhumo2149 8 ปีที่แล้ว +6

    mwenyezi mungu awajalie kila kheri na awaepushe na shari na awape umri mrefu wenye sheri na baraka mzidi kuekimisha watu katika njia sahihi

    • @Awatee
      @Awatee 3 ปีที่แล้ว

      Amiin

  • @fatmabakari545
    @fatmabakari545 7 ปีที่แล้ว +6

    mashallah mola awazidishie mzidi kuwalingania watu dini ya ALLAH subhana wataalah

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 4 ปีที่แล้ว +3

    Mazinge umekua babu Masha"Allah nakupenda sheikh wangu

  • @AliAli-kg9ki
    @AliAli-kg9ki 7 ปีที่แล้ว +5

    Masha allah habib mazinge kiboko wa makafir baraka allahu fiq

  • @khuwailatnassor8521
    @khuwailatnassor8521 7 ปีที่แล้ว +54

    mm naona raha sana kuona hii midahalo ya dini,wallahi uislamu ni dini ya kweli

    • @sulemanabbas9955
      @sulemanabbas9955 5 ปีที่แล้ว +2

      Mashallah

    • @abdulihafidhali5379
      @abdulihafidhali5379 5 ปีที่แล้ว +1

      Masha Allah

    • @jeanmjimmy
      @jeanmjimmy 4 ปีที่แล้ว +1

      Endelea kujidanganya.

    • @athumanibakary6029
      @athumanibakary6029 4 ปีที่แล้ว +1

      Namshukulumungu kwakuniumba mwisilam uisilam ndio din ya mungu

    • @fineboyAfrica
      @fineboyAfrica 4 ปีที่แล้ว

      @@jeanmjimmy ww ndy unajidanganya mbwa ww na moto ni wenu kabisa Uislamu ndy Dini ya Haki uo Ukiristo ni ubabaishaji na ujinga tu hamn kitu

  • @nasraalobaidani3194
    @nasraalobaidani3194 6 ปีที่แล้ว +8

    WaLLAH naupend uislam nampend ALLAH ndomung pekee ukristo niukafir nabiashar tu

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa5931 3 ปีที่แล้ว +2

    Nashukulu mungu kuwa islam

  • @ramadhanidillu9664
    @ramadhanidillu9664 4 ปีที่แล้ว +1

    Masha Allah Allah awazidishie maarifa ya kutufundisha

  • @princeomar3492
    @princeomar3492 8 ปีที่แล้ว +10

    mashaallha Allhla awajaalie mashkhe wetu wa kislam

  • @bosslady1772
    @bosslady1772 5 ปีที่แล้ว +19

    Gonga like hapa kama unapenda midahalo kama mimi

  • @zaharanituwano6615
    @zaharanituwano6615 8 ปีที่แล้ว +4

    maasha Allah shkh mazinge Allah akuingize peponi

    • @Awatee
      @Awatee 3 ปีที่แล้ว

      Amiin

  • @KelvnJohn-w5t
    @KelvnJohn-w5t 11 หลายเดือนก่อน

    Mazing pole sana unazan mungu anapenda okoka ubatizw

  • @mussamahmouud8944
    @mussamahmouud8944 4 ปีที่แล้ว +8

    Allah sisi waislaam tumekuamin tusamehe makosayetu ya Allah

    • @hilmialiomar1983
      @hilmialiomar1983 4 ปีที่แล้ว

      Mashallah sheikh mazinge na wenzio kwa kazi ya kheir munayoifanya(dawah),Allah atakujalieni firdous inshallah.

    • @Awatee
      @Awatee 3 ปีที่แล้ว

      Amiin

  • @najmakhamis8052
    @najmakhamis8052 3 ปีที่แล้ว +1

    Najikuta namaliza mb naingiza tena kwa maneno matam ya uwislam najijunia kua muislm na asio kua muislm akaribu katika din ya kwly ambayo itaenda kumtetea isha allah

  • @alibell5246
    @alibell5246 4 ปีที่แล้ว +1

    Alhamdullah najivunia kua muislam

  • @swaleheharuna7451
    @swaleheharuna7451 4 ปีที่แล้ว +4

    Allah awalipe kila lakher

  • @ashababy1814
    @ashababy1814 7 ปีที่แล้ว +6

    Asalamwalakum awa ma shiekh wanafundish koroani.tunaomba watufundish dini yetu.kwamasimu.

  • @siamabakwe4274
    @siamabakwe4274 4 ปีที่แล้ว +1

    Nawashangaaa wakristo jaamani kubishana namungu basi Allah mkubwa mno

  • @abdulbogoyo1243
    @abdulbogoyo1243 4 ปีที่แล้ว +2

    Hiki kifaa kipya kimetengenezeka vizuri: Shekh mazinge salamu zako.

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 3 ปีที่แล้ว +1

    Masha Allah Mazinge nakupenda buree

  • @msalabanreko7001
    @msalabanreko7001 4 ปีที่แล้ว +1

    Dah yan mbon mnateseka mno kwann

  • @abdishakurmohamed9394
    @abdishakurmohamed9394 4 ปีที่แล้ว +3

    masha Allah mashekhe wetu

  • @nasraalobaidani3194
    @nasraalobaidani3194 6 ปีที่แล้ว +2

    mbarikiw sana mashekh wetu

  • @زهرغنيه
    @زهرغنيه 4 ปีที่แล้ว +2

    Najivunia kuwa mwislam

  • @siamabakwe4274
    @siamabakwe4274 4 ปีที่แล้ว +1

    Shukuran baba mazinge basi sana tunapata somo kabisa

  • @makenakendi9014
    @makenakendi9014 3 ปีที่แล้ว

    ALLAH BARIIK always my brothers

  • @thethreekingstheawadh7979
    @thethreekingstheawadh7979 7 ปีที่แล้ว +3

    Alhamdilillah we are Muslims

    • @asmaabdallah4055
      @asmaabdallah4055 6 ปีที่แล้ว

      Wakristo hawana kitu

    • @asmaabdallah4055
      @asmaabdallah4055 6 ปีที่แล้ว

      Yeso anasema sivyema kutukuwa cha kulala cha watoto kuwatupia mbwa haaaha hamna nafaasi kwa yeso

  • @alimaalima6016
    @alimaalima6016 7 ปีที่แล้ว +6

    masha allah ...wallah naipenda sana dini yetu

  • @mirajishentembo4962
    @mirajishentembo4962 5 ปีที่แล้ว +2

    Safii mno

  • @ashababy1814
    @ashababy1814 7 ปีที่แล้ว +4

    Sabab tuko mbal.ishallah

  • @simbadume4318
    @simbadume4318 8 ปีที่แล้ว +4

    Shukran masheikh

  • @habibhabiba.saleh.5590
    @habibhabiba.saleh.5590 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu.awape.umri.mrefu

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 3 ปีที่แล้ว +1

    HUO SIONMDAHALO MNAONGEA NA WASUKUMA MIKOKOTENI

  • @swadaqtr1027
    @swadaqtr1027 3 ปีที่แล้ว

    Mungu awalinde na hasad

  • @ummyhawaaweis3867
    @ummyhawaaweis3867 6 ปีที่แล้ว +16

    Waislam wallah tushukuru alhamdulillah

    • @SsAa-by2ty
      @SsAa-by2ty 4 ปีที่แล้ว

      Tackbir

    • @Awatee
      @Awatee 3 ปีที่แล้ว

      Alhamdulilah

    • @Awatee
      @Awatee 3 ปีที่แล้ว

      @@SsAa-by2ty Allahu Akbar

    • @rabiawaziri3902
      @rabiawaziri3902 3 ปีที่แล้ว

      Alhamdulillah

  • @kimwagarajabu2891
    @kimwagarajabu2891 7 ปีที่แล้ว +11

    Hakika wakristo wote mmepotea, km mnabisha nyie endelea kubisha afu mtaona siku ya mwsho nn kinawakuta

  • @mamaaaishamamaaaisha7505
    @mamaaaishamamaaaisha7505 8 ปีที่แล้ว +5

    Masha Allah

  • @allymnimbo4304
    @allymnimbo4304 4 ปีที่แล้ว +1

    Ninashida na namba ya yeyote anaefanya hiz kazi za daawa

  • @fatumamohammed6130
    @fatumamohammed6130 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashaĺah

  • @omargbabagbaba4231
    @omargbabagbaba4231 8 ปีที่แล้ว +5

    masha Allah

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 3 ปีที่แล้ว

    mdahalo mzuri

  • @majaliwamaheru5368
    @majaliwamaheru5368 4 ปีที่แล้ว +2

    Yani Kaz ya waislam ni kuwanyoosha wakrsto na makfr katka njia saih lakn Hawa wakrsto na makafr weng wao wamekua na myoyo migumu Sana Sana kuelewa cjui kwann!? Na wale viongoz wao wanajua ukweli lakn Hawatak kusema ila mungu Alisha watambua kwa uroho wao viongoz wa makafr na wakrsto 50:6 yeremia

  • @khalfanhamisi4218
    @khalfanhamisi4218 6 ปีที่แล้ว +2

    aslmalkm ndugu waislam? Yastarkafiru' Allahu,Ystrkfrr'Allahu,Ystfr'Allahu !!!.......

  • @mwanaishamlima2047
    @mwanaishamlima2047 5 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah

  • @alisengi4012
    @alisengi4012 5 ปีที่แล้ว +2

    Maashallah

  • @rilkabuya6519
    @rilkabuya6519 4 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah tabarak allah

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 3 ปีที่แล้ว

    mdahalo mzufi

  • @hirammbugua7593
    @hirammbugua7593 4 ปีที่แล้ว +1

    muhuli wa mungu ni nini,mazinge usindanganye????

  • @salehsuleiman8519
    @salehsuleiman8519 3 ปีที่แล้ว

    Takbiiir

  • @hirammbugua7593
    @hirammbugua7593 4 ปีที่แล้ว +1

    ametorokea swali,eti mazinge mbaya kwa maswali.

  • @muharamimataula6978
    @muharamimataula6978 7 ปีที่แล้ว +4

    Mashaallah

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 6 ปีที่แล้ว +4

    Muhammad mwenyewe anadai hajui atakalo fanywa yeye siku mwisho wala hajui watalo fanywa wanaomfwata alafu muingie peponi izo ndoto za hadithi za uongo za mtume wenu.....

    • @halimasssomar8793
      @halimasssomar8793 5 ปีที่แล้ว

      Umepotea ww

    • @tamiah-zm4io
      @tamiah-zm4io 5 ปีที่แล้ว

      Unauthubitisho n unayoyasema??

    • @shemsiasalumu9200
      @shemsiasalumu9200 5 ปีที่แล้ว

      Umepotea kwa kweli

    • @Awatee
      @Awatee 3 ปีที่แล้ว

      Allah akuongoze ktk njia ya haki na Mtume muhammad hakuwa muongo na ahad zake si za uongo zinatoka kwa Allah mfalme wa wafalme na Yesu tunamjua kua ni mtume wa Allah au mayahud na manaswara wanaelekua kua mtume hakua muongo tafakar sasa

  • @tabumpate9762
    @tabumpate9762 4 ปีที่แล้ว +1

    Kaumeme nimekuona M/MUNGU nakuomba mlipe mema shekhe wetu

  • @janek9103
    @janek9103 6 ปีที่แล้ว +2

    Nifuata Yesu hadi mwisho

  • @hamisiramadhan104
    @hamisiramadhan104 7 ปีที่แล้ว +2

    mashaa allah

  • @myself4128
    @myself4128 6 ปีที่แล้ว +2

    Waislamu watabakia kukariri sababu ndio maana ya quraan(kisomo cha kukariri) hawataielewa biblia mpaka mwisho wa dunia!!! Sababu hawana roho mtakatifu!! Na majini hayawezi kuwasaidia kumuelewa Mungu!!!

    • @AKASHA.P
      @AKASHA.P  6 ปีที่แล้ว +1

      Bibilia ipi?

    • @khalfanhamisi4218
      @khalfanhamisi4218 6 ปีที่แล้ว

      C waulizwa na Sheikh wetu bblia IPI?

    • @halimasssomar8793
      @halimasssomar8793 5 ปีที่แล้ว

      @@AKASHA.P amuongoze uyo ..ashapotea

    • @maryamsalim1303
      @maryamsalim1303 4 ปีที่แล้ว

      Nyinyi wakristo ndo hamuijui biblia yenu hyo mnayoijua nyiny ni manen ya watu mnaowaita viongoz wenu

    • @maidahmusa1866
      @maidahmusa1866 4 ปีที่แล้ว

      Anatakiwa kukombolewa huyu , anatia huruma

  • @stevenmanyotax3330
    @stevenmanyotax3330 4 ปีที่แล้ว

    Mwaacha kusali uko mwaja bishana mungu c wakuekew vikao kama ivo wte mlioko apo mmepotea polen

  • @hawawezidianakukushusha756
    @hawawezidianakukushusha756 8 ปีที่แล้ว +4

    mwendelezo plz

  • @Millidady
    @Millidady 5 ปีที่แล้ว

    Editor unanini wew

  • @bashitemakonda1540
    @bashitemakonda1540 8 ปีที่แล้ว +3

    yakwanza ikowapi

  • @rashidjumamohamed3437
    @rashidjumamohamed3437 5 ปีที่แล้ว +1

    Allahu Akbar

  • @hirammbugua7593
    @hirammbugua7593 4 ปีที่แล้ว

    jibu swali, hoja nyiiiiingi,kwani jibu linakaaaje????

  • @rbagha5280
    @rbagha5280 2 ปีที่แล้ว

    Dear viewers. You are my brothers and sisters in the universality of mankind. Wwe have been created by the same God, who in Islam is called Allah and by Jesus as Elaha in the Aramaic language. Look it up if I am lying. There is only ONE GOD. Muslims love Jesus more than lip-service Christians. We keep a beard like Jesus did. He never ate pork, neither do Muslims. He prostrated to God, like Muslims do. Our ladies wear Hijab, a head-cover, like Mother Mary. If by believing that only through Jesus, you will be SAVED, then what about those prophets and good people mentioned in the Bible who came BEFORE Jesus? They will go to hell? Ask yourself: if the Bible was not tampered with, what is the last name those revelations coming through Paul? Of Mathew? John? Luke? Will you be allowed to travel with a passport without your last name to give your name validity? Think without BIAS. We are monotheists. Let not SATAN lead you to hell my dear. I love you for the sake of the ONE GOD. Please seek the correct way to Heaven. Peace! Ray from Canada

  • @melithanyati1735
    @melithanyati1735 4 ปีที่แล้ว +1

    Mazinge kazidishisha usanii hawezi kusimama katika hoja

    • @thaniabas5114
      @thaniabas5114 3 ปีที่แล้ว

      Azinge na mwamposa nan msanii???! jib nimwamposa wachen kupotea

  • @JumOnyancha
    @JumOnyancha 10 หลายเดือนก่อน

    Uisilamu ni huwongo mtupu

  • @fatumakirowa4507
    @fatumakirowa4507 4 ปีที่แล้ว

    Wacheni kupotea uache uislam urodi kwa ukafri mola akunusuru kaka

  • @samuelngogo5572
    @samuelngogo5572 3 ปีที่แล้ว

    Wacha uongo Mazinge wakati Mohamed anasema anaiweka roho yake mikononi mwana wa Mariam kiama ikisimama

  • @jeanmjimmy
    @jeanmjimmy 5 ปีที่แล้ว

    Wakristo sikilizeni!!!
    Yesu alisema siku za mwisho kutakuwa na manabii wauongo na Wapinga Kristo. sikiliza sasa kwa umakini baada ya Yesu kuondoka ikaja Roman Catholic nabii wauongo na Ueslamu mpinga Kristo.

    • @tatukhatibu317
      @tatukhatibu317 4 ปีที่แล้ว

      nenda uko wakristo waongo kama nini

    • @saidmgalula8471
      @saidmgalula8471 4 ปีที่แล้ว +1

      @@tatukhatibu317 watapata taabu hao siku ya mwisho Allah atujaalie mwisho ulio mwema waislam wote duniani.

    • @maryamsalim1303
      @maryamsalim1303 4 ปีที่แล้ว

      Hata nabii issa mnaemuita yesu alisema juu ya ujio wa mtume muhammad (s.a.w) na ndo mtume wa mwisho

    • @maryamsalim1303
      @maryamsalim1303 4 ปีที่แล้ว

      Waislam tunamuamin nabii issa kma mtume lakn si kma mungu mungu ni mmoja tu ambae ni Allah (s.w) ambae hakuzaaa wala hakuzaliwa

    • @jeanmjimmy
      @jeanmjimmy 4 ปีที่แล้ว

      @@maryamsalim1303 Endelea kujidanganya.

  • @KelvnJohn-w5t
    @KelvnJohn-w5t 11 หลายเดือนก่อน

    Apana naupinga uislam mm Wala haitatokea kuuamin upotevu wenu wislm nyie

  • @frankdarwiny9707
    @frankdarwiny9707 6 ปีที่แล้ว +1

    mnabishana na majini wakristo mnakazi shitukeni

  • @kimanimuikamba4714
    @kimanimuikamba4714 4 ปีที่แล้ว

    Mazinge ameshindwa na hoja ...anapigisha takbir badala ya kuangazia hoja

    • @hadijamsangi8230
      @hadijamsangi8230 4 ปีที่แล้ว

      Mashaallah,m/mungu awape umri mrefu waweze kuendelea kutoa elimu

  • @mgenisaid6544
    @mgenisaid6544 4 ปีที่แล้ว

    Mzeeyusfuhoi

  • @halimanassor7309
    @halimanassor7309 4 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah

  • @faridaali6850
    @faridaali6850 5 ปีที่แล้ว +4

    Mashaallah

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 6 ปีที่แล้ว +5

    Muhammad mwenyewe anadai hajui atakalo fanywa yeye siku mwisho wala hajui watalo fanywa wanaomfwata alafu muingie peponi izo ndoto za hadithi za uongo za mtume wenu.....

    • @ramadhanmussa6318
      @ramadhanmussa6318 5 ปีที่แล้ว

      Toa andiko

    • @alwattanihaji9838
      @alwattanihaji9838 4 ปีที่แล้ว

      Wee kasome wewe mwenyewe biblia ya 'mwanzo', sio kusomewa na mchungaji anavotaka yeye..

    • @maryamsalim1303
      @maryamsalim1303 4 ปีที่แล้ว

      Nan kakwambia hajui soma vzr then ndo utoe hoja

    • @zuhulas1036
      @zuhulas1036 4 ปีที่แล้ว

      Pole.sana.na.upotofu.mlionao.wazahili

    • @yusfakhamis9243
      @yusfakhamis9243 3 ปีที่แล้ว

      Mtume Muhammad ataingia peponi na kila anayemuamini Allah na Mtume Muhammad

  • @زهرغنيه
    @زهرغنيه 4 ปีที่แล้ว +3

    Mashaallah