JE! NISAHIHI WANANDOA WANAPOANA KUISHI NYumbani kwa WAKWE? toa maoni yako
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
- Wengi husema sio sahihi sababu hupunguza heahima na kuengeza mgogoro
Pia ni sehemu ambapo mwanaume ameenda kuposa je mtazamaji wa nahodha media tv kiupande wako unaona ni sahaihi au sio sahihi? Dondosha comment yako hapo chini kwanini sahihi? kwanini sio sahihi!?
Nakubali sana kak unaupgiga mwingi
Sio sahihi tunajikalia tu😂😂😂😂
Raha ya ndoa mtu akae kwakee il ajiachie na ajue utam wa ndoa c kukaa ukwen kujiban na kutengnez mazoea kw wakwe na mawif zake
Mbna moga wewe jamni