Ommy, Huyu Lisu hayuko sawa kwa sababu......Anachochea watu waasi akihamasisha kila anayejiona ni mzalendo na kila mahali tummuasi raisi wetu. Pia ana maana anawaona wasiomuunga mkono Lisu siyo wazalendo wa kweli. Hii ni dharau kweli kwetu tuliomchagua. Hapa inabidi atutake radhi watanzania. Anamtukana raisi na kumdharau kwa kumwita mjinga. Hizo zinaitwa propaganda za kisiasa ku-brainstorm wale wenye akili za chini (low IQ/simple minded majority). Lisu anatafuta umaarufu aonekane anapigania watu, kumbe anajipigania mwenyewe binafsi.
Urais hupewi ww unataka kuvunja amani ya nchi yetu mama amekunyamazieni kimya mnamtolea maneno mabaya na kumuita majina mabaya ata fadhila huna ulipo pijwa risasi yy ndo alokuja kuona #
Amuon ayo munakosea kabisa nyinyi selekali hichi hii amutendi hak kabis achen kabisa amun aibu we nyinyi amupendi kuwambiwa ukweli selekali ya Tanzania mumekuweje munapenda matumbo yenu yachibe tu
Kagame anafurahi kupata rafiki hasa kwenye suala la Congo. Magufuli atathubutu kuwaruhusu wanajeshi wetu wapigane na maharamia wa Rwanda na Uganda kweli wakati muhusika keshakuwa swahiba? Yetu macho.
just accept the leadership that is there for now .and I think maximum respect shld be given to mheshimiwa rais for him to do his work.remember he is the head of the country wengine miguu.we have a special way of solving problem with the person who is a leader.if this is wot is hapening will the citizen give respect to there rais?and tomorrow the citizen will do tiz to u as a member of parliament where will u take the case .Am out
Huyu jamaa huwa mlopokaji kabsa afu serikali wamemfumbia macho kwa kumtukana rais! Angenikuta kipindi hicho nimetoka depo wakanikabizi sizani kama angetembe kwa doso ambayo ningempa huyu jamaa!
Tundu umesomea sheria uchura unahisi kuwa kuna siku utakuwa Rais wa TZ. utaumiza kichwa chako na mwisho utaishia jela miaka yote ulikuwepo mwisho utaishia kugawana pesa za zilizotoka kwa Lowassa kimia ufisadi ukafuta sasa sijui na huyo unaye mwita uchwara unataka akupe pesa ili unyamanze?. subili 2020.
tundu lissu akiachiwa safari hii kwa maneno machafu anayomtolea mh.rais. Mimi natafuta uraia wa nchi yeyote. mbona akiachiwa?itakuwa anatumwa kumtukana rais na vyombo cha sheria! haniingii akilini kumtukana rais hivi, polisi Ipo, jeshi,lipo km so wao wanaomtuma amtukane rais ni nani?
muwe makini msipoangalia wananchi watawachoka kwa tabia zenu za kugombanisha wananchi na serikali yake kiukweli wanasiasa hasa wa upinzani acheni tabia ya chui maana hakiwa na tatizo binadamu hawazi kumsaidia kwa tabia zake mbaya nafikiri nimeeleweka
Lissu tunakujua umekuja kutuvurugia amani unamtukana Raisi wa nchi hadharani! Ww ni nanitena waandishi wa habari wakuogope km ukoma ww kujifunga bomu huoni tabu make upo vzr mabeberu waulaya wamekujaza mifukoni mapesa ya kuvuruga Amani kwenye uchaguzi kumtukana Rais wa nchi ni kosa linatosha kujuweka ndani mpaka uchaguzi upite
Ni kosa kisheria kutukana au kukejer hadharan,,we mwanasiasa bhana alaf unavunja sheria hadharani...ongea kistaarab tutakuelewa,,bt big up kwa kurekebisha nchi
+Tito Magoti wanasiasa wanatuendesha km gari bovu coz wanajua watanzania hàtunaga muda wa kufanya utafit wala kuchambua vitu.,tunategemea wenyewe ndo watuambie kila kitu
Unajipambanisha mwenyewe ukidhani kuna mtu anatamani wewe umwongoze ,hata huku ikungi hatukutaki kibaraka wa mabeberu ,hatukutaki kaombe uongoze uliokuwa
Upinzani ni kupinga palipo na madhaifu ya serikali sio kumtukana mkuu wa nchi na kumuita UCHWARA kiukweli huyu jamaa anastahi kufungwa jela maisha yake yote
Unaongea kwa kubweka bweka ,tundu lisu we ndiyo uchwara ,nani kakuita utajikabiri mweyewe mjinga weee, wewe ni mwanasheria "primitive "kauli zako hizo zinatuchefua kwani mtawala ndiye amekupeleka mahakamani au ni hilo do more lako chaff,hivi kwani nani kakuleta uliokuwa ? Ndiyo sera ulikuja nazo kujinadi ungwe mkono ?
wewe unaefananisha Na walima korosho vipi,wao ni watanzania wenzako, we toa maoni yako sio kuonesha dharau Kwa watu wengine wenye kuipenda democrasia kama wewe
tundu lisu umetisha kwenye ukweli lazima kuongea ukikubali kusifiwa na ukubali kukosolewa
serikali ya Tanzania inashangaza kwa kweli hata sheria haizijui wakati ilitunga yenyewe haya ni maajabu
lisu tuokoe sisi watanzania
Kabisaa
nakukubali sana mtu wangu wa nguvu millad ayo
utashinda ktk jina la yesu
Usitamke Jina la yesu Kwenye upuuzi ww mungu anasimama Kwenye amani nasio kuingia barabarani kuleta machafuko ya Tanzania
Nakukubali sana
ndio kaka koma nao.
Umaarufu wa kuongea utaupata, ila kupata uongozi never.
We umaarifu wako nikusujudia mungu mtu
Dah yaan hp Lissu cna cha kusema mchi imerud miaka ya 60 km vle nyumba ya mtu
safi lissu
safi sana lisu
2020 kura yangu lisu
nc
Yesu mtakatifu tena mtoto wa Mungu alipigwa mijeredi,itakuwaje, binadam asikosolewe,(our country is a democracy) we doesn't any racism).
Daybre Limite
Ww ndyo uchwara tena huna Nia njema na nchi yetu hutachaguliwa labda vichaa wenzio
Lichwala kikubwa mwenyewe huna hata haya
Mmmh huyujamaa ni shidaa aisee
Tundu Lisu pambana sema kweli acha hawa wanafiki wanaosubilia kusifia ili wapewe vihela kidogo ili sisi wakulima tuumie
asante muheshimiwa lisu
From Zanzibar nakukubali miaka mia 100 💯
Mhh tengeneza vizuri kauli zako
lisu unaelekea kuwa insane,nitajie mambo matatu ambayo yanadhihirisha udictator
Faida Fanoni I am not a member of any political party I am just a concerned citizen. Naona umekimbia kabisa. Hoja zimekushinda au unaogopa?
Awakuwezi hao
awareness, strong conscience are our weapons 👏👏👏
kamndaa lisu nakuamini asilimia 100% pasukaa kaamandaa
Hassan Alibabu kubwaaa u
tundu lisu yuko sawa kabisa ila serikali ina muogopa huyo mwana sheria
tuko pamoja
Ommy, Huyu Lisu hayuko sawa kwa sababu......Anachochea watu waasi akihamasisha kila anayejiona ni mzalendo na kila mahali tummuasi raisi wetu. Pia ana maana anawaona wasiomuunga mkono Lisu siyo wazalendo wa kweli. Hii ni dharau kweli kwetu tuliomchagua. Hapa inabidi atutake radhi watanzania. Anamtukana raisi na kumdharau kwa kumwita mjinga. Hizo zinaitwa propaganda za kisiasa ku-brainstorm wale wenye akili za chini (low IQ/simple minded majority). Lisu anatafuta umaarufu aonekane anapigania watu, kumbe anajipigania mwenyewe binafsi.
Ferdinand Nkamu tatizo watanzania wamelala na hawajijiwi. wakiamchwa serikali haitaki m2 ajijuwe.
Ferdinand Nkamu ww Instagram nn kk
kamanda
gooooder
Duh
Mmhhh aya
lisu big up hawana inshu hao kazi kuwaonea wapinzanitu,magufuli ushwara unapenda sifa tu
Asante sana walikupiga marisasi Mungu akakuponya usijali Mungu yupo na ww ata wakitaka waende hiyo mahakama ya Dunia wasikutishie
work hard
lisu mwanamme haswa
Hapo wew ni baba wachadema
huyo Lissu ni mropokaji tu so mm naona kama Serikali inamlinda,huwezi kumuita Rais "Dikteta Uchwara" thc iz Nonsense Politician
mshamba ww huna point nyie ndo wafuta mkumbo
Hongera
Yote hayo una taka kiti Cha uraisi
Lisu uko sawa kabisa wasikutishe waambie tu ukweli
Uchwa kwel
Urais hupewi ww unataka kuvunja amani ya nchi yetu mama amekunyamazieni kimya mnamtolea maneno mabaya na kumuita majina mabaya ata fadhila huna ulipo pijwa risasi yy ndo alokuja kuona #
acheni hivyo
Mungu akupiganie baba mtumishi wa Mungu aliehai Mungu alikuponya nalisasi zotezile anamakusudi nawewe simama mtumishi
Nakukubali sana lisu ututeteee asee na Mungu akutie nguvu kweli ww una uchungu na nchi yetu
Lissu me nakuhamini hapo hakuna shida kwako kwani wewe ni mwanasheria unyejiamini na wananchi tunakuhamini sanaaaa
Lisu umeshindaaa kesii asubuhii
Amuon ayo munakosea kabisa nyinyi selekali hichi hii amutendi hak kabis achen kabisa amun aibu we nyinyi amupendi kuwambiwa ukweli selekali ya Tanzania mumekuweje munapenda matumbo yenu yachibe tu
Wewe ndie eais
A
typing..
Hana sifa ya kuitwa kiongozi kwa kumutusi Rais
Kabisa
Kwahiyo ukiongea ukweli tu anakamatwa ivi hii Ni nchi gan?
Dah wasomi mnakaz kwel
Jamaa anajiamin
Hakuna kulala Tundu Lissu. Wanyonge tunategemea watu wenye hekima na misimamo kama yako. Watu wasiotishiwa nyau.
niko pamoja na wewe Caro
aksante
Magufuli anataka kutuletea utawala wa Rwanda.
Kagame anafurahi kupata rafiki hasa kwenye suala la Congo. Magufuli atathubutu kuwaruhusu wanajeshi wetu wapigane na maharamia wa Rwanda na Uganda kweli wakati muhusika keshakuwa swahiba? Yetu macho.
kweli mamaa yetu macho
Pamoja
Tundu lisu
Bwana Yesu aktetee
uko-sahihi-lisu-na-siku'zote-ukweli-unauma-eti-wanadai-umesema-tz'kuna--njaa-ni-kweli-miaka-miwili-iliopita-tulikua-tunanunua-unga-kilo-sh-800'lakini-sasaivi-unga-kilo-1800'''''watumbue-lisu-tunaumia-kwakweli-japo-viongoz-wanatuendesha-kiudictet
just accept the leadership that is there for now .and I think maximum respect shld be given to mheshimiwa rais for him to do his work.remember he is the head of the country wengine miguu.we have a special way of solving problem with the person who is a leader.if this is wot is hapening will the citizen give respect to there rais?and tomorrow the citizen will do tiz to u as a member of parliament where will u take the case .Am out
Nikweli serekali ina takakuleta machafuko, mbona sereikali iliyo pita hatukuyaona haya asifikirie ss walima korosho hatumuoni udictetor
Hilo povu hatari
Hujanishawishi hata kidogo
xana
Mungu ibariki Tz
wataelewa tu!
wewe ulitakiwa ufungwe;unakashfu nchi yako sasa wewe una nini? wanasubiri nini kukuweka ndani
we fara tu
Muomba ngoma uvutia kwake...............
ole wako uvuluge amani ya nchiii hiiii
wazalendo wa ouuzi ndo watakao kufata
Saf
nakukubal xna lixxu
hapo ni wali nazi baba be forward not turn back baba yetu
Huyu jamaa huwa mlopokaji kabsa afu serikali wamemfumbia macho kwa kumtukana rais! Angenikuta kipindi hicho nimetoka depo wakanikabizi sizani kama angetembe kwa doso ambayo ningempa huyu jamaa!
ww ara utoke depoo vip unajivuniaa kutoka depo shwayn kambi ganii upo ww mbona XX maaskar kma ww na tunakausha xo wote tunampenda a miri jeshi mkuu
Endeleen kuwapa kesi viongoz wetu
msenge wewe usitutishe mama wewe
Kebo una shida bwege we ndo maana unaitwa kebo
ww kelvin cjui umetokea pori gani aisew maana pumba tupu tu unazoongea
Tundu umesomea sheria uchura unahisi kuwa kuna siku utakuwa Rais wa TZ. utaumiza kichwa chako na mwisho utaishia jela miaka yote ulikuwepo mwisho utaishia kugawana pesa za zilizotoka kwa Lowassa kimia ufisadi ukafuta sasa sijui na huyo unaye mwita uchwara unataka akupe pesa ili unyamanze?. subili 2020.
sema baba. nakuaminia wape visu siwapendi hao
wale wanao fikili kuwa wataona machafuko TZ watakufa bila kuyaona mtaungana wajinga mnaofanana kisha mtateketea wenyewe.
tundu lissu akiachiwa safari hii kwa maneno machafu anayomtolea mh.rais. Mimi natafuta uraia wa nchi yeyote. mbona akiachiwa?itakuwa anatumwa kumtukana rais na vyombo cha sheria! haniingii akilini kumtukana rais hivi, polisi Ipo, jeshi,lipo km so wao wanaomtuma amtukane rais ni nani?
unge anza mapema maana nchi haiitaji watu malofa
unazania tundu lisu ni rofa kama wewe
mangu shadrack rofa mwenyewe n.a. wazazi wako
mangu shadrack ni rofa kama wewe
we rudi zako tu Mombasa tz hatutaki lelemama
upo sahihi kijana nakubaliana nawe
tuwe makin na ges tulio gundua maana inaweza kuwa ni kama njia ya kutugombanisha
Ulistahili zawadi uloipata huezi kumuita kiongozi wanchi dikteta uchwara mbulula wewe
muwe makini msipoangalia wananchi watawachoka kwa tabia zenu za kugombanisha wananchi na serikali yake kiukweli wanasiasa hasa wa upinzani acheni tabia ya chui maana hakiwa na tatizo binadamu hawazi kumsaidia kwa tabia zake mbaya nafikiri nimeeleweka
acha hilo giza liingiee huyo ni uchochezi
Lissu tunakujua umekuja kutuvurugia amani unamtukana Raisi wa nchi hadharani! Ww ni nanitena waandishi wa habari wakuogope km ukoma ww kujifunga bomu huoni tabu make upo vzr mabeberu waulaya wamekujaza mifukoni mapesa ya kuvuruga Amani kwenye uchaguzi kumtukana Rais wa nchi ni kosa linatosha kujuweka ndani mpaka uchaguzi upite
huku tunapoelekeaa uku nomaa sana aseeeh
Ni kosa kisheria kutukana au kukejer hadharan,,we mwanasiasa bhana alaf unavunja sheria hadharani...ongea kistaarab tutakuelewa,,bt big up kwa kurekebisha nchi
we unaijua sheria ww au unajiandikia t imradi waone umepost! au ukiulizwa tusi liko wap hapo unaweza lionyesha, nyie ndo huwa mnafungwa nyie
we mwanasiasa bhana alaf unavunja sheria hadharani.....sheria ipi mzee
acha kuburuzwa!
+Tito Magoti wanasiasa wanatuendesha km gari bovu coz wanajua watanzania hàtunaga muda wa kufanya utafit wala kuchambua vitu.,tunategemea wenyewe ndo watuambie kila kitu
Unajipambanisha mwenyewe ukidhani kuna mtu anatamani wewe umwongoze ,hata huku ikungi hatukutaki kibaraka wa mabeberu ,hatukutaki kaombe uongoze uliokuwa
VIONGOZI WAPUUZI KAMA LISSU WANATAKIWA KUNYONGWA; LISSU HUNA ADABU HATA KIDOGO
we ndio unaadabu
watu wapuuzi kama wewe wanatakiwa kugeuzwa misukule ili walime kila siku
Fala hili
seriklini icwabane wapinzani pia wapinzani wactumie maneno yacyo faa kama kumuita rais ni dikteta MCHWARA aaaaaaaaah jamanie ah ah
Yupo anaadhibiwa huko aliko 🤣🤣
Tundu lisu kiboko ya magufuli
Hahahaha mnamkamatia ile ile 😂😂😂
Ufahamu gani wewe mungu au mtabiri wewe ndo mchwara Acha ushamba wewe
Upinzani ni kupinga palipo na madhaifu ya serikali sio kumtukana mkuu wa nchi na kumuita UCHWARA kiukweli huyu jamaa anastahi kufungwa jela maisha yake yote
aaaah mbona umetumia maneno mazito xana
King Chaga kaolewe
Unaongea kwa kubweka bweka ,tundu lisu we ndiyo uchwara ,nani kakuita utajikabiri mweyewe mjinga weee, wewe ni mwanasheria "primitive "kauli zako hizo zinatuchefua kwani mtawala ndiye amekupeleka mahakamani au ni hilo do more lako chaff,hivi kwani nani kakuleta uliokuwa ? Ndiyo sera ulikuja nazo kujinadi ungwe mkono ?
heheheheheeeee...tundu lisuu ni mtundu kweli bado anaita raisi Dictator uchwara
wewe unaefananisha Na walima korosho vipi,wao ni watanzania wenzako, we toa maoni yako sio kuonesha dharau Kwa watu wengine wenye kuipenda democrasia kama wewe