Kiukweli Alikiba ukimsoma nini anapenda na nini hapendi na ukalenga vitu nya msingi katika kumuuliza kwenye interview, Utampenda kwenye majibu,anakuwa mpole msikivu na mnyenyekevu na anakujibu kwa busara. Asanteni kwakumtambuwa kiba,, year baba.
Alikiba is someone who has never wanted to show her self different but his different. his humble collaborating person he knows how to speeks with others and his respectable.
Safi sana kumleta Ali Kiba, akaze boot maana sasa muzic upo na mabadiliko mengi. Asisahau kutumia media za mitandao ya kijamii kujitanga zaidi. But I will be happy if you will interview the Ya Motto Band hopeful they did some good music, itakuwa poa kuleta group lote hapo kwa saloon, au sit ni chache??/ teh teh
ali umeongea ya maana sana acheni kusikiliza maneno ya watu hua wanapenda sana pale mnapo gombana kama salama anavyosema watu hua wanaleta maneno mengi juu ya salama na dj fetty fanya yenu mkuu usisikilize wanafik big up ali
Nawafatilia sana mkasi najua uwezo wenu ni mdogosana katika uulizaji wa maswali nahii nadhani inachangia na nielimu ndogo swali la kwanza mwuachieni mtu ajitambulishe yeye kama nani anatokea wapi na anajishughulisha na nini na ana miradi gani
Kaka Fazili Kumpun "swali la kwanza mwuachieni mtu ajitambulishe yeye kama nani anatokea wapi na anajishughulisha na nini na ana miradi gani" Fazili Kumpun introduction kama hizo, kwanza nikwayule chipukizi ambaye haja julikana katika game, pili, helewa kuwa ina tuboa sisi kama wasikilizaji kusikia superstar anajitapa au kuhongelea alikotoka kila interview anayofanya. Tafadhali helewa hilo. kama huja juwa wapi Ali katokea do what we call "flashback", so you will know where to start... Big up sana MKASI group.!
I watch now 2018 kumbe wasiojulikana walikuwepo tokea zaman doh pole king kiba pia nimegundua ww ndio ulimpa shavu diamond akakubalika up to now japo for now kama vile ana ku snitch...
u just stuck with diamond he's nothing at all salama kiba is deferent planet \/ bluffing super star ,along ago there is slim Ali(r.I.p) sorry salama u base one side / ur diamond side if t.v presenter don't tag one side( viper)
Huyo nd king mi team wasafi lkn kiba kwa majb hayo ur xo intelligence congraturationx king
i love alikiba..so humble. always been a fan. anajibu maswali vizuri sana..diplomatically.
good boy, hana majigambo wala sifa nampenda sana yupo simple, hivyo ndio maisha sio kila jambo ktk tv na magazeti,
Kiukweli Alikiba ukimsoma nini anapenda na nini hapendi na ukalenga vitu nya msingi katika kumuuliza kwenye interview, Utampenda kwenye majibu,anakuwa mpole msikivu na mnyenyekevu na anakujibu kwa busara. Asanteni kwakumtambuwa kiba,, year baba.
ali kiba ni mtu mmoja anajielewa sana big up unajibu vzr maswali bila majigambo
Nakupenda sana ali yaani una tatu dredi uko very simpol and clear sijutii kukushabikia
Alikiba is someone who has never wanted to show her self different but his different. his humble collaborating person he knows how to speeks with others and his respectable.
Safi sana kumleta Ali Kiba, akaze boot maana sasa muzic upo na mabadiliko mengi.
Asisahau kutumia media za mitandao ya kijamii kujitanga zaidi.
But I will be happy if you will interview the Ya Motto Band hopeful they did some good music, itakuwa poa kuleta group lote hapo kwa saloon, au sit ni chache??/ teh teh
nakubali Sana kazi za kiba my king
keep it up king kiba
yaaaaaaaaaaaa#
Kaka kiba video ya galama ndio yenye maingizo mengi kwa sababu inakua nzuri na kuuza sana tuamshe mashabi wako video nzuri
wooooooooooooooooh ali kajibu maswali vizur am lovin the show sana i cant wait for zitto nxt show
Yeah alikiba ni mtu mwenye amestaarabika...Yuko simple sana anajibu maswali Bila kujigamba..one love alikiba
only one king 2021
nani anaangalia 2024
👑 nimekukubali mkali upo vzr
Alikiba ndo mwimbaji namba moja afrika
ali umeongea ya maana sana acheni kusikiliza maneno ya watu hua wanapenda sana pale mnapo gombana kama salama anavyosema watu hua wanaleta maneno mengi juu ya salama na dj fetty fanya yenu mkuu usisikilize wanafik big up ali
Ali KKiba, do u ever get mad? U r always smiling it seems.
Nawafatilia sana mkasi najua uwezo wenu ni mdogosana katika uulizaji wa maswali nahii nadhani inachangia na nielimu ndogo swali la kwanza mwuachieni mtu ajitambulishe yeye kama nani anatokea wapi na anajishughulisha na nini na ana miradi gani
Kaka Fazili Kumpun
"swali la kwanza mwuachieni mtu ajitambulishe yeye kama nani anatokea wapi na anajishughulisha na nini na ana miradi gani" Fazili Kumpun introduction kama hizo, kwanza nikwayule chipukizi ambaye haja julikana katika game, pili, helewa kuwa ina tuboa sisi kama wasikilizaji kusikia superstar anajitapa au kuhongelea alikotoka kila interview anayofanya. Tafadhali helewa hilo. kama huja juwa wapi Ali katokea do what we call "flashback", so you will know where to start...
Big up sana MKASI group.!
I watch now 2018 kumbe wasiojulikana walikuwepo tokea zaman doh pole king kiba pia nimegundua ww ndio ulimpa shavu diamond akakubalika up to now japo for now kama vile ana ku snitch...
Nice one Ali umejibu mashwali vyema kabisa#salama nice interview 254 twakupenda sana.
Nakupenda sana mtu wangu king kiba
👑💞Sina usime ww ni wangu 4 really
dah kwel king kiba ulkua mapumzko maana ufalme wa bongo fleva ni wako, umerud mikataba hyoo ya rockstar. Ajee imeleta heshima kimataifa hadi mtvmamma
Only one king
haaaaaaaaaaaaa salama nomaa haaa nampenda sana
Ali k uko juuuu,,, lovely maaan big up I see
Salama for real you are good hauna maswali ya upuzi kama sporah.
yes yes kiba anaongea kama mwanaume
Bongezi sanaaaaaaaaaaa Alikiba wajua kuongea zaidi wwallai I salute u no one of them like Ali kiba.niite Lovy Lover from Kenya. I love you Ali kiba
safi sana
namkubal cna salam anauliza maswail yanayo takiwa hafich hata kidogg king nic cna
1st to comment! Haven't watch it yet ( I'll save & watch tomorrow)
A good one
king big ahsate sana kiba
I love kiba
Saaaaaaanaaaaa
daa napend san nymbo zake
Keep it up king
2023 mpo
Kiba for really
I appreciate you much
Nyc
nice
only one king
Uko vizur king
ally kiba penda ww miaka 800.
it is Wiz dos tz
Napenda sna nyimbo zko kiba
good broo Wa mie
kwenye interview muwe mnazima sim bwana hyo cm inayo vibrate inaboaa
Yeeees is #Kibaaaaaaaaa Tzking
I love you alikiba my friends
Good
Gdkiba
my king
fatma
ramadhan
jamaa mtu poa sana
Kutoka +254
Napenda mziki wako alli unajielewa
Itabidi muongeza time atleast 40 mints time ni kidogo tena munatia ma advtirsment mingi sana
Imekaa poa xn
Kumbe The Joint Walichukulia Idea huku
YEAH 🎉
King kiba km king kiba Nkbl
Kiba anatisha
Je suis folle de lui k
kiba kweli wewe ni mtu mzima umetulia cna katika kujieleza rispect br
Nichawa kiss sana
* Munachekesha kweli Teap *
12 /10/2021
Watu wasiojulikan wana hatar kwel yan
Hawa wote hawana uwezo wwt wa kuuliza maswali, ovyo ovyo tu kwanza hiki kidemu na huyu mzaire akiri zao pumba tu nyamafu
asante
Pambe
u just stuck with diamond he's nothing at all salama kiba is deferent planet \/ bluffing super star ,along ago there is slim Ali(r.I.p) sorry salama u base one side / ur diamond side if t.v presenter don't tag one side( viper)
penda sana kibaa
it is Wiz dos tz
Safiiiiii
Kiba anatisha