NIKKI MBISHI:WASANII NJAA WANAFIKI/WABOVU WENGI/JOHMAKINI/NIKI WA PILI/NEY WA MITEGO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ต.ค. 2024
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
    Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

ความคิดเห็น • 71

  • @mohamednaaman188
    @mohamednaaman188 4 ปีที่แล้ว +12

    NIKI MBISHI MOJA KATI YA MC BORA WA MUDA WOTE TZ 🎤👑

  • @youngkiyai5336
    @youngkiyai5336 4 ปีที่แล้ว +1

    Nikki mbishi nakutambua you are the hottest rapper ryt now bongo hao wengine mambwiga tu

  • @softcoolupdate5472
    @softcoolupdate5472 3 ปีที่แล้ว

    Nikki mbishi ni sehemu ya manabii wa hiphop bongo na bongo flava kwa ujumla wake

  • @mulisaemmanuel8728
    @mulisaemmanuel8728 4 ปีที่แล้ว +1

    Nooma sana, unju hapa kigali tunakupenda bro keep it up

  • @homan_nkwama
    @homan_nkwama 4 ปีที่แล้ว +6

    Baghdad Anamisuri mikubwa sana ya UBONGO kama utakuwa unajua AMEWAHI kuwa challenger sana kwa NIKK na aonyeshe personal mood on it By the way ameonyesha ukubwa sana kwa kuitawala na kurelux kwenye Bedroom remix HESHIMA KWA NIKK

  • @sizakitego4374
    @sizakitego4374 4 ปีที่แล้ว +3

    Dah nimependa sana hii interview kwasababu hapo zamani Baghdad alikua msanii na alikua na bifu na niki mbishi lakini leo amemuhoji vizuri sanaaa

    • @Ram_1893
      @Ram_1893 3 ปีที่แล้ว

      Mexicana Lacavella

  • @constantinenzigilwa8513
    @constantinenzigilwa8513 4 ปีที่แล้ว

    nakukubali broo nikki B

  • @bonifacemeela5247
    @bonifacemeela5247 4 ปีที่แล้ว +2

    Unju unajua kuelezea kitu kika eleweka zaidi big up

    • @hkmeme5437
      @hkmeme5437 4 ปีที่แล้ว

      Wanamyima dili wakisema ni mbishi

  • @allexlunny7795
    @allexlunny7795 4 ปีที่แล้ว +3

    kama nimepauka nipake mafuta au niache kama ulivyo nikuta noma sana mzee wa makavu live

  • @alexmdumba7357
    @alexmdumba7357 4 ปีที่แล้ว +1

    nikki amesema kitu makini sana kwenye content. lyricsism

  • @mickeytv3691
    @mickeytv3691 4 ปีที่แล้ว +2

    Appreciates u bob I wish 1dei nijekuwa presenter with yah in times fm

  • @youngmilionare2118
    @youngmilionare2118 2 ปีที่แล้ว

    My brother UNJU 👊 saluty broo

  • @inocentmbowe4160
    @inocentmbowe4160 4 ปีที่แล้ว +2

    Nikki namkubali sana

  • @kaskaziniansgang1288
    @kaskaziniansgang1288 4 ปีที่แล้ว +2

    B.A.G.H.D.A.D 🔥🔥🔥🔥

  • @blaisejongo3925
    @blaisejongo3925 4 ปีที่แล้ว +2

    mbishi noma

  • @amonijajila1218
    @amonijajila1218 4 ปีที่แล้ว +3

    Respect mabrother unjuu

  • @2nyoorap67
    @2nyoorap67 4 ปีที่แล้ว

    Nakubali unju

  • @alexmdumba7357
    @alexmdumba7357 4 ปีที่แล้ว

    nikki bhana mambo yake😂😂.
    Anajua sana kwenye midundo mr. unju.

  • @japanisyakuza8198
    @japanisyakuza8198 4 ปีที่แล้ว

    Vita y Bengaz Under ground King 🤴

  • @alijuma7401
    @alijuma7401 2 ปีที่แล้ว

    Genius

  • @babubomba8563
    @babubomba8563 4 ปีที่แล้ว +4

    Tunaomba mwendelezo wake

  • @hassansamata5995
    @hassansamata5995 4 ปีที่แล้ว

    Unjuuu mkali wao

  • @nakalikyumile4370
    @nakalikyumile4370 4 ปีที่แล้ว +2

    Nicki mbishi akili kubwa vichwa ka hivi ndo vinatakiwa

  • @hajimdosi2331
    @hajimdosi2331 4 ปีที่แล้ว +1

    3:50🤣🤣🤣

  • @gideonjulius9782
    @gideonjulius9782 3 ปีที่แล้ว

    Underground Legendary

  • @youngkiyai5336
    @youngkiyai5336 4 ปีที่แล้ว +1

    Majina kibao sio

  • @kibwamoko8767
    @kibwamoko8767 4 ปีที่แล้ว

    #nikkimbishi

  • @marcelin_hd
    @marcelin_hd 4 ปีที่แล้ว +1

    Namkubali uyuu jamaa kawa chana kabisa

  • @abburakkaan5694
    @abburakkaan5694 4 ปีที่แล้ว

    Mimi ingekua sio magufuli nisingeichakua CCM maisha yangu yote na kizazi changu ila mimi jana NK mbishi c chagui CCM namchagua MAGUFULI

  • @shareefkamtande4692
    @shareefkamtande4692 4 ปีที่แล้ว +1

    Nikki mbishi

  • @barakamtesigwa3097
    @barakamtesigwa3097 4 ปีที่แล้ว +8

    Na madder kila intaview sio tu the bar tender rafudhi tam mpaka wanauliza umekaa pemba

    • @nelsonmasolwa8343
      @nelsonmasolwa8343 4 ปีที่แล้ว

      nawaambia mi ni born herehere jembe zaiid ya john pia dear niko strong sina fear

  • @japanisyakuza8198
    @japanisyakuza8198 4 ปีที่แล้ว

    Unju Bin UNUK....!!

  • @josephdonald6199
    @josephdonald6199 4 ปีที่แล้ว

    Mbishi noma sana..😂😂😂😂😂😂😂

  • @dekamotionpictures2132
    @dekamotionpictures2132 4 ปีที่แล้ว

    👍

  • @scariothagreat
    @scariothagreat 4 ปีที่แล้ว +1

    jamaa ni mtawala sio kiongozi😂😂😂

  • @adamsengo3138
    @adamsengo3138 4 ปีที่แล้ว +2

    Yeah na unafki unaoendelea kwenye umoja wa unafki 🤣🤣🤣🤣

  • @mr25d99
    @mr25d99 4 ปีที่แล้ว +3

    Huyu jamaa ni kwel jina liko mahali kwake yani ni M’bishi wa ukwel

    • @hkmeme5437
      @hkmeme5437 4 ปีที่แล้ว +1

      Ni mbishi na mkweli ndio maana mafans wanampenda

  • @chaulee20c58
    @chaulee20c58 4 ปีที่แล้ว +1

    th-cam.com/video/mw8sfeIgq44/w-d-xo.html
    tazama maajabu ya acha lizame remix nandy ft harmonize

  • @emmanuelsilungu446
    @emmanuelsilungu446 4 ปีที่แล้ว +1

    Haka kajipu haka balaa

  • @adamrenatus4235
    @adamrenatus4235 4 ปีที่แล้ว +1

    Kweli unafiki halafu mie mwenyewe sifagilii Mambo ya hivyo

  • @hajimdosi2331
    @hajimdosi2331 4 ปีที่แล้ว

    18:9 😂😂😂😂

  • @joshymalinyo6057
    @joshymalinyo6057 4 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂😂😂😂mambo ya unafiki Sio

  • @hushbtz3310
    @hushbtz3310 4 ปีที่แล้ว

    Wanaharakati wote Gusa link th-cam.com/video/6dhYJpLCkew/w-d-xo.html Kusikia michano

  • @danieldeogratus1683
    @danieldeogratus1683 4 ปีที่แล้ว +4

    18:10 nimeshtuka sana na nikajiuliza media zetu zinafanya kazi ya kupromote lugha yetu vizuri kabisa sasa huyo jamaa sijaelewa anaongea lugha Gani.

    • @hkmeme5437
      @hkmeme5437 4 ปีที่แล้ว

      Huyo jamaa ni mkongo

  • @thomasmathias7237
    @thomasmathias7237 4 ปีที่แล้ว

    Baba Malcolm X, Zohani, Bobani,

  • @amanimakovya2228
    @amanimakovya2228 4 ปีที่แล้ว

    Dr unju

  • @yassinijuma4708
    @yassinijuma4708 4 ปีที่แล้ว

    Unju wewe nizaidi yanoma me nawaona hawa madogo wanaoruka ruka tu man

  • @great__sheik6391
    @great__sheik6391 4 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂😂😂😂

  • @tonyelshabbaz
    @tonyelshabbaz 4 ปีที่แล้ว +8

    Bangdad una akili saaana! Una maswali yenye logic sana

  • @msatijunior6304
    @msatijunior6304 4 ปีที่แล้ว

    Apo ndipo nimeamin usemi wa Kaligraphy John kuwa wana Hip-hop wa Bongo awawezi kuwa intonation coz wanajiimboa wenyew ukianzia Lugha tungo zao Hip-hop inamisingi lkn kwa Tanzania tutbaki na jina la hip-hop akuna Really Hip-hop

    • @johncavishe353
      @johncavishe353 4 ปีที่แล้ว

      We wako watu kama chindo man anachana atar ww ufatlii game vzri

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 4 ปีที่แล้ว +1

    Unju unasema humuoni Nay ktk level z u MC wakat yy anatengeneza hela na humkaribii..

    • @napster2558
      @napster2558 4 ปีที่แล้ว +3

      Ishu n u MC si ela

    • @hellyally4395
      @hellyally4395 4 ปีที่แล้ว +2

      hela gani anatengeneza ww

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 4 ปีที่แล้ว +1

      Kumamake ao ma MC wanaishi kwa u MC? Au wanakula u MC? Au wanatafuta shows na connections ili wakaoneshe u MC? C wanatafta hela na nd wanaendesha maisha yao kwa music, na nd mana Madee aliamua kujitowa ktk rap coz it is not profitable..Afande, Sugu, Profesa n.k. wameamuwa kuingia ktk casa why? Hkuna mwenye shda ya u MC bro keep it in mind... Ney anafanya commercial ana hela na maisha yake ao wanaopenda kuitwa ma MC au wagumu ata vibanda hawana..

    • @scariothagreat
      @scariothagreat 4 ปีที่แล้ว +1

      @@abdulmohd6880 tulia ww huelew chochote

    • @mussangonya6179
      @mussangonya6179 4 ปีที่แล้ว +1

      Mbish ndio best uyo ney boya

  • @helmanfabian4427
    @helmanfabian4427 4 ปีที่แล้ว +1

    Unju punguza kuchonga

  • @marianamacha3452
    @marianamacha3452 4 ปีที่แล้ว +1

    😆😆😆 na we umo kwenye lile group? Unaogopa utaitwa mnafki😃😃😃

  • @gasperallute23
    @gasperallute23 4 ปีที่แล้ว +2

    Bin Upupu

  • @mickeytv3691
    @mickeytv3691 4 ปีที่แล้ว +2

    Nk nakukubal sana ila k2moja unazngua sometimes

  • @sosbrayantbenjamin9701
    @sosbrayantbenjamin9701 4 ปีที่แล้ว +1

    Sitaki kuwa nyota nataka kuwa mwezi

  • @mtumweusy4652
    @mtumweusy4652 4 ปีที่แล้ว

    Nikki mbishi kawa Nikki michambo,
    Bora Nikki wa pili maana Nikki wa kwanza Hana mchongo,