EXCLUSIVE:RUBANI NEEMA AWEKA WAZI MADAI MARUBANI WANAWAKE KUKATAZWA KUZAA - "MIMI NI MKE NA NI MAMA"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 มิ.ย. 2023
- EXCLUSIVE: RUBANI NEEMA AVUNJA UKIMYA MARUBANI WANAWAKE KUKATAZWA KUZAA - "MIMI NI MKE NA NI MAMA"
Ruban Neema Swai aliyejizolea umaarufu baada ya kufanikisha kuifikisha ndege ya Mizigo ya Tanzania kutoka Marekani amefunguka mambo mbalimbali...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...
Mwanangu anapenda sana ila sina uwezo hebu mnisaidie ili niwexe kumfikisha kwenye ndoto yake
Mashallah tabaraka llah 🥰 yote kheri Mungu kampangia Hivyo 🗣️
Nimeflahi mpaka nalia😊
kweli hongela dada Mungu akujalie❤❤❤❤
Hongera sana sana Mungu azidi kukusimamia na kukuongoza
Hongera saana Neema! Nimependa unavyoongea kiswahili ingekua watu wengine kwa shule ulizopitia wagejifanya kiswahili hawawezi vizuri.
Kabisa wangeanza kupiga ngeli na ngeli zenyewe mbovu
😂😂😂
Hongera sana dada unaongea kwa kujiamini safi sana keep it up
Hongera sana Captain Neema.
Hongera sana kipenzi
Hongera sana neema sway you are living your dream God give you long life and prosperity in whatever you do
Wengi wanatamani wafikie huko ulikofika shida ni gharama za elimu hiyo wengi hatuna. Hongera sana
Hongera Dada yetu
Waooo nimekupenda sana mwanamke shaupavu
Very congratulations sister!!God bless you.
Hongera sana super Dada neema
MashaAllah ❤❤❤❤❤
Dada Neem hingera sana kuwa mwanamke rubani. Mchagamwenzangu pongezi sana
Ushaanza ukabila
Hongera sana Neema Swai,namipia natamani kuwa kama wewe Neema Mimi naitwa Medline Kaaya nahitaji msaada wako
Hongera sana neema.
Welldone Imelda very good Interview really Exclusive
Hongera Dada Neema❤
Hongera Ney
Hongera mama mchaga mwenzangu doh umeweza mama
hongera neema swai
Hongera sana rubani wetu Mungu akutnze na akuongoze ubarikiwe sana
I am admire you pray for me
Hongera sana Neema jamani Madamu.
Hongera ndugu yangu😘😘😘😘😘😘
Hongera sana Neema ❤
Hongera sana dada ,Endelea kumtukuza Zaidi Mungu,Ila usije ukakata tamaa mwangu usaidie na wanetu,
Hongera dada rubani mungu akusimamie katika kaziyako inshaallah
Mungu awe nawe dada
Ongera sana dada Mungu akuongesre miaka na ujasiri
❤❤hongera sana,
MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHER KWENYE KAZI ZAKO❤❤❤❤
Hongera mamaa
Nice job
Nachowapendea wanawake wa kichaga wapo tayari kujaribu na kufanya heko kwake na kwako ❤️🇹🇿
Sio mchaga mnyakyusa huyo
My dear sister
Hongera Sana nakupenda Dada yangu
Hongera Sana dada yangu kipenzi mungu azidi kukujalia afya njema kipenzi 💖 💝💓💓💖💖💗 ♥️
Ahh kumbe hata wazazi wana uwezo mi nikajua umetokea family kama yangu ,hongera dada
maa shaa Allah
We jipange kwa watoto wako inawezekana kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu
Ni neema ya MUNGU kumpa mtu tunu fln ,Mbona Kuna watoto wametoka ktk familia tajiri lkn wameishia sivyo, MUNGU ni mkuu humpa Kila mwanadamu zawadi flani tuwe na subira na tusikate tamaa.
Hongera sana
Congratulation🙏
Hongera dada
Hongera sana dada
Nice
Safi san
Hongera
Wanawake tunaweza
Mwanangu anapenda urubani hapendi udharau anachokufikiria
Mungu amsaidie
Anamiaka 8
Ninamtoto wa wa 8anandoto hiyo namuombea mungu
Nilikuwa nauliza shule kumpokea mtoto ampak form six, au ata form form
Hapo kwenye machalari kweli mchagga halisi
Mje mnihoji namimi narusha kindege
Hongera mami
Ni kidogo?
😂😂😂😂😂
Huyu dada kama kaolewa basi mme atkua mtumwa wa nizamu nyumbani kwao mana sio kwa sifa hizo kwa dada
Wala hayupo hivyo nimesoma naye yupo humble sana
Nadhani msiwatie hofu wababa wanawake waliofanikiwa ktk tunu flani za kiMUNGU Wana heshima na pia ni wanawake ambao ni wacha MUNGU .
hongera neema swai
Kumbe mctari wao ni ule ule mpaka mme wala cto shangaa sana