ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...
Mwanangu anapenda sana ila sina uwezo hebu mnisaidie ili niwexe kumfikisha kwenye ndoto yake
Hongera saana Neema! Nimependa unavyoongea kiswahili ingekua watu wengine kwa shule ulizopitia wagejifanya kiswahili hawawezi vizuri.
Kabisa wangeanza kupiga ngeli na ngeli zenyewe mbovu
😂😂😂
Mashallah tabaraka llah 🥰 yote kheri Mungu kampangia Hivyo 🗣️
Nimeflahi mpaka nalia😊 kweli hongela dada Mungu akujalie❤❤❤❤
Hongera sana sana Mungu azidi kukusimamia na kukuongoza
Hongera sana dada unaongea kwa kujiamini safi sana keep it up
Hongera sana Captain Neema.
Hongera sana kipenzi
Wengi wanatamani wafikie huko ulikofika shida ni gharama za elimu hiyo wengi hatuna. Hongera sana
Hongera sana neema sway you are living your dream God give you long life and prosperity in whatever you do
Hongera sana Neema Swai,namipia natamani kuwa kama wewe Neema Mimi naitwa Medline Kaaya nahitaji msaada wako
Waooo nimekupenda sana mwanamke shaupavu
Hongera Dada yetu
Hongera sana super Dada neema
Hongera sana neema.
Very congratulations sister!!God bless you.
Hongera mama mchaga mwenzangu doh umeweza mama
Hongera sana rubani wetu Mungu akutnze na akuongoze ubarikiwe sana
hongera neema swai
Hongera Ney
Hongera Dada Neema❤
Hongera sana Neema jamani Madamu.
Hongera sana Neema ❤
Hongera sana dada ,Endelea kumtukuza Zaidi Mungu,Ila usije ukakata tamaa mwangu usaidie na wanetu,
Hongera dada rubani mungu akusimamie katika kaziyako inshaallah
Mungu awe nawe dada
Nachowapendea wanawake wa kichaga wapo tayari kujaribu na kufanya heko kwake na kwako ❤️🇹🇿
Sio mchaga mnyakyusa huyo
Hongera ndugu yangu😘😘😘😘😘😘
Ongera sana dada Mungu akuongesre miaka na ujasiri
Welldone Imelda very good Interview really Exclusive
MashaAllah ❤❤❤❤❤
Hongera mamaa
Hongera Sana nakupenda Dada yangu
Hongera Sana dada yangu kipenzi mungu azidi kukujalia afya njema kipenzi 💖 💝💓💓💖💖💗 ♥️
❤❤hongera sana,
I am admire you pray for me
Hongera sana dada
Nice job
Hongera sana
Congratulation🙏
My dear sister
Hongera
Mwanangu anapenda urubani hapendi udharau anachokufikiria
Mungu amsaidie
Nice
Safi san
Ninamtoto wa wa 8anandoto hiyo namuombea mungu
Dada Neem hingera sana kuwa mwanamke rubani. Mchagamwenzangu pongezi sana
Ushaanza ukabila
Anamiaka 8
Nilikuwa nauliza shule kumpokea mtoto ampak form six, au ata form form
Kumbe mctari wao ni ule ule mpaka mme wala cto shangaa sana
Huyu dada kama kaolewa basi mme atkua mtumwa wa nizamu nyumbani kwao mana sio kwa sifa hizo kwa dada
Wala hayupo hivyo nimesoma naye yupo humble sana
Nadhani msiwatie hofu wababa wanawake waliofanikiwa ktk tunu flani za kiMUNGU Wana heshima na pia ni wanawake ambao ni wacha MUNGU .
Hapo kwenye machalari kweli mchagga halisi
Mje mnihoji namimi narusha kindege
Hongera mami
Ni kidogo?
😂😂😂😂😂
Hongera dada
Ahh kumbe hata wazazi wana uwezo mi nikajua umetokea family kama yangu ,hongera dada
maa shaa Allah
We jipange kwa watoto wako inawezekana kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu
Ni neema ya MUNGU kumpa mtu tunu fln ,Mbona Kuna watoto wametoka ktk familia tajiri lkn wameishia sivyo, MUNGU ni mkuu humpa Kila mwanadamu zawadi flani tuwe na subira na tusikate tamaa.
MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHER KWENYE KAZI ZAKO❤❤❤❤
Wanawake tunaweza
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...
Mwanangu anapenda sana ila sina uwezo hebu mnisaidie ili niwexe kumfikisha kwenye ndoto yake
Hongera saana Neema! Nimependa unavyoongea kiswahili ingekua watu wengine kwa shule ulizopitia wagejifanya kiswahili hawawezi vizuri.
Kabisa wangeanza kupiga ngeli na ngeli zenyewe mbovu
😂😂😂
Mashallah tabaraka llah 🥰 yote kheri Mungu kampangia Hivyo 🗣️
Nimeflahi mpaka nalia😊
kweli hongela dada Mungu akujalie❤❤❤❤
Hongera sana sana Mungu azidi kukusimamia na kukuongoza
Hongera sana dada unaongea kwa kujiamini safi sana keep it up
Hongera sana Captain Neema.
Hongera sana kipenzi
Wengi wanatamani wafikie huko ulikofika shida ni gharama za elimu hiyo wengi hatuna. Hongera sana
Hongera sana neema sway you are living your dream God give you long life and prosperity in whatever you do
Hongera sana Neema Swai,namipia natamani kuwa kama wewe Neema Mimi naitwa Medline Kaaya nahitaji msaada wako
Waooo nimekupenda sana mwanamke shaupavu
Hongera Dada yetu
Hongera sana super Dada neema
Hongera sana neema.
Very congratulations sister!!God bless you.
Hongera mama mchaga mwenzangu doh umeweza mama
Hongera sana rubani wetu Mungu akutnze na akuongoze ubarikiwe sana
hongera neema swai
Hongera Ney
Hongera Dada Neema❤
Hongera sana Neema jamani Madamu.
Hongera sana Neema ❤
Hongera sana dada ,Endelea kumtukuza Zaidi Mungu,Ila usije ukakata tamaa mwangu usaidie na wanetu,
Hongera dada rubani mungu akusimamie katika kaziyako inshaallah
Mungu awe nawe dada
Nachowapendea wanawake wa kichaga wapo tayari kujaribu na kufanya heko kwake na kwako ❤️🇹🇿
Sio mchaga mnyakyusa huyo
Hongera ndugu yangu😘😘😘😘😘😘
Ongera sana dada Mungu akuongesre miaka na ujasiri
Welldone Imelda very good Interview really Exclusive
MashaAllah ❤❤❤❤❤
Hongera mamaa
Hongera Sana nakupenda Dada yangu
Hongera Sana dada yangu kipenzi mungu azidi kukujalia afya njema kipenzi 💖 💝💓💓💖💖💗 ♥️
❤❤hongera sana,
I am admire you pray for me
Hongera sana dada
Nice job
Hongera sana
Congratulation🙏
My dear sister
Hongera
Mwanangu anapenda urubani hapendi udharau anachokufikiria
Mungu amsaidie
Nice
Safi san
Ninamtoto wa wa 8anandoto hiyo namuombea mungu
Dada Neem hingera sana kuwa mwanamke rubani. Mchagamwenzangu pongezi sana
Ushaanza ukabila
Anamiaka 8
Nilikuwa nauliza shule kumpokea mtoto ampak form six, au ata form form
Kumbe mctari wao ni ule ule mpaka mme wala cto shangaa sana
Huyu dada kama kaolewa basi mme atkua mtumwa wa nizamu nyumbani kwao mana sio kwa sifa hizo kwa dada
Wala hayupo hivyo nimesoma naye yupo humble sana
Nadhani msiwatie hofu wababa wanawake waliofanikiwa ktk tunu flani za kiMUNGU Wana heshima na pia ni wanawake ambao ni wacha MUNGU .
Hapo kwenye machalari kweli mchagga halisi
Mje mnihoji namimi narusha kindege
Hongera mami
Ni kidogo?
😂😂😂😂😂
hongera neema swai
Hongera dada
Ahh kumbe hata wazazi wana uwezo mi nikajua umetokea family kama yangu ,hongera dada
maa shaa Allah
We jipange kwa watoto wako inawezekana kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu
Ni neema ya MUNGU kumpa mtu tunu fln ,Mbona Kuna watoto wametoka ktk familia tajiri lkn wameishia sivyo, MUNGU ni mkuu humpa Kila mwanadamu zawadi flani tuwe na subira na tusikate tamaa.
MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHER KWENYE KAZI ZAKO❤❤❤❤
Wanawake tunaweza