NIKKI MBISHI:WASANII NJAA WANAFIKI/WABOVU WENGI/JOHMAKINI/NIKI WA PILI/NEY WA MITEGO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ต.ค. 2024
- All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
NIKI MBISHI MOJA KATI YA MC BORA WA MUDA WOTE TZ 🎤👑
Nikki mbishi nakutambua you are the hottest rapper ryt now bongo hao wengine mambwiga tu
Nikki mbishi ni sehemu ya manabii wa hiphop bongo na bongo flava kwa ujumla wake
Nooma sana, unju hapa kigali tunakupenda bro keep it up
Baghdad Anamisuri mikubwa sana ya UBONGO kama utakuwa unajua AMEWAHI kuwa challenger sana kwa NIKK na aonyeshe personal mood on it By the way ameonyesha ukubwa sana kwa kuitawala na kurelux kwenye Bedroom remix HESHIMA KWA NIKK
Dah nimependa sana hii interview kwasababu hapo zamani Baghdad alikua msanii na alikua na bifu na niki mbishi lakini leo amemuhoji vizuri sanaaa
Mexicana Lacavella
nakukubali broo nikki B
Unju unajua kuelezea kitu kika eleweka zaidi big up
Wanamyima dili wakisema ni mbishi
kama nimepauka nipake mafuta au niache kama ulivyo nikuta noma sana mzee wa makavu live
nikki amesema kitu makini sana kwenye content. lyricsism
Appreciates u bob I wish 1dei nijekuwa presenter with yah in times fm
My brother UNJU 👊 saluty broo
Nikki namkubali sana
B.A.G.H.D.A.D 🔥🔥🔥🔥
mbishi noma
Respect mabrother unjuu
Nakubali unju
nikki bhana mambo yake😂😂.
Anajua sana kwenye midundo mr. unju.
Vita y Bengaz Under ground King 🤴
Genius
Tunaomba mwendelezo wake
Unjuuu mkali wao
Nicki mbishi akili kubwa vichwa ka hivi ndo vinatakiwa
3:50🤣🤣🤣
Underground Legendary
Majina kibao sio
#nikkimbishi
Namkubali uyuu jamaa kawa chana kabisa
Mimi ingekua sio magufuli nisingeichakua CCM maisha yangu yote na kizazi changu ila mimi jana NK mbishi c chagui CCM namchagua MAGUFULI
Nikki mbishi
Na madder kila intaview sio tu the bar tender rafudhi tam mpaka wanauliza umekaa pemba
nawaambia mi ni born herehere jembe zaiid ya john pia dear niko strong sina fear
Unju Bin UNUK....!!
Mbishi noma sana..😂😂😂😂😂😂😂
👍
jamaa ni mtawala sio kiongozi😂😂😂
Yeah na unafki unaoendelea kwenye umoja wa unafki 🤣🤣🤣🤣
Huyu jamaa ni kwel jina liko mahali kwake yani ni M’bishi wa ukwel
Ni mbishi na mkweli ndio maana mafans wanampenda
th-cam.com/video/mw8sfeIgq44/w-d-xo.html
tazama maajabu ya acha lizame remix nandy ft harmonize
Haka kajipu haka balaa
Kweli unafiki halafu mie mwenyewe sifagilii Mambo ya hivyo
18:9 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂mambo ya unafiki Sio
Wanaharakati wote Gusa link th-cam.com/video/6dhYJpLCkew/w-d-xo.html Kusikia michano
18:10 nimeshtuka sana na nikajiuliza media zetu zinafanya kazi ya kupromote lugha yetu vizuri kabisa sasa huyo jamaa sijaelewa anaongea lugha Gani.
Huyo jamaa ni mkongo
Baba Malcolm X, Zohani, Bobani,
Dr unju
Unju wewe nizaidi yanoma me nawaona hawa madogo wanaoruka ruka tu man
😂😂😂😂😂😂
Bangdad una akili saaana! Una maswali yenye logic sana
Apo ndipo nimeamin usemi wa Kaligraphy John kuwa wana Hip-hop wa Bongo awawezi kuwa intonation coz wanajiimboa wenyew ukianzia Lugha tungo zao Hip-hop inamisingi lkn kwa Tanzania tutbaki na jina la hip-hop akuna Really Hip-hop
We wako watu kama chindo man anachana atar ww ufatlii game vzri
Unju unasema humuoni Nay ktk level z u MC wakat yy anatengeneza hela na humkaribii..
Ishu n u MC si ela
hela gani anatengeneza ww
Kumamake ao ma MC wanaishi kwa u MC? Au wanakula u MC? Au wanatafuta shows na connections ili wakaoneshe u MC? C wanatafta hela na nd wanaendesha maisha yao kwa music, na nd mana Madee aliamua kujitowa ktk rap coz it is not profitable..Afande, Sugu, Profesa n.k. wameamuwa kuingia ktk casa why? Hkuna mwenye shda ya u MC bro keep it in mind... Ney anafanya commercial ana hela na maisha yake ao wanaopenda kuitwa ma MC au wagumu ata vibanda hawana..
@@abdulmohd6880 tulia ww huelew chochote
Mbish ndio best uyo ney boya
Unju punguza kuchonga
😆😆😆 na we umo kwenye lile group? Unaogopa utaitwa mnafki😃😃😃
Bin Upupu
Nk nakukubal sana ila k2moja unazngua sometimes
Sitaki kuwa nyota nataka kuwa mwezi
Nikki mbishi kawa Nikki michambo,
Bora Nikki wa pili maana Nikki wa kwanza Hana mchongo,